Asalam aleikum . Alhamdullillah kwa mawaidhoi matam shukran Maalim Athman. Naomba ututumie Sisi ambao hatujuwe Duan ya kumomnea mgonjwa plz. ان عااش عثمان
Shekh umenifanya nitoe machozi mana umezingumza ukweli nawaona wengi wasio na Nuru ya macho mm sina taticho lolote lkn juzuu amma sijui yote na nilizaliwa ndani ya uislam😢😢😢
Allah akupe mwisho mwema and all so Muslim
Alhamndulillah Alhamndulillah kheri sana.
Walillah L'Hamdu.Allah akulipe malipo yaliyo mema.Aamina.
Mashallah, kheri tupu na tunafaidika.❤
Shekh Samahan tunaomba tuandikie iyo Dua ya mgonjwa naizo nyngne pia inshaAllah
Naam sheikh kuna watu wanapenda kudharau wenzao au kuleta kibri tuwaombee duaa na tujiombee na sie ya raab
Masha Allah jazak la kheir
Msikose kuSubscribe kwenye channel yetu 🎉✔️🦥
Kwann mnaweka mizuki sasa tuskie shekhe au mziki jaman jitahidi hii mziki msiweke
@@halimaa9367 wameweka Nasheeds sio Mziki
Naomba mtusaidie Duan zakuombea mgonjwa plz ma sheikh wetu
@@polyclinicroyal iwe mziki iwe nasheed wasiweke,wacha tumsikilize sheikh ni burudani tosha..
❤❤❤❤
Namshkur Mola kwa kuyajuwa haya
MashaAllah 💓🤲
Maa Shaa Allah, shukran jazzaka llahu kheir 🙏
Allahumma amin yarabi👏👏👏
MA shaa Allah mm Nami nlifanya kuslim ya Allah nifanye wepesi wa kujua haya yote natamani ingekuwa ni mm najua. Yote haya
Allah atakufanyie Wepesi in Shaa Allah 🙏
MaaShaaAllaah
Mashaallah
MashaAlla
Ni nzuri sana
Asalam aleikum . Alhamdullillah kwa mawaidhoi matam shukran Maalim Athman. Naomba ututumie Sisi ambao hatujuwe Duan ya kumomnea mgonjwa plz. ان عااش عثمان
Assalam Alykum warahamtulah samahani naomba musituekee sauti km muziki inakera kiasi,,,, acha tu tumsikie shekh shukran walilahihamdu
MashaaAllah shukran jazakAllah ukheri
Æ
❤❤❤❤,
Naam sheikh
Shekh umenifanya nitoe machozi mana umezingumza ukweli nawaona wengi wasio na Nuru ya macho mm sina taticho lolote lkn juzuu amma sijui yote na nilizaliwa ndani ya uislam😢😢😢
Asalaam aleikum nakuona Sheikh wewe ni kati ya warithi wa. Bwana Mtume. Wewe umejawa na HOFU YA. MWENYEZI. MUNGU.
Mi nimepata Alhamndulillah Naomba Maneno baada ya hpo Andika SHEKHE sorry!!!
Na tuwe waja wa kumtaja Allah
Sorry nimerong kuandika , nilikua nataka kuandika kumombea mgonjwa mtu akienda kumsalimia tafadhali
Mzikki unakeera jmn
❤❤❤❤