MPASUKO NDANI YA KANISA KATOLIKI, ASKOFU RUWAICHI ATOKA HADHARANI KUPINGA KUBARIKI MASHOGA
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- papa atetea ushoga?
If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright, email us assengablogtz@gmail.com
Mwisho wa dunia umefikaa... Ile chapa ya 666 inakarbia... Mungu atujalie mwisho mwena wale tutaosimama katika kweli
Alama ya mnyama ipo siku nyingi
acha uoga hayo hayana budi kutokea lakini ule mwisho bado ,Cha kufanya Ni kuishi maisha matakatifu na sio kukariri Maandiko ,haitosaidia ,wewe ishi kwa kufuata misingi ya Neno la ufalme wa Mbinguni Hawa wanaobishana juu ya kutoa Baraka za ushoga achana nao wasikupotezee muda
Kwani uliambiwa 666 IPO sehemu gani
Mungu akubariki baba asikofu Hilo ndilo Jambo la Imani endeleya kumweshimu mungu ivo ivo mungu atakutoza 😊
Mungu Akubariki sana mtumishi wa Mungu Baba Mwenyezi. Namshukuru hutakuwa mmoja wa kumsikitisha Baba yetu. Amina
Mjomba ww mwenyewe ushaingizwa chakike bila KUJUA unaenda wapii Kama MTU ANAE waongoza DUNIA nzima anasapotii , ujue ndo mshapotezwa
Analukaluka tu,, Papa wao kashasema yeye anazuga zuga tu,,
anaongoza watotowake siyoss
Bishop anatafuna maneno tu. Sema wazi tu PAPA FRANCIS KABARIKI USHOGA.
I'm proud to be a Muslim
Define Muslim
Most of area dominated by Muslims is where you can find gays, go and research for your own benefit then come to your senses
me too,am sooooooo proud,imani y Kiisalm ndio imeni inayomake sense
Zanzibar na mumabasa wanaongoza Kwa ushoga sjui wale ni dini gani
@@MauriceMichael-em4dg Ongezea hapo na Tanga, Lindi, Pwani na Pemba.. huko kote ni mwendo wa kuchokoana vinyesi
Safi sana baba najua hisia zimekataa kukaa kimya umeamua kusema kwamba nawengine watoke waseme wasiogope tusiruhusu huyu shetani wanaomtaka aje kwann tunawapenda wazungu ambao hawana adabu na heshima.
Najivunia kuwa mkristo mkatoliki, kwa sababu nalielewa vizuri na kupata mafundisho sahihi ya kanisa katoliki.
Wwe hujaijua kanisa lako vizuli , unayoyaona yote dunia mambo yakishetani anayo kuhusu ni papa
Romani wamechemka kwenye ushoga tena kaa owaneni ninyi wenyewe 😂😂😂😂
Hamna ipo ila kwa Kristo katoliki hawana mungu,mungu wao ndo huo shoga
Uko sawa
Kiufupi kubalini mmetumbukizwa kwenye shimo Maana hamtaki kujifunza kuujua Ukweli, amkeni Mungu yupo alieumba ulimwengu wote na hakuzaa wala hakuzaliwa.
We Nenda kinyume na wenye dini yao wenye dini yao washaruhusu
kaa ukijua kuwa, wengi wa mashoga ni waislam ( majina yao wakikamatwa wengi ni waislam)
Hahahahaha ukafiri bwana????
@@lenatusmasolwa5323kwahivyo sisi waislam tunawafungisha ndoa mashoga???
@@lenatusmasolwa5323 Lazima uelewe kuna muislamu na uislamu dini yetu inakataza ushoga dini yenu inakubali ushoga na inaruhusu pia mnywe pombe km isemavyo biblia na ndio maana kanisani mnakunywa pombe
@@lenatusmasolwa5323 muislamu yeyote akiwa shoga akiwa mlevi huyo hana tofauti na kafiri
Hapo ndio utajua ISLAM NDIO DINI YA HAKI YA MWENYEZIMUNGU DINI ZINGINE NI UPOTOSHAJI
Inna dina indallahi al islam
Uislamu ushetani
Asante kwa ufafanuzi mzuri
Huyo papa mpuuzi kabisa amekalia kiti cha mkuu wa giza. Kanisa katoliki lile la miaka 20 iliyopita na la sasa ni tofauti
Kanisa ni lile lile we sema miaka 20 ilopita media zilikuwa hakuna kama sasa !!
Halina utofaut linajigeuzageuza km km shetan.
Kanisa lote ni Hilo Hilo Hakuna tofauti sawa na company ya Cocacola inabadili bidhaa tu mlianza kuambiwa yesu ni mtoto wa mungu ikaja akawa Mungu kabisa na yote Kwa ajili ya ushabiki wenu na kujipendekeza Kwa wazungu mkakubali sasa imefika muda muoane wanaume Kwa wanaume na wanawake Kwa wanawake daadeki zenu
@@muhamedkhatib4913 kwa hiyo ipi ndo nzur
Papa sio baba mtakatifu ni mtumishi wa shetani
Ni mtizamo wako
Uko sawa
Ni sawa
Nimekuelewa sana! Tatizo Kanisa Katoliki lina Maadui wengi sasa wamechukua nafasi hii kutaka kuliangusha Kanisa! Haitawezekana abadani!
Yaani watu wanapotosha sana msimamo na mafundisho sahihi ya kanisa..ukiona hivyo ujue shetani anataka aue kanisa..na ni wazi kanisa katoliki lina misingo imara zaidi kuliko kanisa lolote lile.na lina tunu nyingi sana..
😊,Time will tell!Muda ni Mchache na Mambo ni Mengi
Dunia hii ina mambo , tuombe sana huko mbeleni Kuna taabu sana.
Mimi nakuomba baba mtoke hadharani na kauli moja kuhusu kauli hiyo ilitolewa na baba mtakatifu kama inaukweli wasitumie kanisa kua imerusu jambo ambalo siolakweli
Mungu wangu ingawa mimi siwezi kujua ila tusamehe sisi wanawako
Hayupo Binadamu mwenye sifa ya kupewa utakatifu
Huijui Biblia wewe.
Soma waraka wa kwanza wa Petro sura ya Kwanza mstari wa16
@@martinjohn7854 ni kweli hakuna mtakatifu duniani
..heri watakatifu walio duniani...
@@agnessima5032 umesoma wapi na kitabu gani cha biblia
Ukatoliki hamna Mungu Karibuni kwa Kakobe mpate kuijua kweli yote alafu ukatoliki na Uislamu ni kitu kimoja
Wewe acha upuuzi usizungumzie uisilamu kwenye upuuzi wenu
Uwislam ni ustarabu sio uwo utakatifu wetu
😂😂😂😂❤
Hata mjitoe vp hapa mmenasa ukristo ni ushoga acheni kuuonea uislam umenyooka hauna mpindo nyie wakristo ni mashoga ukawa kakobe cjui katholic cjui SDA ,mkurino ,mara nan nyooote mashoga tena mnatobwa na wapagany wenzenu waliowatia kwenye mtego wa ukristo
Nashukuru Baba Askofu kwa ufafanuzi wako. Kabla ya hapo niliingiwa na wasi wasi. Wakati huo huo nilijiuliza, kwenye nyumba za Ibada wanaingia walio wema tu au hata wenye dhambi? Nikakumbuka pia kuwa Amri za Mungu ziko 10 (Kumi), je? Wote wanaokuwa kwenye Ibada wanakuwa wametimizi hizo Amri 10 wakati wa kupokea Baraka?
Nikakumbuka pia wale Viongozi wanaokuwa wameapa kwa kutumia Vitabu vitakatifu, wanatimiza viapo vyao? Je? Wanaotoa na kupokea rushwa, na kudidimiza haki za wanyonge, wakati wa kupokea Baraka wanatoka nje?
Safi sana Kwa uelewa huo
Kwani Papa hawezi kutumbuliwa
😂😂😂 angekuwa marehem yupo hai angemtumbua
Somen Alama na nyakati😢
Uspige kona Mzee ukweli umeshasemwa sasa usijifariji Mtafuteni Mola wkweli
Acha kuzunguka zunguka,unajaribu kutetea vitu vichafu kabisa ambavyo Mwenyezi Mungu amevikataza toka mwanzo wa kuumbwa kwa dunia
Ww pastor pia ni shetani km huyo papa yani baraka kwa mume na mume ww kweli moto unakusubiri
Umemuelewa anachosema? Yy hakubaliani na k8ongozi wake papa.
Huyo ndo babaenu mtakatifu wakatoliki alichaguliwa na mungu
waendao kuzim,nikamamchanga wabahari hayonimandiko
Ndio maana ukisoma Kwenye Quran inasema utawakuta watu wanaingia Kwenye dini ya mwenyez mung makundi kwa makundi na hiyo ndio mwisho wa kiama
(Zaburi 1:1)
Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.
Mkifuata Biblia sawa!
Ila mkimfuata papa wenu huyo (mnayemwita mtakatifu), atawaingiza kuzimu vizuri sana!
Uyo siiiii mtakatifu uyo ni shetani bana
Kubalini tu kwani huyo s ndo babaenu mtakatifu mbona mnamkana kama mmeweza kumkana baba mtakatifu bsi mnaweza kumkana hata babaenu yesu aloko mbinguni na hamtauona uzima wa milele
Uislam ndio dini ya haki ,,km hamuamini fanyeni utafiti mtagundua hilo
We unaumwa washirikina tu
@@user-kx7ob5rx4p sasa washirikina na wasenge bora nani
@@user-kx7ob5rx4pnakushahuri usiwe mbishi bila proof reference, jielimishe,
Anza kwa kujua maana ya maneno unayo yasikia kila siku kwa waislamu
Utagundua uislamu ni dini ya haki
Mfano neno ‘Allahu akbar’ maana yake Mungu ni mkubwa.
Jua Maana ya maneno yaliyopo kwenye adhana utaona ni maneno mazuri ya kumtukuza Mungu
Haki ipi?
upo sahihi ruaichi mungu anakutumia kwa ushujaa huo wakukana baraka za jinsia moja
Nilikuwa najiuliza kwanini mapadri hawaoi na masista hawaolewi "LEO ndo nimegundua kumbe watu wanageuzana nyuma wao kwa wao na kusagana mwanzo mwisho....!!
"
Kwa sababu mdomo Mali yako utaongea unavyotaka,ila wapo waliozaliwa Wana Mdomo kama wewe Leo hawapo duniani na siku ya mwisho utatoa ushahidi wa maneno yako
@@audifansisafari5587 Papa kashasema mliwe {○} Wake zenu hawana kazi tena {ukilijua hilo kuwa ni jambo baya utalazimika kuingia ktk uislamu Dini iliyo takasika {Dini pekee iliyo haramisha vitendo vya Qaumu lutwi}
Kwanini asife huyo Papa Francis toka lini Wakatoliki wakafanya kitu cha kuoana jinsia moja afe tu haraka sanaaaa analidhalilisha ksnisa Katoliki
Kwa kupitia kinywa cha papa. Ni mungu yupo kazini. Maana Mungu mwenyewe alisema watakao fany as kinyume na mapenzi yake atageuza vinywa vya wakuu kusema mambo yaliyokosa hekima.
Mzee anababaisha hajui hata aseme nini huu ni msiba mzito! Fuateni dini ya haki achaneni na hzo ajenda za ibilisi! Dini ni uislam tu!
Baba Askofu tunakuheshimu.huwezi kuomba baraka ya tendo ovu.Uhasherati wizi ufiraji .Kazi ya ukuhani ni kulaani kukemea maovu.na si vinginevyo
Mkiambiwa ukristo sio dini mnakataa huwezi ukamwita Mtakatifu
Dont complicate the
Subject....hakuna
Baraka ya ndoa ya
Jinsia moja
Pope alitoa hii taarifa
Miezi chache nyuma.
Utabariki mtu moja???
Inabarikiwa Mume na Mke kwa pamoja siyo
Akija mtu moja.
Poleni sana....
Mie sio mkatoliki kabisa. Tumehama.
Papa amekosea sana.
Hivi kweli waje mashoga ofisi ya kiongozi wa dini wakuombe baraka alafu uwabariki.
Nyie mnachanganya watu acheni ujinga
Papa amekosea sana
Mtu Kuomba Baraka Ni Tofauti na Mtu Kutaka Abarikiwe Tendo Lake au Kitu Chake, eg Mtu anaweza Akaleta Gari amenunua Kuomba baraka, Na Je Kama Ameua na Kulipora Utalibariki? Akija Mtu na Mke wake Akaoba Ubariki Ndoa yao Utambariki, Wakija Washoga Wawili Wakakuambia Muungano wao Ubarikiwe Utaubariki... I N SHOT HUYU POPE ANA SHIIIDA!
Hapo ndio mnapata somo kua ukiristo ni dini inayoendesha matakwa ya wazungu. Mkitaka dini sahihi itakayokuepusheni na moto njoni kwenye uislamu
Uislamu inaendeshwa Kwa matakwa ya waarabu
Huo ndio upagani uliovikwa joho la kidini
Mbona papa Francis ameongea waz waz kuhus ushoga kule marekani kuna mchungaji alipinga papa Francis akamtengua alaf huyo mchungaji anatetea ujinga
BABA TUNATAKA KUFA HATUWEZI KUBARIKI WATU WANAO FANYA KINYUME NA MAAGIZO YA MUNGU HATUITAJI KUBARIKI
Huna option ndugu R.C ni dhehebu la Wazungu na ndio hadi wameandaa Biblia Yao, Sasa Papa akubali wewe Ukatae??? Karb na Mwisho wa Dunia karb wote tutakuwa Dini ya haki, sio muda mrefu , na zile zilizoundwa na wanadam zitajichuja zenyewe
Nilivyomuelewa ni kwamba anapingana na kauli ya papa, papa kasema wabariki mashoga yeye kasema hata bariki mashoga kwenye ushoga wao bali atawabariki kwenye ishu nyingine
Hii huwezi kunishawishi,kama vile Askofu unataka kupindisha kauli ya papa,jambo la kujiuliza unatambua wazi huyu ni muasi wa Mungu halafu unambariki badala ya kumuongoza Sala ya Toba,hii haiko sawa kabisa
Waraka umeashatolewa
Bariki mashoga 😊 baba
Baba Askofu Ruwaichi toa ukweli acha kupinda pinda neno la Mungu halipindishwi tunaomba usimtetee Papa hilo swala amelitamka na kama kweli atalipitisha kubariki jinsia moja basi Papa tutamuhesabu kama ni mfuasi wa shetani sasa tutasemaje ?? ila ni kweli yale maandiko yaliko Ufunuo wa Yohana yameanza kutimilika MUNGU TUSAIDIE
mulivamia imani ya watu bila maarifa,tunapowauliza maandiko nankuwalingania mnatuona tunasiasa na kuwapinga,sasa mtulie kama mlivyokua mwanzo,tulieni ivo ivo muache malalakiko mitandaoni,muvumilie
Kuhusu ni unaweza kutuambia wewe
Sasa ukishaona kiongozi mkuu wa dini anabariki ndoa ya jinsia moja bado unasubiri nini kujua haki iko wapi?
Kiongozi ni bunadamu cyo Mungu
Even this Bishop should repent for trying to defend the pope who is in Apostasy, his statement is HELLISH PERIOD.
Excactly
ده
ٰ
Mmm kazi ipo
Huwezi kueleweka kama kuna machafuko kama hayo halafu ukayakataa huku ukiishi humo humo! Kusiwe na kisingizio chochote bali ni kuondoka tu.
Nimekupenda kwa point yako
Upuuzi mtupu,jamaa anajaribu kutetea lkn uovu ni ngumu kuutetea.
Shida sio yeye. Ni wewe na uelewa wako. Uwezo wake wa akili na wako ni bahari na kidimbwi. Jaribuni kuwa mnasikiliza na kusoma mambo mwanzo mpaka mwisho.
Hahaha,,,, umeonaeeee, Yani ana pata tabu kutetea
Welcome in Islam.
Islam witchcraft
Islam with a prophet who slept with a 9yrs old girl (Aisha).. no thank you
@@user-kx7ob5rx4p you are Witcher
Ati Baba mtakatifu au Baba Mtaka Uchafu.
😂😂😂😂
Chamsingi ni kumuomba mugu to tusihukumu siamini nasubilia iyo ndoa ya jinsia moja ifungwe kanisani papa ajiuzuru
Tafadhalini Maaskofu, Pope Fransis Amewehuka, Sio Mara ya Kwanza Kwa Historia ya Mapapa Kutoa Maamuzi au Kufanya Vitendo Vya Kishetani. Sasa Najua Ni Kwanini Pope Benedict Alijiuzulu. YAANI BISHOP RWAICHI WAJE MASHOGA WAMEUNGANA WAJE KUTAKA BARAKA IWE NA MAANA TAKATIFU??? Acheni Kumtetea Huyu Pope, Amechanganyikiwa!
I Feel Very Sorry For the Followers of this Roman Catholic chachi.
By the way the pope did not talk about lovers but he said of people who practice homosexual. this does not mean blessing the union. People should follow what they believe and not consentrate on things which are unnecessary.
Wanaomwitaji Dactari niwale walio wagonjwa
@@gallusmbaga5522Are you against the pope?
Hapo ndio din ya kweli utajurikana bado kidogo tu
Mtaangaika sana
Ukristo ndio dini ya kweli
Sasa ukwel wenyewe kuoana watu wa jinsia moja?
Mm sipo humo kundi lamashoga hamna Dini hapo mnachelewa Sana huko
@@edwardkahembetz Haya tafuta mume uolewe sasa si hiyo dini yako ya kweli imesharuhusu!
Soon wataelewa kama wapo mtumbwi wa devil
"FUNDISHO LILILOTELEWA KWA SEHEMU KUBWA HALINA TATIZO!" Ok, nataka mbaraka wa KIKATOLIKI kuruka na UNGO! Acheni janja-janja..NENO LA MUNGU HALINA MAUJANJA...TEGEMEENI HUKUMU TU!
ndoyo
Fuatilieni chambuzi zangu kwa huyo Cardinali muarjentina kabla hajawa papa.
Mm ni mkatoriki lakn hapa rasmi mm hapa Sina dini larud kule Kwa mungu ni sapanga sio uyo mungu wenu et God uyu ni wakenu
Njoo kwenye dini ya haki apo dini akuna ilo kanisa limejaa ushetani
@@mangulimanguli3974dini ya haki ipi? Wakati at waislam mshauzwa inataka kuwa dini moja,chrislam
Wakristo ata mpige kelele sheria ya papa ishasainiwa iyo awa maaskofu wenu wanaopinga kwasab baada ya mdA watsataafu watakuja wapya watakao tekeleza sheria ya papawao kwaiyo mjiandae tu wakristo ilo lishapita 😁😁cha kuwa shauri tu amieni kwenye uislamu ili msiwe na dhiki na amshaka yamoyo kwenye uislamu
Saaafii
Hapo bado cjakuelewa kwa kweli
Hujaelewa nini, Msikilize Papa Mwenyewe alichokisema..ktk kanisa katoliki, Mume kuoa mume Halali na padri afungishe ndoa hiyo ila si hadharani..
Utaelewa tu unahitaji muda 😂😂😂😂😂
Ndoa ni baina ya mke na mme,Hiyo ni baraka. Basi hamna baraka nyingine.
Dunia iko mwisho tutaerewa tu🪱🧑🎓🧑🎓🧑🎓
Ila hapo papa franciss kafika mbali kiongozi mkubwa sana huyo ktk dini katoliki hapaswi kuongelea hayo mambo kbs
Huyo sio baba mtakatifu
Wewe,askofu. Baraja ni kibali,poneza,zazawadi,kukubaliwa,kuruhusiwa.kibali cha Mungu. Sasa kwa tafriri hiyo,padri au mchungaji anabariki nini? Mwenye masikio amesikia,ni lazima wajatoliki mjitambue.
Ubalikiwe sana askof sasa wokovu unaingia katoliki Mungu ameruhusu papa akosee ili macho yafunguke watu waone heeee tupo wapi kwenye dini gani Yesu yupo kazini kimbieni kimbieni kimbieni huko sio sarama wenzenu tulikuaga huko tuliwakuta wazazi wapo huko tulipoona uzaifu tulikimbia kwa miguu miwili njooni huku
Huyo papa sio sarama
Sasa!!! du! Watu ni mashoga ni baraka gani ina kibali kwao mbele za Mungu?wamejilaani wenyewe iwe toba sio baraka
Kwani shoga hastahili baraka yoyote toka kwa Mungu?? Lah hasha! Kwa mambo yete yaliyo haki anapaswa kubarikiwa ila katika dhambi zake hapaswi kubarikiwa ili atumikie zaidi dhambi. Hivi shoga akiomba baraka ktk afya je asibarikiwe kwa kuwa yeye ni shoga? Kila mtu anastahili baraka bila kujali dhambi alizonazo..ingekuwa tunabarikiwa kwa kutokuwa na dhambi basi dunia yote ingekywa tupu tena yenye ukiwa tangu enzi za Adam na Eva!!
Bandu bandu umaliza Gogo.
Ubaliki wewe ni mungu
Mm nitajiunga na uisilamu kama hali ndio hii
Kwangu uki niambia mungu nitasema mungu gan wa kikatoriki au kiislam au wa kisamato uyo mm Nita sema no mungu yoyote wa kigeni nitasema no nitasema mungu wangu mwenye nguvu anayenisaidia Kila wakat dhini ya dhambi na uhovu uyu kwangu ni sapanga ushoga kwetu ni dhambi
Huyo papa kajuwa kuiharibu Christmas yani mapadri watakuqa na muta mwingi wa kuijadidi na kutafuta namna ya kuifunika funika wakiwamadhabauni siku ya ibada, as if watu hatukumuelewa alichoomaanisha vile..
Mzee tafadhari usipindishe maneno..papa kasema mbariki ndoa za jinsia moja... sasa wewe unataka kupindisha maneno ..sisi sio mazuzu..
Mimi sizani main issue ni kubariki au kutobariki ndoa za jinsia moja. Mimi nadhani tatizo ni kuwa chini ya kiongozi anaye elekeza watumishi walio chini yake kubariki ndoa za jinsia moja.
Uwache upwage
Ukristu matatizoni maana sio Roman Cathoric tu Mbona muda sasa Methodist church mpaka bendera za ushoga wanapeperusha makanisani, mashoga wanafungishwa ndoa na kubarikiwa.
Mm Bora nisiwe mkristo tu kwa hali hiii
Huyu papa Hana akili kabisaaa,aiseee aolewe yeye,anaaibisha kabisa duniani,
Chunga ulimi wako. Najua hujui unaongea nini. Mungu akusamehe
Kaongea kweli
iwapo baba mtakatifu anatoa mafundisho tata yanayohitaji makasisi wake kuulizwa maswali tata basi na yeyeastasishwe ajiudhuru apumzishwe atawezaje kutoa mafundisho kinyume na imani katoliki awekwe benchi.
Huyu hujamuelewa pope aisee
Poleni jamani hivi bado wakatoliki mnamuita Baba Mtakatifu? Kweli? Inasikitisha.
Mlikuua mnasema sana wakristu waislamu mashoga sasa kibao
Kwa habari ya askofu mkuu Ruwai-Ichi na askofu Msimbe, kumtetea Papa. Maelezo yenu hayana mshiko kabisa. Anzeni na tofauti kati ya maneno "kuombea" na "kubariki" kwa Kiswahili, kama Kiswahili kina utata twende kwenye lugha ya Kiingereza ambayo imejitosheleza haina shida kwenye sarufi yake, difference between, "praying for" and "bless" Swala la papa akizungumza kwa kauli yake mkiwa ana kwa ana au kumsikia halikuondolei uwezo wako mdogo kumuelewa alichomaanisha labda uwe umeamua kumtetea tu, huyu bosi wako.
Pale Vatican waliomuelewa alichokiongea wanatahayari jinsi kanisa linavyoweza kubomoka bado ninyi tu kujua! Ninyi huku mnajua kuliko wao?
simamieni imani yenu kwa maana itwafikisha mbinguni
Anajaribu kuvuka kiunzi cha bwana wake, {aliye mpa maagizo : Mapadri wote waliwe nyuma ili wawe mfano kwa waumini wao na wambaliki kila aliye chagua wakumla "HAHAHAHA WAKRISTO KAZI MNAYO {Mtakuja kutafuta uislamu mkiwa tayar mmesha liwa} jisalimisheni kwa Allah kabla hamjakubwa na hiyo fitna
Huyu mnamwelewa kwel maan mm simwelew toka lini mwanaume na mwanaume mzenzie wakaenda kuomba baraka si ushoga au mm ndo sielew
Safi Sanaaaaaa
Wachungaji hapo msiogope ukiwashauri jaribu kuwaambia.ubaya.wa.dhambi.hiyo.ushoga.ni zaidi ya dhambi.ni.kufuru.hiyo dhambi.kuitubia.ni.ngumu.sana
Baba muchafu