@@777daudi bado john 10:16 ametumia neno kondoo wengine,wewe unabaki gentiles,na ilo andiko hujalielewa,hapo aliposema kondoo wengine alikua akimaanisha zile kabila zingine za Israeli kabla hajawakusanya pamoja,manaake Yesu alianza kwake nyumbani ukoo wa Yuda walipoanza kumkataa baadhi yao ndipo akasema kondoo wengine,fanya mankini hakumaanisha watu wa mataifa
Allahamdhulla
Safi
M.a Ustadh Ali karanja
Shk Ali wewe kiboko ALLAH akupe afya
Ustadh Ali Karanja kiboko.
Enzi hizo Kenya haipo😂😂😂
Ibrahim hakuwa myahudi wala mnasara. Qur'an inasema hivo
ukiskia neno KONDOO kwa bibilia ujue ni wana wa Israel,waliobakia wote ni GENTILES/ watu wa mataifa,sasa pepo ya Yesu wanaingia Kondoo peke yao
Soma jonh 10/16
@@777daudi bado john 10:16 ametumia neno kondoo wengine,wewe unabaki gentiles,na ilo andiko hujalielewa,hapo aliposema kondoo wengine alikua akimaanisha zile kabila zingine za Israeli kabla hajawakusanya pamoja,manaake Yesu alianza kwake nyumbani ukoo wa Yuda walipoanza kumkataa baadhi yao ndipo akasema kondoo wengine,fanya mankini hakumaanisha watu wa mataifa