Mashaallah sheikhe wetu Allah akuzidishie umri wenye Afya njema uzidi kutuelimisha umma waumini duniani kwakweli simalizi hamu yakukuskiliza mawaidha yako nakupenda sana sheikhe kwa ajili ya Allah
Shehk othma usi haribu maawehda yako tuna kupenda sanalakin una fanya kama nurdin atisha akitowa maawehda anajifanya sana kama ajua sana ama kuvutiya nakujifanya mawaedha yake nafikiriya una nielewa tuna penda maawehda amiin ishaallah
Allah akuhifadhi sheikh wetu akupe umri taweel uzidi kutu elimisha Allahumma Amin
Allah akubashirie pepo kabla ya kufa kwako
Allah akupe kheri nyingi duniani na hata akhera amin
Yaa Allah akujalie umri mrefu ili tufaidike Shk Othman maalin Inshaallah 🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤲🏾🙏🙏🙏🙏
Allah akupe umri mrefu ili tupate kujifunza na kuyafanyia kazi tuwe kusalimika na adhabu ya allah subhanahu wataala allah kupe umri mre shekhe wetu
جزاك الله خيرا
ALHAMDULLAH SHEIKH ALLAH AKULIPE KILA KHERI INSHALLH
Nakupenda sana ww baba mungu akuweke na akupe afya njema ktk maisha yako
Shukran
MashaAllah Tabarakah Rahman
Mwenyezi mungu akulipe kheri dunian na kesho akhera
Mashallah mw mungu atuzidishie moyo kwa ajili yake
Aallah huma amen
Mashaallah Shekh Othman Allah akupe umrimrefa faida yako nikubwa kwa jamii
Masha Allah, jazzakallah khair sheikh kwa mafundisho stahiki
Amiin yaraab Amiin
Mashaallah sheikhe wetu Allah akuzidishie umri wenye Afya njema uzidi kutuelimisha umma waumini duniani kwakweli simalizi hamu yakukuskiliza mawaidha yako nakupenda sana sheikhe kwa ajili ya Allah
MashaAllah jazzakh Allahu kheiri inshaAllah shukran sheikh
Shukran sana shekhe Othman Maalim Allah akulipe Jannah inshallah 🙏
Shukranii sheikh wetu othuman maalim Allah akujaze kherii yakueremusha
shekh othman mwenyezi mungu akuzdishie nshallah akupe umri mrefu khutuba zako ninzuri sana alhamdulilah
Shukran sheikh wetu Othman Maalim Allah akuweke uzidi kutuelimisha inshallah
Barak'Allahu fiiQ .Amiiyn thumma Amiiyn
allah akuzdishie ustadh othman khutuba zako ninzuri sana allah akupe umri mrefu nshaallah alhamdhulilah
Mashallah
Tunashuru kwa mafunzo mazurka mwenyez mung ukuzidushe umri tuzidi Pata mafunzo.
Ma sha Allah jazzakaAllahu kheir shukran shekh maalim uthman kwa kutukumbusha. In sha Allah Mwenyeezi Mungu atujalie mwisho mwema
Naam nikweli waweza ukasema jambo kwa furaha ukatamka kinyume nyume subhanallah
Mashallah yaa maalim othman mungu akuzidishie nuur zaidi amiin
Shukran Sheikh!
ALLAH AKBARU
Allah akbar
Shukran Sheikh .Allah akupe umri mrefu inshaallah
Mashallah Shekh wetu
Barakkallah. Shukran
Mashallah shukran
Nashkur kwamengi kupiti shekhe othmani maalim hatasjui nishkur lip Allah amzidishie fidunia waliaakhira
mashaAllah mashaAllah barakaallahu fiik
Marshallah Allah akulipe heri kwa darasa
Mashalah
Masha Allah....Allah barik
Shehk othma usi haribu maawehda yako tuna kupenda sanalakin una fanya kama nurdin atisha akitowa maawehda anajifanya sana kama ajua sana ama kuvutiya nakujifanya
mawaedha yake nafikiriya una nielewa tuna penda maawehda amiin ishaallah
😢😢 subhanaallah huyu sheikhe me nampenda sana na mwingine ni nurdin kishik usimseme vby sie tunapenda anavyongoea kama we hupenda bs ni nafs yako
Aslm alkm ww..... Masha Allah. Allah akulinde 🙏
Masha Allah mawaidha mazuri Allah atujaliye iman na mwisho mwema Allah akupe umri murefu wenye sihanzuri ya rabby
Mashallah!Allah akulipe sheghe wetu kwa ukumbusho.
باراكالاح
Allah azid kukupa afya uzidi kutuelimisha
Shukran sheikh Othuman Allah akupe kila zuri ulipendalo mashaallah
Bahati huwa wanaweka picha ya mwanamke mweupe japokua weusi na weupe sote wanawake🙌
nihaya ulioniambia ama
@@zayyatiyussuf9566 ukhty zayyaat Assalàamualykum
@@arqamibnarqam.7185Walaykum Salam warahmatullah wabarskatu hujambo
Allah bless your heart for your help of teaching the majority.
Amiin mungu akuweke utueleze mengi
Mungu akupe nguvu ktk ulinganiziii na akulipe bora ya hiki unachokifnya
MashaAllah Allahumma taqabal-Aghamalina.
BaraakaAllah fiiq.
Yaa salaam
Swallallahu alayhi wasallah
Amiin amiin amiin
Kwl shk kukiri kwa Moyo na kubain kwa ulimi kwamba hapana mola apaswae kuabudiwa kwa haki ila subhuanah wataalah na mtume wke rasul
Ma Sha Allah
Masha allah
Barakallahu fiikum
MashaaAllah jazzak la kheri
Utulivu mkubwa na Neema kubwa kupata Daawa zako. Mmungu akuzidishie elimu. Sadaqta
Salama
Mashaallah jazakallahkhaira
Abillah bin masoud
😆😆😆😆HB kakuuliza kwani?ila hongera umefanya lamana kuandika H B akirusha kiswali nakuja 👆🙌napiga chabo fasta najibu
zayyati yusufu najikumbushia najua iko siku kipindi kitarudi sijakata tamaa😁
zayyati yusufu 😁
@@faizasaid8262 😂😂😂😂😂Swadakta Faiza uko sawa nakuaminia hakuna kukata tamaa ngali pumzi zingalipo🙌
zayyati yusufu 😁😁asnte
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatu wadau wa Riyadh na koo zima ya Riyadh Tv online Znz
zayyati yusufu waalykum salam warhmatu wah wabarakat
Shukran nimekifunza vitu vigi San Allah akulind uishi mik mig inshaallah iwe kheri
Muhammed na Faiza kuja hapa wandugu
zayyati yusufu nipo my asnte
zayyati yusufu hujambo unajiskiaje
zayyati yusufu Mohammed yuko harusini leo😁
@@faizasaid8262 😆😆😆😆😆😆🙌misitii langu hapo
zayyati yusufu subiri aje mwenyewe😁
Mwenye no ya shekhe othaman pls anitumie
Mi napenda mafunzo yako japo mm siyo Muslim
Maa sha Allah
Muweke video jmn na siyo audio
جزاك الله خيرا
Allah akbar