AY - Moja ya Wasanii Matajiri Tanzania? Afunguka... - Part 1
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Leo tulikuwa na Ambwene Yessayah, unaweza kumwita AY. AY ni legend wa muziki huu na ametiririka mengi sana kwenye sehemu hii ya kwanza. Usikose!
#AY #AmbweneYessayah #BongoProject #BongoFleva #EastCoastTeam
Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake.
--------------------
WEBSITE
--------------------
bongoproject.org/
--------------------
SOCIAL MEDIA
--------------------
Instagram: / bongo_project
Facebook: / bongo-project-10256641...
TikTok: / bongoproject
--------------------
CONTACT
--------------------
Email: info@bongoproject.org
Aje ALIKIBA hapo bongo project
Inshallah!
Ongeraa kakaaaa
Sijui ni za AY au za kwetu ila tunazipokea. Shukrani
MASTA🚀🚀🚀
Indeed
Kwanini wasanii wote msiige mfano wa AY? Wasaani wa sasa mnaboo sana kiukweli ila shule pia inachangia. Wamakonde punguzeni ulimbukeni
Ujinga unakuandama sana
@@twaahbrown1042 we mmakonde nini, sasa nikiwa na mtoto kama huyo au wewe kwanini nisimfukie mzima mzima. Kama na wewe umo basi aliyekuzaa anatakiwa kujuta. Na mungu atuepushie kizazi kama chako na wengine wanaokufuata.
Yaani unakaa unamtetea shetani kama yule kweli ngoja ajekumlawiti binti yako ndo utajua pumbavuuuuuuuu
Wazazi wako wamefanya makosa sana kukununulia simu wakati bado ni wa 2000
Ila maswali ya MTAngazaJi sijapenda mtu kama AY wakuulizwa maswali haya kweli eti mziki ulianza lini seriously
Mwana wewe ulikuwa unajua jamaa amenza muziki lini? Ni kwa faida ya watazamaji wote…Hususani vijana wanaotaka kuingia kwenye muziki…wanaweza kuvutiwa na maswali kama hayo
unauliza vitu ambavyo vipo vinajulikana.
ndio maana jamaa anakwambia vitu vingine vipo wikipedia.. DO THE RESEARCH BEFORE MAN.
Anayejua ni nani braza!? Interview hii ni kwa ajili ya watu wote wale wanaomjua AY na wasiomjua kiundani. Hilo ndio lengo la kipindi.
A y anaonekana analohonzuri sana anapenda kufanikiwa nawengine.
Kabisa kabisa! Ndio maana amefanikiwa pia...wema mara nyingi hurudi
Mutu mukubwa
Mwandishi ulitakwa kufanya utafiti kwanza hiyo interview inaboa aisee Yani umepiga interview chini ya kiwango I think the wise is to study the arts before
Mwamba ulitaka maswali gani yaulizwe?
huyo siyo ramberambe mchemsho diamond huyo ni Ambwene mikausho mokali, he's not showing offf
Kwani akishow off kuna ubaya gani? Au wewe inakuumiza nini?
Jay-z, 50cent, Snoop Dog, Dj kalheed....na wasanii wengi matajiri wana shoo off pia ni moja la sanaa matajiri ambao hawa shoo of ni kama Bill gate, Mark Zuckerberg,..... ni ma corporate
Masta anamwaga madini tujifunze kitu ili tupige hatua
Kabisa kabisa
Diamond Anatisha nyinyi wengine mnatakiwa mtulie tu nyumbani... Mda wenu umeishq
Punguza jazba bobu
SAFI SANA AISEE
Familia…Tunakuona
@@bongo_project Nakutafuta hivi karibuni nikija Tanzania.Sisi Tuko Kenya
@habari254 Karibu sana! Tutakupokea