Allahuakibaru allahuakibaru allahuakibaru. yah rabbi mjalie shkh wetu mwisho ulio mwema. Yah Allah tusamee sisi wanawake maana umetupa stara na kutueshimisha ila sisi tume kuwa wakaid katika maamrisho Yako. Yah Rabbi tuongoze katika kher zako 🤲🤲🤲😔
LAA HAWLA WA LAA QUWATA ILA BLLAHI.YAA RABB WAHURUMIE MAMA ZETU KAMA WALIVO TUHURUMIA TUKIWA WADOGO.KWA WALE AMBAO WALITANGULIA MBELE YA HAQQ YAA RABB NAKUOMBA KWA HURUMA WAKO UWASAMEHE MAPUNGUFU YAWO NA UWAINUWE KWENYE DARJA,JANNATUL FIRDAUS IWE MAKAO YAO YA MWISHO.NA SISI WANGALIKI HAI UTUWEZESHE YAA RABB KUWA WAZAZI WEMA KWA WATOTO HAWA UNAOTURUQQU...ALLAHUMMA AAMIIN YAA RABB
Allah akulinde ww pamoja na familia yako na awarehem wazazi wako
Allah akuhifadhi nawatu wasio jua thamani yako
Allahuakibaru allahuakibaru allahuakibaru. yah rabbi mjalie shkh wetu mwisho ulio mwema. Yah Allah tusamee sisi wanawake maana umetupa stara na kutueshimisha ila sisi tume kuwa wakaid katika maamrisho Yako. Yah Rabbi tuongoze katika kher zako 🤲🤲🤲😔
Amiin yarab
Jazakallah khayran
Yaa rabbi tuajalie tuwe watoto wema kwa wazazi wetu
Allah akulpe mema
Subahanallah ❤❤
Mashallah mada imefika pahali pake
LAA HAWLA WA LAA QUWATA ILA BLLAHI.YAA RABB WAHURUMIE MAMA ZETU KAMA WALIVO TUHURUMIA TUKIWA WADOGO.KWA WALE AMBAO WALITANGULIA MBELE YA HAQQ YAA RABB NAKUOMBA KWA HURUMA WAKO UWASAMEHE MAPUNGUFU YAWO NA UWAINUWE KWENYE DARJA,JANNATUL FIRDAUS IWE MAKAO YAO YA MWISHO.NA SISI WANGALIKI HAI UTUWEZESHE YAA RABB KUWA WAZAZI WEMA KWA WATOTO HAWA UNAOTURUQQU...ALLAHUMMA AAMIIN YAA RABB
Amin
Allahummah Amiin