Tunashukuru sana kwa Kuendelea Kutazama Ujumbe kutoka Omega Band, Asante kwa Mashauri yote Mungu atutie nguvu hii kazi ni yake sisi ni Watumwa wake tu Ameen
Mungu awabariki kwa ujumbe mzuri wa ukumbusho kwa vijana 🙏 Ila Heri mwisho kuliko mwanzo Hii kauli amkuitendeya haki katika hii nyimbo kwamaana mwanzo mulianza kiroho kwa kutumiya neno la mungu ila mwisho mumemaliza kimwili kwa kufuata mdundo na mwongoza wa dunia hii . Msisaahu kama sisi ni nuru ya ulimwengu so mataifa ni lazima kuiga kwetu na siyo sisi kuiga namna yaho. Ni hushauri tu Asanteni sana na mungu azidi kuwabariki 🙏
Shalom;Melody Zuri na soloist ni mwepesi Kwa creativite. Jinsi binti ndo wengi: jupe ivuke Tu magoti ni sawa🎉(Pia kuwe mtu kutoka Baraza la wazee kama mshauri/mwenye background ya uimbaji)Mimi ni mwalimu Pacifique Byamungu-Kamasi,nikiwa pamoja &David Imani Capetown SA @t CKB Studio chez Calbert -Kalalizi
Mimi nafikiri mngeanza kujihubiria kabla yakutwambia sisi,mnavaaa Kama hamumuimbii MUNGU vile!!!!?eeeeh walokole buanaaaaa watakatifu wa Nani vile?hahahahahaha rudini nyuma kwanza maana naona mnaonesha viuno tu namipasukoo
🌪️🌪️
Kazi yamungu aniaga makosa mubarikiwe sana watoto wamungu❤❤❤🎉🎉
Mbarikiwe sana pia zingatia ujumbe mpendwa amen 🙏🏾 ❤
Fungua mwaka kwa vijana 🥰😍, Mungu azidi kuwabariki
Asante sana ❤
Amen wimbo uko sawa nimeupeda
Yangu macho tu
Mmeuwa saaa ❤❤❤❤
Bien bien 💪
Mungu àwabaliki san good job
Kucheza tu huwa Mnabariki moyo wangu ❤❤Amen
Mmehuwa sana kWa Dance hongereni sana vijana Biblia yasema mchezeeni Bwana na kumwimbia pia kazi nzuri sana
MUNGU Ahendelee kuwaongoza 🙏🎉
Amen ❤mubarikiwe kwa Ujumbe Mzuri
Kitu kizuri kweli
Mungu Azidi kuwabariki ❤❤🎉
GOUP NZIMA INA MWANAUME UMOJA TU,FIMBO NA FIMBO
Amen amen amen 🙏🙏🙏🙏
Bomu imeanguka kabisa
Nice song
Be blessed vijana wa nzambe👋🎤🎶🙌🏻
Amen 🙏 ❤
Mbarikiwe sana
Ushauri kwavi jana amen 🙏🏾
Mubarikiwe na BWANA
🎉❤❤
Amenaaaaa❤️❤️😍
Mbarikiwe sana. 🙏🙏 Coming from live tiktok🥳
Be blessing vijana wa nzambe ❤👌❤
Mie hata sijuwi itakuwaje 🤣❤️🤭🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥maana hii moja ni fire 🔥
Nyimbo hime nibariki hila muwe nabadili watumaji mko wengine kwajili yawengine pia ❤❤❤mungu awa bariki
Iyo kweli afu Tena ni Band
@@Veronica-bt8gq ma Leader ndomana awawezi waka badirisha watumaji?
Mjuwe ya kwamba Iyo ni band na sio kwaya Amen?
@@christinawangu6101 watakua hao hao tu we share wimbo 😂❤
@@christinawangu6101watakua hao tu we chaku fanya share wimbo wao ❤
@@christinawangu6101 wabadilishe kila mtu ahoneshe kipaji chake
Mungu akuweke
Ongera mtumishi
Mungu azidi kutulinda sana
Watoto wa ALL NATION ALPHA AND OMEGA CHURCH omega band 🔥🔥❤️Soon tunaliwasha
Ayaaaa 🤣❤️🔥🔥🔥❤️
Ongereni aana
Amen ❤
Omega band 🎉❤❤❤
Wow
🔥🔥🔥
Mungu awabariki sana
Ngoma hiko bien ,Mungu awabariki sn
Congratulations
Wow 🎉❤❤
Tunashukuru sana kwa Kuendelea Kutazama Ujumbe kutoka Omega Band, Asante kwa Mashauri yote Mungu atutie nguvu hii kazi ni yake sisi ni Watumwa wake tu Ameen
🙏🙏🙏
Mauwa 👀❤️
😍😍
Amena
Band yangu pendwa ❤❤
Mbarikiwe sana ❤
❤❤🎉
❤❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🎉🎉🎉❤
Let’s go 😊
Kazi nzuri sana , endelea kupiga kazi ya Bwana
Asante sana ❤
Amen
Niko apa sina neno mbarikiwe Sana
Izi ma dance munizi towa wapi? Ziko kama zile za watu tu wa dunia
Moda seen it
Hongereni. Sana ❤❤❤😊
Chenchi Seen It✊✌️🙏🙏✅🔥🔥🔥
Mungu awabariki kwa ujumbe mzuri wa ukumbusho kwa vijana 🙏
Ila Heri mwisho kuliko mwanzo
Hii kauli amkuitendeya haki katika hii nyimbo kwamaana mwanzo mulianza kiroho kwa kutumiya neno la mungu ila mwisho mumemaliza kimwili kwa kufuata mdundo na mwongoza wa dunia hii .
Msisaahu kama sisi ni nuru ya ulimwengu so mataifa ni lazima kuiga kwetu na siyo sisi kuiga namna yaho.
Ni hushauri tu
Asanteni sana na mungu azidi kuwabariki 🙏
Shalom;Melody Zuri na soloist ni mwepesi Kwa creativite. Jinsi binti ndo wengi: jupe ivuke Tu magoti ni sawa🎉(Pia kuwe mtu kutoka Baraza la wazee kama mshauri/mwenye background ya uimbaji)Mimi ni mwalimu Pacifique Byamungu-Kamasi,nikiwa pamoja &David Imani Capetown SA @t CKB Studio chez Calbert -Kalalizi
One more day
Unachezeyaka wapi kijana ❤❤
Kwenye hizi dance Flowers kachangia tu
MRS BYAMBESE
"GOD BLESS YOU ALL".
Waimbaji muwe makini sana na mavazi mnayovaa kwenye video za injili ila wimbo mzuri mbarikiwe 💛
Asante sana❤
UBARIKIWE MJINI PIA UBARIKIWE MASHAMBANI UMENENA VYEMA
@@barakadieudonneamen ❤
KAOMBA OMBA AMEGEUKA MCHEZAJI BOBORA
♥️♥️♥️ 🎵
Mambo hayajawa mabaya vijana, ila naomba kuuliza mnaimba mfumo gani katika mifumo yote ya uimbaji???
😂😂😂 ata wao peke yao awajuwi
Bwana Yesu asifiwe na Mungu awaitie nguvu
Amen mumeimba vsuri saana wewe oo9 lol
Mimi nafikiri mngeanza kujihubiria kabla yakutwambia sisi,mnavaaa Kama hamumuimbii MUNGU vile!!!!?eeeeh walokole buanaaaaa watakatifu wa Nani vile?hahahahahaha rudini nyuma kwanza maana naona mnaonesha viuno tu namipasukoo
Nasubiri😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
ruclips.net/video/z5r6avX5zLY/видео.htmlsi=BPr_wuNxYOG8ilWT
ruclips.net/video/cZWQ8A2jG70/видео.htmlsi=Oi4tlAhWy_UBuMMa
Amen ❤
🔥🔥🔥
❤❤❤
Amen 🙏 ❤😊
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤