BILIONEA GIRDHAR: MWANZILISHI wa ESTIM "ALIYEJENGA HOTEL VERDE,PSPF TOWER,UHURU HEIGHT, VIJANA TOWER
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- #dullysantz #santzmedia #alhamdulillah #cloudsmedia #efm #exclusive #history #millardayo #simulizinasauti #wasafimedia
ESTIM NI kampuni Ambayo inajishughulisha na maswala ya Ujenzi na miundombinu mbalimbali vilevile Estim nikampuni kubwa Sana kampuni Ambayo inamatawi mengi
hata hivyo Estim Imekuwa msaada mkubwa katika Jamii ya kitanzania Imeweza kutoa Ajira mbalimbali Kwa vijana na hata wazee Kwa kuwalipa mishahara mizuri na mikubwa wafanyakazi wake
Katika kampuni Namba 1 ya Ujenzi mzuri, Estim inawezekana ikasimama pia kwenye hiyo nafasi ya kwanza kwanza kutokana natenda nyingi Alizowahi kuzipata kutoka serikalini pamoja na watu binafsi "Utendaji wake katika kuboresha kazi yake imempa Asilimia nyingi kuweza kuaminika na watu
Siwezi nikamaaliza uhondo wote ukiitaji kuijua Vizuri Estim Tafadhali Tazama video hii mpaka mwisho yapo mengi tumeyaelezea kuhusu Estim na mwanzilishi wa kampuni hii na hata kutoa njia alizoweza kutumia mpaka kampuni yake kuwa kubwa Nchini Tanzania nahata nje ya Tanzania kutokana na sifa alizojizolea
Kampuni hii ni nzuri ina.mifumo mizuri
Jamaa mjanja sanaaa. Aliomba uraia wa Kenya akapewa, sasa ni raia wa Tanzania tena. Si ajabu ameshakana uraia wa Kenya.
Smart sana jamaa, ni mwendo wa hela tuu.
Mjini mipango
Naomba nafasi katikA kampuni yenu ni kibarua kwA majina anaitwa said nipo kisauni zanzibar