LUHAGA MPINA ''WAZIRI MWIGULU ,MBALAWA WAKAMATWE WAFUNGULIWE MASHTAKA''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 27

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Год назад +2

    Safi Sana mbunge mzarendo, wabunge wengine wako kutetea mafisadi tu

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 Год назад +2

    Duuu huyu mpina kumbe yuko vizuri

  • @Cris4Elisante
    @Cris4Elisante 4 месяца назад

    Safi Sana mbunge msema kweli.hawa ndio wanaowapa wapinzani nafac kukichafua chams chetu CCM na kuwapa nafac chadema kuchukua nchi yetu.

  • @bulayamoffatmwmbilu5750
    @bulayamoffatmwmbilu5750 Год назад

    Big up Mpina .Time will tell!

  • @abelsimon2997
    @abelsimon2997 Год назад +2

    Watu wanaoongea vyema waongezwe muda

  • @praygodmakere6273
    @praygodmakere6273 Год назад

    Nchi yangu Tanzania 😭😭😭😭😭

  • @shinemakenzi8101
    @shinemakenzi8101 Год назад

    Walamba asali wanaitafuna hii nchi kisawasawa wakati ss huku kitaa maisha ni magumu sana

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Год назад

    Piga risasi sio kuwapeleka mahakani

  • @alphadreammedia
    @alphadreammedia Год назад

    Andika vizuri hiyo title

  • @joseraymond2008
    @joseraymond2008 Год назад

    Mkumbuke magufuri apo mubung mpina😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @thabitimadabali1726
    @thabitimadabali1726 Год назад

    Tatizo chama kinawalinda sana hawafai kabisa mweshimiwa lais wachukuliye hatuwa ikiwa niwahujumu uhumi

  • @omarkhamis3909
    @omarkhamis3909 Год назад

    Ktk waziri aliyekua hafai niwaziri wafedha nawakubwa wamekaa kimyaaa au sijui nawao wanapata chajuu isingalikua hivi wabunge wanapiga kelele kumuhusu yeye kilasiku ilakimyaa

  • @mmwaupete6265
    @mmwaupete6265 Год назад

    Mpina ni kiongozi mwenye upeo mkubwa sana. Ukipata viongozi angalau kumi kama hawa nchi itasonga mbele sana kwani ni msaada kwa Rais

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 Год назад

    🤭shida litawezekana hili?

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 Год назад

    Aisee kiongoz ata kama hawatasikia Kuna ck tutaamka wanyonge

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 Год назад

    Kupanga na kutekeleza ni vitu viwili tufauti. Wabunge na madiwani kazi yao ni kupanga na kutunga Sheria. Mimi nashauri Hawa wabunge na madiwani wawepo kwenye kamati na bodi mbalimbali na hasa za utekelezaji wa miradi. Halafu tuone kama kelele hizi utazisikia kwenye bunge. Chukulia mfano kama umewahi kujenga kanyumba Kako kakuishi, ukamwita fundi akakufanyia tathmini ya gharama yote ya ujenzi. Halafu njoo utuambie baadaye, je ujenzi ulikamilika? Au ulikamilika Kwa gharama ileile aliyokupa fundi? Mara nyingi fedha zinazotolewa kwenye miradi ya serikali fedha inakuwa haitoshi. Sasa hapo ndio kasheshe inapoanzia. Wasimamizi wanaingia kwenye tuhuma za kula pesa

  • @WilsonMganda-tj8yx
    @WilsonMganda-tj8yx Год назад

    Mtafukuza wasio wetu na wezi watabaki kuendelea kuiba,

  • @venancemsigwa-qs4ri
    @venancemsigwa-qs4ri Год назад

    Baba mpina mwigulu na jopo lake wote ni wezi ndio maana magufuli aliwatoa

  • @perfectpixelsstudio3603
    @perfectpixelsstudio3603 Год назад

    Tutaelewana tu

  • @kisarawe-rw4io
    @kisarawe-rw4io Год назад

    Aisee!! Tanzania Tanzania😢😢😢

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад

      Daaaaa ujambazi wa kutishaaaa kwanini mungu asiwaangamizee wote watoto yatima wanateseka theni mijitu michache isiyokua ata na dini at a hofu ya mungu

    • @AnyangaAeto
      @AnyangaAeto Год назад

      Aa ni hatari sana

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Год назад

    Hakuna mtu wa kuchukua hatua, unampigia mbuzi gitaa.

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Год назад

    Mbona mnaongea sana ukweli na hakuna kinachoendelea juu Yao? Tunaona kimyaa? Rais anasikia kweli au? Wabunge nawashauri chukueni hatua wafukuzeni humo ndani Hadi wawapishe kabisa Hadi atakavyosema Hela ziko wapi?

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Год назад

    Unapoteza mtu hakuna mchua hatua