AY - Moja ya Wasanii Matajiri Tanzania? Afunguka... - Part 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Leo tulikuwa na Ambwene Yessayah, unaweza kumwita AY. AY ni legend wa muziki huu na ametiririka mengi sana kwenye sehemu hii ya kwanza. Usikose!
    #AY #AmbweneYessayah #BongoProject #BongoFleva #EastCoastTeam
    Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake.
    --------------------
    WEBSITE
    --------------------
    bongoproject.org/
    --------------------
    SOCIAL MEDIA
    --------------------
    Instagram: / bongo_project
    Facebook: / bongo-project-10256641...
    TikTok: / bongoproject
    --------------------
    CONTACT
    --------------------
    Email: info@bongoproject.org

Комментарии • 31

  • @hamisibakari342
    @hamisibakari342 4 месяца назад +5

    Aje ALIKIBA hapo bongo project

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 4 месяца назад +4

    Ongeraa kakaaaa

    • @bongo_project
      @bongo_project  4 месяца назад

      Sijui ni za AY au za kwetu ila tunazipokea. Shukrani

  • @MorrissSamwer
    @MorrissSamwer 4 месяца назад +2

    MASTA🚀🚀🚀

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh 4 месяца назад +8

    Kwanini wasanii wote msiige mfano wa AY? Wasaani wa sasa mnaboo sana kiukweli ila shule pia inachangia. Wamakonde punguzeni ulimbukeni

    • @twaahbrown1042
      @twaahbrown1042 3 месяца назад

      Ujinga unakuandama sana

    • @DaudiSaid-bj7dh
      @DaudiSaid-bj7dh 3 месяца назад

      @@twaahbrown1042 we mmakonde nini, sasa nikiwa na mtoto kama huyo au wewe kwanini nisimfukie mzima mzima. Kama na wewe umo basi aliyekuzaa anatakiwa kujuta. Na mungu atuepushie kizazi kama chako na wengine wanaokufuata.

    • @DaudiSaid-bj7dh
      @DaudiSaid-bj7dh 3 месяца назад

      Yaani unakaa unamtetea shetani kama yule kweli ngoja ajekumlawiti binti yako ndo utajua pumbavuuuuuuuu

    • @twaahbrown1042
      @twaahbrown1042 3 месяца назад

      Wazazi wako wamefanya makosa sana kukununulia simu wakati bado ni wa 2000

  • @SomoKidawa
    @SomoKidawa 4 месяца назад +5

    Ila maswali ya MTAngazaJi sijapenda mtu kama AY wakuulizwa maswali haya kweli eti mziki ulianza lini seriously

    • @bongo_project
      @bongo_project  3 месяца назад +1

      Mwana wewe ulikuwa unajua jamaa amenza muziki lini? Ni kwa faida ya watazamaji wote…Hususani vijana wanaotaka kuingia kwenye muziki…wanaweza kuvutiwa na maswali kama hayo

  • @nehemia397
    @nehemia397 4 месяца назад +5

    unauliza vitu ambavyo vipo vinajulikana.
    ndio maana jamaa anakwambia vitu vingine vipo wikipedia.. DO THE RESEARCH BEFORE MAN.

    • @bongo_project
      @bongo_project  3 месяца назад +1

      Anayejua ni nani braza!? Interview hii ni kwa ajili ya watu wote wale wanaomjua AY na wasiomjua kiundani. Hilo ndio lengo la kipindi.

  • @IgnasJohn-sv4vn
    @IgnasJohn-sv4vn 4 месяца назад +3

    A y anaonekana analohonzuri sana anapenda kufanikiwa nawengine.

    • @bongo_project
      @bongo_project  4 месяца назад

      Kabisa kabisa! Ndio maana amefanikiwa pia...wema mara nyingi hurudi

  • @mustafaameir8186
    @mustafaameir8186 4 месяца назад +3

    Mutu mukubwa

  • @shukranimwamwala8441
    @shukranimwamwala8441 4 месяца назад +3

    Mwandishi ulitakwa kufanya utafiti kwanza hiyo interview inaboa aisee Yani umepiga interview chini ya kiwango I think the wise is to study the arts before

    • @bongo_project
      @bongo_project  3 месяца назад

      Mwamba ulitaka maswali gani yaulizwe?

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vv 4 месяца назад +2

    huyo siyo ramberambe mchemsho diamond huyo ni Ambwene mikausho mokali, he's not showing offf

    • @johnmwasilu7087
      @johnmwasilu7087 4 месяца назад +2

      Kwani akishow off kuna ubaya gani? Au wewe inakuumiza nini?

    • @svt3
      @svt3 4 месяца назад +1

      Jay-z, 50cent, Snoop Dog, Dj kalheed....na wasanii wengi matajiri wana shoo off pia ni moja la sanaa matajiri ambao hawa shoo of ni kama Bill gate, Mark Zuckerberg,..... ni ma corporate

  • @samirmswahili
    @samirmswahili 4 месяца назад +2

    Masta anamwaga madini tujifunze kitu ili tupige hatua

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv1922 4 месяца назад

    Diamond Anatisha nyinyi wengine mnatakiwa mtulie tu nyumbani... Mda wenu umeishq

  • @habari254
    @habari254 4 месяца назад +1

    SAFI SANA AISEE

    • @bongo_project
      @bongo_project  4 месяца назад

      Familia…Tunakuona

    • @habari254
      @habari254 4 месяца назад +1

      @@bongo_project Nakutafuta hivi karibuni nikija Tanzania.Sisi Tuko Kenya

    • @bongo_project
      @bongo_project  4 месяца назад

      @habari254 Karibu sana! Tutakupokea