Subhannallah innallillah wainnaillahi rajiun Umma wa muhammad tweelekea wapi jamani? Yarabi nijaalie mwisho mwema mm na waislam wenzangu amina thumma amina 🤲🏼
Mwanamke ni mshenzi ana tamaa nyingi umalaya umemzidi yeye ndio mkosa anamgombanisha baba na mwanawe pia..na nyie majirani waachieni hao weshenzi hata wakiuwana waache wauwane kazi kwao
Mmmmmmm!!!! Huyu dada nae kwanini kafanya hivo arafu huy mtoto wa huy mzee hana akili kwanini asihame hapo wakaishi kwingine sasa wamuaache huyu baba wataauwana
Dunia hii. Sijui. Inaelekea wp jamqn unapata wap. Ujasir wa kuwavulia mtu na. Bbaa yake. Nguo ya ndan jamqn. Wanawake tuwe na stara tutaangalia. Vibaya looooh!!!!! 🙆♀️ 🙆♀️ 🙆♀️ 🙆♀️ Mungu weeeeee. Tunusuru sie. Viumbe wako hasa wanawake. Ibriss katutawala. Sie 😭😭😭😭😭
Hawa nao waache watu na maisha Yao....kama hawafanyi wao inawauma nini..kumshushia heshima kwan inampunguzia nn huyo mzee..wao wanaongea hapooo wenzao wapo ndani huko wanapika..kama huyu mtu mzima mwenye dera jekundu yeye ndo anajitia aibu...maisha ya watu waachage
Inamana hapo mtaan wanaoumia nihao majiran wawili tu?cbure utakuwa kuna kitu nyuma yake mana haiwezekan mtaa mzima wacliongeelee hilo waliongelee hao viumbe wawili.
Mijitu kama hii ndio inatuharibia saikologi za watoto wetu mitaani tunamoishi, unalea mtoto wako awe na adabu mara paa kitaani kuna mashetani kama hawq
Kwakweli sio kitu kizuli mmh dunia inaenda wapi hii iyo mtu akitembea na lafiki 2 dunia unaona inakuelemea sembuse baba na mtoto uyo mwanamke ndy mshenzi😏😏😏😏
Ivi jaman ,nimama mlez au,,,,mana hata ingekua mlez Bado haiqwzekaniiiiiii,msiba huu jaman,astaghafrulah,huyo mama akil zake ziko chin ya nyayo zakeeeeee
Mwanamke na huyo mtoto hana akili, Mtoto huwezi kupita alipopita Baba ako hata kama, Baba nae hana maamuzi hapo fukuza Mwanamke na mtoto
Levina my name sake
Ndio maana ikaambiwa zinaa haramuuuu. Allah Alijuwa itakuwa ivi
Asa na uyo baba si mtu mzima anawacha kutubia anahangaika na zinaa ,, ona anavodhalilika mtu mzima Allah atupe mwisho mwema
Subhannallah innallillah wainnaillahi rajiun
Umma wa muhammad tweelekea wapi jamani? Yarabi nijaalie mwisho mwema mm na waislam wenzangu amina thumma amina 🤲🏼
SubhanAllah, Watauana Hawa,Huyu Baba Laana Hata Bint Zake Aeza Wa Chana.Eti Ni Kawaida 🙆♀️🙆♀️🙆♀️.Huyu Mama Jirani Azidishe Maombi,Wasije Mdhuru.
cha msingi wasikae kwenye nyumba ya huyo mzee wakapange nyumba nyingine waone maisha ya kupanga
Huyo kijana ajielewi umtukane mama wa watu et mchawi mnafik.. Kwa uchafu wao wanaofanya.. Kweli una share mwanamke na baba.. Duh
Anaona aibu hana cha kusema anaona amtukane mama wa watu angalau apunguze maumivu ya ukweli aliopewa
Mtihani subhanallah mungu atunusuru ila mwanamke ndio kivuruge
Ukiwa sio mtu wakuswali au kusali lazima ufanye vitu vya ajabu maana unahofu ya Mungu Dah aibu
Wanaosali pia wanafanya hivyo pia. Hiyo ni tapia ya kishetani
@@mwanaishazain7985 wanasali au kuswali kwa kupeluzi mtu ambaye yupo karibu sana na Mungu Na ofu hawezi fanya izi mambo
Wanawake tunatamaaa sana unaweza ukatembea na ukoo mzima nawala usione aibu dunia imeisha hiii
Nibaadhi cyo wote, ni wasio kuwa na maadili..wala hofu ya MUNGU .
Sio wanawake tu na wanaume je umewasahau
@@mariamgodfrey53 Hahaha 🤣
SUBHANALLAH 🙆♀️🙆♀️ huunimwisho wa DUNIANI🤔🤔
Subuhanallah. Mtihani Dunia ya mwisho hiyo
Mungu amekataza zinaa kwa sababu iyo iyo
Astghafur allah mwisho wa dunia ndomani corona haiishi kwa ghadhab za allah
Bongo vituko haviishi ndiyo maana bongo watu hawana stress kama huku majuu kuko kimya mpaka watu tuna msongo wa mawazo na stress
Tutakoma na baridi tu🤣🤣🤣
@@janeschurmanns7364 😂😂mkome situnaenjoy joto na ubuyy
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@janeschurmanns7364 Acha tu Baridi baridi🇩🇪, hakuna mashost yani kushinda ndani tu khaa nimeimiss nyumbani walah😄😄😄
@@rhodacute4653 shauri yako mwenzio week ijayo napaa mpaka mwisho wa January ndio narudi😅😅😅
kifo kipo njiani hapo kwa kweli wanawake wengine wanaaribia alina dada na akina mama sifa anyway mungu awafumbuwe macho huyo baba na mwanae🇰🇪🇪🇺💞
Mwisho wadunia huuu subhanallah
Wote 3 wanalaaana hao
Hayo sio ya familiya ni ya kijamii.
Subuhanallah jamani mbona duniya tunaipeleka kasi wanawake tupunguze tamaaa hiii kali
subhanallha mtihani huu kwakweli tunapoelekea uku Mungu mwenyewe ndo anajua kwakweli mtihani ata kama baba ajaowa aijalishi
Huyo dada niwale malaya wasiokuwa nahaya hata baba yake mzazi yupo ladhi kutembea nae
Ndo maana mvua hainyeshi kwa laana za wanadam mungu anachukia
LoI mvua imegoma karibia Dunia nzima watu wanaogp Corona kuliko Mungu
Utuonyeshe sura bwana watu kama hao wasio na haya waonyeshe sura zao ili wajue ubaya wao.
kabisa mwaya
😣😣
Daah Geha unawazibaga sura ya nini hao waazinifu waache open tumjue huyo bushoke 😂😂😏
Huo ni upuuzi Na uhuni mtupu mtoto akikua lazima ahame sio anaishi Hapo hapo Na Baba yake natokea yake Ndio hayo mwisho yanaweza Tokea mauaji
Kwa kweli ata mambo wana yafanya wanyama na wazungu kwetu wa Africa hii ni Aibu na si destuli yetu wa Africa wa Tanzania pia
Huyo bibi mbona kalishika bago sanaaa baba alikuwa mzigo wake nini ? Kwa mchezo wa kujificha walicheza wote nini ?
Mmmhu kweli dunia inaenda kwa kasi sana.Hapo tusubirie mrejesho wa kifo tu hakuna kingine.
Tutafika nyumbani tukiwa tumechoka sana😢
😂Yani kama mazuli jmn palapanda likilia jmn
Toto halina adabu hilo, laana itamkuta . Huyo mwanamke ameloga kizazi chake asishangae kuzaa mbuzi.
Daaah kwer hillIi pcha LA kivitta mungu atusaidie tu kwakwer
Msibaaaaaa😭😭😭😭😭
uswahilini kuna videmu kibao iweje mtu ugombee demu na dingi yako? Halafu unaishi na kula ugali wa dingi? huhami?
Unaujua utamu wewe
Aibu kubwa
Mpelekeni kwa serikali huyo dada, mchafu sana huyoo,
Na apimwe afya yake wengine wana vvu anasambaza ugonjwa
Wote wana makosa kwa mtazamo wangu siri ya mtungi aijuae kata
Hao wanaume je? Wao wasafi?
Majirn na nyiye hayawahusu fanyen kazi si kukalia umbea tuu na Wanawak wenye tabia Kam hizi hebu achen si vizur
Mwanamke ni mshenzi ana tamaa nyingi umalaya umemzidi yeye ndio mkosa anamgombanisha baba na mwanawe pia..na nyie majirani waachieni hao weshenzi hata wakiuwana waache wauwane kazi kwao
Mmmmmmm!!!! Huyu dada nae kwanini kafanya hivo arafu huy mtoto wa huy mzee hana akili kwanini asihame hapo wakaishi kwingine sasa wamuaache huyu baba wataauwana
Dunia hii. Sijui. Inaelekea wp jamqn unapata wap. Ujasir wa kuwavulia mtu na. Bbaa yake. Nguo ya ndan jamqn. Wanawake tuwe na stara tutaangalia. Vibaya looooh!!!!! 🙆♀️ 🙆♀️ 🙆♀️ 🙆♀️ Mungu weeeeee. Tunusuru sie. Viumbe wako hasa wanawake. Ibriss katutawala. Sie 😭😭😭😭😭
Da maisha haya🙄 mbinguni tutafika tumechoka sana da geah 🤔
Semaa ili zee linaonekanaa limepewa matakoooo ..yaan njins linavyoelezaa linaonekana ni lifirajii ..ndo maaana aliiishii mke
Huyo mwanamke pia afikrii kwani ajui kama sio vizuri
Subhan'Allah Subhan'Allah Subhan'Allah 😭😭😭💔
Hayo ndo matokeo ya zinaa
Fimbo ya ngomani huachwa ngomani Subiri na mjukuu ataingia hapo hapo
Hawa nao waache watu na maisha Yao....kama hawafanyi wao inawauma nini..kumshushia heshima kwan inampunguzia nn huyo mzee..wao wanaongea hapooo wenzao wapo ndani huko wanapika..kama huyu mtu mzima mwenye dera jekundu yeye ndo anajitia aibu...maisha ya watu waachage
Lakn sio jambo zur kwenye jamii
Wangegombania ndani kama ni yao wakiuana je wanazikana wao au haohao majiran watawastiri
Hii family haijielew na cku zote mwanaume cyo malaya huyo mwanamke mchafu aangalie Kizazi Chake kitapitia ivyoivyo
Lazima majibizano dhambi kama hizi mwenyezi mungu huadhibu waliomo nawasiokuwemo
DUNIA YASHIRAGA
Subhanaallaah hii sasa funga mwaka khaaaaa
Akhera kuna mambo
Cku ya kiyama patakua apatoshi
🤣🤣🤣🤣 kweli usipo ona hili, utaona lingine
Kajala na Paula na harmo
Huyu mwanamke mchawi haiwezekan jamn😳
Maisha ya walevi hayo jmn
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂I love bongoo😍😍😍😍
Kwa kweli ni nchi inayotoa stress 🤣🤣🤣🤣🤣
Asante sana Tz, huu waitwa mnato, hallooooo 💕❤️💖🖤💔mungu atunusuru na hii Dunia.
Jua kali hali ngumu vyuma vimekaza vinasababishwa na matendo ya waja....allah tupe mwisho mwema
Inamana hapo mtaan wanaoumia nihao majiran wawili tu?cbure utakuwa kuna kitu nyuma yake mana haiwezekan mtaa mzima wacliongeelee hilo waliongelee hao viumbe wawili.
Wanawake wa sasa yupo mmoja external katembea na kaka na mdogo tena wote wapo garage na huyo dada anauza chakula kwa mafundi hao ndugu wapo ofisi moja
Inalillah wainalillah rajiun mwisho wa dunia mwenyezi mungu tupe mwisho mwema inshallah
Labda kweli kijana ndo alianza
Ndio maana baba analegeza
Safi mwanamke mwenzetu katuwakilisha😂😂😂😂
Nilikuwa natafita hii comment. Kwanza huyo kijana sio mwanae. Wanaume wanatembea na watoto wa kuwazaa hatuoni majirani wakiingilia
Nacheka kama mazuri muwakikishi wa chama gani huyo
😂😂😂😂😂😂 Mungu anisamehe huyu mama anaeelezea bila huoga
Huyo Dada ni mbwakokooo! Halioni aibu?kuchanganya baba na mtoto
Makubwa khah #Ahlamverynice #Ahlamverynice kuna new post kwaajili ya Christmas family 🎄 ♥
Karibuni ♨️ #Ahlamverynice 👌
SubhanAllh jamani baba kanogombana na mtoto wake kisa mwanamke duu hiyo kali jamani mabusu mbele ya baba
Mtoto angetakiwa aweke heshima kwa mzee wake hiyo ni laana kubwa mno yule iwe isiwe na mama yake tuu
@@abdullahwaziri5499 hatali sana kaka
Allah atupe mwisho mwema na hii dunia🤲
@@kiehbhzh7044 Amina
Akimtimua huyo mwanamke huyo bb mwenye nyumba siku akitaka goma atakuwa hapati tena ndio maana kaona awaache tu ili na yy apatiapo
Au anazo mbili moja anampa Baba moja mtoto. Au tamu ya asali maana hivyo vitu havitabiriki
Siku moja utapigiwa cm washa uwana ao wazinifu Allah atuhifazi atusamehe makosa yetu
We Mama mwenye Dera uwe na huyo Mzee ili atoke pale
Kimeumana 🤣🤣🤣wote hao wamenogewa na hy mama
Ila watu wa uswahilini kazi wanayo. Sasa hayo yanawahusu nini!!
Ni hatari kwa jamii...wewe mjinga au mpumbavu???unakubali ushenzi huu uenee ktk jamii??!
Uyo mwanamke afai ata mtt angemuacha tu amfai mtt wala baba
Ningekuwa mm nina mamlaka, ningesimamisha huo mradi wa mwendokasi uishiye Mtoni Mtongani tu.
Yaan baba anaishi na mwanae zinaa kama jambo la kawaida tuu
Lazma Sheria ichukuliwe,,,ni mafunzo mabovuuu kwakizazi chetu chaleo ambalo ni taifa lakesho
Uyo mzee c aje kwangu nmlee nle mafao ayo mjumba kama huyo aje afe mapema kwa presha na wivu kisa nn wakati waganga njaa tupo
Mnamshangaa mwanamke kula na baba na mtoto mbona hamsemi wababa wanaokula mama na mtoto?
Tuna ingilianaga na wakina baba waa kitaaa uwa tunatema mzigo sasa baba mzaz mbona hatar....
Huyu mama aye anaingilia mambo ya watu yanawausu nini
Mhmh we nae chenga tu😏
Wewe kama kwenye ndio Tabia yenu kwenye wezako hawataki
Majirani jasho linawatoka khaa lazima mpige kelele kuna jinsi ya kuongea lkn si hivyo huo ushabiki maandiz
Baba na mtoto wanagombea mke duu huyo kijana angeondoka hapo wakaishi semu nyingine
Mijitu kama hii ndio inatuharibia saikologi za watoto wetu mitaani tunamoishi, unalea mtoto wako awe na adabu mara paa kitaani kuna mashetani kama hawq
Kweli kabisa
Kwakweli sio kitu kizuli mmh dunia inaenda wapi hii iyo mtu akitembea na lafiki 2 dunia unaona inakuelemea sembuse baba na mtoto uyo mwanamke ndy mshenzi😏😏😏😏
Kabisa yaani,,, wakulaumiwa hapa ni mwanamke,,,,, mwanamke ni mshenzi wa tabia
Ivi jaman ,nimama mlez au,,,,mana hata ingekua mlez Bado haiqwzekaniiiiiii,msiba huu jaman,astaghafrulah,huyo mama akil zake ziko chin ya nyayo zakeeeeee
Mama wa kambo ni pisi ya kwenda🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Cha msingi na cha sekondari tumrudie Mungu mbinguni kuzuri jamani
Wewe unasema tu,mapagani wanapandana kama mbuzi.
Do!
We mpigapicha mbona huwaoneshi nawewe ni mnafiki
hiyo kali topo topo kacheza topo kuku likanxaa yai yai lakanaxaa kuku
Wazaramo hawajawahi kataa hela wakiona mwenye hela watakuja ukoo mzima wala hawana haya na hili kwao ni kawaida tu kwani wako kibiashara zaidi.
Ninamtazama black beauty tu mwenye costa ya rangi nisiyoijua
Hao watauwana huyo baba anakitu moyoni uyo dadaatoke haraka
Huyo mwanamke ndiye hana adabu, angebakia na mmoja wao na sio wote
Mungu atuongoze jamani Astaghafirullah
Huyu baba hana akili ndo maana hata mtoto wake anamdharau. Eti mambo ya familia
Tambua huyu kijana ana nguvu huyu baba hataweza kupigana lkn pia kufukuza mtt kisa mwanamke Alie jaa umalaya ni kz ngumu ukivaa hivyo viatu
Ukimwi ,umaskini ,majungu ,chuki duh Africa basi itabaki kuwa Hivi mpaka lini .
Alaf uyu bb pia anaogea vle kaumwa na io busu la adharani.😃😃😃😃
Laana tulwai 😭
Waacheni atakae muwahi mwenzie mmoja ataenda jela mmoja kaburini tz kawaida cku izi