Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

WIMBO wa BUSHOKE Ulivyoleta SIMANZI Msibani kwa RUGE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 мар 2019
  • WIMBO wa BUSHOKE Ulivyoleta SIMANZI Msibani kwa RUGE
    Mwanamuziki Bushoke ameliza maelfu ya watu waliokusanyika katika uwanja wa Gymkhana mkoani Kagera kwa ajili ya kumuaga shujaa wetu Ruge Mutahaba..
    Bushoke amewaliza watu baada ya kuimba wimbo wake wa 'DUNIA NJIA' ambao umebeba ujumbe mzito ndani yake unaoleta simanzi na huzuni,,,
    #RIPRUGE
    www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Комментарии • 113

  • @reginambawi7103
    @reginambawi7103 5 лет назад +85

    kama iyo nyimbo imekugusa mbaka machozi yanatoka kama mm gonga like twende sawa

  • @calmanmichael7789
    @calmanmichael7789 5 лет назад +33

    Bad man bushoke hachuji sauti much respect bushoke.R.i.p genius ruge

  • @winifridamkwawq4669
    @winifridamkwawq4669 5 лет назад +22

    Dah ruge jaman pumzika kwa Aman baba wengine hukutufikaa ila tunaliaa mioyoo inaumaa tunajiuliza y but hakuna jibu,nenda nenda shujaa mwongoza njiaa we love you forever

  • @ashamwandu3781
    @ashamwandu3781 5 лет назад +16

    hongera bushoke. Ruge we ni mtu wa watu.

  • @georgematahimba5242
    @georgematahimba5242 5 лет назад +39

    Hizi ndo nyimbo zenye Maadili mema.

  • @ireneavith
    @ireneavith 5 лет назад +4

    Kama Sauti ingekua inamwamsha na kufufua mtu Haki sauti ya Bushoke ingemfufua Ruge....Uuuuuh that Voice is Magic It is Amazing.....Kha!

  • @user-zj3ke9gc2u
    @user-zj3ke9gc2u 5 лет назад +12

    RIP ruge mtani wangu wa jadi shujaa mwongoza njia

  • @eliaeliki6832
    @eliaeliki6832 5 лет назад +24

    waimbaj wakizazi kipya jifunzen kutunga nyimbo kama buchoke

  • @zuenaomary9987
    @zuenaomary9987 5 лет назад +6

    Jamani uko vizuri bro bushoke tumekumis rudi kwenye game jamani sauti bado inalipa.

  • @margarethsaramaki1100
    @margarethsaramaki1100 5 лет назад +18

    Ni kweli tunaishi kwa nguvu ya Mungu.Uhai unatudanganya.

  • @mayungahima1987
    @mayungahima1987 5 лет назад +2

    bushoke hatariii sana, siyo kama wengine washusha kaputura

  • @kaundajulieth1741
    @kaundajulieth1741 5 лет назад +10

    Kweli hayo magari yatabaki na kila kitu! Wengine wamekuja kujionesha kama 'D'.wanalingia uhai wa leo lakini hawajui kesho two. R. I. P Ruge!

    • @rhinaamiry8535
      @rhinaamiry8535 5 лет назад

      Kweli ila iyo freemason yke ndo inambeba

  • @fatoomfatoom5590
    @fatoomfatoom5590 5 лет назад +4

    Namkubali sana bushoke

    • @issaulaya683
      @issaulaya683 5 лет назад

      Fatoom Fatoom Yuko VIZURI sana Bushoke wasanii ifikie wakati watunge nyimbo ambazo hazifi

  • @admiraseverin15
    @admiraseverin15 5 лет назад +8

    Pumzika kwa amani brother vita umevipiga,iman umeilinda na mwendo umeumaliza nenda jasiri your done!!

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 5 лет назад +24

    Huyu Jamaa alipotelea wapi....hyo nyimbo yanikumbusha mbali

  • @kizitomathew866
    @kizitomathew866 5 лет назад +6

    Hongera umetunza sauti yako nice

  • @margarethsaramaki1100
    @margarethsaramaki1100 5 лет назад +14

    We love u and we will miss u
    RIP Ruge##

  • @user-uc7uj2kh9y
    @user-uc7uj2kh9y 5 лет назад +1

    Ujumbe nzuri. Ruge RIP

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 5 лет назад +31

    HAWA NDIO WASANII WANOUJUA KUIMBA LIVE SIO KAMA AKINA NANII

  • @ednatayari8061
    @ednatayari8061 5 лет назад +27

    kweli msiba huu umewakutanisha wengi,huyu alipotelea mbali

    • @wyworry3131
      @wyworry3131 5 лет назад +1

      Kweli ata hasikiki kabisa .nyimbo n km hii yakukumbusha maisha haya n yajayo arudi kwa mziki

    • @modestaabeli3389
      @modestaabeli3389 5 лет назад

      Cn kbc arudi kwenye fani yke

    • @teddykassinde4608
      @teddykassinde4608 5 лет назад

      Hahaha kweli aisee msiba wa ruge umemleta

    • @masoudzanzibarali9994
      @masoudzanzibarali9994 5 лет назад

      Kapotea kimziki Lkn anasoma jamaa

  • @kidodosimichael349
    @kidodosimichael349 5 лет назад +1

    Bushoke moto mkali sana!!

  • @ilhammshana9143
    @ilhammshana9143 5 лет назад +8

    Dah jamaa yupo vzr kuimba live c mchezo afu hatoki nje ya key

  • @atfachenko524
    @atfachenko524 5 лет назад +1

    Baridi kali bongo bushoke

  • @asiaally3105
    @asiaally3105 5 лет назад +6

    Inauma cna tutakukumbuka ruge job is done my love father

    • @felixmagulu6142
      @felixmagulu6142 5 лет назад

      Hongera Mr.Bushoke! Hakika wewe ni mtunzi mzuri kama baba yako Mzee Max Bushoke, Daah! Good live performance. R.I.P Brother RUGE.

    • @mtalemwadickson4551
      @mtalemwadickson4551 5 лет назад

      we nixhinda buxhoke

  • @naimamushi4819
    @naimamushi4819 5 лет назад +5

    R.I.p ruge we love u

  • @angelahmoraa5472
    @angelahmoraa5472 5 лет назад +1

    Mola anajua mbona ruge kaondoka. RIP ruge we still love you

  • @johnsonmafuru8490
    @johnsonmafuru8490 5 лет назад

    Live performance nzur sanaa

  • @user-zj3ke9gc2u
    @user-zj3ke9gc2u 5 лет назад +28

    Domo sikia nyimbo iyo

  • @sanchezetir1272
    @sanchezetir1272 5 лет назад +2

    actually am Kenyan but wherever i see this burial ceremony......najikuta nkipanguza majonzi qwenye shavu zangu.....r.i.p Ruge

  • @shijahamis7284
    @shijahamis7284 5 лет назад

    Pole sana

  • @naimahmassivepatricia8550
    @naimahmassivepatricia8550 5 лет назад

    Rip ruge

  • @mariamsuleiman1638
    @mariamsuleiman1638 5 лет назад +2

    Mungu akulaze Salama Ruge, kila nafsi itaonja mauti.

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 4 года назад

    Amina

  • @nurumunguakutangurirabdull4472
    @nurumunguakutangurirabdull4472 5 лет назад +12

    Yaani msanii utamjua tu sio razima ajitangaze kama hao jamaa wengine kazi matusi na ngona ndio nyimbozao.fanyeni mrudi

    • @piumagoha
      @piumagoha 5 лет назад

      Hao jamaa unaowasema ndo wameshatoka xaxa. Tatizo ni nyota mtaongea xana

  • @fredchaki9591
    @fredchaki9591 4 года назад

    Powerful talented man very sad

  • @sashamotana3490
    @sashamotana3490 Год назад

    R.l.p ruge

  • @asiaally3105
    @asiaally3105 5 лет назад +5

    Chema hakidumu rest in peace ruge

  • @veronicapaul499
    @veronicapaul499 5 лет назад

    kweli kk

  • @sakinaomar301
    @sakinaomar301 5 лет назад +6

    Domo umesikia maneno kuntu hayo!

    • @tedmzeru3430
      @tedmzeru3430 5 лет назад

      Sakina omar kweli mkumbushe domo anaishi bla kujielewa anaisi pesa alopata hafi wala nn namchukia mno mswazi alokosa dawa ya kuua ulimbukeni

  • @jacksonchristopher3617
    @jacksonchristopher3617 4 года назад

    Your sound is stayng as it!

  • @ngemabohero2853
    @ngemabohero2853 5 лет назад

    r i p ruge allah akupe kauli thabit 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @isackmodestus5935
    @isackmodestus5935 5 лет назад +1

    Sauti mzur

  • @muttengeleonadi7207
    @muttengeleonadi7207 5 лет назад +1

    Bushoke niyeye nasautiyake inatu umiza sana ila mungu ataleta kingine kwajiaanayo juwa yeye R I P

  • @MsDarkrabbit
    @MsDarkrabbit 5 лет назад

    Dah, hapa lazima ulie

  • @mubalamamulumemunene3827
    @mubalamamulumemunene3827 5 лет назад +6

    kwanini ikikipaji wa tz awakipe suporti.aki imba nyeg unamupenda

  • @jackgospel8933
    @jackgospel8933 5 лет назад

    Bushoke well done

  • @jihadbekkaoui3341
    @jihadbekkaoui3341 5 лет назад

    from Burundi kwa kweli kila nafsi itahonja umawuti na kila binadamu akifariki ni mipango ya Mungu ila iyi yakuimba imba msibani mbona ni too much hata kwenye bible hawajasema ivoo😢

    • @daudishumbinasoro2482
      @daudishumbinasoro2482 5 лет назад

      Jihad Bekkaoui amenikumbusha mbali san has mm wazaz wangu wametangulia mbele yahaki wote yaan hapa machoz yananitoka

  • @bigboy8508
    @bigboy8508 5 лет назад

    *Sasa hii ndo live band tunataka. Sio wale jamaa kurukaruka steji na kupiga manduru mpaka steji inavunjika*

  • @mchb_events2135
    @mchb_events2135 5 лет назад

    Respect

  • @habauagway7251
    @habauagway7251 5 лет назад

    Kweli kabisa,, I.R.P Ruge

  • @bernardbernard2297
    @bernardbernard2297 5 лет назад +1

    R.I.P

  • @hashimking4403
    @hashimking4403 5 лет назад +1

    R I P

  • @festoiskakamayengelo9245
    @festoiskakamayengelo9245 5 лет назад +1

    Good

  • @officialcarolyne2985
    @officialcarolyne2985 5 лет назад

    That treu may he be rest in peace Ruge

  • @aishaally6982
    @aishaally6982 5 лет назад +1

    R.I.P ruge

  • @ernestijani5990
    @ernestijani5990 5 лет назад

    Mungu ana baki kua mungu
    Hata km unapitia magumu

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 5 лет назад +1

    Kweli tutaacha dah! rest in peace 🙏 Ruge.

  • @estherwilliam4378
    @estherwilliam4378 5 лет назад

    R.i.p Ruge boss

  • @zawadihaji4844
    @zawadihaji4844 5 лет назад +1

    No Ruge

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 5 лет назад +1

    Kwelikabisa inauma sana jamani

  • @lamecksmernestntaki3894
    @lamecksmernestntaki3894 5 лет назад +1

    jaman hebu nambie ivi ni ujanja au ni ushamba kwenda msiban Na mabodygady?

    • @Basagamp4
      @Basagamp4 5 лет назад

      Lamecksm Ernest Ntaki ulimbukeni

  • @salmaoman6347
    @salmaoman6347 5 лет назад

    Bushoke kka Mbona kimya sana rudi kwenye gemu nme kumiss kka mkubwa

  • @bellyjames9035
    @bellyjames9035 5 лет назад +1

    R.I.P Mugu ailaze roho yako mahali pema

  • @khamiskhamis2074
    @khamiskhamis2074 5 лет назад

    Sina neno kwani huwenda kila mmoja wetu anauzito wake hivyo aende salama

  • @sikuzanibusanya6423
    @sikuzanibusanya6423 5 лет назад

    R.l.p.Ruge😭😭

  • @aminaali2839
    @aminaali2839 5 лет назад +1

    Ruge

  • @asheryissa6100
    @asheryissa6100 5 лет назад +1

    Bushoke uliona mziki bac tena

  • @mpenzujaneth7119
    @mpenzujaneth7119 5 лет назад

    Tulikumic Bushoke

  • @alfredmofuga2336
    @alfredmofuga2336 5 лет назад

    Bushoke wewe fundi wa kutunga nyimbo za maombolezo

  • @sylvestermatinde7527
    @sylvestermatinde7527 5 лет назад +1

    Rest in peace Ruge, bro Mr nice umenikumbuxha mbali xana.2nakuhitaji kwenye game bro