Kupanga na kutekeleza ni vitu viwili tufauti. Wabunge na madiwani kazi yao ni kupanga na kutunga Sheria. Mimi nashauri Hawa wabunge na madiwani wawepo kwenye kamati na bodi mbalimbali na hasa za utekelezaji wa miradi. Halafu tuone kama kelele hizi utazisikia kwenye bunge. Chukulia mfano kama umewahi kujenga kanyumba Kako kakuishi, ukamwita fundi akakufanyia tathmini ya gharama yote ya ujenzi. Halafu njoo utuambie baadaye, je ujenzi ulikamilika? Au ulikamilika Kwa gharama ileile aliyokupa fundi? Mara nyingi fedha zinazotolewa kwenye miradi ya serikali fedha inakuwa haitoshi. Sasa hapo ndio kasheshe inapoanzia. Wasimamizi wanaingia kwenye tuhuma za kula pesa
Mbona mnaongea sana ukweli na hakuna kinachoendelea juu Yao? Tunaona kimyaa? Rais anasikia kweli au? Wabunge nawashauri chukueni hatua wafukuzeni humo ndani Hadi wawapishe kabisa Hadi atakavyosema Hela ziko wapi?
Safi Sana mbunge mzarendo, wabunge wengine wako kutetea mafisadi tu
Duuu huyu mpina kumbe yuko vizuri
Safi Sana mbunge msema kweli.hawa ndio wanaowapa wapinzani nafac kukichafua chams chetu CCM na kuwapa nafac chadema kuchukua nchi yetu.
Big up Mpina .Time will tell!
Watu wanaoongea vyema waongezwe muda
Nchi yangu Tanzania 😭😭😭😭😭
Walamba asali wanaitafuna hii nchi kisawasawa wakati ss huku kitaa maisha ni magumu sana
Piga risasi sio kuwapeleka mahakani
Andika vizuri hiyo title
Mkumbuke magufuri apo mubung mpina😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Tatizo chama kinawalinda sana hawafai kabisa mweshimiwa lais wachukuliye hatuwa ikiwa niwahujumu uhumi
Ktk waziri aliyekua hafai niwaziri wafedha nawakubwa wamekaa kimyaaa au sijui nawao wanapata chajuu isingalikua hivi wabunge wanapiga kelele kumuhusu yeye kilasiku ilakimyaa
Mpina ni kiongozi mwenye upeo mkubwa sana. Ukipata viongozi angalau kumi kama hawa nchi itasonga mbele sana kwani ni msaada kwa Rais
🤭shida litawezekana hili?
Aisee kiongoz ata kama hawatasikia Kuna ck tutaamka wanyonge
Kupanga na kutekeleza ni vitu viwili tufauti. Wabunge na madiwani kazi yao ni kupanga na kutunga Sheria. Mimi nashauri Hawa wabunge na madiwani wawepo kwenye kamati na bodi mbalimbali na hasa za utekelezaji wa miradi. Halafu tuone kama kelele hizi utazisikia kwenye bunge. Chukulia mfano kama umewahi kujenga kanyumba Kako kakuishi, ukamwita fundi akakufanyia tathmini ya gharama yote ya ujenzi. Halafu njoo utuambie baadaye, je ujenzi ulikamilika? Au ulikamilika Kwa gharama ileile aliyokupa fundi? Mara nyingi fedha zinazotolewa kwenye miradi ya serikali fedha inakuwa haitoshi. Sasa hapo ndio kasheshe inapoanzia. Wasimamizi wanaingia kwenye tuhuma za kula pesa
Mtafukuza wasio wetu na wezi watabaki kuendelea kuiba,
Baba mpina mwigulu na jopo lake wote ni wezi ndio maana magufuli aliwatoa
Tutaelewana tu
Aisee!! Tanzania Tanzania😢😢😢
Daaaaa ujambazi wa kutishaaaa kwanini mungu asiwaangamizee wote watoto yatima wanateseka theni mijitu michache isiyokua ata na dini at a hofu ya mungu
Aa ni hatari sana
Hakuna mtu wa kuchukua hatua, unampigia mbuzi gitaa.
Mbona mnaongea sana ukweli na hakuna kinachoendelea juu Yao? Tunaona kimyaa? Rais anasikia kweli au? Wabunge nawashauri chukueni hatua wafukuzeni humo ndani Hadi wawapishe kabisa Hadi atakavyosema Hela ziko wapi?
Unapoteza mtu hakuna mchua hatua