Levyn sijui mbona unamchelewesha huyu jamaa na daktari alikuwa amesha Anza kumfuatilia🤔na akasema vizuri huyu sio askari!Sasa kama amedanganya hata kazi yake na hizo vitu zengine si ni kitu iko wazi tu hapo hakuna chake🤔mpaka auwe pato ndio utajuwa damu sio nzito tena...
Levyne hapa ni daktari afanye kazi yke hao ya brother yake anamutishia jasho yake 😢😢😢anatka akufe achukue mali 😢😢Levyne msaidie aki😢😢😢
Levyne pole 😢 please aki huyu jamaa ako n kiburi san 💔😭 dacktali afanye kazi huyu kijana apate adabu pampja n huyo bibi ake 😢
Huyu anakaa sky Kabisa 😂
😂😂😂😂Exactly 💯 💯 💯 Anabehave kama yeye kabisaaa😂
Oooh oooh dakitari Fanya mambo kwa huyu kijana pleas😢😢😊
Pole hak br. Huyo kijana hako n kiburi sana
Anabehave tu kama Sky😏😏😏😏yani anakwamia vitu za bro wake surely
Tafuta ya kwako acha lana kakako alikufundisha na auna shukran
Levyne toka hapo utapoteza maisha kakangu tafuta doctor asaidie yeye
Can he own such a home
Ooh my God I'm sorry brother😢
Levyneata taktari amfanye afkuzwe kazi dktari aingilie
Ooooh oooh uko n kiburi bro n utakula iyo kiburi yako
Wueee hii ni noma sans😢😢
Mungu akusaidie levyne unakutana na watu wambaya aki
Wewe Levyne mbona msipatie Dakitari mkali huyu kijana ashike adabu.
Ata huyu mwanaume ni mujinga ana pepelesa huyu brother yake kwanini siamufayie kitu awekwee muguu ya ngombe
K2 nimeona mnataka like na followers wengi hii kitu mngekuwa mmemaliza kitambo sana
Kwan huyu mtu nkichaa ama n nn maliya mtu ukaitolee macho hajui ya kwamba jasho la mtu haliliki asije akachekaea choon😢😢😢
Huyu jamaa amalishwe miguu za ngombe
Aiseee kumbe binadam wako hivi
Ata nyinyi hamuko Sirius munajua huyo anataka kuua bro yake abaki n Mali nyinyi mumufata nyumbani munachotafuta mutakipata huyo mumupee dactar kaz iishe atawatafuta mwenyewe
Wewe nawewe utakuja kuuliwa una eda kwa weyewe kufaya nini kwanini utaki kuita dackitari kitakulamba wewe wacha kueda uko huyo mtu atawaia
Levyne unadakitari umalize hiyo mambo kama mtu ajakufa hapo
Doctor afanye kazi yake
Btw hawa ni kabila gani
Levin achaneni nahizo habari
Huyu anaakili kama sky
Anafanana na sky na kuongea mpaka tabia huyu atakula nyasi
Levyne huyo jamaa mletee yule daktari amfanyie majamboz awache ujinga
Datari Ako wapi levyn
Levyn sijui mbona unamchelewesha huyu jamaa na daktari alikuwa amesha Anza kumfuatilia🤔na akasema vizuri huyu sio askari!Sasa kama amedanganya hata kazi yake na hizo vitu zengine si ni kitu iko wazi tu hapo hakuna chake🤔mpaka auwe pato ndio utajuwa damu sio nzito tena...
Kwani daktari c afanye mambo hapo Kwa huyo kijana
Anajimilikisha kilakitu daktar akomeshe
Uko n kiburi bro
Levine wacha kupembeleza huyu jamaa ako na kubuli zaidi kipikundia.lete daktari ukamfanyie Ile kitu.kuburi itaisha.sauti itapotea na nguvu
Pole bro gk
Levyne tafuta daktari uyo mwanaume ameumia
Mtafutie daktari wa lamonike asaidie
guys nipitieni
Levyne iyo mtu aonane na daktari mm nataka atembelee kichewa
Ama Atembee na numba kwa kichwa n
Alafu asisahau MLA naye hafi nawe ila mzaliwa nawe
😢😢😢
😢😢😢😢
Lete daktari mkali
Huyu anafaa miguu ya ngombe na arudishe vitu zote 😢😢mjinga umesaidiwa na hauoni
Tafuta daktari