"Mungu anena katika Nyimbo". Jifunze sauti hii ya Mungu kwako

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 153

  • @tabumrishoamen8601
    @tabumrishoamen8601 3 года назад

    Ubarikiwe mtumishi wa baba unanibariki sana

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 года назад

    Amina, Yesu Kaa nami

  • @lutenganomwannyalu3366
    @lutenganomwannyalu3366 2 года назад

    Amina Amina mtumishi wa Mungu ubarikiwe

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 2 года назад

    Amen nabarikiwe san kwa Mahubir yako Mtumish Mungu azid kukuinua viwango vingn

  • @astonelieza4880
    @astonelieza4880 3 года назад

    Ubarikiwe Sana mchungaji wangu

  • @GuillaumeLumande-j3d
    @GuillaumeLumande-j3d 10 месяцев назад

    😍ubarikiwe mtumishi wa bwana umefariji moyo wangu kwa kweli kabisa 🙏🙏🙏

  • @dilurai4204
    @dilurai4204 3 года назад +1

    Mchungaji Mungu azidi kukubariki unapotubariki na kutuongoza kufwata njia ilio sahihi, Kwa ukweli mimi Nina tabia ya kutafuta uso wa Mungu wakati nimekumbwa na changamoto, Lkn Leo nimefunguka masikio na macho, Na uniombee Sana Mchungaji unapoomba.

  • @lutemahindiakaje5046
    @lutemahindiakaje5046 5 лет назад +6

    PR DAVID MMBAGA Barikiwa siku zote za maisha yako Wewe na familia yako, Tukutane ile Asubuhi njema tukiuimba wimbo wa Musa na Mwanakondoo

  • @michaeldavid9541
    @michaeldavid9541 4 года назад +1

    Kwa kweli pastor nafurahia sana mafundisho yako popote ulipo mungu azidi kukubariki ,yaaan naenjoy mahubili kiasi kwamba huku nilipo Nahisi mungu yupo pembeni yangu, shukrani sana pastor your very smart.

  • @julietungs3744
    @julietungs3744 5 лет назад +5

    Amen Pastor,..Baraka za Bwana zikufuate daima na milele...Umebarikiwa...

  • @UserUser-gq1ir
    @UserUser-gq1ir Год назад

    Amina amen 🙏🙏🙏

  • @marykainyu4191
    @marykainyu4191 Год назад

    Asate muchugaji kwa fundisho na kutudhilishia juu ya wimbo ni maombi na patanisho na mungu wetu .napendo wimbo Pia Mary kenya

  • @UserUser-gq1ir
    @UserUser-gq1ir Год назад

    This preaching has touched my heart, may the Lord bless you pastor

  • @rubias2978
    @rubias2978 2 года назад

    Wacha tumpe yesu maisha yetu yote akae nasi siku zetu zote za maisha yetu akae nasi ameni

  • @marykainyu4191
    @marykainyu4191 Год назад

    Amen

  • @ilyboymsafi7229
    @ilyboymsafi7229 5 лет назад +7

    Pastor uko vizuri kipindi kizuri na ubunifu umetumika wa kutosha Pastor MUNGU aendelee kukutumia kwani tunabalikiwa sana kupitia wewe.

  • @testarguy8609
    @testarguy8609 4 года назад

    MUNGU akubariki sana mchungaji kwa maana 90% umenijengea ujasiri kiroho na kimwili katika hili pambano kuu dhidi ya muovu shetani,siku hizi kwa kumuamini YESU namkanyaga tu.🙏🙏🙏🙏🙏

  • @feyndungu5567
    @feyndungu5567 5 лет назад +2

    Pastor m humble sana .barikiwa sana

  • @rubias2978
    @rubias2978 2 года назад

    Ni kweli pst

  • @josephshidukiseni8758
    @josephshidukiseni8758 5 лет назад +1

    asante pastor nakupataa vzr na ninabarikiwa pia kwa mafundisho yako mungu azid kukupa myaka mingi ili taji lako lizid kung'a unapotuvuta kwa mungu

  • @gloriousnp
    @gloriousnp 5 лет назад +1

    This had me crying
    Mungu wa mbinguni akubariki pastor, nimepata faraja na tumaini la kusonga mbele kupitia kipindi hiki
    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @bensonissaya4052
    @bensonissaya4052 5 лет назад +1

    Mungu anamuinua mtumishi wake mda wowote na Mahar popote. Hajar umbo, lugha, rangi wala elimu.. Mchungaji Mmbaga Mungu aendeele kukutumia kwa kizazi hiki.. Watu waliokata tamaa wapate tumaini kupitia mtumishi wake.. David.. Amani ya Bwana uwe na ninyi milele Amin na mm pia

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 года назад

    Amina

  • @alexkiwale8949
    @alexkiwale8949 2 года назад

    Amina.

  • @magrethmzava6541
    @magrethmzava6541 5 лет назад +2

    Ameen Mungu awabariki sana ,mch mmbaga na waimbaji wenzangu wote.

  • @rachelmgema6930
    @rachelmgema6930 5 лет назад +2

    Nimebarikiwa sana na somo hili. Nazid kupata nguvu. Ubarikiwe pastor.

    • @peterchacha4108
      @peterchacha4108 5 лет назад

      Nimebarikiwa sana mchungaji Mungu akubariki kazi yake iende mbele.

  • @magirifaith9435
    @magirifaith9435 Год назад

    Powerful

  • @meshackleonce2850
    @meshackleonce2850 4 года назад

    Bwana Yesu asifiwe ..
    "Pr Mbaga Mungu akusaidie Mungu anisaidie, tukutane kwenye Asubuhi ile iliyo kilele cha Mafanikio yetu yetu, nyimbo hakika ni faraja njiani tuelekeapo kwetu kwenye Asubuhi ile"

  • @sarahwawuda7638
    @sarahwawuda7638 5 лет назад +1

    AMEN...MUNGU akubariki sana mch

  • @juliusochika9167
    @juliusochika9167 3 года назад

    Shukurani

  • @cutestpuppies6632
    @cutestpuppies6632 4 года назад

    Utangulizi wa somo hili, unanilenga mimi, pastor Mungu akubariki kwa kunifariji 🙏🙏🙏

  • @charlzmallo4680
    @charlzmallo4680 5 лет назад

    Mchungaji nmekuelewa sana Bwana Mungu akulinde siku zote ofcoz unanibariki sanaaaaaa cjui niseme nini Mchungaji furaha ninayoipata kusikiliza maneno haya

  • @lizb2012
    @lizb2012 5 лет назад +1

    Amina. Pastor, Mungu akubariki pamoja na waimbaji na wote waliohusika 🙏

  • @wewehehe6405
    @wewehehe6405 4 года назад

    Sitairi hii nimependa saaana. Mungu azidi kukubariki na waimbaji wote.

  • @atinaminzani1372
    @atinaminzani1372 5 лет назад +2

    Ujue nimesikiliza ili somo hakika muwatumishi wa Mungu jamani mmbarkiwe.... sasa tuseme hv kama motto wa mkutano ni ugunduzi wa kushangaza na hakika kwenye uandaji wa somo ili umetumika ubunifu wa kushangaza pia.... Pr ubarikiwe.

  • @baby16mariki48
    @baby16mariki48 5 лет назад

    Mungu akubariki sana uendelee kutuelimisha PR David Mbaga naomba mawasilino yako.

  • @jamesmedard5538
    @jamesmedard5538 4 года назад

    Umebarikiwa sana Mtumishi wa Mungu na Bwana wetu yesu Kristo.

  • @edinapaul9044
    @edinapaul9044 5 лет назад

    Amina pastor, unanibariki saana. Mungu akuzidishie hekima na busara. Tuonane mtoni taji yako inakusubiri

  • @ruthkebati8116
    @ruthkebati8116 4 года назад +1

    Am blessed. Glory be to God

  • @wiza2309
    @wiza2309 3 года назад

    Mungu akubariki sana Mchungaji. Unanibariki sana sana, namkumbuka Mama yangu hizi nyimbo mlizoziimba ndizo zilikuwa nyimbo zake, machozi yamenitoka nikiona Ukuu wa Mungu katika maisha yangu, na jinsi ambavyo Mungu amekuwa msaada wetu. Damu ya Yesu iendelee kunena mema kinyume na mabaya yote, akubariki Mungu mwenyezi siku zote za maisha yako, huduma yako iendelee kuwa Nuru ya watu wengi na sote tunaosikiliza tubadilishwe tuwe wana wa Mungu aliye hai, ili siku moja tuje kumlaki pamoja Bwana mawinguni. Amina

  • @happyjohn3067
    @happyjohn3067 4 года назад

    ubarikiwe pastor, hakika hua nabarikiwa na mafundisho yako,

  • @AliM-di8dz
    @AliM-di8dz 5 лет назад

    Ameen mtumishi nimebarikiwa na mahubili yako mungu akupe nguvu na afya, ili uzidi kutufunua barikiwa.

  • @cleonomollonyochol4206
    @cleonomollonyochol4206 5 лет назад +4

    really touching

  • @Gumada-tz
    @Gumada-tz 5 лет назад

    MUNGU u msaada wangu tangu miaka yote ......ni hakika PR Mmbaga unagusa maisha yangu

  • @neemamakwani9715
    @neemamakwani9715 5 лет назад +1

    Hakika Mungu anakutumia vyema pastor,nabarkiwa sana na mahubiri yako,niko Iringa nahitaji kitabu cha maombi yaliyojibiwa.

  • @davidmmbaga3350
    @davidmmbaga3350 5 лет назад +4

    Hapa Mahubiri Tv

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 5 лет назад +1

    Hi video iko vizuri very clear

  • @kalebujacob8323
    @kalebujacob8323 5 лет назад

    Barikiwa sana Mch na waimbaji wote mnafanya vizuri sana

  • @violetnyansiaboka2821
    @violetnyansiaboka2821 5 лет назад +1

    Mungu awabariki. Amen

  • @mwasimichael4903
    @mwasimichael4903 4 года назад

    Pastot nataman uje kwenye makambi 2020 mtaa mpya wa buhongwa mwanza

  • @joharygwassy2513
    @joharygwassy2513 5 лет назад

    Ubarikiwe Pr nimefarijika sana na masomo yako

  • @joshuamasiaga7051
    @joshuamasiaga7051 5 лет назад +1

    Napenda sana mahubili yako mtumishi

  • @alicemahega4829
    @alicemahega4829 5 лет назад

    Mungu akubariki sana Pastor, unanibariki na kunitia nguvu mno kwa ujumbe wa neno la Mungu, Mungu aendelee kukutumia

  • @midwife_anitha
    @midwife_anitha 5 лет назад +2

    ameeen. , I am so blessed

  • @elipidiusezekiel1176
    @elipidiusezekiel1176 3 года назад

    Mungu amejiwekea akiba watu wake, fact your doing great job Mbaga

  • @mandwashija4992
    @mandwashija4992 5 лет назад

    Pr. MUNGU akubariki sana.

  • @elishaambokiletv8624
    @elishaambokiletv8624 5 лет назад

    Ubarikiwe sana pastor kwa somo zuri limenibariki.pia kwaya zote mbili bwana azidi kuwatumia katika kazi yake.

  • @paulnori5360
    @paulnori5360 5 лет назад

    nmebarikiwa sana pr Mungu akubariki sanaaa

  • @zaitunmeshak4147
    @zaitunmeshak4147 5 лет назад

    MTUMISHI nakupenda sana Mungu alibarki kwa hata ninapo kuwa na mawazo nikisikiliza mahubiri yako napata aman

  • @listerokemwa3948
    @listerokemwa3948 5 лет назад +2

    I have been following your teachings since you came for a camp meeting in our church and this one specifically touched me soo much, help pray with me so I be strong in faith,, for sure the grace of God is sufficient. God bless you.

  • @priscamaige1612
    @priscamaige1612 5 лет назад

    Siku zangu zote kaa nami bwana ubarikiwe pastor mbaga

  • @deone728
    @deone728 5 лет назад +1

    Amina pastor,

  • @braytondenis9902
    @braytondenis9902 5 лет назад

    Mungu akubari sana mtu wa Mungu

  • @ayubmwenda2512
    @ayubmwenda2512 4 года назад

    Nimebarikiwa sana na hili somo

  • @ndelemwanangwa3535
    @ndelemwanangwa3535 5 лет назад

    Safi sana kwa nyimbo na ujumbe

  • @jamesonsamson8104
    @jamesonsamson8104 5 лет назад

    Barikiwa sanaaaaa watumishi wa MUNGU.

  • @emmanuelwanjara8394
    @emmanuelwanjara8394 5 лет назад +1

    WAKATI AKILI IKIWA INAFIKIRIA NAMNA NILIVYOANGUKA NDIPO MUNGU HULETA TUMAINI JIPYA NA KUNINONG'ONEZA KUWA NIMESAMEHEWA NAPATA NGUVU YA KUANZA UPYA KUUELEKEA MSALABA. MUNGU AINULIWE KWA AJILI YAKO MCHUNGAJI

  • @nicokakoyo1583
    @nicokakoyo1583 5 лет назад +3

    Kadri ninavockiliza mahubiri yako ndivo misongo inavozid kupungua, hakuna somo ambalo hujawah kunigusa, ukweli pastor unanibariki sna adi nataman kuhamia mahali unapochunga, Mungu akuweke zaidi ili uzidi kutuhudumia

    • @davidmmbaga3350
      @davidmmbaga3350 5 лет назад +2

      Nico Kakoyo Amen

    • @helenarugoheza5919
      @helenarugoheza5919 5 лет назад +2

      Jambo wangu zagu ninataka muniobeye sana kwasababu mimi nitaka kuokaka ila inachidikana please tell your story of me please please Thanks minisaadiye sana tena sana

    • @davidmmbaga3350
      @davidmmbaga3350 5 лет назад

      Helena Rugoheza Hellen uko wapi?

    • @nicokakoyo1583
      @nicokakoyo1583 5 лет назад

      @@helenarugoheza5919 Mungu akusimamie

  • @atinaminzani1372
    @atinaminzani1372 5 лет назад +1

    Hv mchungaji jamani unachunga wapi mtaa gani natamani nihamie maana unanibariki kuliko kawaida kiukweli..... Mungu akupe maisha marefu na azidi kukutumia.

  • @queennosh3563
    @queennosh3563 4 года назад

    God bless u pastor saana

  • @lutenenhatagambaga5050
    @lutenenhatagambaga5050 5 лет назад +1

    Aiseee pastor Mbaga kwakweli ktk Mahubiri yako nabarikiwa xana nafatilia kwa makini mno Mung akubariki na akurinde kabsa maana mpk nabarikiwa naelewa mpk na mm nawaelekeze wezangu endelea kuturixha neno la Bwana.

  • @jailomhengilolo2898
    @jailomhengilolo2898 5 лет назад

    Ameen barikiwa kwa somo zuri🙏

  • @emilyvngoma4911
    @emilyvngoma4911 5 лет назад

    Haleluya haleluya haleluya

  • @christinasenga4412
    @christinasenga4412 5 лет назад

    Amina pastor barikiwa sana

    • @neemaedward6791
      @neemaedward6791 5 лет назад

      Mmm sina lugha nzuri ya kueleza jinsi moyo wangu ulivyopata pumziko,barikiwa sana
      Pr.

  • @mawiluis9215
    @mawiluis9215 4 года назад +1

    Thank you very much choir and pastor

  • @mashaelieazer6120
    @mashaelieazer6120 5 лет назад

    Nimebarikiwa sana

  • @moneya7029
    @moneya7029 5 лет назад

    Ama kwa hakika nimebarikiwa na video hii Mungu akupe maisha marefu PR amañi furaha na upendo vidumu kwako

  • @singosingojr6210
    @singosingojr6210 5 лет назад +15

    Hata kama ingekuwa kukubebea begi lako unapoenda kuhubiri ningekuwa tayari kufanya hivyo...hakuna unafiki ndani yako kwan huwaunafanya kwa moyo wako wrote,roho yako yote,akili yako yote na nguvu zako zote.UMEBARIKIWA SANA.

    • @davidmmbaga3350
      @davidmmbaga3350 5 лет назад +2

      Singo Singo Jr Mungu akubariki

    • @helenarugoheza5919
      @helenarugoheza5919 5 лет назад +1

      Jambo ninataka kuona munisaidiya kwamaana mimi ninataka kuokoka kabisa

    • @davidmmbaga3350
      @davidmmbaga3350 5 лет назад

      Helena Rugoheza Tunaomba number ya sim au email yako?

    • @eliasjoseph7777
      @eliasjoseph7777 5 лет назад

      Kabsaa MUNGU azid kumpa maisha maleef ili azid kutubarik zaid

    • @georgemerere3448
      @georgemerere3448 5 лет назад

      Amenii nampenda pastor amenikoa

  • @sikweliamosi2654
    @sikweliamosi2654 5 лет назад

    Mbaga mbaga mbaga na kukubali kamanda tupo pamoja.

  • @amanibwire4423
    @amanibwire4423 5 лет назад

    jmn nashindwa kujizuia machoz yafuraha yanitoka napenda kuimba na naomba Mungu anisaidie siku ile tuwepo wote tukiimba wimbo wa Mussa::Amen!!! Ahsant Yesu kwa hili

  • @sabatomjungu9727
    @sabatomjungu9727 5 лет назад +1

    Hakika inapendeza ,
    kama ukali wa bahari wanadamu pepo na shetani mawimbi ya wezaje kuumiza chombo kilicho na Yesu bwana ,
    Mambo pia vya msikia ,utulia
    Jina la Bwana litukuzwe milele

  • @MaryWilson-vg2mm
    @MaryWilson-vg2mm 3 года назад

    Katika TV Chanel yako inaitwaje?

  • @samwelwankuru3155
    @samwelwankuru3155 5 лет назад +1

    amina

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 5 лет назад +1

    Na imetulia

  • @mariengatia
    @mariengatia 5 лет назад

    Am so blessed

  • @lutenganomwannyalu3366
    @lutenganomwannyalu3366 2 года назад

    Waimbaji mnatubariki kwa jinsi mnavofuatana na mchungaji vema, mubarikiwe mnoo

  • @angel-y
    @angel-y 5 лет назад

    Amen.

  • @roseraphael1338
    @roseraphael1338 5 лет назад

    Pastor nimebarikiwa sana nimetendwa na mwanaume niliyempenda sn nilikuwa najiona km dunia inanicheka mm but ujumbe huu umenitia nguvu

  • @irenetukiko8967
    @irenetukiko8967 5 лет назад

    Ameeen,,,

  • @tonnsimbasportsclub7168
    @tonnsimbasportsclub7168 5 лет назад

    Masomo Yanaanza lin pastor

    • @agnesf6060
      @agnesf6060 5 лет назад +1

      Amina ubarikiwe pr

    • @agnesf6060
      @agnesf6060 5 лет назад +1

      nimebarikiwa sana pr nilikuwa na mzigo mzito kwa maneno matakatifu yametia nguvu nikajiona sijaachwa na yesu Mungu akupiganie sana pr

    • @davidmmbaga3350
      @davidmmbaga3350 5 лет назад

      Amen

    • @kaliwabuyehosheba4330
      @kaliwabuyehosheba4330 5 лет назад

      @@davidmmbaga3350
      Ubarikiwe sana Baba una kundi LA whatsap naomba link kama lipo Baba

    • @bettyhassan2483
      @bettyhassan2483 5 лет назад +1

      MUNGU akubariki sn!!
      MUNGU anakutumia pr. Mmbaga
      Nakuombea uzidi kutumika zaidi kwa utukufu wa BWANA.

  • @MahubiriPrMmbaga
    @MahubiriPrMmbaga  5 лет назад

    Amen!! Kupata kitabu piga +255759612430

    • @wewehehe6405
      @wewehehe6405 4 года назад

      Natafuta kitabu "matukio ya siku za mwisho" sijui naweza kukipataje. Naishi Marekani na napenda cha kiswahili. Nisaidieni kukipata. Asante

  • @nyabirorialine9507
    @nyabirorialine9507 5 лет назад

    Abayumba

  • @عيالي-م6ف
    @عيالي-م6ف 5 лет назад

    Jambo pasteur .naombo namba Yako Bana

  • @leahchallomachibya1791
    @leahchallomachibya1791 5 лет назад

    Mwalimu fredy kirya Hao wa kushi umewapata wapi au ndo light b 2

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 4 года назад

    Amen

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 года назад

    Amina.

  • @mwasimichael4903
    @mwasimichael4903 4 года назад

    Pastot nataman uje kwenye makambi 2020 mtaa mpya wa buhongwa mwanza

  • @paulnori5360
    @paulnori5360 5 лет назад

    nmebarikiwa sana pr Mungu akubariki sanaaa

  • @ndelemwanangwa3535
    @ndelemwanangwa3535 5 лет назад

    Safi sana kwa nyimbo na ujumbe

  • @irenemasheli9360
    @irenemasheli9360 5 лет назад

    nabarikiwa sana