Kazi nzuri Ila mnachelewesha... Watazanaji wanamchango mkubwa Sana fikirieni kuhusu hili ikiwezekana kuwe na ratiba rasmi kuwa baada ya siku kadhaa itatoka.. asante
Lugodisha bana mnachelewesha sanaaa jitahidi kutoa Kwa nyakati ila jifikilie maneno miliam sanaaa alafu uyaweke pamoja na ya Abdullah ili ukapate jibu Sahi nawapenda bure mapesa anasitahili adabu nyingi
😂😂😂😂😂😂hata selina wangu mmmmmh jamani 😂😂😂ukamchapa viboko vikali kuliko wote bila huruma❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Mapesa anaeka movie inakaa nzuri sana hongera kaka 😂😂😂😂😂😂
Asante sana
Mimi nlisema episode iliipita kuwa huyu mtoto ni hatari. Nmekua fan wake namba moja. More love
Hongera sna tuko pamoja ..
Mimi hapa natami mapesa angepewa hata viboko 100😂😂😂
Kazi nzuri sana mnajitahidi shida ni kwamba kazi zinachelewa dakika pia ni chache fikilieni hilo
Sawa.. kiongoz asnate sana
am also learning from this young babygirl(sister to Rahma❤❤❤❤)i realy love wat i see,,,,,hongera sanaaaaa tunawapenda kutoka kenya
Asante sana sna 🙏🤝🤝
Mm wa kwanza kutoka 🇰🇪 naomba like zangu hata 5 tu huyo mapesa yuwahitaji viboko vya kisawasawa ili awache umbea mm yuwanikera sana
Amevioga vya kutosha
@@africansinema7420 jman lugodisha atupe mwendelezo chap sana kbla hatujaanza kuchoka
😂😂😂@@africansinema7420
@@africansinema7420naomba part 29
Tuletee mtoto nyoka episode 29 please
Na mfuatilia ni kiwa Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kazi nzuri muno
Asante sna
Kiukweli move ipo vizur Kali kinomanoma naikubali saaaaana❤
Asante sana sna
Nyinyi mnao omba like kwan hamjui kucomment Kuhusu movie nyinyi mwashinda tu kuomba likes bure kabisa😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏
🙏🙏🙏🙏
Afadhali umeuliza Hilo swali Huwa wanaboa kweli
😂😂😂😂😂mapesa leo kimekuramba na hauta koma kamwe 😂😂😂
😂😂😂😂
Acha wamukomeshe maana umbeya umemuzidi
Anaejuwa wanapofanyia video kina rugodisha ninani? Na ni kijiji gani
Me naona watu humu wanaomba sanaa like..embu nijuzeni hizo like huwaga mnazipeleka wap?
😂😂😂😂
Ata mi nashangaa kwan zina faida gan namm nanze kuomb
Saivi mnachelewesha jmn ila sio mbaya kazi iko vizur
Asante sna
Tena mpamoto kweli pasikize kwa makini sana ❤❤❤❤
Anatisha sana 🙏
😂😂selina omba siku isitokee mapesa atakukamia wew😂😂😂😂
Hahahahahanaaa
Yani leo nimefurai sana kwakumpa mapesa adabu ya umbea 😂😂 ila kazi yenu nzuri sana ❤❤🎉🎉
😂😂😂😂
Wow!!, nimeanza jana episode 1 hadi leo nimewapata episode 28 , shukrani sana
Karibu sana
Like ata 4❤❤❤❤ nipen like
Asante sna
@@africansinema7420location ya hii movie ni wap nimependa sana❤❤❤❤
Kiukweli move ipo vizur Kali kinomanoma naikubali saaaaana
Asante sna sna sna
😂😂😂😂akitok apo kukaa awez lakin mdom sijui kam ataach😂😂😂
Kazi nzuri,hongera sana
Asante sana
Namimi nataka nije nimchape vimbo kumi mspesa mana ananikera😅😅😅😅
Kumbe umeona anakera Sana 😂😂😂
Kumbe umeona anakera Sana 😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂
Lugodosha alishamrusha juu siku nyingine akamwagiwa maji bado umbea haujamuisha tu jamn
🙏🙏🙏🙏🙏
@@africansinema7420 asaaante
Kazi nzuri Ila mnachelewesha... Watazanaji wanamchango mkubwa Sana fikirieni kuhusu hili ikiwezekana kuwe na ratiba rasmi kuwa baada ya siku kadhaa itatoka.. asante
Asante sana
Oooh wakwanza mm leo😂
Karibu
@@africansinema7420 asante jamani ♥️
To be honest hii move Kali jamani Yani kila sku nakaa kuisubria Kam nasubr xjh nn msichelewe San bc kutoa tunasubr saaan 🙄
Kazi nzur san 🎉🎉🎉🎉🎉
Asante sna sna 🙏
Mohammed from kenya I like your comedy love it naomba likes basi....
Pamoja kiongoz
Kazi nzuri sana ira mnacherewesha🎉🎉❤
Asante sana ntajitahid kulifanyia kaxi
😂😂😂 mapesa katiwa hamsini leo
Jee mapesa umeyakanyaga leo eee yamoto moto hiyo ndio dawa ya umbea 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂🙏🙏🙏
Leo nime peda sana hiyo dio dawa yaumbea 😂😂😂❤🎉🇰🇪🇰🇪
😂😂😂😂ameoga fimbo
🤣🤣🤣🤣🤣 Mapesa sizani kama amekoma uyo
Labda Atakuwa amekoma
Selina wako ndio kazidisha uchungu kwa makalio😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahahahahaha😂😂😂😂🙏🙏🙏
Jamani mapesa unakera wewe 😅😅😅 lkn show Iko sawa big up
Asante sana
Mbona kimy sana au imeisha move zenu
Bado haijaisha kesho jion itakuwa hewan
Angeongezwa viboko vyengine uyo mapesa😅😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
Aaah anakera buanaa😂
Nawafutilia nikiwa Nairobi movie mzuri sana
Asante sna sna
Swaiba tunaomb sehem 29 maan move ip 🔥🔥🔥🔥
Sawa inakuja
@afrilinicansinema7420
Mapesa Leo ataacha umbea😂😂😂😂😂😊
Labda Atakuwa kajifunza
@@africansinema7420 sidhani kama ataacha 🤣🤣
Kazi nzri sana❤ ila mapesa hiyo adhabu aimtoshi muongzee
Hahahahaha sawa
@@africansinema7420 ongezini mda na jitahidi kuwaisha kiukweli tunaipenda sana hii movem
Jamni lin move inalejea
Umbea huo mapesa umekuponza hivi walaumu watu 😂😂😂😂na bado
😂😂😂😂
Kazi nzuri nawapenda sana nikiwa 🇰🇪🇰🇪
Asante sana
😂😂😂😂😂mapesa bado hiyo c adhabu haitoshi yafaa uongezwe viboko😂😂😂
😂😂😂😂
Kazi nzuri ❤❤mapesa 😂😂😂😂😂
Asante sana
@@africansinema7420 welcome
Move nzur sanaaa ila mapesa duuh
Hatar
Umbeya co mzuri jamaa anaferi sana mapesa
Mapesa leo kapatimana😂😂😂😂
😂😂😂😂
Mm wa kwanza
Karibu
Moto mdogo mwenye busara anyways congrats 👏 nex plz 🎉🎉❤
Asante San San..
Asante sana sana
Kazi nzuri kaka nakufutilia nikiwa 🇰🇪
Asante sana sana 🙏
Kazi poa mirriam nimependa jinsi alivyo jieleza❤
Asante sana
kutoka Nairobi kenya 🇰🇪 kazi nzuri
Asante sna ndugu
Mapesa atakoma opea💕😃
😂😂😂
😂😂😂mapesa kapewa chai yake
Kapokea kwa mikono miwili
Mapesa Amekua mapesa 😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂msmapesa angeuwa tu mana anakera😂😂😂😢😢😢😢😢
😂😂😂😂
Safi sana broo🎉🎉❤❤
Asante sana sna 🙏🤝
Lugodisha bana mnachelewesha sanaaa jitahidi kutoa Kwa nyakati ila jifikilie maneno miliam sanaaa alafu uyaweke pamoja na ya Abdullah ili ukapate jibu Sahi nawapenda bure mapesa anasitahili adabu nyingi
Sawa kiongozi ntajitahid kufanya hvo.. 🙏🙏🙏🙏.. asante sana
@@africansinema7420 santii sanaa Kwa kua mtiifu
Leo angalau hikijawa kiporo sanaa maana kilasiku huwa nachelewaa😂
🙏🙏🙏
Aaaaaaaaa rahma mbona nakuogopa Sasa hongera Sana mtoto 🎉🎉
Huyo ni nirhamu mdogo wake rahma
Ila mapesa ni mmbeya sana kuliko kipara😂 wa snakeboy
😂😂😂
Huyo mtoto miriam anajua fumbo juu ya fumbo🎉🎉😂nmeipenda.
Dogo anajua sana 🙏🙏🙏
Nimewahi jaman 🎉🎉🎉
Karibu
Kula chuma icho kutoka kwa mdog wake rahma😅
Ametisha kinoma noma
Hongeleni kwa kanzi nzuri lakini mbona hamtuletei mwendelezo😢
Mwendelezo kesho jion utakuwa hewan sikuwa vizur kiafya
@@africansinema7420 sawa pole sana mungu azidi kuwalinda
Jaman natamani ningekua mm nimuchape vbko zaidi ya maisha yke maana n mjinga sana? 😂😅😅😅😅
😂😂😂
Good job my people keep it up❤❤❤
Asante sana sna 🙏🤝🤝
Mapesa akokwe 😂😂😂❤
😂😂😂😂
Watching from capital city of Kenya
Welcome 🙏🙏🙏
Niko locked 🔒 nikiwa kenya
🙏🙏🙏🙏
Hahaha haha dawa ya umbea iyooo nimeopenda
😂😂😂
Selinaaaa wewe 😂😂😂😂😂
🙏🙏🙏😷🤣🤣🤣🤣
Kaz nzuri kaka
Asante sana
😳😳huy anaekula kucha kha
Hahahahaaaa😂😂😂
Leo nimewahi jmn nimekua wa 5 nipeni like zangu🎉🎉
Karibu San sana 🙏🙏🙏
@@africansinema7420 2po pamoja brother
Ad Mrembowako kakupa adabu mapesa ww umezidi
😂😂😂😂😂
Yaan balaa
😂😂😂😂
Nn pia nataka kujua like zi nn labda ela ss tunatoa tu
Alfu kweli uskute ela 😅😅😅
Hahahahaa
Naona mambo so mabaya
Atakoma
🙏🙏🙏
@@africansinema7420 ok
Kazi nzuri jamani ila mwachelewesha episode
Tusamehe bure
@@africansinema7420 sawaa naelewa maana c rahisi kwa kweli najua kuna baadhi ya changamoto mnazipitia
Jaman waoo jaman naomba kujiunga na wasaniin wako from msata masai girl❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Karibu sana
Keyaa doi
Viboko vya nguvu baba umbea😂😂😂
Amevipokea
Jamani epsd29ndoamna au jitahidi kuwaisha mpka tunasaau saaa
Juma tatu itakuwa hewan
Leo mapesa ata koma 😂😂😂😂
😂😂😂
29 iwasili, tumepoteza utulivu, kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kesho kiongoz itakuwa hewan jion
Labda tuu mumuchome moto vinginevyo bado tuu atapanua domo😅
😂😂😂😂😂
Ile siku ya kumwagiwa maji aikutosha ila mapesa awezi wacha umbea😂😂😂
😂😂😂😂
Da nilimc sana kilasiku naweka bad
Asante sana 🙏
Kweli mapesa anafaaa kunyongwa ata 8:40
👍😂😂😂😂
Kweli mapesa kazidi umbea jaman😂😂😂adhab ya viboko alali yake
,😂😂😂
Hhh kazi nzuli
Asante sana sna
Vip Leo umbea unafika hafiki Mishipa yote has inakuumaae😮😮😮
😂😂😂😂
Mapesa angeongezewa viboko vyengine 50 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Mapesa anchomwe🔥🔥🔥🔥🔥
Achomweee 😂😂😂😂
Mbona mchezo hauendelei tumesubiri zamani
Juma tano itakuwa hewan sikuwa vzur kiafya
@@africansinema7420 ok pole sana kaka
Yaaa upo sahihi dada mapesa haez kuacha
😂😂😂😂
Mapesa leo kayatimba viboko vidogo hivyo 😂😂 sana hawezi acha umbea
Kapokea zawad nono
@@africansinema7420 😂😂😂😂
😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
🙏🙏🙏
jamn ishirini na tisa ipo wap mbn kuna watu xijawaona mmewaficha wapi kwani
Utawaona tu kiongoz
@@africansinema7420 tunaomb sehem 29 na kuendelea au hakun ndio mwisho😊
Umeon 29 ipo wap jamn maan mov 🔥🔥🔥🔥
Uyo mapesa kwany analipwa nn ama ni adhabu tu.
Hatar sna
Kaz nzur sana
Asante sna sana 🙏🙏🙏
❤❤❤from 🇰🇪
Asante sana