POLISI MBEYA YASISITIZA BAJAJI MARUKUFU BARABARA KUU MBEYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 июл 2018

Комментарии • 8

  • @AK-ho2lb
    @AK-ho2lb 6 лет назад +5

    Wasumbufu sana hao madereva wa bajaji. Wasithubutu kurudi barabarani

    • @rahimaaaaa8699
      @rahimaaaaa8699 6 лет назад

      A K miji yote mikubwa wangefanyiwa hivyo. Yaani ukikoswa kugongwa na gari pikipiki au bajaji inakupitia

  • @boniphacemwamboneke8699
    @boniphacemwamboneke8699 6 лет назад

    Miundo mbinu ni mibovu kwa barabara za Pembezoni Zinaua vyombo na Bajaj kila siku Zinaongezeka

  • @alutosanga1217
    @alutosanga1217 6 лет назад +1

    Njia zapembeni mbovu

  • @boniphacemwamboneke8699
    @boniphacemwamboneke8699 6 лет назад

    Ni vizuri serikali izuie Bajaji mpya zinazonunuliwa Kusajili wa ktk jiji la mbeya maana ni nyingi kuwe na idadi kamili ktk jiji

    • @juliethtemba7275
      @juliethtemba7275 6 лет назад

      kimsingi Bajaji zinaongeza foleni bsrabarani na sheria hawazifuati hususani zebra kwenye vivuko magari yakisimama wao wanapita kushoto tena kwa mwendo kasi usalama Mdogo kwa waenda kwa miguu

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 6 лет назад

    Sasa huyu dada na mandevu anaona sifa. Hata Mimi ninayo km ya hosama ila nakata. Napendeza.

    • @sawanjema4889
      @sawanjema4889 6 лет назад

      Rahima Aaaa .hicho ni kirema usimcheke,