Kwani waschana wa kiislam mkishajulikana kwenye mitandao uwa mnaacha kujistiri yani kujifunika kichwa? ALLAH anasema kila unywele mmoja unakulaani ukiwa hujafunika kichwa ukiswa ehemu isiyosahihi yani usiiporuhusiwa kuacha kichwa wazi
Sultana mbona umesema ulikuwa unaiga sana kuwa muigizaji lakini wazazi wako walikuwa wakipinga+ tena umesema wazazi walikufa ukiwa na 7years!!hapo umenichagaya kiasi
Wacheni mungu aitwe mungu
God is really greatful and His love is unconditionally
With God 🙏 nothing is impossible
It's a touching story pole kwake kwa kupoteza wazazi,
God is great ❤
Hakika Mungu ni mkuu…. We need to rethink of development in the rural areas especially in south and north coast
Poleni..sana.kwa.msiba
mungu akuongoze
Congratulations sultana
she's pretty🥰🥰
She's Sooooooooo Beautiful ❤️❤️❤️❤️❤️❤️😍...
Nothing really is impossible 🙏🙏🙏 sultana changed me in person and I will fight for my dreams always, am an actress naomba nafasi kwenu 🤲🤲🤲
❤
Mungu n mungu aki❤❤❤❤❤
kupitia mangumu sio mwisho wa maisha aki mungu ni mungu tu 😭
Tamka Mungu hivi sio mungu huyu
Stiri kichwa dadangu
❤❤❤❤❤
So grateful
Stiri kichwa dadangu...humuoni mwenzio marufu huyo kastiri nywele zake
Sema.Na.Citize
Mungu ni mwaminifu siku zoto..
oh my goodness. happy to see her. why cant she remove those gogos
Sultana she is beautiful waw
Mungu ni mwema
Kwani waschana wa kiislam mkishajulikana kwenye mitandao uwa mnaacha kujistiri yani kujifunika kichwa? ALLAH anasema kila unywele mmoja unakulaani ukiwa hujafunika kichwa ukiswa ehemu isiyosahihi yani usiiporuhusiwa kuacha kichwa wazi
Nice
Wewe n kipofu Ama n acting 2
Acting tu
Sultana🥰
Ulipoteza wazazi wako wawili ukiwa na miezi saba lakini baadae walikuwa wanakupinga kwa talanta yako 😢😢 hapo sijaelewa
Wazazi walomlea ndio anamaanisha
Coz kama shangazi yake alimnyonyesha Sasa Hana budi kuwaita wazazi wake
Walomlea wewe nawe.
@@mercykaranja5925 😂ndo nikasema sijaelewa sio eti nimepinga😂😂
She ment wazazi walio mlea coz aliishi nao
🎉🎉🎉🎉🎉❤
ok
Wacha Mungu aitwe Mungu🥲🥲
😭😭😭😭😭😭
Sasa lulu msalimu sultana
Sultana nami mwigisaji ila Sina support naomba msaada wako
Kumbe sultana ww wa kwetu sio,,najivunia
Na wenye mnauliza. Kama sultana ni blind ya ukweli mko ajee? Kwani huwa hamumuoni kwa pete😂
Kwa Pete ipo ? Anact kama nani ktk Pete mbona sikumuona hadi ikaisha?
@@Ummu-Nauthar98 wale vijakazi wawili wa kwakina nimimi pili na mwenzake
Aki nawashangaa na kwa pete yuko sawa
Mm hta nlidhani wewe n mtz kumbe n mamako
Hi Lulu ni mirriam from athiriver salimia suitana Sana.
Madam hii sio Radio
@@dominickariuki8873 😂😂😂
😂😂😂
@@dominickariuki8873surely hamna huruma😂😂😂😂
@@dominickariuki8873 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wazazi walikuwa wanakupinga uingizaji,how when you lost your parents at only 7months? Hapo sielewi 🤔🤔
Kumbe wajiuliza Ka Mimi 😂😂
Thumbnail is misleading I thought she was a cult leader damn🤣
Sultana mbona umesema ulikuwa unaiga sana kuwa muigizaji lakini wazazi wako walikuwa wakipinga+ tena umesema wazazi walikufa ukiwa na 7years!!hapo umenichagaya kiasi
Kuwamuelewa yeye pia alifanya kuelezewa
Shangazi ndio alokuwa anapinga
Sultana anasema hukupata kuwaona wazazi wake so inaonyesha sultana sio kipofu kama ilivo kwenye filamu yake
Sultana sii kipofu ni part tu ya uigizaji
Is mwanasha Johari real blind ?
No