Jenifer Kyaka & Hemed Suleiman MKWE 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2021
  • Jenifer Kyaka & Hemed Suleiman
    Familia nyingi hukubwa na ugovi baina ya wazazi na wanandoa na watoto wao, ugomvi baina ya wazazi na watoto wao umepelekea kuzuka kwa visa,chuki,na mpasuko mkubwa kuhusishwa na imani potofu na ushirikina.
  • КиноКино

Комментарии • 139

  • @shufaambata257
    @shufaambata257 Год назад +2

    Movie ni nzur lakn saut za kuongea aisikik tunasikia kinanda ahsante hemed Suleiman na Jenifer kyaka kwa Kaz nzur

  • @titusmoses7
    @titusmoses7 2 года назад +3

    Hivi wabongo lini mtakuwa serious kwenye kazi zenu, muvi nzuri sound kelele tupu mara dj mix mara inamute Yan hamkui tu

  • @kabintmpase1544
    @kabintmpase1544 2 года назад +13

    Msomaj comment kwanza hii siangalii nasikia hakuna saut😂😂

  • @sharonchihunga8008
    @sharonchihunga8008 2 года назад +4

    Hii movie nliichek 4yrs ago na 2021 nkaitafuta sana xkuiona, leo naiona yasema 1month ago mbna🤷‍♀️ na part 2 iko ap🥺🥺

  • @swaumkatuga7474
    @swaumkatuga7474 2 года назад +1

    Wekeni part2 this is one of the best Bongo movie😊naipenda Sana Ila inanilizaga Sana😫

  • @msaysha5886
    @msaysha5886 2 года назад +5

    SASA MBONA NI MZIKI TU SAUTI HAMNA

  • @maxameddheere1737
    @maxameddheere1737 2 года назад +5

    Movie nzuri sana but mume tu tia aibu upande wa sauti,,, bongo rekebisheni sauti bwana!!!

  • @sulesuburasubira6503
    @sulesuburasubira6503 2 года назад +2

    Alaf emed anapenda kuakt na uyu tunu mnapendeza ataivyo nawapnda

  • @tyrt8790
    @tyrt8790 Месяц назад

    Mbona Hamna sauti.mi nko hapa kuskiza manenos Wala sikuangali movements

  • @user-xc2ne8py8n
    @user-xc2ne8py8n Месяц назад

    Uyu mama jamani ninamupenda saaaaaaaaana mama mkwe wangu ❤nakupenda muno

  • @maikomatei810
    @maikomatei810 2 года назад

    Move inafundisho sana hii jamani aya maisha haya yapo kabisa asanteni sana kwakufundisha jamii

  • @susanchebet3298
    @susanchebet3298 2 года назад +2

    Tunataka sauti ya washiriki sio muziki, imeniboo Ata siangalii tena 😏😏😏😏😏😏

  • @fouzfouzz1137
    @fouzfouzz1137 Год назад

    mnafanya nagnga simuu itoe sautii lakin daa enyway iko sawa move

  • @user-oi3of3ti7f
    @user-oi3of3ti7f 2 месяца назад

    Mbona hakuna sauti? Lkn movie nzuri i❤ it.

  • @mwakaathumani4793
    @mwakaathumani4793 2 года назад

    Tuleteen part 2 bt volume munatuboo iko vzr sna ❤️❤️

  • @teachaish7143
    @teachaish7143 Год назад

    Jamaniiii sautiiiyyy tienii tuleteeniiiiiyyyyy,nyenginee akaaaa,,

  • @magdalinekenneth7238
    @magdalinekenneth7238 2 года назад

    Hio hii music yao sijapenda tunataka kusikia maneno

    • @mkazahamisi8508
      @mkazahamisi8508 2 года назад

      raha ya kuangalia move usikie wanacho ongea ila tunsikia vinanda tyu

  • @kenogola3392
    @kenogola3392 Год назад

    Suleiman uwanga unatoa movie tamu lakini hili iliharibiwa na ,,,sauti hamna ni wimbo

  • @black_queen_vibe
    @black_queen_vibe 3 месяца назад

    Alie edit hii movie ananikwaza...watu wa bongo movie mmekariri sound track huko background Yan limuvi linapiga kelele saut znainguliana kwa Haya Huwa hamyaon kabla ya kupost hizi kazi....mnajiharbia wenyew halaf kesho mseme watanzia sio wazalendo hawaangakii movie zenu....mi nmeipenda hii movie ila siangalii nimepoteza mb Zang Bure tu naskia kelele tupu watu wakiongea nyie mnaweka sound track . ....kama hamuez kazi achen kutupistia ujinga ujinga bwana.....

  • @suleimankatana3909
    @suleimankatana3909 2 года назад +2

    Hemd wap part 2 nice move

  • @bekamusli85
    @bekamusli85 2 года назад

    Dahhhhh nilikuwa naitafuta kwa ham Sana hiii

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 2 года назад

    Filamu nzuri nltee party 2

  • @maxameddheere1737
    @maxameddheere1737 2 года назад +3

    Movie tokea mwanzo hadi mwisho ni music only!!

  • @lenardshukurujanuary1435
    @lenardshukurujanuary1435 2 года назад

    Dj unazingua kinom bna unazidisha

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 2 года назад +1

    Sauti hamuna, utamu wa movie ni kuskia watu wanasemaje😏😏

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 2 года назад +2

    Sijatizma na wala sitazmai tena km Hamna sauti

  • @swalehabdulkarim4265
    @swalehabdulkarim4265 2 года назад

    Ssa hii movie bila sauti ilkwa na maana gani kuiweka huku tafadhalini launch before ikuwe official ndani ya youtube

  • @noushaddammam8805
    @noushaddammam8805 2 года назад

    hii part 1 mushafeli na sauti sijuwi iyo part maana ata sikuimalizia imeniboo sehemu nyingine akuna sauti

  • @sumaiyaali5130
    @sumaiyaali5130 2 года назад

    Futeni hii movie coz sisi twataka kusikia maneno si music. Hata ileti shangwe. Nyie actors musirudi kwa hio studio tena

  • @samweltorai5049
    @samweltorai5049 Год назад

    Mbona sehemu zingine sauti haipo?

  • @collinsmwanuli5173
    @collinsmwanuli5173 Год назад

    Mziiki tu sauti hamna

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 3 месяца назад

    Tutumieni hemed sul weiter

  • @josepheleteuskumburu6403
    @josepheleteuskumburu6403 2 года назад +1

    Mh mna yumba mtuludishie mb zetu

  • @bitishoriziki1113
    @bitishoriziki1113 Месяц назад

    Wow beautiful ❤️❤️

  • @avituseradius3513
    @avituseradius3513 3 месяца назад

    Wasenge nyie mbona amna sauti sasa mnatuekea muziki

  • @anthonyndegwa997
    @anthonyndegwa997 2 года назад

    Kindly guyz simchange hii tabia! !!,,,, movie bila sauti? Hatujasomea sign laguage plz?

  • @mariamtambwe6823
    @mariamtambwe6823 2 года назад

    Jamanii Anna anatumia huawei

  • @solangerechol6881
    @solangerechol6881 2 года назад

    Film nzuri sana kabisa

  • @titusmoses7
    @titusmoses7 2 года назад

    Bora niangalie Hollywood zangu

  • @agnessmpogole1434
    @agnessmpogole1434 2 года назад +2

    Hii movie itakuwa waliiandaa kwaajili ya viziwi na mabubu

    • @user-vq1qx1dr4e
      @user-vq1qx1dr4e Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂mungu anakuona

  • @toshaecha7313
    @toshaecha7313 2 года назад +1

    Nyinyi watuwangu je vous aimes plus forte

  • @anthonyndegwa997
    @anthonyndegwa997 2 года назад

    By the way mko na shida na voice to your movies, it's almost zote? !!!!

  • @salmasaed4196
    @salmasaed4196 2 года назад

    Wbogo mna boo mziki uko juu huskii chochte

  • @fridabondo3171
    @fridabondo3171 5 месяцев назад

    Nimeipenda hiyo

  • @RatiffaSeti-oh8hv
    @RatiffaSeti-oh8hv Год назад +1

    Wale tunao soma comments ndo tuangali moves tujuane

  • @KhadijaKhadija-ee5kr
    @KhadijaKhadija-ee5kr 2 года назад +2

    Kaz nzur ila saut hakuna

  • @anthonyndegwa997
    @anthonyndegwa997 2 года назад

    According 2me u guyz think ur the only producing movies online, , coz this is my third complain on ua movie. Am a kenyan bt complaining frm Somalia Kismayu.

  • @maryamkomba6720
    @maryamkomba6720 2 года назад

    Ovooo bila sauti ndio maana hamwendi mbele

  • @ukhtyaishamapozpba4173
    @ukhtyaishamapozpba4173 2 года назад

    Hamna ishu kaz mbovu cc hatuna shida ya mzik tunataka tuskie kaz

  • @zawadijulius8817
    @zawadijulius8817 2 года назад

    Mmeferi sauti bhana

  • @kiya0910
    @kiya0910 Месяц назад

    Wooooh ❤❤❤🎉🎉

  • @kelvinmatenus380
    @kelvinmatenus380 2 года назад +1

    Mbona sauti mmekata kata Sana

  • @Elizaclemess
    @Elizaclemess 3 месяца назад

    jaman apo to wamearbu lakn move kali

  • @rahabpaul5618
    @rahabpaul5618 2 года назад

    Movie nzri bt mume boesha sauti

  • @mauwarashid4823
    @mauwarashid4823 2 года назад

    kazi mnzuri_jamani_ongereni_washiriki_wote

  • @thabitiykitwana1271
    @thabitiykitwana1271 2 года назад +2

    Mnaweka movie nzuri lkni sauti mbovu.

  • @irenebaya6296
    @irenebaya6296 2 года назад

    jamani movie nzuri sauti hakuna ,part two basi twataka

  • @alingoka6274
    @alingoka6274 2 года назад +1

    Kila mmoja analalamikia sauti hivyo bc sioni haja ya kutazama

  • @user-xr7zm6hv3e
    @user-xr7zm6hv3e Месяц назад

    Asanteni

  • @frolandunguru4489
    @frolandunguru4489 2 года назад

    Muvi mzuri lakini sauti hainogi

  • @muyeshishadrack740
    @muyeshishadrack740 2 года назад

    Filamu iko sawa lakini sauti

  • @aishasaid3455
    @aishasaid3455 2 года назад +1

    Saut mmezingua san jmn

    • @zahranmohd6713
      @zahranmohd6713 2 года назад +1

      Mm sipendi kuangalia sinema bubu nimechoka km hamjarekebisha situpi mb zangu bure

  • @magdalinemwikwabe8655
    @magdalinemwikwabe8655 4 месяца назад

    I hate this muted scenes😢😢😢😢 to make it worst it’s very loud😢😢😢😢😢😢

  • @KhadijaKhadija-ee5kr
    @KhadijaKhadija-ee5kr 2 года назад

    Mwendelezo lini

  • @clarisgambo7960
    @clarisgambo7960 2 года назад +1

    Bongo rekebishen move nyingi zenu sauti tatizo

  • @titusmoses7
    @titusmoses7 2 года назад

    Yani mnaboa kweli na misauti yenu, hivi mnakuwa na mtu wa sauti na mnamlipa Kwa ujinga huu

  • @sulesuburasubira6503
    @sulesuburasubira6503 2 года назад +2

    Labda smu zenu znashds mbona saut nikubwa jaman

  • @aminasaid308
    @aminasaid308 2 года назад +1

    Movie poa but sauti hapo ndio mwatuboesha

  • @hildajoshua2906
    @hildajoshua2906 2 года назад

    Nampenda huyu dada hatari

  • @zahakinchabili5797
    @zahakinchabili5797 2 года назад

    Mnaficha nn kwenye saut wakat nyiny ni wasanii wakubwa?

  • @flowerskalumbwa668
    @flowerskalumbwa668 2 года назад

    part 2 plz

  • @saudahamad7481
    @saudahamad7481 2 года назад

    Siku hizi naona n movie zote hazina sauti

  • @dagoberthtairo6357
    @dagoberthtairo6357 4 месяца назад

    Movie gani ambay Haina sauti

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo 2 года назад +2

    Sautiiiiii hamuna

  • @muyeshishadrack740
    @muyeshishadrack740 2 года назад +1

    Congratulations

  • @hamisjumanne3431
    @hamisjumanne3431 2 года назад

    Sasa munaweka miziki ya nn badala yakuweka sauti mnakazana na mamiziki tu

  • @fannyniyubahwe8847
    @fannyniyubahwe8847 2 года назад +1

    Mutania film nzuri lakini sauti hakuna

  • @evangelineirakoze7335
    @evangelineirakoze7335 2 года назад

    Hiyo volume wapi hatimusikiii

  • @misscrypto481
    @misscrypto481 Год назад +1

    na wewe sijui kaka ou binti mwenye hii channel bongo cinema. jirekebishe bana. movie zako nyingi bana zina ubovu wa sound? ao izi views zetu tuzibebe kwenye channel nyingine?😡😡😡😡

  • @janethraphael4893
    @janethraphael4893 2 года назад

    Mnaboa sana

  • @JanetJannet-gy4ef
    @JanetJannet-gy4ef Год назад

    Kwakwel movie nzr ila sauti hkn shd nn 7:03

  • @ashaiddi6449
    @ashaiddi6449 Год назад

    Sauti sijapenda

  • @ashurafundi2873
    @ashurafundi2873 2 года назад

    Mbona hamna saut

  • @agnesbochaberi5738
    @agnesbochaberi5738 Год назад

    Sauti plz

  • @dr.ayesigamfuriki2364
    @dr.ayesigamfuriki2364 2 года назад

    Mbona sisikii chochote ni mziki tu🤔🤔🤔🤔

  • @JanetJannet-gy4ef
    @JanetJannet-gy4ef Год назад

    Kwakwel movie nzr ila sauti hkn shd nn

  • @mohammedshunu8014
    @mohammedshunu8014 7 месяцев назад

    Move nzuri sana

  • @rachelkelembu5651
    @rachelkelembu5651 2 года назад

    Dj unasinguwa

  • @awltany3545
    @awltany3545 2 года назад +1

    Film nzuri sauti hakuna kwanini???

  • @benardmsafiri4648
    @benardmsafiri4648 2 года назад +1

    Sauti kubwa

  • @selinakabibikombe2309
    @selinakabibikombe2309 2 года назад

    Hilo lijimziki ndo liko juu hata hatuelewi

  • @wityisaac4973
    @wityisaac4973 2 года назад

    Yan kuna midundo tu haata watu wakiongeasisiki

  • @sakinakhatibu1820
    @sakinakhatibu1820 Год назад

    Movie nzuri lkn miziki mingi hatusikii wanaongea nn

  • @bienfaitkamole858
    @bienfaitkamole858 2 года назад

    Bien

  • @selinakabibikombe2309
    @selinakabibikombe2309 2 года назад

    Sauti jaman

  • @mauwarashid4823
    @mauwarashid4823 2 года назад

    sauti mnakwama_ wapi

  • @user-mo6or1wr8t
    @user-mo6or1wr8t 5 дней назад

    Kwa nini hamna saiti

  • @catherinekhufo2741
    @catherinekhufo2741 2 года назад

    Kwani hzo sauti mkitoa inakuaje mfyuuuuu

  • @hadijamwakare5713
    @hadijamwakare5713 2 года назад

    Movie nzuri ila sauti hamna

  • @adijasalumu6452
    @adijasalumu6452 2 года назад +1

    Sauti jamani