WALIOKUWA KWENYE MASOMO ISRAEL WAELEZA WAZI YALIYOWAKUTA
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Vijana kutoka vyuo mbalimbali vya kilimo na ufugaji waliokuwa nchini Israel warejea nchini Tanzania wakielezea changamoto na waliyojifunza
HAKIKISHA UNASUBSCRIBE CHANEL HII NA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WA KWANZA KUPATA HABARI ZETU
Ushoga jee hamukujifunza
Safi sana ,karibu nyumbani
Karibuni Tanzania
🎉🎉🎉
Bora ulivyorudi kwa mziki huu ni hatari sana hakufai
Hongereni Kwa kurudi salama na kupanua Ugo Kwa kilimo Colu hatutakufa njaa
Hongereni sana vijana wetu
Hongeraa sanaaa sr karibu tena nyumbanii❤
Hongera sana sr pamoja na wanafunzi wenzio hongereni sana na karibuni
Ni furaha kubwa jamani ndugu zetu, tunamshukuru Mungu kwa ajili yenu, Sr.wetu karibu sana. Tumekumisi na tunahamu ya kujifunza kwako na kuongeza ufanisi wa kilimo.
Hongera mdogo wetu karibu mnomno nyumbani
Hongera sana Sr na karibu nyumbani
Hongereni Sana Na karibuni Sana Tanzania.
Homgera sana
Karibu sana Mdogo wangu
Katibuni tena Tanzania hakika Mungu ni mwema
Vipi kuhusu mwenzenu alokwenda kusoma kilimo na hatimae akafa akiwa mikononi mwa hamas akiwa amevalia gwanda za jeshi la izrael
Hongera bega na tunashukuru Mungu kwa kuwarejesha salama
Karibuni tena Tanzania 🇹🇿
We dada ulikua masomoni au utumwani?
Kutoka chuo cha Kilimo na mifugo KILACHA - KILIMANJARO
Kwahiyo walikuwa wafanyakazi sio wanafunzi.
Fundisheni wananzi toka lzrael sababu hali inaenda kuwa mbaya zaidi ndani ya lzrael na Lebanon hisbala wanekataa kusitisha mashambulizi ya silaa ya kati bado silaa nzito hisbala hawajaanaza kutumia wanaweka pressure kwa lzrael kuacha vita Gaza ilishindikana wataanz kujibishana kwa silaa nzito nzito bande zote mbili
Kumbe Israel co nchi ya kikatorik duuuh na wale wanaoisema nchi takatifu au teule wanamaanisha nn, niulize tena yesu alikua mkatoliki au msabato?
Yesu alikua muislam
Yesu haujui ukristo @@HusseinAbdul-is9xq
Hongereni sana wapendwa wetu kwa kutuwakilisha vema nchini Israel Mungu mkuu.
Hongereni sana vijana wetu