Aisee Kiswahili kikitungwa na kiimbwe kwa ufasaha ni lugha nzuri sana. Waimbaji na watunzi wa wimbo huu wapate kubarikiwa maanake ndani ya dakika nne wametoa hubiri tosha na lakupendeza. Mungu azidishe vipaji hivi ili vimtumikie katika kazi yake
Nashukuru Mungu kwa ajili ya vijana hawa wa nyarugusu. Nyinyi ndio chanzo changu kuokoka katika makampi ya mwaka 2019 pale Kenya -nakuru- KITI. God bless.
Jamani najua wengi mnabarikiwa saana kupitia hii kwaya.. tuwabariki AY Nyarugusu(wabarikiwe na Bwana).. na wimbo wa Mungu kwanza nausubiri kwa hamu saana.. mwende mbali saana..
Nyarugusu barikeweni sana kwasababu nyimbo zenu na mivalio yenu inawatambulisha wasabato ulimweni pote endeleeni hivyo katika ulimwengu huu unao fika mwesho Wake
Wimbo mzuri...Mzidi kubarikiwa na kumtangaza Mungu kwa nyimbo zenu na sauti nzuri.. Bwana Aliyeianzisha kazi hii ndani yenu ataiendeleza mpaka kristo akirudi
Wonderful diction and articulation, the tonal quality is amazing, not forgetting the powerful message in the song. Mbarikiwe vijana wa Nyarugusu. Greetings from Newlife Church, Nairobi.
This is one my favorite songs , thank you for translating it I am going to be blessed even more by listening to the tune , the harmony and the word. May God Almighty richly bless you
Amazing , amazing work Nyarugusu. One of my most favorite choirs. Your lead singers are powerful. Be blessed as you bless the lord and encourage us listeners.
Been listening to this song and everyday it comes out so fresh and so new. Thanks so much for thrilling our hearts with this powerful music. How i long to sing wimbo ya nne🙏🙏
Aisee Kiswahili kikitungwa na kiimbwe kwa ufasaha ni lugha nzuri sana. Waimbaji na watunzi wa wimbo huu wapate kubarikiwa maanake ndani ya dakika nne wametoa hubiri tosha na lakupendeza. Mungu azidishe vipaji hivi ili vimtumikie katika kazi yake
Amina
Tuseme nini zaidi ya AMEN kwa MUNGU anae tupa mibaraka kupitia hawa vijana 🙏
Mungu azidi kuwafanya chombo cha kutangaza injili yke
Nashukuru Mungu kwa ajili ya vijana hawa wa nyarugusu.
Nyinyi ndio chanzo changu kuokoka katika makampi ya mwaka 2019 pale Kenya -nakuru- KITI.
God bless.
Amen
Wimbo huu mzuri kweli mbarikiwe waimbaji Mungu awazidishie kipaji🙏
Jamani najua wengi mnabarikiwa saana kupitia hii kwaya.. tuwabariki AY Nyarugusu(wabarikiwe na Bwana).. na wimbo wa Mungu kwanza nausubiri kwa hamu saana.. mwende mbali saana..
Jamani wana Nyarugusu tu nashukuru sana kwa kufanya kazi na studio yetu kwa kweli nyinyi ni mibaraka aisee. Karibuni sana Kenya.
I like vile mnayatamka maneno
Nyarugusu barikeweni sana kwasababu nyimbo zenu na mivalio yenu inawatambulisha wasabato ulimweni pote endeleeni hivyo katika ulimwengu huu unao fika mwesho Wake
This choir is amazing and all the lead singers are blessed with awesome voices. God bless you
One of my favourites from you Wapendwa 😊..
Naupenda sana wimbo huu. Nawapenda sana vijana wa NYARUGUSU.
Mungu aibariki kazi yenu.
Amen amen nabarikiwa sana
Hongereni sana! .Hakika nime barikiwa.
Amen 🙏
Mungu hawabariki kwa mupangilio nzuri wa saiti.
Barikiweniii
Nami natamani kuimba huo wimbo nne barikiweni sana kutoka mafinga ahsante
Jua linapozama
God bless all for singing well song
Haleluyaaaa BWANA ATUKUZWE SANA KWA HII KWAYA MNATUBARIKI SANA..
Barikiwa dana
Wimbo mzuri...Mzidi kubarikiwa na kumtangaza Mungu kwa nyimbo zenu na sauti nzuri..
Bwana Aliyeianzisha kazi hii ndani yenu ataiendeleza mpaka kristo akirudi
Aminaaaaaaa
Nice
The lead singer is bless with an amazing voice
Ameen....nitaimba kwenye barabara zile za dhahabuu mbarikiwe mnoo... sauti zenu sasa
I will sing it on those golden streets...The Glory Song..Amen AY NYARUGUSU
Nice song
God bless you
I love this song, God bless your ministry my brothers and sisters
Wonderful diction and articulation, the tonal quality is amazing, not forgetting the powerful message in the song. Mbarikiwe vijana wa Nyarugusu. Greetings from Newlife Church, Nairobi.
God bless You Bro
This is one my favorite songs , thank you for translating it I am going to be blessed even more by listening to the tune , the harmony and the word. May God Almighty richly bless you
Natamani siku moja mtutembelee Dar es salaam😰🙏
Walikuwepo muda mwingi sana kuanzia mwezi wa sita mwishoni mpaka mwezi wa saba, walikuwa kwenye makambi ya Magomeni, mzizima nafkiri na tabata
this is the song which made me follow this choir after seeing it on a friends status, keep it up
Amina napenda Sana nyimbo
Mungu awabariki wote
Mungu awabariki sana Nyarugusu kwaya
I can't stop listening to this song, God bless you Nyarugusu AY. I pray that we'll all sing that 4th song. My prayer my desire
Amina
Nami natamani kuuimba huo wimbo wa NNE
Nimebarikiwa sana
Mme ni bariki sana mpaka hata kwenye Mungu kwanza Chato mbarikiwe sana
Nmebarikiwa mno na wimbo huu, mbarikiwe sana watumishi wa Mungu 😘
Wonderful video brethren. God bless you all.
Wimbo wa nne tutauimba
Mubarikiwe watoto wa baba etu aliejuu
Wimbo mzuri sana nimeupenda sana
Wimbo wa 4 mzr mtamuuuuuuu
This song has been the anthem of my heart of late, so beautiful, so sweet if we are on earth and there are songs like these how shall it be in heaven?
Amazing , amazing work Nyarugusu. One of my most favorite choirs. Your lead singers are powerful. Be blessed as you bless the lord and encourage us listeners.
Ameen
Amina. Lazima nitauimba huo wimbo wa nne
Wanatisha sana Mungu awàongoze
Aminaa
Very powerful song...God bless all of you sons and daughters.
Amina 2022
Ipo siku tutaimba wimbo wa nne,Amen
quality work
Ever a blessing. 🙏 mpya kwa ujumbe na mibaraka kila kuchao.
To God be the glory
Hongereni nammiss huyu Dada alie lead wimbo wa Jerusalem na Bertha alishaolewa
Wameku miss pia
@@nyarugusuaychoir1665 naomba namba yake plzz kama hutojali
Good xong mungu azid kuwa ongoza
Brethren, your choir is amazing
Aminaaaaaaa. Mungu awabariki sana
Wimbo mzuri🙏🙏
I pray that we all sing the song of Moses and the Lamb. Thank you so much Nyarugusu Adventist Youth Choir.
Amen we shall sing
I love the song
Ameen barikiwa sana nyarugusu
Nilipenda sana kuwaona mkiwa dsm tabat kwa uimbaji mzur
Amen ,Tunafarijika kusikia hivyo.
NYARUGUSU AY CHOIR amina
This song is so good I love it GOD BLESS NYARUNGUSU
I really love this song
Amen
Nice song blessed all
The message has very rich content... Blessed by its message
Balikiwa
Been listening to this song and everyday it comes out so fresh and so new. Thanks so much for thrilling our hearts with this powerful music. How i long to sing wimbo ya nne🙏🙏
😂😂 p
i just love the song
Who review's this song this 2023 june?
I love you nyarugusu
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nyarugusu Be Blessed
This is a masterpiece, well done Nyarugusu. I love this song so much. I would like to know the composer
Me too
May God bless you abundantly I love your songs
Good work, be blessed Nyarugusu AY
Mungu awainue
Be blessed
Amen
Mungu awabariki sana nyimbo zetu ninazipenda sana. Naomba nipate number ya simu ya mwalimu wa choir.
I LOVE THIS CHOIR.MAY GOD BLESS THIS CHOIR
Amen and amen. Nyarugusu, heaven rejoices about you . You are a choir to behold.
nawapendaaa Sana'a jeshi lisilo LA kawaida batsman kuamia kigoma kwa ajir yenu mbarikiwe watu.ishi
Faithi
Nice song
Amina!
Amen
Nice
Amen
Amen