Mashaallah Allah akufanyie wepesi amini yarab akhy ukimaliza hiko Enshaallah tumalizie na الفية ابن مالك ujira wako ni kwa Allah from Morocco 🇲🇦 nasoma na nakupata vizur sana ostaz said
@@Mofaiz_11 asante kwa ushauri lkn ishu sio play back speed bali mwalim yu aenda mbio mno afundishapo, sisi twataka darsa lkn aona afundishao ni magwiji watupu maana yake!!
HAPO NIMEKOSEA NINI HASWA NA WAKATI NIMEELEZA AL YAKUINGUA KATIKA FIILI IKO IKIWA NI YA MAUSOOL AMA WW HUELEWI HAYO MASOMO ? NAKAM WAELEWA NAMBA YANGU UNAYO PIJA UNIAMBIE MBELE ZA WATU AMA INGIA KWA LIVE YANGU TIK TOK UNIONESHE HAPO NIMEKOSEA WAPI KUSEMA KUWA HIYO AL IMEINGIA KWA FIILI ? KATOME MEA LINI ULISHIKA KITABU ? Namba yangu unayo nipijie nikuskie kama wajiamini kweli ?
Anaanzisha kusomesha kitabu alaf hamalizi Au unataka uonekana kuwa ni msomi kila kitabu unakijua mulha hujamaliza darsa la mantiq hujamaliza....leo unafungua kingine hhhhh
Abunauthar hata kinacho someshwa hukielewi angalia tu screen yako kwa vile tv au sim na data ni pesa yako. Lakin darsa hii wewe umbali wa ardhi na mbingu lazima uwanze msingi.
Wewe sema hivi huyo unaemuita shesh katik nahau hayupokabisaaaa, achachuki na ushabiki, haya muambieni huyobachu afundishe fani kamahizi mtandaoni kama ataweza, mtu akiamua kufundisha kitabuhiki na kile siokosa ilawewe unachukizako binafsi kwakuwa huyomtuwenu jayawezihaya
Mashaallah barakaLlahu fiikum
Mashaallah Allah akufanyie wepesi amini yarab akhy ukimaliza hiko Enshaallah tumalizie na الفية ابن مالك ujira wako ni kwa Allah from Morocco 🇲🇦 nasoma na nakupata vizur sana ostaz said
@@allysalalisalali hhhhhhhh sema ukiisha
باب الكلام
Amia kwenye alfiyyah,
Kisha nayo ishia hapo hapo
@@adamjutto5849 Allah atufanyie wepesi akhy kusomesha kazi ngumu sana Enshaallah atamaliza tu
ما شاء الله وحفظك الله من الحاسدين
MashaAllah
Maasha allahu
Mashallaah ... nimeangalia mwanzo hadi mwisho na nimestafidi sana ..Allaah akujazi kila la kheri katika harakaat zako
Maa shaa Allah
Ustadhi Asalam alaykum warahma tullah wabarakatuh shkh nina familia naomb darsa nitalipataje
❤
Usimlinganishe bacho na huyu kijana nimbingu na ardhi huyu kijana yuko mbali mno haswa kilugha ,
Bachuakasomekiarabu
شرعت بمعنى بدأتُ ...
salam alayka, sheikh kwa hisani yako naomba punguza spidi unaenda kwa spidi kubwa, sisi wengine wazito kidogo
punguza playback speed youtube iende polepole😂
@@Mofaiz_11 asante kwa ushauri lkn ishu sio play back speed bali mwalim yu aenda mbio mno afundishapo, sisi twataka darsa lkn aona afundishao ni magwiji watupu maana yake!!
Sheikh Said tunaomba kama inawezekana hizi darasa turushie kwa mtiririko 4:01
Darsa ya mantwiq vip ile mwalim mbona kimya?
🙏🙏🙏
Ingekuwa unaanza upywa kwa mfumo wa u tube ingesaidia
SAIDI HIYO LAMU HAJAINGIA KWA KITENDO na hilo utalioata katika hicho kitabu mbele umechemsha
Mm ni mea
قال الإمام الغزالي (ر): لا تصاحب من يحب أن يراك معصوما.
و إذا صادقت فختبر الصديق@@abdulkhaliqmuhammed456
HAPO NIMEKOSEA NINI HASWA NA WAKATI NIMEELEZA AL YAKUINGUA KATIKA FIILI IKO IKIWA NI YA MAUSOOL AMA WW HUELEWI HAYO MASOMO ? NAKAM WAELEWA NAMBA YANGU UNAYO PIJA UNIAMBIE MBELE ZA WATU AMA INGIA KWA LIVE YANGU TIK TOK UNIONESHE HAPO NIMEKOSEA WAPI KUSEMA KUWA HIYO AL IMEINGIA KWA FIILI ? KATOME MEA LINI ULISHIKA KITABU ? Namba yangu unayo nipijie nikuskie kama wajiamini kweli ?
@@saidomarabdalla1768
Achana naye huyu hajielewi inawezekana akawa hajui pia yeye mwenyewe ni mwanaume au ni mwanamke.
Jamani hata ملحة haijaisha wasomesha nahw ingine
Kwan wewe ndo unampangia kitabu gan afundishe?
Wachoyo sana wakikianza wakimalizi Mila hawape kheri
Ukiandika kua makini kisome tena kiswahili chako
😂😂😂 kusomesha ni swaifa ya rijaal,anasomesha vitabu afu havielewi mbeleni,hamalizi😂
Kwani Muhammad mafuta huwa Ana maliza vitabu akiaanza au hahahaha
Anaanzisha kusomesha kitabu alaf hamalizi
Au unataka uonekana kuwa ni msomi kila kitabu unakijua mulha hujamaliza darsa la mantiq hujamaliza....leo unafungua kingine hhhhh
Kama unampata kielimu na wewe somesha, kisha usiwapangie watu namna ya kusomesha kama hajamaliza wewe malizia kuvisomesha
Huyu sheikh saidi asomesha wanafunzi darasani kwa hiyo itategemea na wanafunzi anaosomesha
Kitu alichokuzidi sheikh Muhammad bacho ni kuwa anajua ni namna gani mwanafunzi afunzwe sasa wewe kitabu hakijaisha warukia vyengine
Kweli watu wa hawaa na chuki Yaani chuki tu ndo ulioko nao ulilazimishwa kusikiza?
Toa na ww darsa tukuone umemzidi nini bacho😂
Wewe sijui Abu nani huyo mufti wenu bachu hebu mwambie awafungulie darasa za lugha alafu sisi tutachekea huku kwa comments😂
Abunauthar hata kinacho someshwa hukielewi angalia tu screen yako kwa vile tv au sim na data ni pesa yako. Lakin darsa hii wewe umbali wa ardhi na mbingu lazima uwanze msingi.
Wewe sema hivi huyo unaemuita shesh katik nahau hayupokabisaaaa, achachuki na ushabiki, haya muambieni huyobachu afundishe fani kamahizi mtandaoni kama ataweza, mtu akiamua kufundisha kitabuhiki na kile siokosa ilawewe unachukizako binafsi kwakuwa huyomtuwenu jayawezihaya
Mashallah