Greetings kaka, napendanga films zako. hii ni channel mpya ningeomba kufahamishwa ili kukuza hii channel and in future pia tufanye kazi pamoja. juu me pia ni filmmaker in kenya
Hii team wapo fiti sana na ninavyopenda juu yao nikuwa kila mtu huwa anajitolea kisawasa kwa kipindi cha mwenzake tutasubscribe chanel ya kila mtu kwa hii team ya clam wapo fiti sana ila mbwela umeweza zaidi maana unatoa uchawi kiac unakuwa wa kipekee..❤❤❤🎉
Kazi mzuri bwana mbwela
Kaz nzur ❤❤🎉🎉 halafu mda pia ukosawa kiukweli hongera ❤❤❤❤🎉🎉🤗🤗🇰🇪
You are good 🎉from kenya
Poleni jamani kwakuteswa na penzi nyote😅😅
Mbwela unafurhisha❤😂😂😂😂😂😂 from Kenya 🇰🇪🥰🥰
Nakukubali Sana bro Mbwela
Team mbwela from kenya nipeni like kwa (big kaka)
Napenda sana movie zako mbwela haswa ukiwa mpenzi wa mwasi
🎀✨KAZI NZURI SANA NDUGUYANGU #MBWELA BIGUP📽📺🔮🌍🎋
Big up
Kazi safi big kaka ❤❤
Aisee mmetisha kinomanoma ❤❤❤❤❤
Kazi nzuri ndugu yngu just keep it up and also continue with the same spirit ❤
No 1
Naipenda sana hii movie
Bwela unatisha sana bro
Mi nmeskia tu wimbo unasaut ya happyvoice😊
Jaman hii movie nzur sana 😂😂😂japo kila mtu anateswa na mapenzi
Kazi safi bro naipenda kazi zako nikiwa hapa Kenya
My favourite actor ❤❤
bado mwezi mchanga ni season ❤❤❤
Mbwela na time yake wako vizur sana nawapenda mno ❤
Pole cn
❤❤❤🎉🎉🎉
nampenda Wanda
Unyama 2 wanangu
Nimeipenda bwela chukua mauwa yako❤❤
Kwa hakika hini kazi yako ni nzuri nimependa mda umekuwa mwingi sana endelea hivi hivi muendelezo wa kutuwekea mda marefu kaka 🙏
Blaza endelea kutumwagia movie kaka Kaz nzur
Too much crying 😭😭😭
Aki mimi nampenda Tete❤❤
From Kenya 🇰🇪 😍 😄 🙌 mombasa
Mbwela unajua kucheza part Yako . Hongera ❤
Kuoa ni shughuli 😂😂😂😂😂
❤❤❤
Duuu mbela nimekuzoeya uko mpole leo una hasira hvyo😂
Mimi nime furahi zaidi kwa mda wa hini movie ni ndefu sana ajab
Mbwela Hilo Kofi jaman utamuuwa dada angu Wanda by mchina VEVO kutoka kasekese mpanda
Kwa hiyo hii movie yani ya malizia ule wimbo wa unae pendana nae anapenda mwingine.......
Greetings kaka, napendanga films zako. hii ni channel mpya ningeomba kufahamishwa ili kukuza hii channel and in future pia tufanye kazi pamoja. juu me pia ni filmmaker in kenya
Kwani hii movie kilamtu anateswa na mapenzi 😂😂😂😂😂
Bana ee 😂😂😂😂
Nice from merekani
Mbwela Bora muwe mnatoa single kama hv zinanoga san
Nawapenda
Huku ni kulia tu jamani😢
RUclips mee sinunui muvi
Hii team wapo fiti sana na ninavyopenda juu yao nikuwa kila mtu huwa anajitolea kisawasa kwa kipindi cha mwenzake tutasubscribe chanel ya kila mtu kwa hii team ya clam wapo fiti sana ila mbwela umeweza zaidi maana unatoa uchawi kiac unakuwa wa kipekee..❤❤❤🎉
Akanako kaepy kana piga kelele umu
Sasa mimi nitakuita kontawa tu coz ulinibamba sana kwenye mistake
Hiyonyimbo nanikaimba
Mbwela nakubali kazi kama utabahatika kusoma comet yangu tulishawai kuonana nzazibar
❤❤❤
So why in the world is everyone in this movie crying though you guys try but I didn’t understand anything
Nmechoka kuvumilia mwezi mchanga ni nini
Mbwela hii mwezi mchanga si ilikuwa season! Asaivi tena imekuwa full movie.
Sinema nzuri ila haina mwisho
Hujaona kwamba imeandikwa 1 means kuna na 2 au kusoma huwa shida ...
@@MuminaRashid mwisho upo km ni mfatiliaji mzr endelea kufatilia utaona mwisho
Upo sahihi aendelee tu kutuliya😂@@mbwelamedia3469
Mitaa ya nyaruguso