The pain of cheating partner even after all the sacrifice 🔥

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 668

  • @dorothyshee777
    @dorothyshee777 Год назад +125

    Wenye tunapenda drama piga like tukisonga 🤣🤣🤣
    Kindly nifikisheni 1k subscribers

    • @annwanjiru8897
      @annwanjiru8897 Год назад

      @@mrelviss Wacha akue single mum dio ajue life ni hard hapa ije

    • @barygarcia3128
      @barygarcia3128 Год назад

      @@annwanjiru8897 hizo majina zao zinakaa kuoleka kweli?😀😀

    • @karimimartha1621
      @karimimartha1621 Год назад

      Aki Kenya niliama 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @aomealaome4933
    @aomealaome4933 Год назад +9

    Yani nakuru n Nairobi si mbali n dem anacheat what if sisi wenye tuko gulf...team strong nyinyi n watu wa nguvu sanaa tujuane kwa likes 👍 👌 good people 💖 ❤ 💕 💗 💙 ♥ 💖

  • @missappleberry8983
    @missappleberry8983 Год назад +21

    some women hudhani grass is greener on the other side but hawajui grass is green where you water it.imgn loosing a man anakupea 3500 a week to a man mwenye haezi ata kukupea lunch after amekukula waah ......

    • @ruthruthy7309
      @ruthruthy7309 Год назад

      Imagine

    • @immaculatemoraa9539
      @immaculatemoraa9539 Год назад

      😹😹😹 anaenda kulala njaa for sometime 😹

    • @missp4014
      @missp4014 Год назад

      Hadi nimepiga hesabu...bure kabisa huyu dame...na hiyo ni minus rent

    • @marymutinda8807
      @marymutinda8807 Год назад

      Some ladies are thick.. They don't reason

  • @amoscheruiyot4673
    @amoscheruiyot4673 Год назад +10

    Heri Mimi niteseke ndo wasiteseke , bro you are a man

  • @nellyflo9736
    @nellyflo9736 Год назад +16

    Kumpenda mtu asiyekupenda ni sawa na kuendesha. Gari ambalo halina break 💔 Yaani lazima litakuua tu😥🙌

  • @veealivizah957
    @veealivizah957 Год назад +7

    Camera man ana view dress code ya dem 😂😂

  • @carolynenakhulo6113
    @carolynenakhulo6113 Год назад +6

    The lady friend anaharibia huyu msichana....and this one atakumbuka badaye alipoteza mwanaume mzuri

    • @michaelthevisionary
      @michaelthevisionary Год назад +1

      That's why I keep saying ladies muweke bestie mbali na ndoa au nyumba yako. Kutaneni huko nje mseme stuff zenu but not those touching your relationship or marriage.
      Ona huyu sasa vile ameharibu.

  • @carolinechege9256
    @carolinechege9256 Год назад +9

    Team kemboi nani ako na mzinga job tunaosha vyombo na compareds flavor 😂🏃🏽‍♀️😘😘😘😘

  • @jesusfamilytv2608
    @jesusfamilytv2608 Год назад +13

    Sometimes, no matter
    how nice you are,
    how kind you are,
    how caring you
    are, how loving
    you are, it just isn't enough for some
    Women.😢

  • @derrickwafula6095
    @derrickwafula6095 Год назад +4

    🤣the first dem kukubali game ya mzee iko sawa

  • @tracyjafari4023
    @tracyjafari4023 Год назад +12

    Aki Stevo, "ati ama anakuficha kama sehemu nyeti"🤣

    • @mayxh1918
      @mayxh1918 Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Mozz_deff75
    @Mozz_deff75 Год назад +2

    Fukuswiii ati mwanamke lazima akuwe kwa kila kitu Kinuthia ww 🪓🔨🔨🪓🪓🪓

  • @xavierowino
    @xavierowino Год назад +14

    Too bad....the chemistry of this humble couple was great

  • @erickmanyara53
    @erickmanyara53 Год назад +10

    We lost kichwa ya ng'ombe na thufu, girl child hana huruma kwetu🥺🥺

  • @gladyskatui220
    @gladyskatui220 Год назад +9

    Mimi Hadi nilithani huyu ni "Fatuma"dera saa gapi shiku🤣🤣🤣

  • @EXC2413
    @EXC2413 Год назад +9

    Aki wadau like za namba 3 please musinilenge

  • @xpresstv7689
    @xpresstv7689 Год назад +32

    she is cheating with bum/chokosh and bringing him to her matrimonial bed like wtf??.... and she has the nerve to gaslight him. This is bottom of the barrel kunguru with very low standards..... hold you head high big man stevo has just saved you from her. Ruuuuuuun.

    • @1FX_Prince
      @1FX_Prince Год назад

      Uko ktalk eh?😂😂

    • @la-ry1ms
      @la-ry1ms Год назад

      The man who is smashing her has such a low opinion of her he not only smashes her on her matrimonial bed but doesn't even wacha kakitu

    • @briandagee
      @briandagee Год назад +1

      And DON'T TURN BACK!

  • @Ann-Strong
    @Ann-Strong Год назад +27

    The pain in this young boy voice😭😭😭

  • @markmurunga5215
    @markmurunga5215 Год назад +55

    It hurts to love someone & not be loved in return. But what is more painful is to love someone & never find the courage to let that person know how you feel....

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda3076 Год назад +5

    Nikamalaya na Hakajiwezi.Jamaa amejam kakajua Mimi kwisha 🤣🤣🤣🤣

  • @nancievillan07
    @nancievillan07 Год назад +1

    Nlkua nafikiria wenye huvaa buibui na wanafunga mtandio hawacheat😂😂😂😂shiko wewe😂😂😂💔

  • @itzmykemikael8299
    @itzmykemikael8299 Год назад +20

    Most loyalty tests ive watched men in a relationship are loyal but ladies wanawaaaangushaaa they always cheat 😂 this world

    • @alphamamadoudiallo8005
      @alphamamadoudiallo8005 Год назад +1

      Yeah ladies are cheating more than their counterparts..... That y I disagree with the latest research than men HV average of 7 partners

    • @briandagee
      @briandagee Год назад

      98℅ of women in rships are cheats

    • @naomiwaringia4775
      @naomiwaringia4775 Год назад

      Madem nowadays wamekuwa moto wakuotea far😂😂

  • @tarentymusimbi2371
    @tarentymusimbi2371 Год назад +4

    This man resemble mulamwa kidogo to 👌

  • @bivaaaaisichi470
    @bivaaaaisichi470 Год назад +3

    It hurts vny unasifu mtu alafu badae unapata Yule ulidhani ndiye siye 😂😂 inaitwa when the shock meet the shocker 😅😅💔 BMS thanks for saving this good man

  • @rehemaouma1866
    @rehemaouma1866 Год назад +6

    I know the guy 👦 woooi navile hua anawork hard surely.aki mapenzi wewe

    • @Nelcn1
      @Nelcn1 Год назад

      Woiye. Poor guy.

    • @davidodeny
      @davidodeny Год назад

      Uyu boy ako familiar sana,,

  • @ayiechaanne6756
    @ayiechaanne6756 Год назад +3

    Sambarry tell me the singer of the,,,katoto kadogo kadogo 😁😁lakini kanajua kupinda mgongo🎧🎶🎶🎶🎶MTU aendeleze 😀😀😀wimbo

  • @barwaqamoha3339
    @barwaqamoha3339 Год назад +7

    Shida wanawake nini they cheat a lot waaah 😅😅😅😅

    • @picsandvidstv1348
      @picsandvidstv1348 Год назад

      Wasn’t she cheating with a man?? A man whose probably cheating on his wife? Cheating is both ways not unless the other partner is single!😅

  • @Shadowkingssrnk
    @Shadowkingssrnk Год назад +2

    The way BMS looks left ryt n left and says anaenda kufaint😂😂😂😂

  • @danielouma1989
    @danielouma1989 Год назад +2

    Stevo let me open my heart, kindly find me a lady.. loyal one nataka ku settle on a serious note🙏🙏

  • @ruthbosibori1482
    @ruthbosibori1482 Год назад +22

    When you love her more than she or he deserves he/she hurts u more than u deserve

  • @paulinanduku2748
    @paulinanduku2748 Год назад +12

    Disrespect of high order cheating to an extent of bringing another man in ur matrimonial bed 💔 sehemu nyeti was chilling then boom 😂😂😂

  • @kabugamonicawairimu2012
    @kabugamonicawairimu2012 Год назад +14

    don't judge the book by the cover ,na vile kapole

    • @celestinenekesa9706
      @celestinenekesa9706 Год назад

      Naa, vile amevaa vixuri hata huwezi imagine, hee, amejifunika ngozi ya kondoo, Nani mbwa mwitu

    • @wandiaflorence7712
      @wandiaflorence7712 Год назад

      @@celestinenekesa9706 Taliban kapsaa.

  • @beatricratieno5199
    @beatricratieno5199 Год назад +36

    Manipulation is when they blame you for your reaction to their disrespect ....cheating sucks the lady was sweating bullets after she knew she has lost a rare gem

  • @samuelmautia1117
    @samuelmautia1117 Год назад +8

    Loyalty=Loyalty. If you don’t get it back, murife as fast as possible. BMS thanks for your awesome content. You compare to none in the business. Your level is way up there very scholarly content.

  • @Mozz_deff75
    @Mozz_deff75 Год назад +1

    Fukuswiii Kinuthia proMax unabuyia dame iPnohe alafu wewe uko na ceska aka katululu 🤣🤣😂😂 wewe ni fankulo 🤣🤣🤣

  • @felixdestroyer4039
    @felixdestroyer4039 Год назад +8

    Hapa lazima mtu achezwe nipeni likes

  • @fredrickmuli4857
    @fredrickmuli4857 Год назад +2

    Aki kanairofi hadi ukiwa na hajib👿kumbe umeficha puuuuu😎

  • @stevebiko9522
    @stevebiko9522 Год назад +3

    Okisia watu wanacheka mkitembea na bae, tafakari ya babu hiyo, kuna kafala kati yenu na hajijui, chungusa😂😂

  • @erickmanyara53
    @erickmanyara53 Год назад +7

    Shiro kwa dera ni scammer 😂😂😂

  • @odhiamboachieng6311
    @odhiamboachieng6311 Год назад +1

    Wakisema maisha poa camera man anazoom mavazi alaaah

  • @carendeborah5687
    @carendeborah5687 Год назад

    I like this baby boy,,he talks sense..Mungu akuongoze brother

  • @sarahmoraa1651
    @sarahmoraa1651 Год назад +1

    Huyu dem anaongea vibaya na anakulwa na mbaba ata lunch haezi mbuyia

  • @mademsykada3866
    @mademsykada3866 Год назад +2

    Banger mpya kila tyme..Big man stevoh..Jah bless you💗💖💓❤🙏🏻🙏🏻

  • @jina253
    @jina253 Год назад +1

    Shiko ume mess,this guy was trying his best to be there for u and e kid,wababa wanakeoendea kwako cku yenye utakosa kwako hawatakutaka ju watakuona ka shida,wanakutumiatu,tulia na baby daddy uleye mtoi ju wababa hawatakupeleka anywhere

  • @lambertmkz
    @lambertmkz Год назад +31

    One thing I've noticed is that an idle woman with a smartphone is a dangerous creature😬😬

    • @vikeke1782
      @vikeke1782 Год назад +2

      Either working or not they behave same and no women is single chairman

    • @vinnievin5034
      @vinnievin5034 Год назад +3

      True bro

    • @vikeke1782
      @vikeke1782 Год назад +1

      @@vinnievin5034 ndio maanake mkuu

    • @annahwachukermontana9021
      @annahwachukermontana9021 Год назад +2

      I agree wacha Kwanza akuwe anapenda mapesa mob uweeee

    • @vikeke1782
      @vikeke1782 Год назад

      @@annahwachukermontana9021 ndio hivyoo ubaya women love money sana and funny thing most date men with pesa and non of those women have money mwishowe....game ikisha wanakam mtaani na mimba then blame all men are trash....the men u pick are trash.
      Wacha afike in 30yrs ndo atajuwa

  • @dedanmaina9052
    @dedanmaina9052 Год назад +7

    i like comrade sana the way he know how to handle issuses...

    • @zaitunisagwa2082
      @zaitunisagwa2082 Год назад

      Me too I like the he does his work, Achana na kina Pluto, watu wanaFight na wao wanachochea wakiwachekelea. Yaani inaudhi.

  • @ivykerry3110
    @ivykerry3110 Год назад +3

    Welcome to this floor where Rough Love is the real meaning of this NOW life. Wahenga wakiona hizi wanalia.

  • @annettealynn4222
    @annettealynn4222 Год назад +1

    Hawa watu wanakaanga innocent are the most toxic

  • @lilianwambui1035
    @lilianwambui1035 Год назад +4

    Bro pole sana mungu ni mungu natakua mungu 🙏🙏🙏

  • @wiltersarange7741
    @wiltersarange7741 Год назад +1

    😅😅😅😅😅😅camera man Neva dissapoint was it necessary to show the dressing code ya huyo dem 😅😅😅

  • @kipkoechngetich842
    @kipkoechngetich842 Год назад +7

    Run bro the lady looks she doesn't love you period

  • @johnmuhoro2073
    @johnmuhoro2073 Год назад +35

    No secret can last forever!

    • @patrickgitau9912
      @patrickgitau9912 Год назад +1

      Now I understand why chanise says, the smaller the monkey the longer the tail 💔💔🤔🤔🤔

    • @stellandunge
      @stellandunge Год назад

      ruclips.net/video/C51Wu7_fJ_Q/видео.html

  • @Mariahthequeen
    @Mariahthequeen Год назад +46

    Rem: do not cheat yourself out of a fruitful, happy relationship

  • @Just_humphrey
    @Just_humphrey Год назад +3

    I repeat again Nairobi is strictly for business and if it's a must you date make sure you're the one in Nairobi. Young Man Ruuun.

  • @raymondingwero8751
    @raymondingwero8751 Год назад

    Huyo jamaa pia anakaa cheater kimpango

  • @Akatsa66
    @Akatsa66 Год назад +20

    Run away from anyone who doesn't reciprocate your loyalty

  • @faithmutisya7231
    @faithmutisya7231 Год назад +1

    We don't want peace even on Sunday,we want vayolence, wenye tumetoka church tukuje kuwatch drama mpite na like

  • @TalesInAncientBooks
    @TalesInAncientBooks Год назад +2

    Comrade, umeimba hiyo 'Hebu jitokeze, jionyeshe' nikashuku wewe si youth vile huwa unachocha

  • @mamaemmanuel4314
    @mamaemmanuel4314 Год назад +3

    Gutz za cheaters
    Very painful.
    Ii kitu iishe ....🤔🤔🤔🤔🤔😣🤔🤔
    God remember us loyal people.
    It's paiful

  • @henrynjalale6133
    @henrynjalale6133 Год назад +25

    Another honest hard working young man saved by BMS from a low standard other gender. Even that child may not be yours sir, RUN.

  • @ericoula9706
    @ericoula9706 Год назад +19

    For all broken hearts 💔 move on

  • @biggyYK
    @biggyYK Год назад +6

    Hyo dress code sio ya cheaters bana ameangusha

  • @cyndiehnyashiroz4630
    @cyndiehnyashiroz4630 Год назад

    Hawa ni wazuri na wameingia box haraka .....in all that waiting for ona kitu umefanya ww.....then enda tu umbongeshe atakuskiza🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈😂😂😂😂😎😎💯😎

  • @lizamunyi3688
    @lizamunyi3688 Год назад +2

    Weeee how old is this lady,juu ata kama n dress code y wife material ,hii dress code zii 😂😂😂😂 hadi camera man anazoom ,nowonder anakuliwa na hakuna lunch ,wababas wanapenda hizii dressing code kweli 😂😂😂😂🤔🤔🤔🤔

  • @ruthnjeri1291
    @ruthnjeri1291 Год назад +2

    Hehehe unacheat your responsible hubby na the so called Paul mwenye hawezi buy ata lunch pthooo 🚮..... Huyu dame amecheza ukienyenji wa hali ya juu 🤭

  • @johnmuhoro2073
    @johnmuhoro2073 Год назад +10

    Long distance relationship doesn't work nowadays.Then the lady girl friend is the spoiler in that relationship coz bad influence!

  • @dosaman5488
    @dosaman5488 Год назад +6

    Cheaters repeated line, ni message tu, you wonder what was the message for, cheaters are manipulators, just let them go when caught!!

  • @marywangari633
    @marywangari633 Год назад +4

    Aaah! Sharing is caring 😅😭. It's sad 😭 then you hear someone say, men are 🐶 and it's something you as a woman initiated😢

  • @kevohmzazi7778
    @kevohmzazi7778 Год назад +4

    Boy anakaa mulamwa ❤️

  • @patriciamuregimbogo
    @patriciamuregimbogo Год назад +56

    Cheers to us chilling with zero body counts 😊😊😊

  • @lydiahkj
    @lydiahkj Год назад

    Stivo lazma uvae kashirt kadogo hahahaha 🤣😂🤣🤣😅 but piga kazi broh kazi safi

  • @michaelmarisio5208
    @michaelmarisio5208 10 месяцев назад

    That wambo is the masterminder of the whole thing....let her stay with her.....ehhhh akwendee!

  • @gracewangari8121
    @gracewangari8121 Год назад +1

    Aki tukiwa uku tukitafuta loyal husband wengine uku nje wanaharibu ndoa zao na kucheat😥😥😥life no balance

  • @jwaitathu
    @jwaitathu Год назад +1

    4:21 "Hypothesis " 🤣🤣🤣🤣🤣BMS will kill me someday 🤣🤣🤣🤣

  • @teresiamburu9582
    @teresiamburu9582 Год назад

    Yaani huu mwaka mlisema ni kupanuliwa tu justina syokau rudisha wimbo wako dunia imeharibiwa na kupanuliwa🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @jayblessed415
    @jayblessed415 Год назад +1

    Ladies Ladies...Ladies.....it always hurts me to find that a lady anapatikana anacheat na man ako clean..despite ya vitu anapitia kuenda kuhustle to make her comfortable ....Nkt...!!!! I feel u man

  • @charleswanyonyi2325
    @charleswanyonyi2325 Год назад

    Big man Stevo,good job,bt to some extent,jaribu kurudishia wenye simu zao,coz if u can stay & watch someone going with others phn,eti juu amekuwa cheated,no that's wrong

  • @wairimuwaihwa2475
    @wairimuwaihwa2475 Год назад

    Hawa wakishimba ni shinda tupu..
    Endeeni vyenyeji ..🤣

  • @klasskenya2400
    @klasskenya2400 Год назад +2

    Nani mwingine alikuwa anaheshimu buibui until you started watching these shows?

  • @unniojulius2468
    @unniojulius2468 Год назад +2

    Watu wakulane Alaaah, kwani ni sabuni itaisha. Kwani mnataka umalaya ishii aiiiish. Team singul tucheke 😂😂😂. Team mapenzi rusheni mawe 😂😂😂🚶‍♂️🚶‍♂️

    • @ashajuma4975
      @ashajuma4975 Год назад +3

      Akuna mawe tunarusha na wala hatutarusha...acha kisonono ikurushie mawe na ikunyoroshe kabisa #pendaumalayatuh

    • @unniojulius2468
      @unniojulius2468 Год назад +1

      @@ashajuma4975 😂😂😂😂😂kanisa seme "Amen, Amen tene" 🤣🤣🤣🤣kuna gonorrea iko soko

    • @pendo6
      @pendo6 Год назад +1

      She should av stayed in nakuru juu mtoi bado ni mdogo. Shes a whore.boy 🏃‍♀️ 🏃‍♂️

  • @sallyeringo33
    @sallyeringo33 Год назад +14

    I know this guy he worked for me for some years ,mapezi weeeee .

    • @RascalEd-hw6yw
      @RascalEd-hw6yw Год назад +1

      Reach out to him.

    • @mayxh1918
      @mayxh1918 Год назад

      Mfikie umwambie watu loyalty tuko gulf tuko tayari bora number ya 4n🤦‍♂️

    • @1FX_Prince
      @1FX_Prince Год назад

      @@mayxh1918 uko na pesa?😜😂

    • @johnwangatia786
      @johnwangatia786 Год назад

      Watu si wajinga

  • @emarsonjuma9045
    @emarsonjuma9045 Год назад +1

    Why bargain with a lady found cheating, men move we have a long way to go in life this genders 80% wakoivo. Unashindana na mtu aliongea na nyoka😏😏😏

  • @elleven1126
    @elleven1126 Год назад +2

    Huh, acha nkatafute pesa kwanza😌

  • @annwambui2909
    @annwambui2909 Год назад +1

    Mbona Mimi sipatangi Hawa wanaume tall dark,,Mimi relationship zote nakuanga the tall one🤣🤣🤣

  • @speciozaromona1095
    @speciozaromona1095 Год назад

    Sikuhizi women have gone over board.... Wuuuuueeehhhhh..... Hope our bro heals.... Run and don't look back..... You're a rare gem..... Plus the girl is not remorseful

  • @beller9304
    @beller9304 Год назад +10

    Loyal people are dead no one is still a live

    • @Mariahthequeen
      @Mariahthequeen Год назад

      The guy is loyal. We still have good people

    • @cynthiairenemoreno3527
      @cynthiairenemoreno3527 Год назад +1

      Am Here Still Alive And Kicking..I Will Never Ever Cheat On My Partner Not Unless Otherwise.

    • @julietuwera
      @julietuwera Год назад +1

      Mimi sijakufa

  • @margaretnyahendo5731
    @margaretnyahendo5731 Год назад

    Steve pia uanze kutembea JKIA, usafishe watu especially hawa couple wamekujia kulaki their loved ones. Hapo hapakosi chai

  • @margaretnyahendo5731
    @margaretnyahendo5731 Год назад

    Akunanga kitu kama si unajua nakupenda. Just tell your partner you love them. Keep reminding them how much you love and value them.

  • @louiseolsen9197
    @louiseolsen9197 Год назад

    Mapenzi Mapenzi...tuachie Romeo and Julliet. Hii 2023 relationships zimeenda down the drain ivo tu. Safisha BMS.

  • @signtheblackrussian
    @signtheblackrussian Год назад

    Dem hata vile amevaa ni mshamba sana... Wondering what this guy saw in her... Siku hizi vienyeji ndio Malaya wakubwa... 😂😂😂😂

  • @jesusfamilytv2608
    @jesusfamilytv2608 Год назад +17

    Don't pretend that you have not seen the height difference and how the girlchild struggles to reach his shoulder as the man walks away😂😂

    • @stellandunge
      @stellandunge Год назад

      ruclips.net/video/C51Wu7_fJ_Q/видео.html

  • @dedanmaina9052
    @dedanmaina9052 Год назад

    Malaika azieka sana anakuwa shetani huyu jmaa vile anaongea utadhani atabeba hzo 10k ....wcga tuona😂😂😂

  • @kevinondimu805
    @kevinondimu805 Год назад +1

    Stevo fagia kbs kila MTU akue single juu pia nimeajwa ju ya kueka sim silent 😭😭😭😭😭

  • @peterdestiny3310
    @peterdestiny3310 Год назад +2

    Kuna shaka Fulani imeflow apo boy child akajisahau kiasi....ee

  • @wanguiannmarimbet5726
    @wanguiannmarimbet5726 Год назад +1

    Eti umefichwa kama sehemu nyeti Gai Steve 🤸🤸🤸🤸

  • @evelynambiyo5870
    @evelynambiyo5870 Год назад

    Ladies Kuna kitu inafaa tujue.. mwanaume akikupata ukicheat,iyo rshlp inaishia apo..let's respect our men mostly responsible ones!

  • @hassinho1061
    @hassinho1061 Год назад

    Waah ata huyo dem mfupi anacheat waaah

  • @Jackie-lm2sc
    @Jackie-lm2sc Год назад

    Ukiachwa mwezi mzima bila food na uko na watoto si utalala hata na watchman....3500 weekly people are Lucky ....thank God I know how to hustle

  • @danielkamau5310
    @danielkamau5310 Год назад

    Stevo uko na walking style ya harusi yako ama Ni hii tu🤣🤣🤣

  • @marionlexy2462
    @marionlexy2462 Год назад +18

    I think am the only loyal woman remaining haha