Kwakweli Chino amekoseya hata mtu akufanyiye kidogo unaweza kushukuru kwa sababu iyi duniya ukipata ukamsahawu aliye kusaidiya hata kidogo inakuwa haipendezi
@@HasaniJuma-ew2kw😂😂😂😂umjui marioo aliweza kuchambana na Mtoto wa kike hakamtoa adi kwenye nyimbo diamond alimtoa harmonize kipindi ajulikani ila Rich mavoko alimtoa chino kutoka ifakara mbaka dar es salaam
Chino asijibu chochoteee...
kabisa mario akutak Chino hafanikiwe ukweli nausemwe
Tfg online tv
Kwakweli Chino amekoseya hata mtu akufanyiye kidogo unaweza kushukuru kwa sababu iyi duniya ukipata ukamsahawu aliye kusaidiya hata kidogo inakuwa haipendezi
Tulia ujawai kusaidia na binadamu anaetak umfanye Mungu mtu binadamu anaweza kukusaidia ila hataki umzidi
👍
Kawaida ya binadamu akipata hu sahau
Pia kawaida ya binadamu akikusaidia anatamani kukugeuza kuwa mtumwa nawapenda ambao wakisaidiwa Huwa wanajikataa
Mbona wewe umesahau
@@PhillyAmbilikile kenge wewe
@@Peterchila-un2lx utaona au ndo wewe unataka bosi wako awe anakukuna mond wa uswazi wewe njooo upididini tunakupa umaarufu
Mario yuko na wivu na chino
Anawivu Kama wewe
Marioo ni mtu pouw sana sema ata harmonize alipo toka kwa diamond weng walimsema mondi kuwa mwenye roho mbaya ila Ukweli kila siku unazidi kuwa wazi
Tena anaroho mbaya sana alitaka chino amfanye Mungu mtu yeye mwenyewe Mungu amemlipa nn mbaka leo
@@HasaniJuma-ew2kw😂😂😂😂umjui marioo aliweza kuchambana na Mtoto wa kike hakamtoa adi kwenye nyimbo diamond alimtoa harmonize kipindi ajulikani ila Rich mavoko alimtoa chino kutoka ifakara mbaka dar es salaam
@@sharifabahar9905 he ni haki ku mfanyia marioo anayo fanyia kusema vibaya
Sikweli chino hajui kuimba uchawi ndio unampa utajiri Mario ndiochazo chamaisha yako
Kama marioo chanzo cha maisha yake mbona kashindwa kumtangaza msanii wake mbaka leo
Riziki ipo mikonon mwa mtu izo nyingine ni sababu to kama kifo elewa ilo