Ona ZUCHU Alivyomkimbia NANDY Baada Ya TUKIO Hili KUTOKEA Jukwaani/ HAKUNA Aliyetegemea AIsee!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 80

  • @maryaugustino8716
    @maryaugustino8716 День назад +4

    Nandy nandy ameuaaaaaaa zuchu akasome kwanza hawezi kabisa kumfikia nandy nandy forever ♥️ ❤️ 💖

  • @SaraRuben-t1f
    @SaraRuben-t1f 2 дня назад +5

    Zuchu anajuwa kutumia ku perform ❤️❤️

  • @dadaamwazewe1299
    @dadaamwazewe1299 День назад +1

    Nmependa zuchu na kwaya yake alaf leo ninaiman daa zuu umefurahisha wengi kwa vazi lenu❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @LeonorahLeonorah
    @LeonorahLeonorah 3 дня назад +8

    Nandy zaidi

  • @faustajoveen4664
    @faustajoveen4664 3 дня назад +5

    Wote nawashabikia ila zuchu sauti yake so ya kufoc anashuka na kupanda vizuri ❤

  • @DalkhasKitchen
    @DalkhasKitchen 2 дня назад +4

    Nandy❤❤❤❤❤Mmoja tu❤❤❤❤

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 3 дня назад +7

    Zuhura forever ❤❤

  • @rehemarehema7475
    @rehemarehema7475 7 часов назад

    Wacheni kumzarau zuchu .zuchu nisanii mkubwa duniani amemshinda wote nand. i na wengine sasa wacheni kumsema zuchu ❤❤❤🎉 nampenda sana

  • @AnnaChoma-os5wi
    @AnnaChoma-os5wi День назад +2

    Nandy yupo vizuri sana acheni wivu,

  • @user-tg6tp8hz21
    @user-tg6tp8hz21 3 дня назад +10

    Kwan zuchu alikuwa na kwaya😅😅😅 shenz zenu hakuna anaweza kupa fomas kama Ali kiba .Ali kiba anajuwa kuteka hisia za watu jukwaan

    • @QueenRhoda-q8c
      @QueenRhoda-q8c 3 дня назад +1

      Ndio saba but ulikuwa unajibu opposit kwa class kumbafu 😊😊

    • @CAROLINELUGO-yt5og
      @CAROLINELUGO-yt5og 2 дня назад

      Nashangaa kumeingia kanisa zuchu ni paster

  • @ErfEff-k6w
    @ErfEff-k6w 2 дня назад +4

    Zuchu anajuwa kucheza lakin kuimba hamfikii nandy ukweli Alf zuchu anaimba ujinga wa watoto na Jana

  • @JoanaTijuana
    @JoanaTijuana 11 часов назад

    Zuchu daima mbele ❤❤🇲🇿💯💯🔥

  • @AishaGor
    @AishaGor 3 дня назад +3

    Mm nimeipenda vaz lazuchu

  • @comm611
    @comm611 День назад +1

    zuchuuuuu ni shida. kwakweli ❤❤❤

  • @RabiaWahadh
    @RabiaWahadh 4 дня назад +6

    Zuch Forever 💯💯💯

  • @gladysjulia5395
    @gladysjulia5395 День назад +1

    From kenya and i vote for zuchuuuu

  • @ahmedparkour5108
    @ahmedparkour5108 3 дня назад +3

    African princess namba 1

  • @IdiBanye
    @IdiBanye 3 дня назад +4

    Nandy ajuwi kucheza, zuchu ni simba

  • @DalilaSailm
    @DalilaSailm 2 дня назад +2

    Nandy the best of the best ❤

  • @MahijaMagwiza
    @MahijaMagwiza 2 дня назад +1

    Honger zuchu upo vzur San

  • @ChristinaHaule-pw8de
    @ChristinaHaule-pw8de 2 дня назад +2

    Zuchu nampendaga sana

  • @PaulinaOctavian
    @PaulinaOctavian 4 дня назад +3

    Zuchu upo vzur unafoc watu washangilie😂

  • @RaphinaOfficial
    @RaphinaOfficial 2 часа назад

    Dada zangu mmetisha nisapotin pia kazi yangu mungu awabariki

  • @NathalieKinanga-y8p
    @NathalieKinanga-y8p День назад +1

    Sifa ❤❤❤zote unazo dada

  • @ElizabethDaudi-b6v
    @ElizabethDaudi-b6v 2 дня назад +2

    Zuchu ajua sana

  • @FatmaMussa-h9o
    @FatmaMussa-h9o День назад

    Wote wamefanya poa bhn❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ElizabethJoseph-u6l
    @ElizabethJoseph-u6l 5 часов назад

    🎉🎉

  • @KapesulaMjango
    @KapesulaMjango 2 дня назад +2

    Jamani mbona kama anaimbisha kwayo maneno mengi kuliko kuimba akwende uko nandy nimmoja tuu

  • @HudhaimaFaida
    @HudhaimaFaida 2 дня назад +1

    Kwa vile anajifoc na kutumia nguv kwenye ku dance😂 hawez mpk maik ampr mtu ila nandy ankamata mwenyew maiki😂

  • @millymilly7244
    @millymilly7244 3 дня назад +4

    Na mbwembwe zote lakini zuchu ndo kaua

  • @GraceIshimwe-d7p
    @GraceIshimwe-d7p 3 дня назад +2

    Zuchuuu number1

  • @AngelOkota-f5d
    @AngelOkota-f5d 4 дня назад +3

    Hayo mambo mwachieni Ruby jamani🙌

  • @niduhaemelyne
    @niduhaemelyne 2 дня назад +1

    zuchuu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AcyaKazumary
    @AcyaKazumary 20 часов назад

    Sio lazima ajue kucheza ila nandy mkali❤❤❤

  • @Lilymanien
    @Lilymanien День назад

    Team zuchu where are you❤❤❤❤

  • @NathalieKinanga-y8p
    @NathalieKinanga-y8p День назад

    Nakupendaa sana zuch

  • @aishambagi7371
    @aishambagi7371 4 дня назад +2

    Safi sana ndani

    • @khadijaacute
      @khadijaacute 3 дня назад +1

      Ndani ndo nani huyo😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅

  • @jumahmovine
    @jumahmovine 2 дня назад +1

    Zuchu🔥🔥🔥

  • @sadakheri1795
    @sadakheri1795 4 дня назад +4

    Zuchu mkali hakiwezi nand hata kidogo

  • @MrishoMambo
    @MrishoMambo 4 дня назад +3

    Alikua anaimba nini mbona haeleweki huyo nandi

  • @SabinaKasambala
    @SabinaKasambala День назад

    Zuu love ue unjuaaa sn❤

  • @AishaSudi-pu9xy
    @AishaSudi-pu9xy 3 дня назад +1

    Ukumbuvu tutafute pesa tuache unafiki mm mwnyw najua kuimba kuliko wao😂

  • @RebekaMwangaka
    @RebekaMwangaka 23 часа назад

    Nandy daima

  • @MerryMswima
    @MerryMswima 2 дня назад

    Hi jamn zuchu akasome kwanz koz ndoatawez bila Ivo mh😢😢😢

  • @OlgaAmboulou
    @OlgaAmboulou 4 дня назад +2

    Zuchuuuuu ❤❤❤❤❤🎉

  • @lightnesskelvin-kf3ef
    @lightnesskelvin-kf3ef День назад

    Uzhuuu❤

  • @OrpahThomas
    @OrpahThomas День назад +1

    Nandy is better than zuchu

  • @aminamomba9586
    @aminamomba9586 3 дня назад +1

    Hawa nao ni wanafki ety zuchu amkimbie nandi kwa kipi cha ajabu alichoimba nandi

  • @QueenRhoda-q8c
    @QueenRhoda-q8c 3 дня назад +2

    Zucu moto mkali usiyo zima

  • @ElizabethSadick-g2o
    @ElizabethSadick-g2o День назад

    Zuchu mbona na majoh tena utafikili kwaya😂😂😂

  • @EvaMkongo
    @EvaMkongo 14 часов назад

    Kwani zuchu alifikili yupo kwenye shindano la taarabu kwani maana sielew hilogauni la waimba taarabu na chakushangaza hao waliovaa majoho kama hawajiamini kabisa

  • @NasraAloyce
    @NasraAloyce 13 часов назад

    Yaani zuchu akivaa staraa wanasemaa joho akivaa nguo fupii wanasemaa amrudie mungu

  • @ErfEff-k6w
    @ErfEff-k6w 2 дня назад

    Nilikuwa sijaona kumbe ni kwaya kbsa zuchu shenz kbsa

  • @LilianKisonda
    @LilianKisonda День назад

    ❤❤❤zuu

  • @arafakhamis3336
    @arafakhamis3336 12 часов назад

    Zuhra🎉

  • @BeatricePaul-z4b
    @BeatricePaul-z4b 2 дня назад +1

    Shenzi sipend mavazi yetu wanavo yatumia vibaya

  • @magrethkapingu3332
    @magrethkapingu3332 4 дня назад +2

    Ila Zuchu😂😂😂😂

  • @SheilaSaid-in9uj
    @SheilaSaid-in9uj 3 дня назад

    Ch❤❤❤

  • @zayanazayana5518
    @zayanazayana5518 3 дня назад +1

    Nyimbo au sarakasi?

  • @maryaugustino8716
    @maryaugustino8716 День назад

    Manyimbo ya zuchu mabayaaa

  • @Dil-nawadhFt
    @Dil-nawadhFt 2 дня назад

    Na watu wakatulia km ivi mm wakaangalia upumbavu huu ila nashindwa kuangalia yote napelek tu

  • @GloryMjema-k2u
    @GloryMjema-k2u 3 дня назад +1

    Kwan zuchu alikuwa na gospo 😂😂😂😂

  • @MissNeni-w2u
    @MissNeni-w2u 3 дня назад +1

    Ajui kuchz lkn anjuw kuimb kinom kulik zuch

  • @sameraakhf5605
    @sameraakhf5605 4 дня назад +1

    Kukaa uchi tuu mbele za umma shenz zenu

    • @user-tg6tp8hz21
      @user-tg6tp8hz21 3 дня назад

      😅😅😅😊

    • @AdelinaSothery
      @AdelinaSothery 3 дня назад

      Umeonaeee alf baadae mwenyez mungu awalaze Mahali pema😅😅😅😅

  • @ahmedparkour5108
    @ahmedparkour5108 3 дня назад

    Niambieni kitu chamaana anachoimba zuchu

  • @HIDAIAZngbar
    @HIDAIAZngbar 3 дня назад +2

    Nand yupo juu

  • @ahmedparkour5108
    @ahmedparkour5108 3 дня назад

    Katuletea chapati mara honey sukari kaacha nn bado maandazi sasa

  • @SUHAIRASWEDIQRAMADHAN
    @SUHAIRASWEDIQRAMADHAN 4 часа назад

    Nandi kauwa

  • @AdelinaSothery
    @AdelinaSothery 3 дня назад

    Zuchu zuchuuu 😅😅😅😅nikifikiria umezamaa kwa praise and worship 😅😅

  • @sakina-k7m
    @sakina-k7m 3 дня назад

    Zuchu gospo😂😂

  • @ZainabuKidangi
    @ZainabuKidangi День назад

    Kwenden huko mko uchi tu hovyo

  • @HalimaAmani-j7v
    @HalimaAmani-j7v 3 дня назад

    Ovyooooo, pdd

  • @RoseChenga
    @RoseChenga 3 дня назад

    Nimeona komwe