Hivi ndivyo nyimbo za taratibu zinavyotaka akili nyingi ya kucheza na beat na muimbaji uwe creativity HERI nice cover nice creativity UMEIPITA ya ben pol ila nilikuwa naombi kama kisauti chembamba sana kingeusika kwa mwisho hivi
honestly hii cover imeniingia zaidi kuliko original song yenyewe ya ben paul... umetisha man... hii ndo cover ya kwanza kibongo bongo kuipoyeza original song yake...
Kaka nimependa sanaaaa kazi yako. Huu Ni Muziki uliokamilika kiasi cha kusikilizika kokote duniani na wote wanaoelewa maana ya muziki kitaalamu lazima umewachota wazimawazima. I challenge you to keep this up. Nice work bro!
I’m just getting to know him.. sijawah mjua. Your face .. the emotions you bring your voice... not to compare but this a great work. Natafta your social media’s account.!
Woow dhaa jamani wewe ni noma
Motooo!!
Hongera Mwakitalima....Safari yako imeanza mbali nafurahi kuona unapiga step kwenye safari yako hii.
Yente dingiiii aiko kabaya
yan herii jmn... unajua kuimbaa mpk unanikera
kali saa
magesa popote ulipo nakuita huku❤❤
Umefanana na Joe Thomas Sanaa plz ebu mcheki Joe yutube.. Then..... Utaamin dunian watu wanafanana kwakweli.
Kazi nzuri Sana brother
Why am I listening to this now?
woow ..
from tiktok... loving it here
Yan hpo imemis saut ya hiphop kama child beenz kwenye tell me why ya makamua ila ngoma kali
You did it again ..your voice melt my stress indeed😘
Noma
Nice one big broo I like it n jus keep it
u deserve broo keep it up man
Laka nyimbo umeibia Bensoul
Brooo mziki mzuri unaongea
daah I wish npate nafsi #WOAS kupiga covers ...kwan ninazo naninapendaa kufanyaa pia...
Daaah this is what i call tallent
Song amazing so much
Woooow I like this xo good vocal kama zootee Brothee I like you
Hivi ndivyo nyimbo za taratibu zinavyotaka akili nyingi ya kucheza na beat na muimbaji uwe creativity HERI nice cover nice creativity UMEIPITA ya ben pol
ila nilikuwa naombi kama kisauti chembamba sana kingeusika kwa mwisho hivi
honestly hii cover imeniingia zaidi kuliko original song yenyewe ya ben paul... umetisha man... hii ndo cover ya kwanza kibongo bongo kuipoyeza original song yake...
Me nakukubal sana heri umetisha sanaa
Exquisite
Nice song bro!
Kaka nimependa sanaaaa kazi yako. Huu Ni Muziki uliokamilika kiasi cha kusikilizika kokote duniani na wote wanaoelewa maana ya muziki kitaalamu lazima umewachota wazimawazima. I challenge you to keep this up. Nice work bro!
waoo I like this song
Unajuwa kaka
My brother from another mother. Salute bro and keep it up
mume wngu magesa mm nip hp aunioni❤❤❤
Gud job broda
I am falling in 💕💕
Hii ngoja tam sana haswa ukiwa chumban na.......mambo yanakuwa ni moto maana unaenda nayo talatibu yaniii mwanzo mwisho mambo ni.....NC
Kaka unajua hongera..Keep rising ✌✌🎼🎼
Benpol and cedo..my alltym favorites. . I love this song😥....this makes me wish I would find my soul mate
yan una Imba kwa isia adi laha
This is the best cover of ntala nawe ever neither benpol not bensol
Best cover ever,well done @Heri Music🙌
I love this music....keep inspiring us..here...lots of love😘😘
so chillin n soothin jefe n btw 2memis new songs ktoka kwko...keep it up broski
Hongera my son😍😍😍😍
Great voice well blended with your cuteness
Yo Heri u kill it man 💥
💗
Sauti nzul Kam yeye
Good wakwet
Can't stop listening to this sweet vocal😍😍😍😍😍🔥
Heriiiiii! Wah! Great work guys. Love love love! ❤
This song gives me that chill...vibe maan
Htr xana
Safi sana
Chill Acoustic is in better hands. Keep this up bruhv ✊
Unajichukuria poa sana we jamaa mpaka unaboa, you are the future Rama Dee bt i think u dont see what is inside you
Ur good bruh keep it up
Bensoul is such an incredible writer
Benpol delivered it proper
Dahhhh
Ushachanjiwa
Nakupenda jaman
I love it👌❤
love this voice hope❤ we can collabo someday🙏🏾
muziki murua
You nailed it
Hu is here after five years
😍😍😍
Fundii☀️☀️
This is amazing💖💖💖
Nice kaka
I’m just getting to know him.. sijawah mjua.
Your face .. the emotions you bring your voice... not to compare but this a great work. Natafta your social media’s account.!
Grace Manka Ben Soul wrote this song for Ben Pol 😍
❤❤🇰🇪🇰🇪
Nice cover
Ben pol fyekelea mbali
Ben Pol ameminsipire huyo kaka kufanya cover so apewe heshima yake Tafadhali. #LegendaryBenpol
Bro Nafikil instrumental unaipatia sana asee maana nikianzia ile September song, hii unafikil Ndoa OG zake
Thanks Ernest... Mcheck @erickmalz instagram, ndio guitarist wetu
❤️❤️
Vizur
So powerful
👍👍🤗👌♥️🌹🌹
Maqinii sanaa
Muito bom 👏👏👏🌷
🔥🔥🔥🔥
Huyu ndiye benpol wa arnelisa?🍾
Mi naushauri kwako Mr woas kwanin usiwe unaweka na tutorial za jinsi ya kuzipiga hiz nyimbo kwenye Guiter za rnb bongo unazofanyia cover pls
Asante sana kwa ushauri, wazo zuri.... Litafanyiwa kazi... Shukrani sana Mr. Edson... 👍
hii ngoma si ilikuwa imeimbwa na Bensoul 2017?
Ndio, Ben Pol ndio aliimba but Heri ametoa cover ya hiyo wimbo
Waooo 🤎🌹
You nailed it,,am so happy l love that song and you sang it perfectly 😍😍
😘😘😘😘
Vioice nice bro
big up bro pambana mpk next levo
😍😍😘
brazaaaa tunaomba tutorial za wimbo wa ntala nawe tushasubscribe mda tunasubiria tutorial blazaaaaa
Sawa, ntajitahidi kuiandaa chap
brother i will be much glad when you will upload tutorial of this song guiter pls
Utala na Diva is a the Bwase au mimi tueke Sasa tusije chambana insta
I added the 1000th k! 😎
Nice
Fundi
I wish nije Woas coz even mm nafanya cover
Karibu sana Solomon... U can contact Our producer @erickmalz in instagram and you can arrange.. 👍
@@woas Ok thanks
Kazi nzuri,kuna kundi moja lililofanya cover hino pia,fuata link hii👇
ruclips.net/channel/UCxAYrzrBOPzPnpvDbrSgSmA
Heeeh! We are sorry❤️