Hongereni kwa elimu zenu munazozitoa kwa jamii, tunashkuru kwa kazi zenu na ujumbe unafika sehemu husika, ila kama walivyotangulia kusema wenzangu kuwa vipande munavifanya vifupi mnoo na vinaishia sehemu ambayo burudani inakolea, nina ombi kwa director mau na timu yake kuwa wajitahidi kurefusha vipande angalau kwa dakika 20, pia ombi jengine ni kuwa tunahitaji na hao ectors wengine akina mwinyi mpeku, kiswabi, naomba na wengineo tulioanza nao mwanzo nao wawemo maana mumewasahau kwa muda mrefu sasa. From: United Arab Emirates..🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Njomba watu wasema ntunzima njaa hugelewa Kila jambo, Na ntotonchanga mbamba tena bamba la mvumo, linanikata kidole likakaa mumoo, kuku wangu kanshindwa nkutaga atafuta nchumo, Maji yakivurugika na dagaa limoo
Jamaaaa nna wasi na mie mpani izo like
Marehemu bi kidecha nafasi yake imepata mtu mungu haondeshi bila ya kuweka Allah are amrehemu huko aliko na amfanyie wepesi ameen
Amiin
Amin
Aaamin Yaarab
Amiin 🤲
Amiiiin
Hongera mau kwa kazi nzur
Mwari kakosa vigezo, engezeni vipande kdg wadau mnatukata utam😅
Wa 84 leo ❤❤
Kazi Safi sana Mau hongera kwa kuendelea kuielimisha jamii
Hatupoi
Huyu mama anaweza kukaa sehemu husika anajua hdi anakera
much love always
Maudhui mazur tena sana, characters wanauhusika vilivyo @mau mtu wa sound system bado hajakaa mahala pake kuna vitu haviko sawa
Hongereni kwa elimu zenu munazozitoa kwa jamii, tunashkuru kwa kazi zenu na ujumbe unafika sehemu husika, ila kama walivyotangulia kusema wenzangu kuwa vipande munavifanya vifupi mnoo na vinaishia sehemu ambayo burudani inakolea, nina ombi kwa director mau na timu yake kuwa wajitahidi kurefusha vipande angalau kwa dakika 20, pia ombi jengine ni kuwa tunahitaji na hao ectors wengine akina mwinyi mpeku, kiswabi, naomba na wengineo tulioanza nao mwanzo nao wawemo maana mumewasahau kwa muda mrefu sasa.
From: United Arab Emirates..🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Boss mau masha Allah tamthilia yenu mzur ila jitahidni japo 20 minutes au 18
Mwari Mwarika
Amiy vipande wavifanya vifupi sana,,, km mkia wa mbuzi 🤭
😂😂😂😂😂
😂😂😂
Ni kweli kabisa.michezo mizuri ila wanatuboa hapo tu.vifupi mnoooo
Kazi safi sanaaa
Kweli amiy vipande vifupi
hongereni sana kaz nzur ujumbe sf sn mashllh
Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh
Kipenz chetu naomba yuko wapi hatumuoni au kafikwa na Matatizo
Wajambwaga nlevi kwenye tembo😂
Mpaka kieleweke
Mama anaweza sana ❤❤❤
Nampenda warda 😢jamani
Haaaaaa amahyu mwari kigego afundishwa yuko bize na simu
Ahsante sana Warda 🤣🤣
Njomba watu wasema ntunzima njaa hugelewa Kila jambo,
Na ntotonchanga mbamba tena bamba la mvumo, linanikata kidole likakaa mumoo, kuku wangu kanshindwa nkutaga atafuta nchumo,
Maji yakivurugika na dagaa limoo
❤🎉
Kwel amii mau vipande wavifanya vifupi mnoo
Ng'ombe wee😂😂😂 @mau
njama naon vipande nivindok mbon😮
jamn ishi kipannde sh 33 kinatuk lin
Funzo zuri sana hili ❤❤❤
Jamani Naomba mbona hatumuoni siku hizi yuko wapi
❤❤❤❤❤😊😊😊
Naomba yuwapi😢twamiss
Jamni kiswabi yupi wapi
Home land
Mashallah ujumbe umefika
Kweli imekuashida wachumba wa saizi baadhii wanamabwana zao
❤❤❤
Jamani naomba yuko wapi?
Kaz kazin
Nataman ningekuwa mtu WA kaskazini nitumie lungha Iyo simke ni mkekewa
Fundi lete vituu
bora hata umwambile kaa amii we kunfanya nno refusha japo kmd
good movie
Naomba yukowapi jamani
Naomba yuwapi
Wa 120
**Mashaallah**
Hatari 😂😂
Kwakweli
❤❤❤🌺🌺
Kwel una semeswa na mama yako una chat
😂😂😂
👍👍👍👍👍
😅😅😅😅❤❤❤
Msoma Comment baada y siku y pili
😂
😂😂
😂😂😂😂