FANYA HIVI ILI UHESABIKE KUWA UMEMTAJA ALLAH KWA WINGI WAKATI WA UHAI WAKO || SHEIKH OTHMAN MAALIM

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 36

  • @waynejohn2239
    @waynejohn2239 6 месяцев назад +3

    Allah akupe mwisho mwema and all so Muslim

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 4 месяца назад +1

    Alhamndulillah Alhamndulillah kheri sana.

  • @user-gs5wq5qg9f
    @user-gs5wq5qg9f 5 месяцев назад +1

    Walillah L'Hamdu.Allah akulipe malipo yaliyo mema.Aamina.

  • @user-gs5wq5qg9f
    @user-gs5wq5qg9f 5 месяцев назад +2

    Mashallah, kheri tupu na tunafaidika.❤

  • @muniramtika3614
    @muniramtika3614 Год назад +2

    Shekh Samahan tunaomba tuandikie iyo Dua ya mgonjwa naizo nyngne pia inshaAllah

  • @barwani890
    @barwani890 Год назад +1

    Naam sheikh kuna watu wanapenda kudharau wenzao au kuleta kibri tuwaombee duaa na tujiombee na sie ya raab

  • @mallulu9086
    @mallulu9086 Год назад +1

    Masha Allah jazak la kheir

  • @aqonlinetv
    @aqonlinetv  Год назад +5

    Msikose kuSubscribe kwenye channel yetu 🎉✔️🦥

    • @halimaa9367
      @halimaa9367 Год назад

      Kwann mnaweka mizuki sasa tuskie shekhe au mziki jaman jitahidi hii mziki msiweke

    • @polyclinicroyal
      @polyclinicroyal Год назад +1

      @@halimaa9367 wameweka Nasheeds sio Mziki

    • @abdouaishafuzna2345
      @abdouaishafuzna2345 Год назад

      Naomba mtusaidie Duan zakuombea mgonjwa plz ma sheikh wetu

    • @bentybenty2343
      @bentybenty2343 Год назад +1

      ​@@polyclinicroyal iwe mziki iwe nasheed wasiweke,wacha tumsikilize sheikh ni burudani tosha..

  • @shariffsalimibnmajah1004
    @shariffsalimibnmajah1004 Год назад +2

    ❤❤❤❤

  • @tutuuab5655
    @tutuuab5655 Год назад

    Namshkur Mola kwa kuyajuwa haya

  • @AbdiaBashir-tl9ye
    @AbdiaBashir-tl9ye Год назад

    MashaAllah 💓🤲

  • @fauziakarama8581
    @fauziakarama8581 Год назад

    Maa Shaa Allah, shukran jazzaka llahu kheir 🙏

  • @eliasaamina9165
    @eliasaamina9165 Год назад

    Allahumma amin yarabi👏👏👏

  • @user-wd9tp7eb7j
    @user-wd9tp7eb7j Год назад

    MA shaa Allah mm Nami nlifanya kuslim ya Allah nifanye wepesi wa kujua haya yote natamani ingekuwa ni mm najua. Yote haya

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 7 месяцев назад

      Allah atakufanyie Wepesi in Shaa Allah 🙏

  • @polyclinicroyal
    @polyclinicroyal Год назад

    MaaShaaAllaah

  • @user-wf7vk4zk2p
    @user-wf7vk4zk2p Год назад

    Mashaallah

  • @asyasaid5012
    @asyasaid5012 Год назад

    MashaAlla

  • @MADRASATISWADAQALLAHUNYARUGUSU

    Ni nzuri sana

  • @abdouaishafuzna2345
    @abdouaishafuzna2345 Год назад

    Asalam aleikum . Alhamdullillah kwa mawaidhoi matam shukran Maalim Athman. Naomba ututumie Sisi ambao hatujuwe Duan ya kumomnea mgonjwa plz. ان عااش عثمان

  • @biabumwarua2444
    @biabumwarua2444 Год назад

    Assalam Alykum warahamtulah samahani naomba musituekee sauti km muziki inakera kiasi,,,, acha tu tumsikie shekh shukran walilahihamdu

  • @mwanaramadhan7059
    @mwanaramadhan7059 Год назад

    MashaaAllah shukran jazakAllah ukheri

  • @qwryqawe1829
    @qwryqawe1829 Год назад

    ❤❤❤❤,

  • @abdoulamisi5179
    @abdoulamisi5179 Год назад

    Naam sheikh

  • @mwanaishakama3381
    @mwanaishakama3381 Год назад

    Shekh umenifanya nitoe machozi mana umezingumza ukweli nawaona wengi wasio na Nuru ya macho mm sina taticho lolote lkn juzuu amma sijui yote na nilizaliwa ndani ya uislam😢😢😢

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Год назад

    Asalaam aleikum nakuona Sheikh wewe ni kati ya warithi wa. Bwana Mtume. Wewe umejawa na HOFU YA. MWENYEZI. MUNGU.

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 4 месяца назад

    Mi nimepata Alhamndulillah Naomba Maneno baada ya hpo Andika SHEKHE sorry!!!

  • @barwani890
    @barwani890 Год назад

    Na tuwe waja wa kumtaja Allah

  • @abdouaishafuzna2345
    @abdouaishafuzna2345 Год назад

    Sorry nimerong kuandika , nilikua nataka kuandika kumombea mgonjwa mtu akienda kumsalimia tafadhali

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Год назад +1

    Mzikki unakeera jmn

  • @almaarifonlinetv
    @almaarifonlinetv Год назад +2

    ❤❤❤❤