Jenifer Kyaka & Hemed Suleiman MKWE 1
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2021
- Jenifer Kyaka & Hemed Suleiman
Familia nyingi hukubwa na ugovi baina ya wazazi na wanandoa na watoto wao, ugomvi baina ya wazazi na watoto wao umepelekea kuzuka kwa visa,chuki,na mpasuko mkubwa kuhusishwa na imani potofu na ushirikina. Кино
Movie ni nzur lakn saut za kuongea aisikik tunasikia kinanda ahsante hemed Suleiman na Jenifer kyaka kwa Kaz nzur
Hivi wabongo lini mtakuwa serious kwenye kazi zenu, muvi nzuri sound kelele tupu mara dj mix mara inamute Yan hamkui tu
Msomaj comment kwanza hii siangalii nasikia hakuna saut😂😂
Hii movie nliichek 4yrs ago na 2021 nkaitafuta sana xkuiona, leo naiona yasema 1month ago mbna🤷♀️ na part 2 iko ap🥺🥺
SASA MBONA NI MZIKI TU SAUTI HAMNA
Wekeni part2 this is one of the best Bongo movie😊naipenda Sana Ila inanilizaga Sana😫
Movie nzuri sana but mume tu tia aibu upande wa sauti,,, bongo rekebisheni sauti bwana!!!
Mbona Hamna sauti.mi nko hapa kuskiza manenos Wala sikuangali movements
Alaf emed anapenda kuakt na uyu tunu mnapendeza ataivyo nawapnda
Move inafundisho sana hii jamani aya maisha haya yapo kabisa asanteni sana kwakufundisha jamii
Uyu mama jamani ninamupenda saaaaaaaaana mama mkwe wangu ❤nakupenda muno
Tunataka sauti ya washiriki sio muziki, imeniboo Ata siangalii tena 😏😏😏😏😏😏
Tunataka sauti ya washiriki
mnafanya nagnga simuu itoe sautii lakin daa enyway iko sawa move
Dahhhhh nilikuwa naitafuta kwa ham Sana hiii
Suleiman uwanga unatoa movie tamu lakini hili iliharibiwa na ,,,sauti hamna ni wimbo
Hemd wap part 2 nice move
Wale tunao soma comments ndo tuangali moves tujuane
Jamaniiii sautiiiyyy tienii tuleteeniiiiiyyyyy,nyenginee akaaaa,,
Sauti hamuna, utamu wa movie ni kuskia watu wanasemaje😏😏
Mbona hakuna sauti? Lkn movie nzuri i❤ it.
Filamu nzuri nltee party 2
Sijatizma na wala sitazmai tena km Hamna sauti
Tuleteen part 2 bt volume munatuboo iko vzr sna ❤️❤️
Movie tokea mwanzo hadi mwisho ni music only!!
Banaeee waboa mpaka basi
Kaz nzur ila saut hakuna
Film nzuri sana kabisa
Hio hii music yao sijapenda tunataka kusikia maneno
raha ya kuangalia move usikie wanacho ongea ila tunsikia vinanda tyu
Ssa hii movie bila sauti ilkwa na maana gani kuiweka huku tafadhalini launch before ikuwe official ndani ya youtube
Futeni hii movie coz sisi twataka kusikia maneno si music. Hata ileti shangwe. Nyie actors musirudi kwa hio studio tena
Jamanii Anna anatumia huawei
Mwendelezo lini
hii part 1 mushafeli na sauti sijuwi iyo part maana ata sikuimalizia imeniboo sehemu nyingine akuna sauti
Nyinyi watuwangu je vous aimes plus forte
Mh mna yumba mtuludishie mb zetu
Tutumieni hemed sul weiter
Dj unazingua kinom bna unazidisha
Nimeipenda hiyo
Nampenda huyu dada hatari
Bora niangalie Hollywood zangu
Hii movie itakuwa waliiandaa kwaajili ya viziwi na mabubu
😂😂😂😂😂😂😂😂mungu anakuona
Wooooh ❤❤❤🎉🎉
Wasenge nyie mbona amna sauti sasa mnatuekea muziki
kazi mnzuri_jamani_ongereni_washiriki_wote
aki amna sauti😊
Mbona sauti mmekata kata Sana
Mbona sehemu zingine sauti haipo?
Hamna ishu kaz mbovu cc hatuna shida ya mzik tunataka tuskie kaz
Alie edit hii movie ananikwaza...watu wa bongo movie mmekariri sound track huko background Yan limuvi linapiga kelele saut znainguliana kwa Haya Huwa hamyaon kabla ya kupost hizi kazi....mnajiharbia wenyew halaf kesho mseme watanzia sio wazalendo hawaangakii movie zenu....mi nmeipenda hii movie ila siangalii nimepoteza mb Zang Bure tu naskia kelele tupu watu wakiongea nyie mnaweka sound track . ....kama hamuez kazi achen kutupistia ujinga ujinga bwana.....
Congratulations
Ovooo bila sauti ndio maana hamwendi mbele
Wow beautiful ❤️❤️
Kila mmoja analalamikia sauti hivyo bc sioni haja ya kutazama
Yani mnaboa kweli na misauti yenu, hivi mnakuwa na mtu wa sauti na mnamlipa Kwa ujinga huu
Wbogo mna boo mziki uko juu huskii chochte
part 2 plz
Mnaboa sana
Mmeferi sauti bhana
Mnaona sana
Bongo rekebishen move nyingi zenu sauti tatizo
By the way mko na shida na voice to your movies, it's almost zote? !!!!
Kindly guyz simchange hii tabia! !!,,,, movie bila sauti? Hatujasomea sign laguage plz?
Asanteni
I hate this muted scenes😢😢😢😢 to make it worst it’s very loud😢😢😢😢😢😢
Mziiki tu sauti hamna
Movie poa but sauti hapo ndio mwatuboesha
Movie nzri bt mume boesha sauti
Mnaweka movie nzuri lkni sauti mbovu.
Mbona hamna saut
jaman apo to wamearbu lakn move kali
Muvi mzuri lakini sauti hainogi
jamani movie nzuri sauti hakuna ,part two basi twataka
Dj unasinguwa
Hiyo volume wapi hatimusikiii
Labda smu zenu znashds mbona saut nikubwa jaman
Part 2 pliiiz
Sio ukubwa wa sauti kuna sehemu sauti hakuna ni kama mabubu.
Saut mmezingua san jmn
Mm sipendi kuangalia sinema bubu nimechoka km hamjarekebisha situpi mb zangu bure
Filamu iko sawa lakini sauti
According 2me u guyz think ur the only producing movies online, , coz this is my third complain on ua movie. Am a kenyan bt complaining frm Somalia Kismayu.
Siku hizi naona n movie zote hazina sauti
Mutania film nzuri lakini sauti hakuna
Sauti kubwa
Sauti jaman
Movie gani ambay Haina sauti
Sauti jamani
Sauti sijapenda
Sasa munaweka miziki ya nn badala yakuweka sauti mnakazana na mamiziki tu
Mnaficha nn kwenye saut wakat nyiny ni wasanii wakubwa?
Hilo lijimziki ndo liko juu hata hatuelewi
Mbona sisikii chochote ni mziki tu🤔🤔🤔🤔
Jitaidini sauti
Sauti plz
Ni hatari
Kwakwel movie nzr ila sauti hkn shd nn 7:03
Yan kuna midundo tu haata watu wakiongeasisiki
Kwakwel movie nzr ila sauti hkn shd nn
Kwa nini hamna saiti
Saut jamani bwana
Bien
Mbona haina sauti
Sauti inaboa bhana
sauti mnakwama_ wapi