ningewarushia na huko alafu nitoke niende zangu wabaki hapo wakijiuliza maswali singekuwa na wakati wakupoteza eti nawasikiliza wangeniheshimu ndio wangejua sio kila mtu wa kushezewa ovyo ovyo ata singewaongelesha. wangeleta mshahara wangu kwa nyumba or either wajue vile pesa zangu zingenifikia kama ni kunifuta kazi
Sama youve a very respectiful guys,they didn't bother to count the money nor shouting bad words at you,Ivy next time never over react like throwing money at people hata ka ni prank.....
Ivy you know nakupenda and i always support you,, lakini hiyo prank imeweza but if you don't mind to be corrected, this is it, usiwai rusha pesa in whatever situation,,its bad,,ask our older guka na akina shush,,the act can mess you,, anyway waiting you prank Samaritan
Hii ni ku-take advantage ya situation ya watu. Mnafanya watoto wa watu wabeg hivyo. Ivy wewe umezidi sana have respect for your people. Kesho mtatafuta msaada kwa wengine
Peter crowned it😂😂😂😂😂I can't imgn how many times I have watched it
Ivy ivy ivy❤please siku ingine usirushie mtu pesa hata kama ni mtoto mdogo...God hates that ❤❤it sounds like kiburi.....walai mm siwezi chukua
ata mimi ningemrudishia hapo hapo. singeshukua ata
ningewarushia na huko alafu nitoke niende zangu wabaki hapo wakijiuliza maswali singekuwa na wakati wakupoteza eti nawasikiliza wangeniheshimu ndio wangejua sio kila mtu wa kushezewa ovyo ovyo ata singewaongelesha. wangeleta mshahara wangu kwa nyumba or either wajue vile pesa zangu zingenifikia kama ni kunifuta kazi
My Frens walai shida hufanya mtu abebeleze binadamu huku karibu ampigie magoti.next time madam kuwa mpole thou
True,,, being prank or not ,, that act can mess your whole life,,uliza akina shosh what does kurusha pesa means
Usiwai rushia watu pesa..chini wewe madam.nakupenda but hapo siyafurahia
Aki kazi kenya hakuna kweli see how the guys are trying to protect their jobs.
Thank God its a prank.i love the delegation of woork here.
Woooiye I knew it’s a prank but I almost cried 😢, you have the best team
I love this reflection with your team even if it's a prank. You've the best team
Woooiiyeee aki sisi tumeajiriwa na watu tunapitia shida aki
The boiz are so humbled am I pitty for them
This Peter is a comedian 😂
Two teeth 😂😂😂😂😂,the guy in red very funny big up to him and those others
Na mulihamia nyumba smart sana
Thankyou guys, we are Happy of ur videos in Eastern TV
The guy in Red,,do we need apen , somewhere to note👌 professional
Love it, keep it up guys.
😂😂😂 English ya mwenye akona red😂😂
Are they twins
They look together❤
Ivy umeenda sana... Si vizuri kurushia mtu pesa.... Kuna leo na kesho
Hehe.. tumejua mengi yenye anakuwanga behind the scenes.
Hii nayo imeweza walae😂😂😂
Aty Niki.. nani ?alicatch😂😂.
Wooii ,aki I feel for them walai
Mwenye yuko karibu na Sama ashaona Camera😂😂
Eeeh hii ni prank mbaya Ivy, mpaka unawatupia pesa!!!
Imeniuma aki😢
😧😧😧ata kama ni prank sio poa
Walai hii imeniuma...hii ni kiburi inform of a prank....mm unitupie ivo nakuachia
Sama youve a very respectiful guys,they didn't bother to count the money nor shouting bad words at you,Ivy next time never over react like throwing money at people hata ka ni prank.....
Ivy you know nakupenda and i always support you,, lakini hiyo prank imeweza but if you don't mind to be corrected, this is it, usiwai rusha pesa in whatever situation,,its bad,,ask our older guka na akina shush,,the act can mess you,, anyway waiting you prank Samaritan
Well done, crew Eastern TV.😅😅😅
Dio maaana na penda avy... always beutiful girl....... sipendi sam Mimi 🤦🤦🤦🤦🤦🤦
I love this guys,,hadi wanajitetea in English
It's a prank but kurushia watu pesa it's a No!No!
Samaritans plz prank n poa but IVY amefanya makosa kurushia watu pesa ivo thats not good
😂😂😂😂😂 hii prank nayo waaah
Wooooi ivy ifelt for the guys, liszen, but you have humble boiz
Sure
Pia mimi aki ni ilikua prank but ni vitu ufanyika kwa wenye wameajiriwa na watu mtu ana kufanya venye anataka juu una namna
Hii ni ku-take advantage ya situation ya watu. Mnafanya watoto wa watu wabeg hivyo. Ivy wewe umezidi sana have respect for your people. Kesho mtatafuta msaada kwa wengine
Thanks for watching
huyo msee mrefu anakwepa story
Very nice guys
It's the best team though♥️
Ghai adii mood ya kunywa juice iliisha woyiie
Peter hakuwa pastor comrades flavour akiwa accused of rape?
😂😂😂😂😂nimemcheck pia
Na wanalipangwa mapesa nyingi🤦🤦🤦🤦🤦
Of all the pranks you guys have done this one weeh imenifanya emotional adi Nika subscribe 😂
uyu chali mtall na kizungu aki😂😂😂😂😂
Ni prank but iko na meaning yake ndani ndio wafanyi kazi wajue makosa yao.ivy na bi Samaritan mnajua njia ya kurekebisha makosa kwa kazi yako
Woiye😢
Loosing job is very devastating
Kurusha pesa hata ikiwa ni prank no no no
Pitieni kwetu ❤
Nipitie nimekupitia pia
@@_Muchinasfamily nimepitia
Watu wamekataa kufutwa.
Comera man alway my guy
My heart almost stopped pumping..
Waah hata kama n prank this is not fair kabsaa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Thumbs up...
Samaritan waaaah
😂😂😂😂
Prank okay
But kuwatupia pesa it’s not nice .
Alifanya hivyo ndio wajue ni ukweli na kumbuka ni prank lasma wafanye wiyadi things ndio wajue ni ukweli
Tupitiane guys please
Red t shirt na English
Some pranks though ...
woiye
🤣🤣🤣❤❤❤❤❤
prank or no prank throwing money is an abomination
It’s prank but not a very good prank at all. I wouldn’t buy such nonsense
😂😂😂😂