Huwez kuona ngoma kama ya roma ikipewa airtime ya kutosha kwenye house media nyingi, lkn ngoma za hip hop zile lain lain ndo utazisikia zinagongwa kama zote,
To the honest huyu mchiz ktk dhambi ambayo atatembea nayo mpk aje aombee toba ni kuua game na wasanii wa hiphop mlio wapa sana support ndio wameua harakat za kupush movement za hiphop ad ku stuck
Huyo mchomvu ni mmoja Kati ya watangazaji walioua HIP HOP , kwa kubagua wasanii fulani na kuwapa nafasi wasanii fulani mwisho wa siku leo anawacheka watu ujinga....mliwabeba watu lkn hawakua na levo za kuipeleka HIP HOP mbele.....sasa HIP HOP imepotea, mmebakiza midomo tu...!...bora UKAUSHE TU'...usiongelee HIP HOP
@@josephboniface6209 ....Mawili, Aidha mshabiki wa MCHOMVU au AMAPIANO ....huna unqchokijua kuhusu HIP HOP mpk WATANGAZAJI waduanzi walioweka MATABAKA kwenye muziki wa HIP HOP ....🖕🖕🖕🖕🖕🖕
Inspiration kama hizi inatuonesha ni jinsi gani watu wana Upendo big shout-out KWA Adam Dullah planet na huyo mdada mmetisha mpaka rahaa
Adam best presenter in africa
One of the Best interview kwenye huu mwaka ni hii ya Adam inakitu kwenye Hiphop
Sure
Mchomvu Inc
Much respect kwako
THE LADY PRESENTER BROWN GIRL SURA YA PESA LAKINI NYWELE LOOKS VERY SHAGGY THATS HER IDENTITY. AMAZING
😂😂😂
Very shaggyyy 😅😅 saante kwa compliments
@@lesasid6494 shukran, iko love Nairobi kariakor
Tukiishi hivi ni fresh sana nawakubali sanaaaa
amazing guy, Adam namkubali all the time
2:25 Hilo jibu ni 🔥😂
Nimeipenda sana hii interview
Namkubali xana mwamba hana baya tano🤜 za nguvu kwa mchomvu
Mchovu ni M2 Mbad kwenye kipaza
Appreciate ad
Namkubal sana mchomvu uko poa sanaaaaaaaa
Much ❤
oya Adam mchomvu watu wanasema ww nibangi nyingi ira sio kweli mm nakukubali sana mana atamm spend ujinga akizingua mtu mitama2
Afu bangi sio mbaya bro.usISAHAU
AD+ hatari sanaaaa planet mmetishaaaa shanaaaa
STRAIGHT UP!!!
Nice adam
sana
Big up Sana 💪 woof kwishaaaaaàaaa
+254🎉 Niko ndani.
Big show
Nomaaaaaa
Champez!!!🙏✅
Huwez kuona ngoma kama ya roma ikipewa airtime ya kutosha kwenye house media nyingi, lkn ngoma za hip hop zile lain lain ndo utazisikia zinagongwa kama zote,
Weka platform yako na uweke playlist ya Roma tuuu!!!
Siku zote ukiongea ukweli unabakia pekeyako
Ili iweje sasa na ngoma ya kawaida sana
@@davidpius4764 kwa masikio yako ni ya kawaida, maana ww umeshazoea zile ngoma za inama chomeka chomoa nk
@@mdangulesamila6626 makasiliko ya nn🤣🤣unafula kama puto
Toka dakika 10 za maangamiz mkali ni medani the one
Another page...
Mchomvu ink..
Mchizi wangu...
Riiiiiiiimix
Senkondo 🔥🔥
Hiyo beat nataka nielewe ni nhoma ya nani...from 8th minutes
Bonge moja la interview hii
Ukizaliwa Arusha ni unakuwa na akili nyingi
Bangi mbaya
Mchomvuuuuu! Wape mashavu wanaa🤣🤣🤣🤣
Mi adamu nakukuligi ile noooma ama nene they way ulivyo unajiamini ile mbaya
Mchizi anaakili mingi sana
Rich msafi yupo kmya
Adam apo leo umeongea vzri kuhusu hip hop
BM kama BM from xxl
AD
Eewaaaa
Nachojua kuhusu adam apendi dharau
✌️✌️
Mh huyu mdada mzuri jamany
Asante kwa kuliona Hilo yaan ndo nlikua napitia coment nione mtu mwenye mawazo Kama yangu
Ana uzuri gan
@@kibombi 😂😂 Afadhali wewe umekuwa mkweli
@@kibombi kwahiyo nna sura ya kufunga kazi 😂😂😂
@@timoliiisaya3824 saaaaante 😊
Lina Akil hili likaka
Now game inakuwa zaman haikuwa hv
To the honest huyu mchiz ktk dhambi ambayo atatembea nayo mpk aje aombee toba ni kuua game na wasanii wa hiphop mlio wapa sana support ndio wameua harakat za kupush movement za hiphop ad ku stuck
Hii ni bonge la interview...
SEKONDO KWA WATU WA KILINDI MAANA YAKE NIMTU WA VITA
Punguza bangi itakusaidia
AD+
Et Hamo na alikiba😂
jina mchomvi tu inama ni ushari ssa kka jina limkponza
Adam mshamba tu huna jipya, huja anza ww kutangaza, unaaibisha chuga
Una sema una penda hip hop wakati wewe ndio umechangia kuua hip hop tanzania
ina muinterview muintervwiuwaaa
ADAM MCHOMVU
Huyo mchomvu ni mmoja Kati ya watangazaji walioua HIP HOP , kwa kubagua wasanii fulani na kuwapa nafasi wasanii fulani mwisho wa siku leo anawacheka watu ujinga....mliwabeba watu lkn hawakua na levo za kuipeleka HIP HOP mbele.....sasa HIP HOP imepotea, mmebakiza midomo tu...!...bora UKAUSHE TU'...usiongelee HIP HOP
Fuck hujui mziki tuliza kipago...
@@josephboniface6209 we MAKU kweli, ww ndio huna unachokijua ww Boya na huyo mchomvu Boya..!...
Sehemu anapofanyia kazi waache kwenda kama wanaona anaua, Wewe kazi unaiona mbovu ufiche ili iweje,
@@TEDY-MTEMY24 ...Ukiwa unafuatilia muziki wa HIP HOP utanielewa, ila ukiwa Shabiki wa REDIO au MTANGAZAJI Hautaelewa
@@josephboniface6209 ....Mawili, Aidha mshabiki wa MCHOMVU au AMAPIANO ....huna unqchokijua kuhusu HIP HOP mpk WATANGAZAJI waduanzi walioweka MATABAKA kwenye muziki wa HIP HOP ....🖕🖕🖕🖕🖕🖕
I'll III I'll y it 9
BM kama BM from xxl