MENEJA DING'ANO APINGA DIAMOND KUSHINDA TUZO TANO // HARMONIZE KUSHINDA TUZO MBILI..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 окт 2024

Комментарии • 50

  • @sulleymernmannarah7930
    @sulleymernmannarah7930 6 часов назад +2

    Msanii bor wa mwaka n Mondi hpo msipepese macho mana yy ndio ana hit nying kuliko yyte amehusik kwny hit nying sana kma unabisha njoo na fact

  • @WingoAsake
    @WingoAsake 4 часа назад +1

    Bado bado Bado sana, Simba aliimba

  • @kenrifambi
    @kenrifambi 8 часов назад +2

    Yatapita, zuwena, my baby, Shu, komando, enjoy, Achii

    • @AbuuHaruna
      @AbuuHaruna 40 минут назад

      Enjoy ni ya jux. Wachen ushabik na hapo hakuna. Wa kuisimamisha na cngle again

  • @kambaleGazelleGazma
    @kambaleGazelleGazma 18 часов назад +6

    ni kweli tuu

  • @ChristianKalunga-s4w
    @ChristianKalunga-s4w 19 часов назад +9

    Pumbavu we

  • @AmranNasibu-b3d
    @AmranNasibu-b3d 15 часов назад +4

    Wew ni mweu

  • @nestfilmsproduction3668
    @nestfilmsproduction3668 5 часов назад +1

    Jamaa kinachokusumbua ni njaa sana

  • @comm611
    @comm611 3 часа назад +1

    tunzo. kwisha pata. maneno. mengi. yanini.

  • @kassimlugwe1760
    @kassimlugwe1760 6 часов назад +1

    Jay melody apo ushasema, izi tuzo zenyu ni za kinafiki

  • @RukundoSedrick-vb6zr
    @RukundoSedrick-vb6zr 3 часа назад

    Kweli kbs🎉

  • @DaxixSeen
    @DaxixSeen 19 часов назад +6

    Kwa mondi njoo usiseme

  • @NgasaBoy-m6s
    @NgasaBoy-m6s 17 часов назад +3

    Mondii nibalaaa muzikii ni pesaa mondi angechukua zotee

  • @MosesbaruanGwimo-u1l
    @MosesbaruanGwimo-u1l 19 часов назад +4

    Dingano❤❤❤❤❤

  • @ChristopheAsibabu-i6p
    @ChristopheAsibabu-i6p 11 часов назад +2

    Leo ume ongea point

  • @BEQUINHOVYAKEMUENEVYAKEM-qd8il
    @BEQUINHOVYAKEMUENEVYAKEM-qd8il 19 часов назад +3

    Mie kama number one

  • @mnyampaa_kisasa
    @mnyampaa_kisasa 7 часов назад +1

    baba zilikuwa ni kura watu wanapiga...kama nyie wamakonde hamkuwa na bando la kumpa tuzo konde tulia🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-qk4gt3dw6m
    @user-qk4gt3dw6m 7 часов назад +1

    Huyu fala kila cha Diamond anapinga haoni isokuwa mjomba mchumari ndo anostahiki kila kitu toka hapo mbwa we

  • @BarakamussaBarakamussa-go7nv
    @BarakamussaBarakamussa-go7nv 19 часов назад +5

    Mondi kachukuwa 4 bwana acha uwongo

  • @BahatiLigute
    @BahatiLigute 7 часов назад +2

    Meneja wa ajabu huyu ana akili

  • @IddiHaji-b1j
    @IddiHaji-b1j 19 часов назад +7

    Harmonize ameshushwa kiwango tangu stole wcb kwaiyo atasubiri sana kupata kma anachokiitaji

  • @barakabarkey9374
    @barakabarkey9374 8 часов назад

    Prenti dingano 😘🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @yogwesaid7435
    @yogwesaid7435 11 часов назад +2

    Sasa mmakonde wako anaimba bongo faver ama ushubwada hapo umenikera mahaba ni oure bongo flavour acha izo ww mahaba ndio the best

  • @musagaatu3839
    @musagaatu3839 7 часов назад

    uyo dingano nivile ni shabiki wa mmakonde ndoo maana anamlilia mmakonde apewe yye

  • @comm611
    @comm611 3 часа назад +1

    we mpe. makonde. tunzo. yako

  • @RebinaNdumeRASHIDI
    @RebinaNdumeRASHIDI 12 часов назад +1

    Munamuacha nay wa mitego wapi?

  • @AlexKabona
    @AlexKabona 18 часов назад +2

    Mbona wasan wa mikowani hawapendwi??? Sijawahi kusikia best naso anaitwa kwenye tuzo zenu.

  • @gabrielpott3325
    @gabrielpott3325 5 часов назад

    Sasa nyi jamaa manaongelea nn kwani mmesahau kuwa daimoo katoka kwa didi juzi au mmesha sahau?? 🤣 🤣

  • @sengiyunvaomar924
    @sengiyunvaomar924 8 часов назад

    Kwakweli sipo mtanzania naishi 🇧🇪 ila Tanzania hawakutenda haki kabisa hivi Tanzania mnatizama kazi za wasanii wenu AO mnatazama majina?

  • @hilarymayende
    @hilarymayende 19 часов назад +2

    Nikishangaa sana,how comes mzanii ashinde album Bora ya mwaka,winbi Bora wa mwaka na asishinde mzanii Bora wa mwaka?

    • @RichardRutembesa-ns1kn
      @RichardRutembesa-ns1kn 18 часов назад +2

      Nendeni mahakamani!!

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 11 часов назад

      Kweli kabisa

    • @sulleymernmannarah7930
      @sulleymernmannarah7930 6 часов назад

      Msanii bor wa mwaka inahusiana na hit nying alizofny na kushirkishwa kwny hits nying mbalimbali kma unabisha njoo na facts, yatapita , Zuwena ,Achii, na akawa featured kwny ngoma km comando , enjoy na nyingi nyinginezo SEMA ww Mmakonde na hits ngapi kma sio single again pkee

  • @HamisiMwazikeni
    @HamisiMwazikeni 19 часов назад +5

    Diganoo hunaogeaa upuuzii ww

  • @BarakaHarrison-l4t
    @BarakaHarrison-l4t 18 часов назад +2

    Tanzania msanii bora n kondeboy hao wengn washenz

  • @abeddyjuma4103
    @abeddyjuma4103 18 часов назад +2

    Hakufaa kupata na keshapewa,aya nenda kazichukue hizo tuzo maanake wewe ndio ulistahili kupewa,Tena Mondi atachukua Grammy sababu P dudu

    • @joyhylton7901
      @joyhylton7901 18 часов назад +2

      Are you serious? You people need help. I’m an American and Diamond Platnumz let me know or even listen to Bongo. Diamond is the King so all you haters take a seat.

    • @abeddyjuma4103
      @abeddyjuma4103 18 часов назад

      @@joyhylton7901 in Tanzania they don't have a King,they have a president who is Mama Suluhu and not Diamond get Ur facts right mr

    • @joyhylton7901
      @joyhylton7901 18 часов назад +2

      @@abeddyjuma4103 Well Diamond is the King of Bongo. I don’t care if Tanzania has President. I don’t care. Get it I said what I said. Music should be worldwide and he puts it on the map.

  • @limbomambo9728
    @limbomambo9728 16 часов назад

    Konde boii jeshiiiiii number 1 alistahili tuzo 5 za konde boii jeshiiiiii wengine waizi tu hao wagawaji wa tuzo wote wezi harmonize ndio msanii number moja

  • @alexcheriance3723
    @alexcheriance3723 19 часов назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @KenedyGodwin
    @KenedyGodwin 6 часов назад

    Bado hujasema huna lolote

  • @KizaKibakuli
    @KizaKibakuli 8 часов назад

    Tafuta tuzo zako umpe bwanawako anae trendi kwa wanawake mjinga ww

  • @limbomambo9728
    @limbomambo9728 16 часов назад

    Nikweli tuzo 5 zilikua za harmonize

  • @HassanMussa-vk3tj
    @HassanMussa-vk3tj 19 часов назад +3

    Unaongea ukweli

  • @GalimossJoseMario
    @GalimossJoseMario 18 часов назад +3

    Ww ni nkweli