ENEWZ - "Roma ni nani kwenye mziki wangu ?" - Moni Centrozone
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- eNewz weekend hii ilikutana na Moni Central Zone, na sawli lilikuwa ni moja tu, Je ni kweli baada ya kutibuana na ROMA na kisha Roma kuanzisha ROSTAM ndio na yeye akaamua kuungana na Country Boy na kuunnda MOCO ilikuwazima ROSTAM. Lakini swali hilo lilimpanikisha sana Moni.
Unavaaaaaa hereniii Hiyo tu ushafeli."ni utumwa wa kifikra mwanaume mzimaukitoga maranyingine ni ushoga" One the Incredible
Richard Yusuph msongolomakatsi
"____mzawa anayehaha kuama kwako"
Moni moni moni moni moni moni kityu gani makande tyu fala huyo anataka kujilinganisha na roma??? Mchele mchele wakuongelee wew unajulikana wapi makande wew
Jamaa mie namjua kitambo kabla hata hajaimba na roma, kajieleza fresh afu yuko na kipajii safi sana Moni
Ninyi Watangazaji Wapuuzi Sana Mnamuuliza Mtu Maswali Ambayo Unajua kabiasa hataki Uwoo Uchochezi Acheni Izo Swaga bana
Kwa rositam nyinyi ni wachumba2 fala xana we jamaa hata nilikuwa skujuwi kabura ya Roma boya ww
Ili uwe msanii lazima Sana'a uijue sow unapo ulizwa swali la kisanii fikili kabla ya kujibu unaweza jikuta unalopoka bila ya kujijua unapo taja sanaa uwezi muacha loma ukilopoka tu utaonekana unatafuta kik
Roma ni motooo! hila Monii hule mstarii mh Njia safi salama nazurula peku mtooo
Nimekuelewa Sana ninja
Mnyamaaaaa moni...nakuelew kaka we komaa na game tu..utafika mbali
Safi Moni...Mtangazaji nae sio muelewa
Wasanii wa bongo mnajiroga wenyewe na maneno yenu, mtu akipata ustaa kidogo anasahau alikotoka na watu waliomuongezea mafanikio, hata km kuna beef sio lazima useme mitandaoni sababu unajipotezea firm. Panic at your own risk Moni
Hhaha mwanangu FRank Dish pusher umetisha sana,nimekuelewa sana
Banae vipi nyie wanahabari kwann mwalazimisha mtu aongee kitu hataki mpka apanic sio poa EATV pia Ben pol mshawai mpanikisha....+254 Mombasa
Jamaa ana faile 🔥🔥🆕
hun lolote wew hautamuwez roma mpak kuf kwako.
moni nakukubali unajikubali mwenyewe kaza baba gemu alina mwenyewe midomo aiwezi kuhisha
Tatizo lako unavimba sana
Of course mimi nilikujua kwenye collab yenu ww na roma acha kuvimba bro
nilikufahamu baada yawimbo ulioimba na Roma the baddest, leo nakutema kama ulivyomkataa mwanaume Roma and you have to be serious kwenye speech zako Boya wewe, ndo kwanza unaendelea kutumia migongo yawasanii ambao unawakandia, Tango pori uko namtu mbaya saana ndani, nae kakupaisha but leo unalopoka utumbo, umeboa boy, ROSTAM ninoma saana🌶🔥🌶🔥🔥🔥🌶🔥🔥🔥🔥🇹🇿
Mon yupo sahihi
That's Right ma nigga! Who the f**k is Roma, keep doing ur thing moni. #moco_for_revolution
😅Mbegu imeota mti afu anaidharau ardhi iliyompa mbolea.
Duh huyu jamaa anavimba afu anakiburi sana ustar unamdanganya
Kwenda uko Langa asingeweza kukubali wack mcee ka wewe moni wewe ni choko tu
Umekosea moni
😂😂😂😂😂😂😂 nashindwa hata niseme nn hapo 🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈
Moni anafel sana et amjui roma bira roma ww tungelikujua wap usmsahau mchiz #roma 😁😂😂
mb mussa muganza_tv acha kulazimisha usivyojua washabiki tumemjua moni kitambo yaan ww unataka aseme unavyotaka waw?
unafeli Moni swali Kama hujalipenda vunga naso kuongea mbovu
Waandishi wa habari tumieni vizuri karamu zenu na ulimi wenu!wachonganishi sana.mko fake sana
EA radio na Tv ndo kazi zenu hata ben pol alishawahi kuwawakia wakudakinomaaa
mony mshamba uwezi sema umjuy Roma ume feli, tatizo limeanzia ata kwenye kabila lako sishangai jooh
Wasanii wa bongo bwana,kesho na keshokutwa atayakana tena haya maneno duuu,bila Roma ww ungekua wapi ww?
kwenye ukwel wako ongelea ukwel wako usiogope kisa flan na yeye c alitolewa na watu so Y umuogope be free mon nakukubal xn ww chapa kazi cz wanao pinga hawajui kati yen wacha waongee wanavyo weza bt ww angalia kazi zako zinaenda
nakukubali moni ila mim kama mm nimekufaam kupitia roma
😂 😂 😂 😂 Nilichokifurahia kwako aujawa mnafiki
Kwani roma ni nani??RANGA ndo anatakiwa aongee kuhusu monii r.i.p
Ulikuwa unachunga ng'ombe dodoma wewe bila roma tusingekujua
Kwan kuna nn kati yenu maana sikueleweni mlivyotoka kutekwa tu sijaelewa maneno mengi km mna matatzo yawekeni live au km siri ungeeni tu nyny watoto wa kiume
Hadi inaboa hii interview,km mtangazaj unapaswa kubadilk kwa interview km hizi usiforce kitu,,Sema Moni anafeli namkumbusha tuu baraka da prince alikuwa hvyo hvyo kuongea kavu kilichomtokea nahisi anakijua so chunga sana mdomo!! #usimsahau #mchizi ndo wengi tumekujua na tukaanza kukubal km unaweza sasa usijifanye wee ndo uko juuuuuu!!! Utapotea mashabik wa Roma ndo walokupandisha!! Narudia jifunze kupitia baraka da prince!! Nimemaliza.
MON UMEZINGUAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
Binafsi Naon kuna kitu kilitokea ndo kikatibua kila kitu...... Siunajua siri ya mtungi.... Kila mtu huwa yupo sahihi... U never know Roma alizingua nn.... Au walizinguana aje.... EATV km mnataka Habari bas tafuteni habari na sio kutoa matukio
Mwandishi wa habari ana maswali ya kisingeli na taarabu hajajipanga kufanya interview ya hiphop... Pia analazimisha mtu aseme kitu ambacho haitaji kukiongelea then msanii apanic na amjibu vibaya ama kumtusi mwisho wa siku aseme wasanii hawana nidhamu na kumbania airtym sabab ya maswali ya kichoko!!! Na asie mfahamu Moni Wa Centralzone atakuwa kapevuka mwaka jana
moni punguza kuwa mnafiki mzee baba
Mshamba moni fala ww
kaza buti baba mziki hauna mwenyewe ww mkali tu
👟👟👟
amuulize Baraka da prince boya huyu jamaa
maskin anacho koseaga zalau anazo zifanya pindi akipata kitu
Kaka wa watu kashasema msimuulize habar za mtu mwingine hamtak kuelewa sometimes mjifunze kuheshim maamuz ya mtu nyie ndo mnasababisa watu wawazungumzie vby watu wengine
EATV wachocheziiii
Achaneni na Mon nyie aliemtoa ni ranga
Fala huyo mtoto hana fadhira
Watu kama hawa wanachosha hata nimefuta nyimbo na wala sitaidownload video, hayupo na hekima hata kidogo
ana mashabiki milion kwahyo kwa boya ka ww kujiengua haitusumbui
hivyo vichwa viwil.rostam utasubir miaka 200 mini
presenters Wa bongo wanachangia kwa asilimia kubwa bifu za,wasaniii, kumbe ukiwa presenter unakua mmbea ,mbona Wa nchi zngne hawako ivo nyie mnasomea wapi izo professional zenu?
Moni hakuna kitu huna busara broh utaisha kabla ya muda wako heshimu wakubwa zako broh
eti Leo unamdiss Roma choko we
Moni cho.......... Hauna mipango
mbona anawasiwasi anageuka geuka tuu ovyo
makuma nyie moni mkali
We n xhoga c ndyo
go ommie go hommie tushaelewa wanaelewa
unayumba ww, eti kanitoa langa mbona ali vyo kua hai hujawahi kusema,ww kubali kataa Roma ndo mkali wako upo apo dogo
Boya kweli huyu dogo
Heee
We mkuda tu
no one km moni roma boya
Mnapromote beef watangazaj unakomalia swali ambalo hatak kujib.......
moniii ronaldooo
Toa credit panapostahili hata kama huyo mtu huelewani naye tena, binafsi nimekujua na kuanza kukufatilia baada ya collabo na Roma
Unamlazimisha kitu ataki muulize maswali mbona yako mengi tu mtangazaji jirekebishe
Jamaa yuko sahihi uyu anaemhoj ndo boya mtu kashaonesha hatak ayo maswal bas ndo kumkomalia apoapo huo ni umaku
Anaehojii anaznguaa...anampanikisha jamaa...hatujui kapanic na nini abt Him
Zero think capacity Moni bhana😂😂
Roma sio saizi yako unafeli wewe choko
Duh😀
huyu jamaa ña yy bhuana mtangazaji wote yale yale aliyosema msema kweli Trump
maswali yakiuchonganishi hayo hayajengi
mtagazaji mtagazaji anakosagani na yy do kaziyake
mhmh me simjui huyu namjua Roma tu
Eatv mnapromote beef daily
mziki wa roma auwez uyo boya
Ushamba
huyu jamaa fala kweli
huyo moni hana lolote hatumjui hata
hicho kichwa ni zero brain
moni punguza kuwa mnafiki mzee baba
wa gogo bana tabu
jamaa fala kweli
wewe unae sema humjui Mon anae kujua wewe nani acha jamba jamba za kuku
Waaaaaah!!! Hii kali