Ooh My God!😭 Levyne almost Lost his Life trying to Solve two Brothers Case🙆😳😭 Tulfukuzwa kama Mbwa!💔

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 49

  • @chustekimani
    @chustekimani 7 месяцев назад +5

    Levyne hapa ni daktari afanye kazi yke hao ya brother yake anamutishia jasho yake 😢😢😢anatka akufe achukue mali 😢😢Levyne msaidie aki😢😢😢

  • @JeldahOnsembe
    @JeldahOnsembe 7 месяцев назад +2

    Levyne pole 😢 please aki huyu jamaa ako n kiburi san 💔😭 dacktali afanye kazi huyu kijana apate adabu pampja n huyo bibi ake 😢

  • @lilinalamri7643
    @lilinalamri7643 7 месяцев назад +1

    Huyu anakaa sky Kabisa 😂

    • @DinahMuswachi-d7u
      @DinahMuswachi-d7u 7 месяцев назад

      😂😂😂😂Exactly 💯 💯 💯 Anabehave kama yeye kabisaaa😂

  • @SharunAa
    @SharunAa 7 месяцев назад +2

    Oooh oooh dakitari Fanya mambo kwa huyu kijana pleas😢😢😊

  • @rozlinn6491
    @rozlinn6491 7 месяцев назад +2

    Pole hak br. Huyo kijana hako n kiburi sana

  • @DinahMuswachi-d7u
    @DinahMuswachi-d7u 7 месяцев назад

    Anabehave tu kama Sky😏😏😏😏yani anakwamia vitu za bro wake surely

  • @Maua-mj7pm
    @Maua-mj7pm 6 месяцев назад +1

    Tafuta ya kwako acha lana kakako alikufundisha na auna shukran

  • @PamelaNekesa-x6y
    @PamelaNekesa-x6y 7 месяцев назад +1

    Levyne toka hapo utapoteza maisha kakangu tafuta doctor asaidie yeye

  • @margaretwambete1228
    @margaretwambete1228 7 месяцев назад

    Can he own such a home

  • @SilviaChepkemoi
    @SilviaChepkemoi 7 месяцев назад +1

    Ooh my God I'm sorry brother😢

  • @linetnyangate1311
    @linetnyangate1311 7 месяцев назад

    Levyneata taktari amfanye afkuzwe kazi dktari aingilie

  • @SharunAa
    @SharunAa 7 месяцев назад

    Ooooh oooh uko n kiburi bro n utakula iyo kiburi yako

  • @FaithNyandieka
    @FaithNyandieka 7 месяцев назад

    Wueee hii ni noma sans😢😢

  • @naomiwekesa3235
    @naomiwekesa3235 7 месяцев назад

    Mungu akusaidie levyne unakutana na watu wambaya aki

  • @josephinemogere8618
    @josephinemogere8618 7 месяцев назад

    Wewe Levyne mbona msipatie Dakitari mkali huyu kijana ashike adabu.

  • @Wairimubeth-m5z
    @Wairimubeth-m5z 7 месяцев назад +1

    Ata huyu mwanaume ni mujinga ana pepelesa huyu brother yake kwanini siamufayie kitu awekwee muguu ya ngombe

  • @Moruridorine
    @Moruridorine 7 месяцев назад

    K2 nimeona mnataka like na followers wengi hii kitu mngekuwa mmemaliza kitambo sana

  • @evalinetsuma
    @evalinetsuma 7 месяцев назад

    Kwan huyu mtu nkichaa ama n nn maliya mtu ukaitolee macho hajui ya kwamba jasho la mtu haliliki asije akachekaea choon😢😢😢

  • @neemamwaura8222
    @neemamwaura8222 7 месяцев назад

    Huyu jamaa amalishwe miguu za ngombe

  • @julianagowele9163
    @julianagowele9163 5 месяцев назад

    Aiseee kumbe binadam wako hivi

  • @saudatoto3010
    @saudatoto3010 7 месяцев назад

    Ata nyinyi hamuko Sirius munajua huyo anataka kuua bro yake abaki n Mali nyinyi mumufata nyumbani munachotafuta mutakipata huyo mumupee dactar kaz iishe atawatafuta mwenyewe

  • @Wairimubeth-m5z
    @Wairimubeth-m5z 7 месяцев назад

    Wewe nawewe utakuja kuuliwa una eda kwa weyewe kufaya nini kwanini utaki kuita dackitari kitakulamba wewe wacha kueda uko huyo mtu atawaia

  • @monica-Elizabeth
    @monica-Elizabeth 7 месяцев назад

    Levyne unadakitari umalize hiyo mambo kama mtu ajakufa hapo

  • @PhilicianSaid
    @PhilicianSaid 7 месяцев назад

    Doctor afanye kazi yake

  • @CatherineGathukumi
    @CatherineGathukumi 7 месяцев назад

    Btw hawa ni kabila gani

  • @rahma6189
    @rahma6189 7 месяцев назад

    Levin achaneni nahizo habari

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 7 месяцев назад

    Huyu anaakili kama sky

  • @GraceChege-lg6mk
    @GraceChege-lg6mk 7 месяцев назад

    Anafanana na sky na kuongea mpaka tabia huyu atakula nyasi

  • @StellahOnsare
    @StellahOnsare 7 месяцев назад

    Levyne huyo jamaa mletee yule daktari amfanyie majamboz awache ujinga

  • @CarolineKinaro
    @CarolineKinaro 7 месяцев назад

    Datari Ako wapi levyn

  • @halimashaban7038
    @halimashaban7038 7 месяцев назад

    Levyn sijui mbona unamchelewesha huyu jamaa na daktari alikuwa amesha Anza kumfuatilia🤔na akasema vizuri huyu sio askari!Sasa kama amedanganya hata kazi yake na hizo vitu zengine si ni kitu iko wazi tu hapo hakuna chake🤔mpaka auwe pato ndio utajuwa damu sio nzito tena...

  • @Zawadi-e3e
    @Zawadi-e3e 7 месяцев назад

    Kwani daktari c afanye mambo hapo Kwa huyo kijana

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 7 месяцев назад

    Anajimilikisha kilakitu daktar akomeshe

  • @SharunAa
    @SharunAa 7 месяцев назад

    Uko n kiburi bro

  • @damariskemuntoorina6018
    @damariskemuntoorina6018 7 месяцев назад

    Levine wacha kupembeleza huyu jamaa ako na kubuli zaidi kipikundia.lete daktari ukamfanyie Ile kitu.kuburi itaisha.sauti itapotea na nguvu

  • @SharunAa
    @SharunAa 7 месяцев назад

    Pole bro gk

  • @RhodaFlower-m2i
    @RhodaFlower-m2i 7 месяцев назад

    Levyne tafuta daktari uyo mwanaume ameumia

  • @Princessamor97
    @Princessamor97 7 месяцев назад

    Mtafutie daktari wa lamonike asaidie

  • @graccygatu
    @graccygatu 7 месяцев назад

    guys nipitieni

  • @YvonneHalima
    @YvonneHalima 5 месяцев назад

    Levyne iyo mtu aonane na daktari mm nataka atembelee kichewa

    • @YvonneHalima
      @YvonneHalima 5 месяцев назад

      Ama Atembee na numba kwa kichwa n

    • @YvonneHalima
      @YvonneHalima 5 месяцев назад

      Alafu asisahau MLA naye hafi nawe ila mzaliwa nawe

  • @نانسي-ه2و
    @نانسي-ه2و 7 месяцев назад

    😢😢😢

  • @Theonlyonlyto-rn8nc
    @Theonlyonlyto-rn8nc 7 месяцев назад

    😢😢😢😢

  • @margaretwambete1228
    @margaretwambete1228 7 месяцев назад

    Lete daktari mkali

  • @mumblessed001
    @mumblessed001 7 месяцев назад

    Huyu anafaa miguu ya ngombe na arudishe vitu zote 😢😢mjinga umesaidiwa na hauoni

  • @rosemarura
    @rosemarura 7 месяцев назад

    Tafuta daktari