AY Nyarugusu NYIMBO NNE -Official Video

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 108

  • @sayajackson.
    @sayajackson. 4 года назад +10

    Aisee Kiswahili kikitungwa na kiimbwe kwa ufasaha ni lugha nzuri sana. Waimbaji na watunzi wa wimbo huu wapate kubarikiwa maanake ndani ya dakika nne wametoa hubiri tosha na lakupendeza. Mungu azidishe vipaji hivi ili vimtumikie katika kazi yake

  • @Renardnho-gd8ib
    @Renardnho-gd8ib 11 месяцев назад +1

    Tuseme nini zaidi ya AMEN kwa MUNGU anae tupa mibaraka kupitia hawa vijana 🙏

  • @adelinarutale2876
    @adelinarutale2876 3 года назад +1

    Mungu azidi kuwafanya chombo cha kutangaza injili yke

  • @jeffsiocah8316
    @jeffsiocah8316 4 года назад +3

    Nashukuru Mungu kwa ajili ya vijana hawa wa nyarugusu.
    Nyinyi ndio chanzo changu kuokoka katika makampi ya mwaka 2019 pale Kenya -nakuru- KITI.
    God bless.

  • @evelynemichael9949
    @evelynemichael9949 2 года назад +3

    Wimbo huu mzuri kweli mbarikiwe waimbaji Mungu awazidishie kipaji🙏

  • @elliemgb3850
    @elliemgb3850 5 лет назад +5

    Jamani najua wengi mnabarikiwa saana kupitia hii kwaya.. tuwabariki AY Nyarugusu(wabarikiwe na Bwana).. na wimbo wa Mungu kwanza nausubiri kwa hamu saana.. mwende mbali saana..

  • @cbsmedia33
    @cbsmedia33 5 лет назад +4

    Jamani wana Nyarugusu tu nashukuru sana kwa kufanya kazi na studio yetu kwa kweli nyinyi ni mibaraka aisee. Karibuni sana Kenya.

  • @periswamuhu
    @periswamuhu 4 месяца назад

    I like vile mnayatamka maneno

  • @johnniyibizi5671
    @johnniyibizi5671 2 года назад

    Nyarugusu barikeweni sana kwasababu nyimbo zenu na mivalio yenu inawatambulisha wasabato ulimweni pote endeleeni hivyo katika ulimwengu huu unao fika mwesho Wake

  • @ruthclotaire
    @ruthclotaire 5 лет назад +11

    This choir is amazing and all the lead singers are blessed with awesome voices. God bless you

  • @nellykavutha9926
    @nellykavutha9926 3 месяца назад

    One of my favourites from you Wapendwa 😊..

  • @dicksonmtalaze114
    @dicksonmtalaze114 5 лет назад +7

    Naupenda sana wimbo huu. Nawapenda sana vijana wa NYARUGUSU.
    Mungu aibariki kazi yenu.

  • @periswamuhu
    @periswamuhu 4 месяца назад

    Amen amen nabarikiwa sana

  • @joshuazacharia3226
    @joshuazacharia3226 2 года назад +1

    Hongereni sana! .Hakika nime barikiwa.

  • @jeffkip5275
    @jeffkip5275 2 года назад +1

    Amen 🙏

  • @salimadaniel1013
    @salimadaniel1013 2 года назад

    Mungu hawabariki kwa mupangilio nzuri wa saiti.

  • @sabinabaraka5732
    @sabinabaraka5732 2 года назад

    Barikiweniii

  • @augustinokaguotv2245
    @augustinokaguotv2245 4 года назад

    Nami natamani kuimba huo wimbo nne barikiweni sana kutoka mafinga ahsante

  • @leahjohnsimba1628
    @leahjohnsimba1628 3 года назад

    Jua linapozama

  • @anithagelard8814
    @anithagelard8814 Год назад

    God bless all for singing well song

  • @blackvirus8740
    @blackvirus8740 5 лет назад +2

    Haleluyaaaa BWANA ATUKUZWE SANA KWA HII KWAYA MNATUBARIKI SANA..

  • @kokuelikana184
    @kokuelikana184 2 года назад

    Barikiwa dana

  • @davidnyitambe3399
    @davidnyitambe3399 5 лет назад +2

    Wimbo mzuri...Mzidi kubarikiwa na kumtangaza Mungu kwa nyimbo zenu na sauti nzuri..
    Bwana Aliyeianzisha kazi hii ndani yenu ataiendeleza mpaka kristo akirudi

  • @GodwineMakongo
    @GodwineMakongo 10 месяцев назад

    Aminaaaaaaa

  • @nipherngasia9638
    @nipherngasia9638 2 года назад +1

    Nice

  • @ruthclotaire
    @ruthclotaire 5 лет назад +7

    The lead singer is bless with an amazing voice

  • @luciananemes1143
    @luciananemes1143 3 года назад

    Ameen....nitaimba kwenye barabara zile za dhahabuu mbarikiwe mnoo... sauti zenu sasa

  • @naommichieka3986
    @naommichieka3986 3 года назад +1

    I will sing it on those golden streets...The Glory Song..Amen AY NYARUGUSU

  • @calebomoro1658
    @calebomoro1658 Год назад

    Nice song

  • @JanethAlfred-dp4sx
    @JanethAlfred-dp4sx 10 месяцев назад

    God bless you

  • @charlesmusunga7134
    @charlesmusunga7134 4 года назад +3

    I love this song, God bless your ministry my brothers and sisters

  • @franklinmireri7408
    @franklinmireri7408 5 лет назад +7

    Wonderful diction and articulation, the tonal quality is amazing, not forgetting the powerful message in the song. Mbarikiwe vijana wa Nyarugusu. Greetings from Newlife Church, Nairobi.

  • @ruthclotaire
    @ruthclotaire 5 лет назад +5

    This is one my favorite songs , thank you for translating it I am going to be blessed even more by listening to the tune , the harmony and the word. May God Almighty richly bless you

  • @nessasment.1727
    @nessasment.1727 5 лет назад +3

    Natamani siku moja mtutembelee Dar es salaam😰🙏

    • @anethnyamwangi5667
      @anethnyamwangi5667 5 лет назад

      Walikuwepo muda mwingi sana kuanzia mwezi wa sita mwishoni mpaka mwezi wa saba, walikuwa kwenye makambi ya Magomeni, mzizima nafkiri na tabata

  • @stephenochieng3381
    @stephenochieng3381 2 года назад +1

    this is the song which made me follow this choir after seeing it on a friends status, keep it up

  • @daud8785
    @daud8785 3 года назад

    Amina napenda Sana nyimbo

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 2 года назад

    Mungu awabariki wote

  • @ednajohnson3429
    @ednajohnson3429 3 года назад

    Mungu awabariki sana Nyarugusu kwaya

  • @harrietasiimwe2905
    @harrietasiimwe2905 5 лет назад +2

    I can't stop listening to this song, God bless you Nyarugusu AY. I pray that we'll all sing that 4th song. My prayer my desire

  • @tambukwakudra550
    @tambukwakudra550 5 лет назад +2

    Amina
    Nami natamani kuuimba huo wimbo wa NNE

  • @rejinamatiasi7415
    @rejinamatiasi7415 3 года назад

    Nimebarikiwa sana

  • @ahadiishara9445
    @ahadiishara9445 4 года назад

    Mme ni bariki sana mpaka hata kwenye Mungu kwanza Chato mbarikiwe sana

  • @sophiaanthony9993
    @sophiaanthony9993 3 года назад

    Nmebarikiwa mno na wimbo huu, mbarikiwe sana watumishi wa Mungu 😘

  • @heavenlynaturalholistichealing
    @heavenlynaturalholistichealing 3 года назад +1

    Wonderful video brethren. God bless you all.

  • @mean1179
    @mean1179 4 года назад +2

    Wimbo wa nne tutauimba

  • @asiaabdala88
    @asiaabdala88 4 года назад

    Mubarikiwe watoto wa baba etu aliejuu

  • @mwilakamilo1957
    @mwilakamilo1957 4 года назад

    Wimbo mzuri sana nimeupenda sana

  • @estermshomi6139
    @estermshomi6139 4 года назад

    Wimbo wa 4 mzr mtamuuuuuuu

  • @josphatnjeru1570
    @josphatnjeru1570 3 года назад

    This song has been the anthem of my heart of late, so beautiful, so sweet if we are on earth and there are songs like these how shall it be in heaven?

  • @carolineomori1032
    @carolineomori1032 4 года назад +1

    Amazing , amazing work Nyarugusu. One of my most favorite choirs. Your lead singers are powerful. Be blessed as you bless the lord and encourage us listeners.

  • @sakhiledhlo795
    @sakhiledhlo795 4 года назад

    Ameen

  • @austineotieno4225
    @austineotieno4225 4 года назад

    Amina. Lazima nitauimba huo wimbo wa nne

  • @emmanuelmnyambugi7563
    @emmanuelmnyambugi7563 4 года назад

    Wanatisha sana Mungu awàongoze

  • @mishiathumani4703
    @mishiathumani4703 3 года назад

    Aminaa

  • @ndagaujenzi1211
    @ndagaujenzi1211 5 лет назад +1

    Very powerful song...God bless all of you sons and daughters.

  • @kaliversonmalengamwezi9295
    @kaliversonmalengamwezi9295 2 года назад +1

    Amina 2022

  • @veronicaenock7292
    @veronicaenock7292 4 года назад

    Ipo siku tutaimba wimbo wa nne,Amen

  • @machariadennis323
    @machariadennis323 5 лет назад +2

    quality work

  • @patrickdudi8746
    @patrickdudi8746 4 года назад

    Ever a blessing. 🙏 mpya kwa ujumbe na mibaraka kila kuchao.

  • @maxwellvangulinja
    @maxwellvangulinja 5 лет назад +2

    To God be the glory

  • @rehemaisaac8683
    @rehemaisaac8683 5 лет назад +1

    Hongereni nammiss huyu Dada alie lead wimbo wa Jerusalem na Bertha alishaolewa

  • @alequinkauki7765
    @alequinkauki7765 2 года назад

    Brethren, your choir is amazing

  • @phinawatwego7260
    @phinawatwego7260 4 года назад

    Aminaaaaaaa. Mungu awabariki sana

  • @grenamagumba8442
    @grenamagumba8442 2 года назад

    Wimbo mzuri🙏🙏

  • @jaynmutungi6046
    @jaynmutungi6046 3 года назад

    I pray that we all sing the song of Moses and the Lamb. Thank you so much Nyarugusu Adventist Youth Choir.

  • @moreenwambui1768
    @moreenwambui1768 3 года назад

    I love the song

  • @tonnsimbasportsclub7168
    @tonnsimbasportsclub7168 5 лет назад +1

    Ameen barikiwa sana nyarugusu
    Nilipenda sana kuwaona mkiwa dsm tabat kwa uimbaji mzur

  • @agustinejaphet3107
    @agustinejaphet3107 3 года назад

    I really love this song

  • @francoisxxx9648
    @francoisxxx9648 3 года назад

    Amen

  • @felisterjoseph2350
    @felisterjoseph2350 5 лет назад +1

    Nice song blessed all

  • @dorinejaoko4310
    @dorinejaoko4310 3 года назад

    The message has very rich content... Blessed by its message

  • @thobiasjohn3805
    @thobiasjohn3805 4 года назад

    Balikiwa

  • @Otienoabra
    @Otienoabra 3 года назад

    Been listening to this song and everyday it comes out so fresh and so new. Thanks so much for thrilling our hearts with this powerful music. How i long to sing wimbo ya nne🙏🙏

  • @kingstonjoash2164
    @kingstonjoash2164 5 лет назад +1

    i just love the song

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 Год назад +1

    Who review's this song this 2023 june?

  • @aminajoshua9522
    @aminajoshua9522 5 лет назад

    I love you nyarugusu

  • @nessasment.1727
    @nessasment.1727 5 лет назад +1

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @davidondieki8723
    @davidondieki8723 4 года назад

    Nyarugusu Be Blessed

  • @zacharymasimba7940
    @zacharymasimba7940 4 года назад +1

    This is a masterpiece, well done Nyarugusu. I love this song so much. I would like to know the composer

  • @yonamatola9854
    @yonamatola9854 5 лет назад

    Good work, be blessed Nyarugusu AY

  • @rebeccampeta6650
    @rebeccampeta6650 5 лет назад

    Mungu awainue

  • @ayubisrael2084
    @ayubisrael2084 5 лет назад +2

    Be blessed

  • @zakicadeofficial6101
    @zakicadeofficial6101 4 года назад

    Mungu awabariki sana nyimbo zetu ninazipenda sana. Naomba nipate number ya simu ya mwalimu wa choir.

  • @jobratemo8327
    @jobratemo8327 5 лет назад

    I LOVE THIS CHOIR.MAY GOD BLESS THIS CHOIR

    • @carolineomori1032
      @carolineomori1032 4 года назад

      Amen and amen. Nyarugusu, heaven rejoices about you . You are a choir to behold.

    • @verokigabo9570
      @verokigabo9570 4 года назад +1

      nawapendaaa Sana'a jeshi lisilo LA kawaida batsman kuamia kigoma kwa ajir yenu mbarikiwe watu.ishi

  • @faithsempombe6169
    @faithsempombe6169 3 года назад

    Faithi

  • @marcythomas3266
    @marcythomas3266 3 года назад

    Nice song

  • @opiyooduor5384
    @opiyooduor5384 5 лет назад +1

    Amina!

  • @janmd6764
    @janmd6764 5 лет назад

    Amen

  • @marymseven3546
    @marymseven3546 5 лет назад

    Nice

  • @bhokematiko1249
    @bhokematiko1249 5 лет назад

    Amen

  • @simonmathias2185
    @simonmathias2185 5 лет назад

    Amen