Jenifer Kyaka & Hemed Suleiman MKWE 1
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2021
- Jenifer Kyaka & Hemed Suleiman
Familia nyingi hukubwa na ugovi baina ya wazazi na wanandoa na watoto wao, ugomvi baina ya wazazi na watoto wao umepelekea kuzuka kwa visa,chuki,na mpasuko mkubwa kuhusishwa na imani potofu na ushirikina. - Кино
Movie ni nzur lakn saut za kuongea aisikik tunasikia kinanda ahsante hemed Suleiman na Jenifer kyaka kwa Kaz nzur
Hivi wabongo lini mtakuwa serious kwenye kazi zenu, muvi nzuri sound kelele tupu mara dj mix mara inamute Yan hamkui tu
Msomaj comment kwanza hii siangalii nasikia hakuna saut😂😂
Hii movie nliichek 4yrs ago na 2021 nkaitafuta sana xkuiona, leo naiona yasema 1month ago mbna🤷♀️ na part 2 iko ap🥺🥺
Wekeni part2 this is one of the best Bongo movie😊naipenda Sana Ila inanilizaga Sana😫
SASA MBONA NI MZIKI TU SAUTI HAMNA
Movie nzuri sana but mume tu tia aibu upande wa sauti,,, bongo rekebisheni sauti bwana!!!
Alaf emed anapenda kuakt na uyu tunu mnapendeza ataivyo nawapnda
Mbona Hamna sauti.mi nko hapa kuskiza manenos Wala sikuangali movements
Uyu mama jamani ninamupenda saaaaaaaaana mama mkwe wangu ❤nakupenda muno
Move inafundisho sana hii jamani aya maisha haya yapo kabisa asanteni sana kwakufundisha jamii
Tunataka sauti ya washiriki sio muziki, imeniboo Ata siangalii tena 😏😏😏😏😏😏
Tunataka sauti ya washiriki
mnafanya nagnga simuu itoe sautii lakin daa enyway iko sawa move
Mbona hakuna sauti? Lkn movie nzuri i❤ it.
Tuleteen part 2 bt volume munatuboo iko vzr sna ❤️❤️
Jamaniiii sautiiiyyy tienii tuleteeniiiiiyyyyy,nyenginee akaaaa,,
Hio hii music yao sijapenda tunataka kusikia maneno
raha ya kuangalia move usikie wanacho ongea ila tunsikia vinanda tyu
Suleiman uwanga unatoa movie tamu lakini hili iliharibiwa na ,,,sauti hamna ni wimbo
Alie edit hii movie ananikwaza...watu wa bongo movie mmekariri sound track huko background Yan limuvi linapiga kelele saut znainguliana kwa Haya Huwa hamyaon kabla ya kupost hizi kazi....mnajiharbia wenyew halaf kesho mseme watanzia sio wazalendo hawaangakii movie zenu....mi nmeipenda hii movie ila siangalii nimepoteza mb Zang Bure tu naskia kelele tupu watu wakiongea nyie mnaweka sound track . ....kama hamuez kazi achen kutupistia ujinga ujinga bwana.....
Hemd wap part 2 nice move
Dahhhhh nilikuwa naitafuta kwa ham Sana hiii
Filamu nzuri nltee party 2
Movie tokea mwanzo hadi mwisho ni music only!!
Banaeee waboa mpaka basi
Dj unazingua kinom bna unazidisha
Sauti hamuna, utamu wa movie ni kuskia watu wanasemaje😏😏
Sijatizma na wala sitazmai tena km Hamna sauti
Ssa hii movie bila sauti ilkwa na maana gani kuiweka huku tafadhalini launch before ikuwe official ndani ya youtube
hii part 1 mushafeli na sauti sijuwi iyo part maana ata sikuimalizia imeniboo sehemu nyingine akuna sauti
Futeni hii movie coz sisi twataka kusikia maneno si music. Hata ileti shangwe. Nyie actors musirudi kwa hio studio tena
Mbona sehemu zingine sauti haipo?
Mziiki tu sauti hamna
Tutumieni hemed sul weiter
Mh mna yumba mtuludishie mb zetu
Wow beautiful ❤️❤️
Wasenge nyie mbona amna sauti sasa mnatuekea muziki
Kindly guyz simchange hii tabia! !!,,,, movie bila sauti? Hatujasomea sign laguage plz?
Jamanii Anna anatumia huawei
Film nzuri sana kabisa
Bora niangalie Hollywood zangu
Hii movie itakuwa waliiandaa kwaajili ya viziwi na mabubu
😂😂😂😂😂😂😂😂mungu anakuona
Nyinyi watuwangu je vous aimes plus forte
By the way mko na shida na voice to your movies, it's almost zote? !!!!
Wbogo mna boo mziki uko juu huskii chochte
Nimeipenda hiyo
Wale tunao soma comments ndo tuangali moves tujuane
Kaz nzur ila saut hakuna
According 2me u guyz think ur the only producing movies online, , coz this is my third complain on ua movie. Am a kenyan bt complaining frm Somalia Kismayu.
Ovooo bila sauti ndio maana hamwendi mbele
Hamna ishu kaz mbovu cc hatuna shida ya mzik tunataka tuskie kaz
Mmeferi sauti bhana
Wooooh ❤❤❤🎉🎉
Mbona sauti mmekata kata Sana
jaman apo to wamearbu lakn move kali
Movie nzri bt mume boesha sauti
kazi mnzuri_jamani_ongereni_washiriki_wote
Mnaweka movie nzuri lkni sauti mbovu.
jamani movie nzuri sauti hakuna ,part two basi twataka
Kila mmoja analalamikia sauti hivyo bc sioni haja ya kutazama
Asanteni
Muvi mzuri lakini sauti hainogi
Filamu iko sawa lakini sauti
Saut mmezingua san jmn
Mm sipendi kuangalia sinema bubu nimechoka km hamjarekebisha situpi mb zangu bure
I hate this muted scenes😢😢😢😢 to make it worst it’s very loud😢😢😢😢😢😢
Mwendelezo lini
Bongo rekebishen move nyingi zenu sauti tatizo
Yani mnaboa kweli na misauti yenu, hivi mnakuwa na mtu wa sauti na mnamlipa Kwa ujinga huu
Labda smu zenu znashds mbona saut nikubwa jaman
Part 2 pliiiz
Sio ukubwa wa sauti kuna sehemu sauti hakuna ni kama mabubu.
Movie poa but sauti hapo ndio mwatuboesha
Nampenda huyu dada hatari
Mnaficha nn kwenye saut wakat nyiny ni wasanii wakubwa?
part 2 plz
Siku hizi naona n movie zote hazina sauti
Movie gani ambay Haina sauti
Sautiiiiii hamuna
Congratulations
Sasa munaweka miziki ya nn badala yakuweka sauti mnakazana na mamiziki tu
Mutania film nzuri lakini sauti hakuna
Hiyo volume wapi hatimusikiii
na wewe sijui kaka ou binti mwenye hii channel bongo cinema. jirekebishe bana. movie zako nyingi bana zina ubovu wa sound? ao izi views zetu tuzibebe kwenye channel nyingine?😡😡😡😡
Mnaboa sana
Kwakwel movie nzr ila sauti hkn shd nn 7:03
Sauti sijapenda
Mbona hamna saut
Sauti plz
Mbona sisikii chochote ni mziki tu🤔🤔🤔🤔
Kwakwel movie nzr ila sauti hkn shd nn
Move nzuri sana
Dj unasinguwa
Film nzuri sauti hakuna kwanini???
Wanazinguwa kinoma.
Sauti mnazingua mivi kali
Sauti kubwa
Hilo lijimziki ndo liko juu hata hatuelewi
Yan kuna midundo tu haata watu wakiongeasisiki
Movie nzuri lkn miziki mingi hatusikii wanaongea nn
Bien
Sauti jaman
sauti mnakwama_ wapi
Kwa nini hamna saiti
Kwani hzo sauti mkitoa inakuaje mfyuuuuu
Movie nzuri ila sauti hamna
Sauti jamani