ENEWZ - "Roma ni nani kwenye mziki wangu ?" - Moni Centrozone

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • eNewz weekend hii ilikutana na Moni Central Zone, na sawli lilikuwa ni moja tu, Je ni kweli baada ya kutibuana na ROMA na kisha Roma kuanzisha ROSTAM ndio na yeye akaamua kuungana na Country Boy na kuunnda MOCO ilikuwazima ROSTAM. Lakini swali hilo lilimpanikisha sana Moni.

Комментарии • 93

  • @richardyusuphmsongolomakat2049
    @richardyusuphmsongolomakat2049 6 лет назад +6

    Unavaaaaaa hereniii Hiyo tu ushafeli."ni utumwa wa kifikra mwanaume mzimaukitoga maranyingine ni ushoga" One the Incredible

    • @denismakweba3870
      @denismakweba3870 6 лет назад

      Richard Yusuph msongolomakatsi
      "____mzawa anayehaha kuama kwako"

  • @nighaboy2107
    @nighaboy2107 6 лет назад +1

    Moni moni moni moni moni moni kityu gani makande tyu fala huyo anataka kujilinganisha na roma??? Mchele mchele wakuongelee wew unajulikana wapi makande wew

  • @eddietitus4197
    @eddietitus4197 6 лет назад

    Jamaa mie namjua kitambo kabla hata hajaimba na roma, kajieleza fresh afu yuko na kipajii safi sana Moni

  • @rashidbakarisaid6985
    @rashidbakarisaid6985 5 лет назад

    Ninyi Watangazaji Wapuuzi Sana Mnamuuliza Mtu Maswali Ambayo Unajua kabiasa hataki Uwoo Uchochezi Acheni Izo Swaga bana

  • @barytz5977
    @barytz5977 6 лет назад +6

    Kwa rositam nyinyi ni wachumba2 fala xana we jamaa hata nilikuwa skujuwi kabura ya Roma boya ww

  • @mrishobahari5176
    @mrishobahari5176 6 лет назад +1

    Ili uwe msanii lazima Sana'a uijue sow unapo ulizwa swali la kisanii fikili kabla ya kujibu unaweza jikuta unalopoka bila ya kujijua unapo taja sanaa uwezi muacha loma ukilopoka tu utaonekana unatafuta kik

  • @mandelaushe6295
    @mandelaushe6295 5 лет назад

    Roma ni motooo! hila Monii hule mstarii mh Njia safi salama nazurula peku mtooo

  • @mosb447mnyama3
    @mosb447mnyama3 6 лет назад

    Nimekuelewa Sana ninja

  • @davidsosthenes1821
    @davidsosthenes1821 6 лет назад

    Mnyamaaaaa moni...nakuelew kaka we komaa na game tu..utafika mbali

  • @gwantahbrainhalisi3527
    @gwantahbrainhalisi3527 6 лет назад

    Safi Moni...Mtangazaji nae sio muelewa

  • @mrmajaz4449
    @mrmajaz4449 6 лет назад +5

    Wasanii wa bongo mnajiroga wenyewe na maneno yenu, mtu akipata ustaa kidogo anasahau alikotoka na watu waliomuongezea mafanikio, hata km kuna beef sio lazima useme mitandaoni sababu unajipotezea firm. Panic at your own risk Moni

    • @mosesjnr8436
      @mosesjnr8436 6 лет назад

      Hhaha mwanangu FRank Dish pusher umetisha sana,nimekuelewa sana

  • @ckukuu8404
    @ckukuu8404 6 лет назад +4

    Banae vipi nyie wanahabari kwann mwalazimisha mtu aongee kitu hataki mpka apanic sio poa EATV pia Ben pol mshawai mpanikisha....+254 Mombasa

  • @gegomnete4199
    @gegomnete4199 6 лет назад +1

    Jamaa ana faile 🔥🔥🆕

  • @mkaliwenuoriginalpleasesub9297
    @mkaliwenuoriginalpleasesub9297 6 лет назад +6

    hun lolote wew hautamuwez roma mpak kuf kwako.

  • @joekitaa8998
    @joekitaa8998 6 лет назад

    moni nakukubali unajikubali mwenyewe kaza baba gemu alina mwenyewe midomo aiwezi kuhisha

  • @kizaabwe726
    @kizaabwe726 6 лет назад +1

    Tatizo lako unavimba sana
    Of course mimi nilikujua kwenye collab yenu ww na roma acha kuvimba bro

  • @jumamisinzo9234
    @jumamisinzo9234 6 лет назад

    nilikufahamu baada yawimbo ulioimba na Roma the baddest, leo nakutema kama ulivyomkataa mwanaume Roma and you have to be serious kwenye speech zako Boya wewe, ndo kwanza unaendelea kutumia migongo yawasanii ambao unawakandia, Tango pori uko namtu mbaya saana ndani, nae kakupaisha but leo unalopoka utumbo, umeboa boy, ROSTAM ninoma saana🌶🔥🌶🔥🔥🔥🌶🔥🔥🔥🔥🇹🇿

  • @victoriakalindo1521
    @victoriakalindo1521 5 лет назад

    Mon yupo sahihi

  • @brizyescoba9006
    @brizyescoba9006 6 лет назад

    That's Right ma nigga! Who the f**k is Roma, keep doing ur thing moni. #moco_for_revolution

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi4882 6 лет назад +1

    😅Mbegu imeota mti afu anaidharau ardhi iliyompa mbolea.

  • @masterbosco8781
    @masterbosco8781 6 лет назад

    Duh huyu jamaa anavimba afu anakiburi sana ustar unamdanganya

  • @samuelmelchior2664
    @samuelmelchior2664 6 лет назад +1

    Kwenda uko Langa asingeweza kukubali wack mcee ka wewe moni wewe ni choko tu

  • @barakabaraka475
    @barakabaraka475 6 лет назад +1

    Umekosea moni

  • @wakushineclassic798
    @wakushineclassic798 6 лет назад

    😂😂😂😂😂😂😂 nashindwa hata niseme nn hapo 🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈

  • @mbmussa_fashionstyle9824
    @mbmussa_fashionstyle9824 6 лет назад +2

    Moni anafel sana et amjui roma bira roma ww tungelikujua wap usmsahau mchiz #roma 😁😂😂

    • @luccabosslugendo9722
      @luccabosslugendo9722 6 лет назад

      mb mussa muganza_tv acha kulazimisha usivyojua washabiki tumemjua moni kitambo yaan ww unataka aseme unavyotaka waw?

  • @sportskijiwe781
    @sportskijiwe781 6 лет назад +3

    unafeli Moni swali Kama hujalipenda vunga naso kuongea mbovu

  • @MegaMtanzania
    @MegaMtanzania 6 лет назад +5

    Waandishi wa habari tumieni vizuri karamu zenu na ulimi wenu!wachonganishi sana.mko fake sana

  • @stevenlyando1801
    @stevenlyando1801 6 лет назад

    EA radio na Tv ndo kazi zenu hata ben pol alishawahi kuwawakia wakudakinomaaa

  • @nikiflavour613
    @nikiflavour613 6 лет назад

    mony mshamba uwezi sema umjuy Roma ume feli, tatizo limeanzia ata kwenye kabila lako sishangai jooh

  • @mackjr5291
    @mackjr5291 6 лет назад

    Wasanii wa bongo bwana,kesho na keshokutwa atayakana tena haya maneno duuu,bila Roma ww ungekua wapi ww?

  • @salehechamle8761
    @salehechamle8761 6 лет назад

    kwenye ukwel wako ongelea ukwel wako usiogope kisa flan na yeye c alitolewa na watu so Y umuogope be free mon nakukubal xn ww chapa kazi cz wanao pinga hawajui kati yen wacha waongee wanavyo weza bt ww angalia kazi zako zinaenda

  • @athumanamis1830
    @athumanamis1830 6 лет назад +1

    nakukubali moni ila mim kama mm nimekufaam kupitia roma

  • @manjaruujr6504
    @manjaruujr6504 6 лет назад

    Kwani roma ni nani??RANGA ndo anatakiwa aongee kuhusu monii r.i.p

  • @noellucas3521
    @noellucas3521 3 года назад

    Ulikuwa unachunga ng'ombe dodoma wewe bila roma tusingekujua

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah5626 6 лет назад +1

    Kwan kuna nn kati yenu maana sikueleweni mlivyotoka kutekwa tu sijaelewa maneno mengi km mna matatzo yawekeni live au km siri ungeeni tu nyny watoto wa kiume

  • @theonlydayonicedionis3294
    @theonlydayonicedionis3294 6 лет назад

    Hadi inaboa hii interview,km mtangazaj unapaswa kubadilk kwa interview km hizi usiforce kitu,,Sema Moni anafeli namkumbusha tuu baraka da prince alikuwa hvyo hvyo kuongea kavu kilichomtokea nahisi anakijua so chunga sana mdomo!! #usimsahau #mchizi ndo wengi tumekujua na tukaanza kukubal km unaweza sasa usijifanye wee ndo uko juuuuuu!!! Utapotea mashabik wa Roma ndo walokupandisha!! Narudia jifunze kupitia baraka da prince!! Nimemaliza.

  • @amosspongecake7513
    @amosspongecake7513 6 лет назад

    MON UMEZINGUAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

  • @xmathematics_
    @xmathematics_ 6 лет назад

    Binafsi Naon kuna kitu kilitokea ndo kikatibua kila kitu...... Siunajua siri ya mtungi.... Kila mtu huwa yupo sahihi... U never know Roma alizingua nn.... Au walizinguana aje.... EATV km mnataka Habari bas tafuteni habari na sio kutoa matukio

  • @iamzillahx6901
    @iamzillahx6901 6 лет назад

    Mwandishi wa habari ana maswali ya kisingeli na taarabu hajajipanga kufanya interview ya hiphop... Pia analazimisha mtu aseme kitu ambacho haitaji kukiongelea then msanii apanic na amjibu vibaya ama kumtusi mwisho wa siku aseme wasanii hawana nidhamu na kumbania airtym sabab ya maswali ya kichoko!!! Na asie mfahamu Moni Wa Centralzone atakuwa kapevuka mwaka jana

  • @suleishdishelectronics4140
    @suleishdishelectronics4140 6 лет назад +1

    moni punguza kuwa mnafiki mzee baba

  • @nassorchollo2406
    @nassorchollo2406 6 лет назад

    Mshamba moni fala ww

  • @mussaomaristambuli8471
    @mussaomaristambuli8471 6 лет назад

    kaza buti baba mziki hauna mwenyewe ww mkali tu
    👟👟👟

  • @paulmushi9078
    @paulmushi9078 6 лет назад

    amuulize Baraka da prince boya huyu jamaa

  • @simanjilo5
    @simanjilo5 6 лет назад

    maskin anacho koseaga zalau anazo zifanya pindi akipata kitu

  • @Ma-gf3ht
    @Ma-gf3ht 6 лет назад

    Kaka wa watu kashasema msimuulize habar za mtu mwingine hamtak kuelewa sometimes mjifunze kuheshim maamuz ya mtu nyie ndo mnasababisa watu wawazungumzie vby watu wengine

  • @emmaleejr6670
    @emmaleejr6670 6 лет назад

    EATV wachocheziiii

  • @peterchepe5256
    @peterchepe5256 5 лет назад

    Achaneni na Mon nyie aliemtoa ni ranga

  • @emanualkadutu4130
    @emanualkadutu4130 6 лет назад

    Fala huyo mtoto hana fadhira

  • @sadickd_knuckle5456
    @sadickd_knuckle5456 6 лет назад +2

    Watu kama hawa wanachosha hata nimefuta nyimbo na wala sitaidownload video, hayupo na hekima hata kidogo

    • @gbbuku4714
      @gbbuku4714 6 лет назад

      ana mashabiki milion kwahyo kwa boya ka ww kujiengua haitusumbui

  • @josseybourneventure4232
    @josseybourneventure4232 6 лет назад

    hivyo vichwa viwil.rostam utasubir miaka 200 mini

  • @petromwinyi4955
    @petromwinyi4955 6 лет назад

    presenters Wa bongo wanachangia kwa asilimia kubwa bifu za,wasaniii, kumbe ukiwa presenter unakua mmbea ,mbona Wa nchi zngne hawako ivo nyie mnasomea wapi izo professional zenu?

  • @mosesalex128
    @mosesalex128 6 лет назад +2

    Moni hakuna kitu huna busara broh utaisha kabla ya muda wako heshimu wakubwa zako broh

  • @samuelmelchior2664
    @samuelmelchior2664 6 лет назад

    eti Leo unamdiss Roma choko we

  • @ibrahimmtz5200
    @ibrahimmtz5200 6 лет назад

    Moni cho.......... Hauna mipango

  • @franceally8390
    @franceally8390 6 лет назад +1

    mbona anawasiwasi anageuka geuka tuu ovyo

  • @steveclement8565
    @steveclement8565 6 лет назад

    makuma nyie moni mkali

  • @kyambnation943
    @kyambnation943 6 лет назад

    We n xhoga c ndyo

  • @josephishebabi1086
    @josephishebabi1086 6 лет назад

    go ommie go hommie tushaelewa wanaelewa

    • @sallumhassani6341
      @sallumhassani6341 6 лет назад

      unayumba ww, eti kanitoa langa mbona ali vyo kua hai hujawahi kusema,ww kubali kataa Roma ndo mkali wako upo apo dogo

  • @gezaulole7988
    @gezaulole7988 6 лет назад +1

    Boya kweli huyu dogo

  • @felixbalingilaki5237
    @felixbalingilaki5237 6 лет назад

    Heee

  • @kitangacharles5818
    @kitangacharles5818 6 лет назад +1

    We mkuda tu

  • @gbbuku4714
    @gbbuku4714 6 лет назад

    no one km moni roma boya

  • @stevenromanos5290
    @stevenromanos5290 6 лет назад

    Mnapromote beef watangazaj unakomalia swali ambalo hatak kujib.......

  • @gbbuku4714
    @gbbuku4714 6 лет назад

    moniii ronaldooo

  • @graphixmaster6146
    @graphixmaster6146 6 лет назад

    Toa credit panapostahili hata kama huyo mtu huelewani naye tena, binafsi nimekujua na kuanza kukufatilia baada ya collabo na Roma

  • @leskaryjoram8832
    @leskaryjoram8832 6 лет назад

    Unamlazimisha kitu ataki muulize maswali mbona yako mengi tu mtangazaji jirekebishe

  • @shabilbosco8144
    @shabilbosco8144 6 лет назад

    Jamaa yuko sahihi uyu anaemhoj ndo boya mtu kashaonesha hatak ayo maswal bas ndo kumkomalia apoapo huo ni umaku

  • @emmaleejr6670
    @emmaleejr6670 6 лет назад

    Anaehojii anaznguaa...anampanikisha jamaa...hatujui kapanic na nini abt Him

  • @tomsylvanus4590
    @tomsylvanus4590 6 лет назад

    Zero think capacity Moni bhana😂😂

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa6809 6 лет назад

    Roma sio saizi yako unafeli wewe choko

  • @thebenzclassic1905
    @thebenzclassic1905 6 лет назад

    Duh😀

  • @ludwickernest3588
    @ludwickernest3588 6 лет назад

    huyu jamaa ña yy bhuana mtangazaji wote yale yale aliyosema msema kweli Trump

  • @mayagillamussa5480
    @mayagillamussa5480 6 лет назад

    maswali yakiuchonganishi hayo hayajengi

  • @idayakey6886
    @idayakey6886 6 лет назад

    mtagazaji mtagazaji anakosagani na yy do kaziyake

  • @sharifanzowa8950
    @sharifanzowa8950 6 лет назад +1

    mhmh me simjui huyu namjua Roma tu

  • @harunahussein6717
    @harunahussein6717 6 лет назад

    Eatv mnapromote beef daily

  • @Rastamuslim
    @Rastamuslim 6 лет назад +1

    mziki wa roma auwez uyo boya

  • @bedsonjohn2051
    @bedsonjohn2051 6 лет назад

    Ushamba

  • @josseybourneventure4232
    @josseybourneventure4232 6 лет назад

    huyo moni hana lolote hatumjui hata

  • @rafaelnicolaus7023
    @rafaelnicolaus7023 6 лет назад

    hicho kichwa ni zero brain

  • @suleishdishelectronics4140
    @suleishdishelectronics4140 6 лет назад

    moni punguza kuwa mnafiki mzee baba

  • @nikiflavour613
    @nikiflavour613 6 лет назад

    wa gogo bana tabu

  • @Hauleshabby
    @Hauleshabby 6 лет назад +1

    jamaa fala kweli

  • @ajosmadyalo1863
    @ajosmadyalo1863 6 лет назад

    wewe unae sema humjui Mon anae kujua wewe nani acha jamba jamba za kuku

  • @Purity493
    @Purity493 6 лет назад

    Waaaaaah!!! Hii kali