Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
WIMBO wa BUSHOKE Ulivyoleta SIMANZI Msibani kwa RUGE
HTML-код
- Опубликовано: 3 мар 2019
- WIMBO wa BUSHOKE Ulivyoleta SIMANZI Msibani kwa RUGE
Mwanamuziki Bushoke ameliza maelfu ya watu waliokusanyika katika uwanja wa Gymkhana mkoani Kagera kwa ajili ya kumuaga shujaa wetu Ruge Mutahaba..
Bushoke amewaliza watu baada ya kuimba wimbo wake wa 'DUNIA NJIA' ambao umebeba ujumbe mzito ndani yake unaoleta simanzi na huzuni,,,
#RIPRUGE
www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
kama iyo nyimbo imekugusa mbaka machozi yanatoka kama mm gonga like twende sawa
Bad man bushoke hachuji sauti much respect bushoke.R.i.p genius ruge
Dah ruge jaman pumzika kwa Aman baba wengine hukutufikaa ila tunaliaa mioyoo inaumaa tunajiuliza y but hakuna jibu,nenda nenda shujaa mwongoza njiaa we love you forever
hongera bushoke. Ruge we ni mtu wa watu.
Hizi ndo nyimbo zenye Maadili mema.
Kama Sauti ingekua inamwamsha na kufufua mtu Haki sauti ya Bushoke ingemfufua Ruge....Uuuuuh that Voice is Magic It is Amazing.....Kha!
Iryn Adverah
RIP ruge mtani wangu wa jadi shujaa mwongoza njia
waimbaj wakizazi kipya jifunzen kutunga nyimbo kama buchoke
Jamani uko vizuri bro bushoke tumekumis rudi kwenye game jamani sauti bado inalipa.
Kipaji kimelala!!!
Ni kweli tunaishi kwa nguvu ya Mungu.Uhai unatudanganya.
bushoke hatariii sana, siyo kama wengine washusha kaputura
Kweli hayo magari yatabaki na kila kitu! Wengine wamekuja kujionesha kama 'D'.wanalingia uhai wa leo lakini hawajui kesho two. R. I. P Ruge!
Kweli ila iyo freemason yke ndo inambeba
Namkubali sana bushoke
Fatoom Fatoom Yuko VIZURI sana Bushoke wasanii ifikie wakati watunge nyimbo ambazo hazifi
Pumzika kwa amani brother vita umevipiga,iman umeilinda na mwendo umeumaliza nenda jasiri your done!!
Huyu Jamaa alipotelea wapi....hyo nyimbo yanikumbusha mbali
Anaishi south africa kaona bongo akuelweki
huyu anaishi kwa mbeki bondeni maisha safi...
Hongera umetunza sauti yako nice
Mnoo aisee. Bushoke namkubali sana
Hajala madawa ya kulevya km wapuuzi wengine
We love u and we will miss u
RIP Ruge##
Vipi Bushoke unaona baridi nini
RIp guge#### tuko kwenye majonzi
Ujumbe nzuri. Ruge RIP
HAWA NDIO WASANII WANOUJUA KUIMBA LIVE SIO KAMA AKINA NANII
Nani haooo hawajui
Malizia tu, mister sole 😂
mister sole taja watu
Wanaoshindia kuimba nyimbo za mapenz kila kukicha
mister sole Umenena
kweli msiba huu umewakutanisha wengi,huyu alipotelea mbali
Kweli ata hasikiki kabisa .nyimbo n km hii yakukumbusha maisha haya n yajayo arudi kwa mziki
Cn kbc arudi kwenye fani yke
Hahaha kweli aisee msiba wa ruge umemleta
Kapotea kimziki Lkn anasoma jamaa
Bushoke moto mkali sana!!
Dah jamaa yupo vzr kuimba live c mchezo afu hatoki nje ya key
Kweli kabsaaa
Baridi kali bongo bushoke
Inauma cna tutakukumbuka ruge job is done my love father
Hongera Mr.Bushoke! Hakika wewe ni mtunzi mzuri kama baba yako Mzee Max Bushoke, Daah! Good live performance. R.I.P Brother RUGE.
we nixhinda buxhoke
R.I.p ruge we love u
Mola anajua mbona ruge kaondoka. RIP ruge we still love you
Live performance nzur sanaa
Domo sikia nyimbo iyo
Watsapp Watsapp pambafu
Watsapp Watsapp pambana na hali yako 😏😏😏
🤣🤣🤣🤣Unachokoza matusi na wadau
actually am Kenyan but wherever i see this burial ceremony......najikuta nkipanguza majonzi qwenye shavu zangu.....r.i.p Ruge
Pole sana
Rip ruge
Mungu akulaze Salama Ruge, kila nafsi itaonja mauti.
Amina
Yaani msanii utamjua tu sio razima ajitangaze kama hao jamaa wengine kazi matusi na ngona ndio nyimbozao.fanyeni mrudi
Hao jamaa unaowasema ndo wameshatoka xaxa. Tatizo ni nyota mtaongea xana
Powerful talented man very sad
R.l.p ruge
Chema hakidumu rest in peace ruge
kweli kk
Domo umesikia maneno kuntu hayo!
Sakina omar kweli mkumbushe domo anaishi bla kujielewa anaisi pesa alopata hafi wala nn namchukia mno mswazi alokosa dawa ya kuua ulimbukeni
Your sound is stayng as it!
r i p ruge allah akupe kauli thabit 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Sauti mzur
Bushoke niyeye nasautiyake inatu umiza sana ila mungu ataleta kingine kwajiaanayo juwa yeye R I P
Dah, hapa lazima ulie
kwanini ikikipaji wa tz awakipe suporti.aki imba nyeg unamupenda
Bushoke well done
from Burundi kwa kweli kila nafsi itahonja umawuti na kila binadamu akifariki ni mipango ya Mungu ila iyi yakuimba imba msibani mbona ni too much hata kwenye bible hawajasema ivoo😢
Jihad Bekkaoui amenikumbusha mbali san has mm wazaz wangu wametangulia mbele yahaki wote yaan hapa machoz yananitoka
*Sasa hii ndo live band tunataka. Sio wale jamaa kurukaruka steji na kupiga manduru mpaka steji inavunjika*
Respect
Kweli kabisa,, I.R.P Ruge
R.I.P
R I P
Good
Bushoke ulikuwa wap
Nenda salama Ruge
Rip baba mdg
That treu may he be rest in peace Ruge
R.I.P ruge
Mungu ana baki kua mungu
Hata km unapitia magumu
Kweli tutaacha dah! rest in peace 🙏 Ruge.
kweri
Kweli dunia tunapita tutaacha kila kitu tunaondoka na amali tuu
R.i.p Ruge boss
No Ruge
Kwelikabisa inauma sana jamani
jaman hebu nambie ivi ni ujanja au ni ushamba kwenda msiban Na mabodygady?
Lamecksm Ernest Ntaki ulimbukeni
Bushoke kka Mbona kimya sana rudi kwenye gemu nme kumiss kka mkubwa
R.I.P Mugu ailaze roho yako mahali pema
Sina neno kwani huwenda kila mmoja wetu anauzito wake hivyo aende salama
R.l.p.Ruge😭😭
Ruge
RIP Ruge
Bushoke uliona mziki bac tena
Tulikumic Bushoke
Bushoke wewe fundi wa kutunga nyimbo za maombolezo
Rest in peace Ruge, bro Mr nice umenikumbuxha mbali xana.2nakuhitaji kwenye game bro
Sylvester Matinde co Nice bn kaka .Bushoke
@@aunisaminja9255 usaulifu mwana huzuni yachangia,