JAIVAH Amkataa MARIOO Aungana Na CHINO?/Amuandikia UJUMBE Huu Baada ya TUZO/CHINO KUMKAUSHIA MARIOO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 окт 2024

Комментарии • 21

  • @dorisfabian4776
    @dorisfabian4776 3 часа назад +4

    Chino asijibu chochoteee...

    • @saidmasika8738
      @saidmasika8738 Час назад

      kabisa mario akutak Chino hafanikiwe ukweli nausemwe

  • @HasaniJuma-ew2kw
    @HasaniJuma-ew2kw 2 часа назад +1

    Tfg online tv

  • @yusrairakoze3966
    @yusrairakoze3966 3 часа назад +2

    Kwakweli Chino amekoseya hata mtu akufanyiye kidogo unaweza kushukuru kwa sababu iyi duniya ukipata ukamsahawu aliye kusaidiya hata kidogo inakuwa haipendezi

    • @sharifabahar9905
      @sharifabahar9905 Час назад

      Tulia ujawai kusaidia na binadamu anaetak umfanye Mungu mtu binadamu anaweza kukusaidia ila hataki umzidi

  • @Isackbalancebei
    @Isackbalancebei 6 часов назад +1

    👍

  • @aishaaisha4549
    @aishaaisha4549 7 часов назад +3

    Kawaida ya binadamu akipata hu sahau

    • @PhillyAmbilikile
      @PhillyAmbilikile 6 часов назад

      Pia kawaida ya binadamu akikusaidia anatamani kukugeuza kuwa mtumwa nawapenda ambao wakisaidiwa Huwa wanajikataa

    • @Peterchila-un2lx
      @Peterchila-un2lx 6 часов назад

      Mbona wewe umesahau

    • @Peterchila-un2lx
      @Peterchila-un2lx 6 часов назад +1

      @@PhillyAmbilikile kenge wewe

    • @PhillyAmbilikile
      @PhillyAmbilikile 6 часов назад

      @@Peterchila-un2lx utaona au ndo wewe unataka bosi wako awe anakukuna mond wa uswazi wewe njooo upididini tunakupa umaarufu

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 7 часов назад +2

    Mario yuko na wivu na chino

    • @Peterchila-un2lx
      @Peterchila-un2lx 6 часов назад +1

      Anawivu Kama wewe

    • @HasaniJuma-ew2kw
      @HasaniJuma-ew2kw 2 часа назад +2

      Marioo ni mtu pouw sana sema ata harmonize alipo toka kwa diamond weng walimsema mondi kuwa mwenye roho mbaya ila Ukweli kila siku unazidi kuwa wazi

    • @sharifabahar9905
      @sharifabahar9905 Час назад

      Tena anaroho mbaya sana alitaka chino amfanye Mungu mtu yeye mwenyewe Mungu amemlipa nn mbaka leo

    • @sharifabahar9905
      @sharifabahar9905 Час назад +1

      ​@@HasaniJuma-ew2kw😂😂😂😂umjui marioo aliweza kuchambana na Mtoto wa kike hakamtoa adi kwenye nyimbo diamond alimtoa harmonize kipindi ajulikani ila Rich mavoko alimtoa chino kutoka ifakara mbaka dar es salaam

    • @HasaniJuma-ew2kw
      @HasaniJuma-ew2kw Час назад

      @@sharifabahar9905 he ni haki ku mfanyia marioo anayo fanyia kusema vibaya

  • @BenjaSamson
    @BenjaSamson 3 часа назад +2

    Sikweli chino hajui kuimba uchawi ndio unampa utajiri Mario ndiochazo chamaisha yako

    • @sharifabahar9905
      @sharifabahar9905 Час назад

      Kama marioo chanzo cha maisha yake mbona kashindwa kumtangaza msanii wake mbaka leo

    • @AllyMngoya-ov8fs
      @AllyMngoya-ov8fs 43 минуты назад

      Riziki ipo mikonon mwa mtu izo nyingine ni sababu to kama kifo elewa ilo