ATEMBEA NA BABA NA MTOTO WAKE NA KUISHI NAO NYUMBA MOJA /MTOTO ASEMA BABA HAJAOA/MAJIRANI WAJA JUU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • #geahhabibu #GeahTv

Комментарии • 370

  • @rikekikonyo2265
    @rikekikonyo2265 2 года назад +31

    Mwanamke na huyo mtoto hana akili, Mtoto huwezi kupita alipopita Baba ako hata kama, Baba nae hana maamuzi hapo fukuza Mwanamke na mtoto

  • @alfarsialfarsi2754
    @alfarsialfarsi2754 2 года назад +20

    Ndio maana ikaambiwa zinaa haramuuuu. Allah Alijuwa itakuwa ivi

  • @zabiyafahmikhamis4873
    @zabiyafahmikhamis4873 2 года назад +16

    Asa na uyo baba si mtu mzima anawacha kutubia anahangaika na zinaa ,, ona anavodhalilika mtu mzima Allah atupe mwisho mwema

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 2 года назад +5

    Subhannallah innallillah wainnaillahi rajiun
    Umma wa muhammad tweelekea wapi jamani? Yarabi nijaalie mwisho mwema mm na waislam wenzangu amina thumma amina 🤲🏼

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 2 года назад +11

    SubhanAllah, Watauana Hawa,Huyu Baba Laana Hata Bint Zake Aeza Wa Chana.Eti Ni Kawaida 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️.Huyu Mama Jirani Azidishe Maombi,Wasije Mdhuru.

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 года назад +6

    cha msingi wasikae kwenye nyumba ya huyo mzee wakapange nyumba nyingine waone maisha ya kupanga

  • @julianajacksoni4275
    @julianajacksoni4275 2 года назад +12

    Huyo kijana ajielewi umtukane mama wa watu et mchawi mnafik.. Kwa uchafu wao wanaofanya.. Kweli una share mwanamke na baba.. Duh

    • @juliethhouseofdesigns147
      @juliethhouseofdesigns147 2 года назад

      Anaona aibu hana cha kusema anaona amtukane mama wa watu angalau apunguze maumivu ya ukweli aliopewa

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 2 года назад +7

    Mtihani subhanallah mungu atunusuru ila mwanamke ndio kivuruge

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 2 года назад +9

    Ukiwa sio mtu wakuswali au kusali lazima ufanye vitu vya ajabu maana unahofu ya Mungu Dah aibu

    • @mwanaishazain7985
      @mwanaishazain7985 2 года назад

      Wanaosali pia wanafanya hivyo pia. Hiyo ni tapia ya kishetani

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty 2 года назад

      @@mwanaishazain7985 wanasali au kuswali kwa kupeluzi mtu ambaye yupo karibu sana na Mungu Na ofu hawezi fanya izi mambo

  • @levinamaico7064
    @levinamaico7064 2 года назад +18

    Wanawake tunatamaaa sana unaweza ukatembea na ukoo mzima nawala usione aibu dunia imeisha hiii

  • @maiyakassim4864
    @maiyakassim4864 2 года назад +5

    SUBHANALLAH 🙆‍♀️🙆‍♀️ huunimwisho wa DUNIANI🤔🤔

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 года назад +10

    Subuhanallah. Mtihani Dunia ya mwisho hiyo

  • @maryamrashid2451
    @maryamrashid2451 2 года назад +4

    Mungu amekataza zinaa kwa sababu iyo iyo

  • @sasamama7934
    @sasamama7934 2 года назад +8

    Astghafur allah mwisho wa dunia ndomani corona haiishi kwa ghadhab za allah

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 2 года назад +13

    Bongo vituko haviishi ndiyo maana bongo watu hawana stress kama huku majuu kuko kimya mpaka watu tuna msongo wa mawazo na stress

    • @janeschurmanns7364
      @janeschurmanns7364 2 года назад +1

      Tutakoma na baridi tu🤣🤣🤣

    • @theopistachialo10
      @theopistachialo10 2 года назад +1

      @@janeschurmanns7364 😂😂mkome situnaenjoy joto na ubuyy

    • @janeschurmanns7364
      @janeschurmanns7364 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @rhodacute4653
      @rhodacute4653 2 года назад

      @@janeschurmanns7364 Acha tu Baridi baridi🇩🇪, hakuna mashost yani kushinda ndani tu khaa nimeimiss nyumbani walah😄😄😄

    • @janeschurmanns7364
      @janeschurmanns7364 2 года назад

      @@rhodacute4653 shauri yako mwenzio week ijayo napaa mpaka mwisho wa January ndio narudi😅😅😅

  • @judithmelvinealuchio8968
    @judithmelvinealuchio8968 2 года назад +4

    kifo kipo njiani hapo kwa kweli wanawake wengine wanaaribia alina dada na akina mama sifa anyway mungu awafumbuwe macho huyo baba na mwanae🇰🇪🇪🇺💞

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 2 года назад +4

    Mwisho wadunia huuu subhanallah

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 года назад +3

    Wote 3 wanalaaana hao

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 2 года назад +6

    Hayo sio ya familiya ni ya kijamii.

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 года назад +4

    Subuhanallah jamani mbona duniya tunaipeleka kasi wanawake tupunguze tamaaa hiii kali

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 2 года назад

    subhanallha mtihani huu kwakweli tunapoelekea uku Mungu mwenyewe ndo anajua kwakweli mtihani ata kama baba ajaowa aijalishi

  • @hdggu6792
    @hdggu6792 2 года назад +5

    Huyo dada niwale malaya wasiokuwa nahaya hata baba yake mzazi yupo ladhi kutembea nae

  • @josephmussa8346
    @josephmussa8346 2 года назад +2

    Ndo maana mvua hainyeshi kwa laana za wanadam mungu anachukia

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 2 года назад

      LoI mvua imegoma karibia Dunia nzima watu wanaogp Corona kuliko Mungu

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 2 года назад +3

    Utuonyeshe sura bwana watu kama hao wasio na haya waonyeshe sura zao ili wajue ubaya wao.

  • @sukariyao6537
    @sukariyao6537 2 года назад +2

    Daah Geha unawazibaga sura ya nini hao waazinifu waache open tumjue huyo bushoke 😂😂😏

  • @adamumjomba82
    @adamumjomba82 2 года назад +3

    Huo ni upuuzi Na uhuni mtupu mtoto akikua lazima ahame sio anaishi Hapo hapo Na Baba yake natokea yake Ndio hayo mwisho yanaweza Tokea mauaji

  • @oscaroscaroscar7974
    @oscaroscaroscar7974 2 года назад +2

    Kwa kweli ata mambo wana yafanya wanyama na wazungu kwetu wa Africa hii ni Aibu na si destuli yetu wa Africa wa Tanzania pia

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 2 года назад +1

    Huyo bibi mbona kalishika bago sanaaa baba alikuwa mzigo wake nini ? Kwa mchezo wa kujificha walicheza wote nini ?

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 2 года назад +1

    Mmmhu kweli dunia inaenda kwa kasi sana.Hapo tusubirie mrejesho wa kifo tu hakuna kingine.

  • @superwomen6506
    @superwomen6506 2 года назад +8

    Tutafika nyumbani tukiwa tumechoka sana😢

    • @joycemaige8683
      @joycemaige8683 2 года назад

      😂Yani kama mazuli jmn palapanda likilia jmn

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 2 года назад +2

    Toto halina adabu hilo, laana itamkuta . Huyo mwanamke ameloga kizazi chake asishangae kuzaa mbuzi.

  • @king-rr8oc
    @king-rr8oc 2 года назад +1

    Daaah kwer hillIi pcha LA kivitta mungu atusaidie tu kwakwer

  • @AshaAsha-ng1ug
    @AshaAsha-ng1ug 2 года назад +6

    Msibaaaaaa😭😭😭😭😭

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 2 года назад +17

    uswahilini kuna videmu kibao iweje mtu ugombee demu na dingi yako? Halafu unaishi na kula ugali wa dingi? huhami?

  • @vero57
    @vero57 2 года назад +5

    Mpelekeni kwa serikali huyo dada, mchafu sana huyoo,

    • @juliejulie8704
      @juliejulie8704 2 года назад +1

      Na apimwe afya yake wengine wana vvu anasambaza ugonjwa

    • @jamilajumaa2980
      @jamilajumaa2980 2 года назад

      Wote wana makosa kwa mtazamo wangu siri ya mtungi aijuae kata

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 2 года назад

      Hao wanaume je? Wao wasafi?

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 2 года назад +2

    Majirn na nyiye hayawahusu fanyen kazi si kukalia umbea tuu na Wanawak wenye tabia Kam hizi hebu achen si vizur

  • @Shuu.A
    @Shuu.A 2 года назад +6

    Mwanamke ni mshenzi ana tamaa nyingi umalaya umemzidi yeye ndio mkosa anamgombanisha baba na mwanawe pia..na nyie majirani waachieni hao weshenzi hata wakiuwana waache wauwane kazi kwao

  • @khadijahomankweliyamjahaya7421
    @khadijahomankweliyamjahaya7421 2 года назад +3

    Mmmmmmm!!!! Huyu dada nae kwanini kafanya hivo arafu huy mtoto wa huy mzee hana akili kwanini asihame hapo wakaishi kwingine sasa wamuaache huyu baba wataauwana

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 2 года назад +2

    Dunia hii. Sijui. Inaelekea wp jamqn unapata wap. Ujasir wa kuwavulia mtu na. Bbaa yake. Nguo ya ndan jamqn. Wanawake tuwe na stara tutaangalia. Vibaya looooh!!!!! 🙆‍♀️ 🙆‍♀️ 🙆‍♀️ 🙆‍♀️ Mungu weeeeee. Tunusuru sie. Viumbe wako hasa wanawake. Ibriss katutawala. Sie 😭😭😭😭😭

  • @evanchimbi7121
    @evanchimbi7121 2 года назад +2

    Da maisha haya🙄 mbinguni tutafika tumechoka sana da geah 🤔

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 2 года назад +1

    Semaa ili zee linaonekanaa limepewa matakoooo ..yaan njins linavyoelezaa linaonekana ni lifirajii ..ndo maaana aliiishii mke

  • @apichitseso8435
    @apichitseso8435 2 года назад +1

    Huyo mwanamke pia afikrii kwani ajui kama sio vizuri

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 2 года назад +3

    Subhan'Allah Subhan'Allah Subhan'Allah 😭😭😭💔

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 года назад +3

    Hayo ndo matokeo ya zinaa

  • @muzneali387
    @muzneali387 2 года назад +2

    Fimbo ya ngomani huachwa ngomani Subiri na mjukuu ataingia hapo hapo

  • @liciouscharles3370
    @liciouscharles3370 2 года назад +2

    Hawa nao waache watu na maisha Yao....kama hawafanyi wao inawauma nini..kumshushia heshima kwan inampunguzia nn huyo mzee..wao wanaongea hapooo wenzao wapo ndani huko wanapika..kama huyu mtu mzima mwenye dera jekundu yeye ndo anajitia aibu...maisha ya watu waachage

    • @mwanaishamkazi7870
      @mwanaishamkazi7870 2 года назад

      Lakn sio jambo zur kwenye jamii

    • @irhamseif
      @irhamseif 2 года назад +1

      Wangegombania ndani kama ni yao wakiuana je wanazikana wao au haohao majiran watawastiri

  • @kilizajumainn826
    @kilizajumainn826 2 года назад +1

    Hii family haijielew na cku zote mwanaume cyo malaya huyo mwanamke mchafu aangalie Kizazi Chake kitapitia ivyoivyo

  • @reemamwangi9192
    @reemamwangi9192 2 года назад +2

    Lazima majibizano dhambi kama hizi mwenyezi mungu huadhibu waliomo nawasiokuwemo

  • @winnermariah
    @winnermariah 2 года назад +2

    DUNIA YASHIRAGA

  • @moonaamli6835
    @moonaamli6835 2 года назад +1

    Subhanaallaah hii sasa funga mwaka khaaaaa

  • @khadijaa815
    @khadijaa815 2 года назад +4

    Akhera kuna mambo

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 года назад +3

    🤣🤣🤣🤣 kweli usipo ona hili, utaona lingine

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 2 года назад +2

    Kajala na Paula na harmo

  • @mjukuuumachoz1599
    @mjukuuumachoz1599 2 года назад +4

    Huyu mwanamke mchawi haiwezekan jamn😳

    • @arlife9489
      @arlife9489 2 года назад

      Maisha ya walevi hayo jmn

  • @blandinagodfrey9825
    @blandinagodfrey9825 2 года назад +10

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂I love bongoo😍😍😍😍

    • @janeschurmanns7364
      @janeschurmanns7364 2 года назад +2

      Kwa kweli ni nchi inayotoa stress 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 2 года назад +1

      Asante sana Tz, huu waitwa mnato, hallooooo 💕❤️💖🖤💔mungu atunusuru na hii Dunia.

  • @humairaothmn8465
    @humairaothmn8465 2 года назад

    Jua kali hali ngumu vyuma vimekaza vinasababishwa na matendo ya waja....allah tupe mwisho mwema

  • @salharunguma4210
    @salharunguma4210 2 года назад +1

    Inamana hapo mtaan wanaoumia nihao majiran wawili tu?cbure utakuwa kuna kitu nyuma yake mana haiwezekan mtaa mzima wacliongeelee hilo waliongelee hao viumbe wawili.

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 года назад

    Wanawake wa sasa yupo mmoja external katembea na kaka na mdogo tena wote wapo garage na huyo dada anauza chakula kwa mafundi hao ndugu wapo ofisi moja

  • @husnamikugo8631
    @husnamikugo8631 2 года назад

    Inalillah wainalillah rajiun mwisho wa dunia mwenyezi mungu tupe mwisho mwema inshallah

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 2 года назад +3

    Labda kweli kijana ndo alianza
    Ndio maana baba analegeza

  • @matridalule5614
    @matridalule5614 2 года назад +4

    Safi mwanamke mwenzetu katuwakilisha😂😂😂😂

    • @haskao77
      @haskao77 2 года назад +2

      Nilikuwa natafita hii comment. Kwanza huyo kijana sio mwanae. Wanaume wanatembea na watoto wa kuwazaa hatuoni majirani wakiingilia

    • @jamilajumaa2980
      @jamilajumaa2980 2 года назад

      Nacheka kama mazuri muwakikishi wa chama gani huyo

  • @NuruZebedayombise-ie5zb
    @NuruZebedayombise-ie5zb 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂 Mungu anisamehe huyu mama anaeelezea bila huoga

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 2 года назад +1

    Huyo Dada ni mbwakokooo! Halioni aibu?kuchanganya baba na mtoto

  • @ahlamverynice.3605
    @ahlamverynice.3605 2 года назад

    Makubwa khah #Ahlamverynice #Ahlamverynice kuna new post kwaajili ya Christmas family 🎄 ♥
    Karibuni ♨️ #Ahlamverynice 👌

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 2 года назад +1

    SubhanAllh jamani baba kanogombana na mtoto wake kisa mwanamke duu hiyo kali jamani mabusu mbele ya baba

    • @abdullahwaziri5499
      @abdullahwaziri5499 2 года назад

      Mtoto angetakiwa aweke heshima kwa mzee wake hiyo ni laana kubwa mno yule iwe isiwe na mama yake tuu

    • @dottohamisi9844
      @dottohamisi9844 2 года назад

      @@abdullahwaziri5499 hatali sana kaka

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 2 года назад

      Allah atupe mwisho mwema na hii dunia🤲

    • @dottohamisi9844
      @dottohamisi9844 2 года назад

      @@kiehbhzh7044 Amina

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 2 года назад +1

    Akimtimua huyo mwanamke huyo bb mwenye nyumba siku akitaka goma atakuwa hapati tena ndio maana kaona awaache tu ili na yy apatiapo

  • @brunonamanga4768
    @brunonamanga4768 2 года назад

    Au anazo mbili moja anampa Baba moja mtoto. Au tamu ya asali maana hivyo vitu havitabiriki

  • @Maryam-yt8lw
    @Maryam-yt8lw 2 года назад

    Siku moja utapigiwa cm washa uwana ao wazinifu Allah atuhifazi atusamehe makosa yetu

  • @brunonamanga4768
    @brunonamanga4768 2 года назад

    We Mama mwenye Dera uwe na huyo Mzee ili atoke pale

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 года назад +1

    Kimeumana 🤣🤣🤣wote hao wamenogewa na hy mama

  • @haskao77
    @haskao77 2 года назад +3

    Ila watu wa uswahilini kazi wanayo. Sasa hayo yanawahusu nini!!

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 2 года назад +2

      Ni hatari kwa jamii...wewe mjinga au mpumbavu???unakubali ushenzi huu uenee ktk jamii??!

  • @kabintmpase1544
    @kabintmpase1544 2 года назад +1

    Uyo mwanamke afai ata mtt angemuacha tu amfai mtt wala baba

  • @allysalehal-jaber4822
    @allysalehal-jaber4822 2 года назад

    Ningekuwa mm nina mamlaka, ningesimamisha huo mradi wa mwendokasi uishiye Mtoni Mtongani tu.

  • @ahmedmalick2862
    @ahmedmalick2862 2 года назад +1

    Yaan baba anaishi na mwanae zinaa kama jambo la kawaida tuu

  • @AshaAsha-ng1ug
    @AshaAsha-ng1ug 2 года назад

    Lazma Sheria ichukuliwe,,,ni mafunzo mabovuuu kwakizazi chetu chaleo ambalo ni taifa lakesho

  • @azizakajembe6514
    @azizakajembe6514 2 года назад

    Uyo mzee c aje kwangu nmlee nle mafao ayo mjumba kama huyo aje afe mapema kwa presha na wivu kisa nn wakati waganga njaa tupo

  • @larickmtui2852
    @larickmtui2852 2 года назад

    Mnamshangaa mwanamke kula na baba na mtoto mbona hamsemi wababa wanaokula mama na mtoto?

  • @octavianmlawa795
    @octavianmlawa795 2 года назад

    Tuna ingilianaga na wakina baba waa kitaaa uwa tunatema mzigo sasa baba mzaz mbona hatar....

  • @christsndushondi51
    @christsndushondi51 2 года назад +2

    Huyu mama aye anaingilia mambo ya watu yanawausu nini

  • @toma634
    @toma634 2 года назад +1

    Majirani jasho linawatoka khaa lazima mpige kelele kuna jinsi ya kuongea lkn si hivyo huo ushabiki maandiz

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 2 года назад +1

    Baba na mtoto wanagombea mke duu huyo kijana angeondoka hapo wakaishi semu nyingine

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 2 года назад +1

    Mijitu kama hii ndio inatuharibia saikologi za watoto wetu mitaani tunamoishi, unalea mtoto wako awe na adabu mara paa kitaani kuna mashetani kama hawq

  • @asmaathuman3803
    @asmaathuman3803 2 года назад +2

    Kwakweli sio kitu kizuli mmh dunia inaenda wapi hii iyo mtu akitembea na lafiki 2 dunia unaona inakuelemea sembuse baba na mtoto uyo mwanamke ndy mshenzi😏😏😏😏

    • @selinajohn536
      @selinajohn536 2 года назад

      Kabisa yaani,,, wakulaumiwa hapa ni mwanamke,,,,, mwanamke ni mshenzi wa tabia

  • @AshaAsha-ng1ug
    @AshaAsha-ng1ug 2 года назад

    Ivi jaman ,nimama mlez au,,,,mana hata ingekua mlez Bado haiqwzekaniiiiiii,msiba huu jaman,astaghafrulah,huyo mama akil zake ziko chin ya nyayo zakeeeeee

  • @mundhirseif7492
    @mundhirseif7492 2 года назад +3

    Mama wa kambo ni pisi ya kwenda🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 2 года назад

    Cha msingi na cha sekondari tumrudie Mungu mbinguni kuzuri jamani

  • @abuibra
    @abuibra 2 года назад +1

    Wewe unasema tu,mapagani wanapandana kama mbuzi.

  • @pigapesa9352
    @pigapesa9352 2 года назад +1

    Do!

  • @seiflugendo5043
    @seiflugendo5043 2 года назад

    We mpigapicha mbona huwaoneshi nawewe ni mnafiki

  • @paulinamoseti7509
    @paulinamoseti7509 2 года назад

    hiyo kali topo topo kacheza topo kuku likanxaa yai yai lakanaxaa kuku

  • @ojasoojaso9479
    @ojasoojaso9479 2 года назад

    Wazaramo hawajawahi kataa hela wakiona mwenye hela watakuja ukoo mzima wala hawana haya na hili kwao ni kawaida tu kwani wako kibiashara zaidi.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 2 года назад

    Ninamtazama black beauty tu mwenye costa ya rangi nisiyoijua

  • @Oman-nu2kc
    @Oman-nu2kc Год назад

    Hao watauwana huyo baba anakitu moyoni uyo dadaatoke haraka

  • @halimaomari7589
    @halimaomari7589 2 года назад +2

    Huyo mwanamke ndiye hana adabu, angebakia na mmoja wao na sio wote

  • @aminakasim1198
    @aminakasim1198 2 года назад +1

    Mungu atuongoze jamani Astaghafirullah

  • @marcynhumbi3534
    @marcynhumbi3534 2 года назад +4

    Huyu baba hana akili ndo maana hata mtoto wake anamdharau. Eti mambo ya familia

    • @preciousjohn9405
      @preciousjohn9405 2 года назад +1

      Tambua huyu kijana ana nguvu huyu baba hataweza kupigana lkn pia kufukuza mtt kisa mwanamke Alie jaa umalaya ni kz ngumu ukivaa hivyo viatu

  • @MrNdanguza
    @MrNdanguza 2 года назад

    Ukimwi ,umaskini ,majungu ,chuki duh Africa basi itabaki kuwa Hivi mpaka lini .

  • @tamaraseff.9707
    @tamaraseff.9707 2 года назад

    Alaf uyu bb pia anaogea vle kaumwa na io busu la adharani.😃😃😃😃

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 2 года назад +2

    Laana tulwai 😭

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 года назад

    Waacheni atakae muwahi mwenzie mmoja ataenda jela mmoja kaburini tz kawaida cku izi