WALIOKUWA KWENYE MASOMO ISRAEL WAELEZA WAZI YALIYOWAKUTA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Vijana kutoka vyuo mbalimbali vya kilimo na ufugaji waliokuwa nchini Israel warejea nchini Tanzania wakielezea changamoto na waliyojifunza
    HAKIKISHA UNASUBSCRIBE CHANEL HII NA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WA KWANZA KUPATA HABARI ZETU

Комментарии • 28

  • @salymsuleiman2035
    @salymsuleiman2035 3 месяца назад +1

    Ushoga jee hamukujifunza

  • @NoelaMgala
    @NoelaMgala 3 месяца назад

    Safi sana ,karibu nyumbani

  • @Noelkarata4575
    @Noelkarata4575 3 месяца назад

    Karibuni Tanzania

  • @segolenaurassaUrassa
    @segolenaurassaUrassa 3 месяца назад

    🎉🎉🎉

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 3 месяца назад

    Bora ulivyorudi kwa mziki huu ni hatari sana hakufai

  • @GonsalvaMsaki
    @GonsalvaMsaki 3 месяца назад

    Hongereni Kwa kurudi salama na kupanua Ugo Kwa kilimo Colu hatutakufa njaa

  • @AgathaKyara-vz4yb
    @AgathaKyara-vz4yb 3 месяца назад +1

    Hongereni sana vijana wetu

  • @aviaseba9822
    @aviaseba9822 3 месяца назад

    Hongeraa sanaaa sr karibu tena nyumbanii❤

  • @InocensiaMshihiri
    @InocensiaMshihiri 3 месяца назад

    Hongera sana sr pamoja na wanafunzi wenzio hongereni sana na karibuni

  • @anuaritemndeme
    @anuaritemndeme 3 месяца назад

    Ni furaha kubwa jamani ndugu zetu, tunamshukuru Mungu kwa ajili yenu, Sr.wetu karibu sana. Tumekumisi na tunahamu ya kujifunza kwako na kuongeza ufanisi wa kilimo.

  • @AdventinaRichard-op9eu
    @AdventinaRichard-op9eu 3 месяца назад

    Hongera mdogo wetu karibu mnomno nyumbani

  • @DATIVAKAVISHE-ik9zz
    @DATIVAKAVISHE-ik9zz 3 месяца назад

    Hongera sana Sr na karibu nyumbani

  • @magrethkavishe2989
    @magrethkavishe2989 3 месяца назад

    Hongereni Sana Na karibuni Sana Tanzania.

  • @AffectionateBinaryCode-wt3li
    @AffectionateBinaryCode-wt3li 3 месяца назад

    Homgera sana

  • @DianaSheshe
    @DianaSheshe 3 месяца назад

    Karibu sana Mdogo wangu

  • @stevenmhina7915
    @stevenmhina7915 3 месяца назад +1

    Katibuni tena Tanzania hakika Mungu ni mwema

  • @zahormohammed4476
    @zahormohammed4476 20 дней назад

    Vipi kuhusu mwenzenu alokwenda kusoma kilimo na hatimae akafa akiwa mikononi mwa hamas akiwa amevalia gwanda za jeshi la izrael

  • @LeahMsangula
    @LeahMsangula 3 месяца назад

    Hongera bega na tunashukuru Mungu kwa kuwarejesha salama

  • @NeemaUrassa-u8t
    @NeemaUrassa-u8t 3 месяца назад

    Karibuni tena Tanzania 🇹🇿

  • @londydludla6087
    @londydludla6087 Месяц назад

    We dada ulikua masomoni au utumwani?

  • @jeromesilayo6048
    @jeromesilayo6048 3 месяца назад +1

    Kutoka chuo cha Kilimo na mifugo KILACHA - KILIMANJARO

  • @MrLonesome73rd
    @MrLonesome73rd 3 месяца назад

    Kwahiyo walikuwa wafanyakazi sio wanafunzi.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 3 месяца назад

    Fundisheni wananzi toka lzrael sababu hali inaenda kuwa mbaya zaidi ndani ya lzrael na Lebanon hisbala wanekataa kusitisha mashambulizi ya silaa ya kati bado silaa nzito hisbala hawajaanaza kutumia wanaweka pressure kwa lzrael kuacha vita Gaza ilishindikana wataanz kujibishana kwa silaa nzito nzito bande zote mbili

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 3 месяца назад

    Kumbe Israel co nchi ya kikatorik duuuh na wale wanaoisema nchi takatifu au teule wanamaanisha nn, niulize tena yesu alikua mkatoliki au msabato?

  • @MnyoneEvangelista
    @MnyoneEvangelista 3 месяца назад

    Hongereni sana wapendwa wetu kwa kutuwakilisha vema nchini Israel Mungu mkuu.

  • @LeahMsangula
    @LeahMsangula 3 месяца назад

    Hongereni sana vijana wetu