MPASUKO NDANI YA KANISA KATOLIKI, ASKOFU RUWAICHI ATOKA HADHARANI KUPINGA KUBARIKI MASHOGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • papa atetea ushoga?
    If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
    COPYRIGHT VIOLATION
    For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright, email us assengablogtz@gmail.com

Комментарии • 360

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 8 месяцев назад +21

    Mwisho wa dunia umefikaa... Ile chapa ya 666 inakarbia... Mungu atujalie mwisho mwena wale tutaosimama katika kweli

    • @kasigagervas9491
      @kasigagervas9491 8 месяцев назад +2

      Alama ya mnyama ipo siku nyingi

    • @christophercostantine7497
      @christophercostantine7497 8 месяцев назад +1

      acha uoga hayo hayana budi kutokea lakini ule mwisho bado ,Cha kufanya Ni kuishi maisha matakatifu na sio kukariri Maandiko ,haitosaidia ,wewe ishi kwa kufuata misingi ya Neno la ufalme wa Mbinguni Hawa wanaobishana juu ya kutoa Baraka za ushoga achana nao wasikupotezee muda

    • @audifansisafari5587
      @audifansisafari5587 8 месяцев назад

      Kwani uliambiwa 666 IPO sehemu gani

  • @user-ue1vy6fe3d
    @user-ue1vy6fe3d 8 месяцев назад

    Mungu akubariki baba asikofu Hilo ndilo Jambo la Imani endeleya kumweshimu mungu ivo ivo mungu atakutoza 😊

  • @deborahmgedzi632
    @deborahmgedzi632 8 месяцев назад +1

    Mungu Akubariki sana mtumishi wa Mungu Baba Mwenyezi. Namshukuru hutakuwa mmoja wa kumsikitisha Baba yetu. Amina

  • @MJB-Africa
    @MJB-Africa 8 месяцев назад +11

    Mjomba ww mwenyewe ushaingizwa chakike bila KUJUA unaenda wapii Kama MTU ANAE waongoza DUNIA nzima anasapotii , ujue ndo mshapotezwa

  • @1gmakhala
    @1gmakhala 8 месяцев назад

    Bishop anatafuna maneno tu. Sema wazi tu PAPA FRANCIS KABARIKI USHOGA.

  • @salimfaraj5509
    @salimfaraj5509 8 месяцев назад +13

    I'm proud to be a Muslim

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 8 месяцев назад +2

      Define Muslim

    • @faustinedeogratias4337
      @faustinedeogratias4337 8 месяцев назад

      Most of area dominated by Muslims is where you can find gays, go and research for your own benefit then come to your senses

    • @shabamuhidin634
      @shabamuhidin634 8 месяцев назад

      me too,am sooooooo proud,imani y Kiisalm ndio imeni inayomake sense

    • @MauriceMichael-em4dg
      @MauriceMichael-em4dg 8 месяцев назад +5

      Zanzibar na mumabasa wanaongoza Kwa ushoga sjui wale ni dini gani

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 8 месяцев назад +1

      @@MauriceMichael-em4dg Ongezea hapo na Tanga, Lindi, Pwani na Pemba.. huko kote ni mwendo wa kuchokoana vinyesi

  • @AmosKitunka-xx7cs
    @AmosKitunka-xx7cs 8 месяцев назад +2

    Safi sana baba najua hisia zimekataa kukaa kimya umeamua kusema kwamba nawengine watoke waseme wasiogope tusiruhusu huyu shetani wanaomtaka aje kwann tunawapenda wazungu ambao hawana adabu na heshima.

  • @lucimwica647
    @lucimwica647 8 месяцев назад +4

    Najivunia kuwa mkristo mkatoliki, kwa sababu nalielewa vizuri na kupata mafundisho sahihi ya kanisa katoliki.

    • @amosraphael810
      @amosraphael810 8 месяцев назад

      Wwe hujaijua kanisa lako vizuli , unayoyaona yote dunia mambo yakishetani anayo kuhusu ni papa

  • @hashimuuhehwa4252
    @hashimuuhehwa4252 8 месяцев назад +8

    Romani wamechemka kwenye ushoga tena kaa owaneni ninyi wenyewe 😂😂😂😂

  • @amosiabdulallh7965
    @amosiabdulallh7965 8 месяцев назад +3

    Hamna ipo ila kwa Kristo katoliki hawana mungu,mungu wao ndo huo shoga

  • @UmmuNuzullah-fv5ue
    @UmmuNuzullah-fv5ue 8 месяцев назад +3

    Kiufupi kubalini mmetumbukizwa kwenye shimo Maana hamtaki kujifunza kuujua Ukweli, amkeni Mungu yupo alieumba ulimwengu wote na hakuzaa wala hakuzaliwa.

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 8 месяцев назад +9

    We Nenda kinyume na wenye dini yao wenye dini yao washaruhusu

    • @lenatusmasolwa5323
      @lenatusmasolwa5323 8 месяцев назад +2

      kaa ukijua kuwa, wengi wa mashoga ni waislam ( majina yao wakikamatwa wengi ni waislam)

    • @ibnhassan9980
      @ibnhassan9980 8 месяцев назад

      Hahahahaha ukafiri bwana????

    • @ibnhassan9980
      @ibnhassan9980 8 месяцев назад

      ​@@lenatusmasolwa5323kwahivyo sisi waislam tunawafungisha ndoa mashoga???

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 8 месяцев назад

      @@lenatusmasolwa5323 Lazima uelewe kuna muislamu na uislamu dini yetu inakataza ushoga dini yenu inakubali ushoga na inaruhusu pia mnywe pombe km isemavyo biblia na ndio maana kanisani mnakunywa pombe

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 8 месяцев назад +1

      @@lenatusmasolwa5323 muislamu yeyote akiwa shoga akiwa mlevi huyo hana tofauti na kafiri

  • @maspro6294
    @maspro6294 8 месяцев назад +4

    Hapo ndio utajua ISLAM NDIO DINI YA HAKI YA MWENYEZIMUNGU DINI ZINGINE NI UPOTOSHAJI

  • @mosesibmshangamshanga7885
    @mosesibmshangamshanga7885 8 месяцев назад +5

    Asante kwa ufafanuzi mzuri

  • @KaristusiMnyagala-ci8kb
    @KaristusiMnyagala-ci8kb 8 месяцев назад +15

    Huyo papa mpuuzi kabisa amekalia kiti cha mkuu wa giza. Kanisa katoliki lile la miaka 20 iliyopita na la sasa ni tofauti

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 8 месяцев назад +3

      Kanisa ni lile lile we sema miaka 20 ilopita media zilikuwa hakuna kama sasa !!

    • @user-rh5yn3bc1o
      @user-rh5yn3bc1o 8 месяцев назад

      Halina utofaut linajigeuzageuza km km shetan.

    • @muhamedkhatib4913
      @muhamedkhatib4913 8 месяцев назад

      Kanisa lote ni Hilo Hilo Hakuna tofauti sawa na company ya Cocacola inabadili bidhaa tu mlianza kuambiwa yesu ni mtoto wa mungu ikaja akawa Mungu kabisa na yote Kwa ajili ya ushabiki wenu na kujipendekeza Kwa wazungu mkakubali sasa imefika muda muoane wanaume Kwa wanaume na wanawake Kwa wanawake daadeki zenu

    • @user-rh5yn3bc1o
      @user-rh5yn3bc1o 8 месяцев назад

      @@muhamedkhatib4913 kwa hiyo ipi ndo nzur

  • @paulheavyrain9584
    @paulheavyrain9584 8 месяцев назад +6

    Papa sio baba mtakatifu ni mtumishi wa shetani

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 8 месяцев назад +1

    Nimekuelewa sana! Tatizo Kanisa Katoliki lina Maadui wengi sasa wamechukua nafasi hii kutaka kuliangusha Kanisa! Haitawezekana abadani!

    • @agnessima5032
      @agnessima5032 8 месяцев назад +1

      Yaani watu wanapotosha sana msimamo na mafundisho sahihi ya kanisa..ukiona hivyo ujue shetani anataka aue kanisa..na ni wazi kanisa katoliki lina misingo imara zaidi kuliko kanisa lolote lile.na lina tunu nyingi sana..

    • @daniellagianna-ll3dc
      @daniellagianna-ll3dc 8 месяцев назад

      😊,Time will tell!Muda ni Mchache na Mambo ni Mengi

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 8 месяцев назад +16

    Dunia hii ina mambo , tuombe sana huko mbeleni Kuna taabu sana.

    • @kwayaviwawaparokiayabashne9281
      @kwayaviwawaparokiayabashne9281 8 месяцев назад

      Mimi nakuomba baba mtoke hadharani na kauli moja kuhusu kauli hiyo ilitolewa na baba mtakatifu kama inaukweli wasitumie kanisa kua imerusu jambo ambalo siolakweli

    • @kwayaviwawaparokiayabashne9281
      @kwayaviwawaparokiayabashne9281 8 месяцев назад

      Mungu wangu ingawa mimi siwezi kujua ila tusamehe sisi wanawako

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 8 месяцев назад +14

    Hayupo Binadamu mwenye sifa ya kupewa utakatifu

    • @martinjohn7854
      @martinjohn7854 8 месяцев назад +2

      Huijui Biblia wewe.

    • @MathiasKunnanga
      @MathiasKunnanga 8 месяцев назад +1

      Soma waraka wa kwanza wa Petro sura ya Kwanza mstari wa16

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 8 месяцев назад

      @@martinjohn7854 ni kweli hakuna mtakatifu duniani

    • @agnessima5032
      @agnessima5032 8 месяцев назад

      ..heri watakatifu walio duniani...

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 8 месяцев назад

      @@agnessima5032 umesoma wapi na kitabu gani cha biblia

  • @user-kx7ob5rx4p
    @user-kx7ob5rx4p 8 месяцев назад +4

    Ukatoliki hamna Mungu Karibuni kwa Kakobe mpate kuijua kweli yote alafu ukatoliki na Uislamu ni kitu kimoja

    • @user-sk1yd4pw1v
      @user-sk1yd4pw1v 8 месяцев назад +2

      Wewe acha upuuzi usizungumzie uisilamu kwenye upuuzi wenu

    • @kasimkassam9565
      @kasimkassam9565 8 месяцев назад

      Uwislam ni ustarabu sio uwo utakatifu wetu

    • @LastdayJesu4153
      @LastdayJesu4153 8 месяцев назад

      😂😂😂😂❤

    • @muhamedkhatib4913
      @muhamedkhatib4913 8 месяцев назад

      Hata mjitoe vp hapa mmenasa ukristo ni ushoga acheni kuuonea uislam umenyooka hauna mpindo nyie wakristo ni mashoga ukawa kakobe cjui katholic cjui SDA ,mkurino ,mara nan nyooote mashoga tena mnatobwa na wapagany wenzenu waliowatia kwenye mtego wa ukristo

  • @mimiinvestments8406
    @mimiinvestments8406 8 месяцев назад +3

    Nashukuru Baba Askofu kwa ufafanuzi wako. Kabla ya hapo niliingiwa na wasi wasi. Wakati huo huo nilijiuliza, kwenye nyumba za Ibada wanaingia walio wema tu au hata wenye dhambi? Nikakumbuka pia kuwa Amri za Mungu ziko 10 (Kumi), je? Wote wanaokuwa kwenye Ibada wanakuwa wametimizi hizo Amri 10 wakati wa kupokea Baraka?
    Nikakumbuka pia wale Viongozi wanaokuwa wameapa kwa kutumia Vitabu vitakatifu, wanatimiza viapo vyao? Je? Wanaotoa na kupokea rushwa, na kudidimiza haki za wanyonge, wakati wa kupokea Baraka wanatoka nje?

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 8 месяцев назад +2

    Kwani Papa hawezi kutumbuliwa

    • @salimfaraj5509
      @salimfaraj5509 8 месяцев назад

      😂😂😂 angekuwa marehem yupo hai angemtumbua

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 8 месяцев назад +8

    Somen Alama na nyakati😢

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 8 месяцев назад +9

    Uspige kona Mzee ukweli umeshasemwa sasa usijifariji Mtafuteni Mola wkweli

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 8 месяцев назад

    Acha kuzunguka zunguka,unajaribu kutetea vitu vichafu kabisa ambavyo Mwenyezi Mungu amevikataza toka mwanzo wa kuumbwa kwa dunia

  • @user-jl6pd1yp1n
    @user-jl6pd1yp1n 8 месяцев назад +6

    Ww pastor pia ni shetani km huyo papa yani baraka kwa mume na mume ww kweli moto unakusubiri

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 8 месяцев назад

      Umemuelewa anachosema? Yy hakubaliani na k8ongozi wake papa.

  • @oswardmsigwa5728
    @oswardmsigwa5728 8 месяцев назад +7

    Huyo ndo babaenu mtakatifu wakatoliki alichaguliwa na mungu

  • @maulidimpili698
    @maulidimpili698 8 месяцев назад +7

    Ndio maana ukisoma Kwenye Quran inasema utawakuta watu wanaingia Kwenye dini ya mwenyez mung makundi kwa makundi na hiyo ndio mwisho wa kiama

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 8 месяцев назад +1

    (Zaburi 1:1)
    Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 8 месяцев назад

    Mkifuata Biblia sawa!
    Ila mkimfuata papa wenu huyo (mnayemwita mtakatifu), atawaingiza kuzimu vizuri sana!

  • @selestinemalole4562
    @selestinemalole4562 8 месяцев назад +2

    Uyo siiiii mtakatifu uyo ni shetani bana

  • @user-sn4iq6cu1f
    @user-sn4iq6cu1f 8 месяцев назад +5

    Kubalini tu kwani huyo s ndo babaenu mtakatifu mbona mnamkana kama mmeweza kumkana baba mtakatifu bsi mnaweza kumkana hata babaenu yesu aloko mbinguni na hamtauona uzima wa milele

  • @YalkinAlkindy-nt2hf
    @YalkinAlkindy-nt2hf 8 месяцев назад +3

    Uislam ndio dini ya haki ,,km hamuamini fanyeni utafiti mtagundua hilo

    • @user-kx7ob5rx4p
      @user-kx7ob5rx4p 8 месяцев назад +1

      We unaumwa washirikina tu

    • @YalkinAlkindy-nt2hf
      @YalkinAlkindy-nt2hf 8 месяцев назад

      @@user-kx7ob5rx4p sasa washirikina na wasenge bora nani

    • @jamaldeenmakenga
      @jamaldeenmakenga 8 месяцев назад

      @@user-kx7ob5rx4pnakushahuri usiwe mbishi bila proof reference, jielimishe,
      Anza kwa kujua maana ya maneno unayo yasikia kila siku kwa waislamu
      Utagundua uislamu ni dini ya haki
      Mfano neno ‘Allahu akbar’ maana yake Mungu ni mkubwa.
      Jua Maana ya maneno yaliyopo kwenye adhana utaona ni maneno mazuri ya kumtukuza Mungu

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 8 месяцев назад

      Haki ipi?

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 8 месяцев назад +1

    upo sahihi ruaichi mungu anakutumia kwa ushujaa huo wakukana baraka za jinsia moja

  • @ImanSaid-ox3po
    @ImanSaid-ox3po 8 месяцев назад +1

    Nilikuwa najiuliza kwanini mapadri hawaoi na masista hawaolewi "LEO ndo nimegundua kumbe watu wanageuzana nyuma wao kwa wao na kusagana mwanzo mwisho....!!
    "

    • @audifansisafari5587
      @audifansisafari5587 8 месяцев назад

      Kwa sababu mdomo Mali yako utaongea unavyotaka,ila wapo waliozaliwa Wana Mdomo kama wewe Leo hawapo duniani na siku ya mwisho utatoa ushahidi wa maneno yako

    • @ImanSaid-ox3po
      @ImanSaid-ox3po 8 месяцев назад

      @@audifansisafari5587 Papa kashasema mliwe {○} Wake zenu hawana kazi tena {ukilijua hilo kuwa ni jambo baya utalazimika kuingia ktk uislamu Dini iliyo takasika {Dini pekee iliyo haramisha vitendo vya Qaumu lutwi}

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 8 месяцев назад +1

    Kwanini asife huyo Papa Francis toka lini Wakatoliki wakafanya kitu cha kuoana jinsia moja afe tu haraka sanaaaa analidhalilisha ksnisa Katoliki

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 8 месяцев назад

    Kwa kupitia kinywa cha papa. Ni mungu yupo kazini. Maana Mungu mwenyewe alisema watakao fany as kinyume na mapenzi yake atageuza vinywa vya wakuu kusema mambo yaliyokosa hekima.

  • @mbjunior166
    @mbjunior166 8 месяцев назад +5

    Mzee anababaisha hajui hata aseme nini huu ni msiba mzito! Fuateni dini ya haki achaneni na hzo ajenda za ibilisi! Dini ni uislam tu!

  • @charlesmpunga1161
    @charlesmpunga1161 8 месяцев назад +1

    Baba Askofu tunakuheshimu.huwezi kuomba baraka ya tendo ovu.Uhasherati wizi ufiraji .Kazi ya ukuhani ni kulaani kukemea maovu.na si vinginevyo

  • @ShekiyaoHussein-ki4ty
    @ShekiyaoHussein-ki4ty 8 месяцев назад +1

    Mkiambiwa ukristo sio dini mnakataa huwezi ukamwita Mtakatifu

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 8 месяцев назад

    Dont complicate the
    Subject....hakuna
    Baraka ya ndoa ya
    Jinsia moja
    Pope alitoa hii taarifa
    Miezi chache nyuma.
    Utabariki mtu moja???
    Inabarikiwa Mume na Mke kwa pamoja siyo
    Akija mtu moja.
    Poleni sana....

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 8 месяцев назад

    Mie sio mkatoliki kabisa. Tumehama.
    Papa amekosea sana.
    Hivi kweli waje mashoga ofisi ya kiongozi wa dini wakuombe baraka alafu uwabariki.
    Nyie mnachanganya watu acheni ujinga
    Papa amekosea sana

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 3 месяца назад

    Mtu Kuomba Baraka Ni Tofauti na Mtu Kutaka Abarikiwe Tendo Lake au Kitu Chake, eg Mtu anaweza Akaleta Gari amenunua Kuomba baraka, Na Je Kama Ameua na Kulipora Utalibariki? Akija Mtu na Mke wake Akaoba Ubariki Ndoa yao Utambariki, Wakija Washoga Wawili Wakakuambia Muungano wao Ubarikiwe Utaubariki... I N SHOT HUYU POPE ANA SHIIIDA!

  • @muridundhikri
    @muridundhikri 8 месяцев назад +1

    Hapo ndio mnapata somo kua ukiristo ni dini inayoendesha matakwa ya wazungu. Mkitaka dini sahihi itakayokuepusheni na moto njoni kwenye uislamu

    • @user-kx7ob5rx4p
      @user-kx7ob5rx4p 8 месяцев назад

      Uislamu inaendeshwa Kwa matakwa ya waarabu

  • @bukurugibson-zi5br
    @bukurugibson-zi5br 8 месяцев назад +3

    Huo ndio upagani uliovikwa joho la kidini

  • @maulidimpili698
    @maulidimpili698 8 месяцев назад +1

    Mbona papa Francis ameongea waz waz kuhus ushoga kule marekani kuna mchungaji alipinga papa Francis akamtengua alaf huyo mchungaji anatetea ujinga

  • @MosesJoseph-tp3dr
    @MosesJoseph-tp3dr 8 месяцев назад +3

    BABA TUNATAKA KUFA HATUWEZI KUBARIKI WATU WANAO FANYA KINYUME NA MAAGIZO YA MUNGU HATUITAJI KUBARIKI

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 8 месяцев назад +1

    Huna option ndugu R.C ni dhehebu la Wazungu na ndio hadi wameandaa Biblia Yao, Sasa Papa akubali wewe Ukatae??? Karb na Mwisho wa Dunia karb wote tutakuwa Dini ya haki, sio muda mrefu , na zile zilizoundwa na wanadam zitajichuja zenyewe

  • @shabanponera2895
    @shabanponera2895 8 месяцев назад +2

    Nilivyomuelewa ni kwamba anapingana na kauli ya papa, papa kasema wabariki mashoga yeye kasema hata bariki mashoga kwenye ushoga wao bali atawabariki kwenye ishu nyingine

  • @ambakisyejohn6710
    @ambakisyejohn6710 8 месяцев назад

    Hii huwezi kunishawishi,kama vile Askofu unataka kupindisha kauli ya papa,jambo la kujiuliza unatambua wazi huyu ni muasi wa Mungu halafu unambariki badala ya kumuongoza Sala ya Toba,hii haiko sawa kabisa

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 8 месяцев назад

    Waraka umeashatolewa
    Bariki mashoga 😊 baba

  • @user-hv7pw6ih5v
    @user-hv7pw6ih5v 8 месяцев назад +1

    Baba Askofu Ruwaichi toa ukweli acha kupinda pinda neno la Mungu halipindishwi tunaomba usimtetee Papa hilo swala amelitamka na kama kweli atalipitisha kubariki jinsia moja basi Papa tutamuhesabu kama ni mfuasi wa shetani sasa tutasemaje ?? ila ni kweli yale maandiko yaliko Ufunuo wa Yohana yameanza kutimilika MUNGU TUSAIDIE

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 8 месяцев назад +1

    mulivamia imani ya watu bila maarifa,tunapowauliza maandiko nankuwalingania mnatuona tunasiasa na kuwapinga,sasa mtulie kama mlivyokua mwanzo,tulieni ivo ivo muache malalakiko mitandaoni,muvumilie

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 8 месяцев назад +5

    Sasa ukishaona kiongozi mkuu wa dini anabariki ndoa ya jinsia moja bado unasubiri nini kujua haki iko wapi?

  • @samuelkahuro7758
    @samuelkahuro7758 8 месяцев назад +8

    Even this Bishop should repent for trying to defend the pope who is in Apostasy, his statement is HELLISH PERIOD.

  • @mojaone5980
    @mojaone5980 8 месяцев назад +1

    ده
    ٰ

  • @cosmasshauri9002
    @cosmasshauri9002 8 месяцев назад

    Mmm kazi ipo

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 8 месяцев назад +4

    Huwezi kueleweka kama kuna machafuko kama hayo halafu ukayakataa huku ukiishi humo humo! Kusiwe na kisingizio chochote bali ni kuondoka tu.

  • @noelmsanjila7684
    @noelmsanjila7684 8 месяцев назад +5

    Upuuzi mtupu,jamaa anajaribu kutetea lkn uovu ni ngumu kuutetea.

    • @bbs10072002
      @bbs10072002 8 месяцев назад

      Shida sio yeye. Ni wewe na uelewa wako. Uwezo wake wa akili na wako ni bahari na kidimbwi. Jaribuni kuwa mnasikiliza na kusoma mambo mwanzo mpaka mwisho.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 8 месяцев назад

      Hahaha,,,, umeonaeeee, Yani ana pata tabu kutetea

  • @mrok284
    @mrok284 8 месяцев назад +2

    Welcome in Islam.

    • @user-kx7ob5rx4p
      @user-kx7ob5rx4p 8 месяцев назад

      Islam witchcraft

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 8 месяцев назад

      Islam with a prophet who slept with a 9yrs old girl (Aisha).. no thank you

    • @mrok284
      @mrok284 8 месяцев назад

      @@user-kx7ob5rx4p you are Witcher

  • @samuelkahuro7758
    @samuelkahuro7758 8 месяцев назад +1

    Ati Baba mtakatifu au Baba Mtaka Uchafu.

  • @joysekiza3944
    @joysekiza3944 8 месяцев назад +1

    Chamsingi ni kumuomba mugu to tusihukumu siamini nasubilia iyo ndoa ya jinsia moja ifungwe kanisani papa ajiuzuru

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 8 месяцев назад

    Tafadhalini Maaskofu, Pope Fransis Amewehuka, Sio Mara ya Kwanza Kwa Historia ya Mapapa Kutoa Maamuzi au Kufanya Vitendo Vya Kishetani. Sasa Najua Ni Kwanini Pope Benedict Alijiuzulu. YAANI BISHOP RWAICHI WAJE MASHOGA WAMEUNGANA WAJE KUTAKA BARAKA IWE NA MAANA TAKATIFU??? Acheni Kumtetea Huyu Pope, Amechanganyikiwa!

  • @vascomwalongo451
    @vascomwalongo451 8 месяцев назад +15

    I Feel Very Sorry For the Followers of this Roman Catholic chachi.

    • @gallusmbaga5522
      @gallusmbaga5522 8 месяцев назад +2

      By the way the pope did not talk about lovers but he said of people who practice homosexual. this does not mean blessing the union. People should follow what they believe and not consentrate on things which are unnecessary.

    • @admiraseverin9556
      @admiraseverin9556 8 месяцев назад +1

      Wanaomwitaji Dactari niwale walio wagonjwa

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 8 месяцев назад

      ​@@gallusmbaga5522Are you against the pope?

  • @mkurdimnubi-oo8es
    @mkurdimnubi-oo8es 8 месяцев назад +5

    Hapo ndio din ya kweli utajurikana bado kidogo tu

    • @edwardkahembetz
      @edwardkahembetz 8 месяцев назад +2

      Mtaangaika sana
      Ukristo ndio dini ya kweli

    • @j4ally534
      @j4ally534 8 месяцев назад +2

      Sasa ukwel wenyewe kuoana watu wa jinsia moja?

    • @amosiabdulallh7965
      @amosiabdulallh7965 8 месяцев назад +2

      Mm sipo humo kundi lamashoga hamna Dini hapo mnachelewa Sana huko

    • @mbjunior166
      @mbjunior166 8 месяцев назад +1

      @@edwardkahembetz Haya tafuta mume uolewe sasa si hiyo dini yako ya kweli imesharuhusu!

    • @SADICKITHOMAS
      @SADICKITHOMAS 8 месяцев назад

      Soon wataelewa kama wapo mtumbwi wa devil

  • @thefinalstand2022
    @thefinalstand2022 8 месяцев назад +5

    "FUNDISHO LILILOTELEWA KWA SEHEMU KUBWA HALINA TATIZO!" Ok, nataka mbaraka wa KIKATOLIKI kuruka na UNGO! Acheni janja-janja..NENO LA MUNGU HALINA MAUJANJA...TEGEMEENI HUKUMU TU!

  • @user-ff1gh8wn1x
    @user-ff1gh8wn1x 8 месяцев назад

    Fuatilieni chambuzi zangu kwa huyo Cardinali muarjentina kabla hajawa papa.

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 8 месяцев назад +1

    Mm ni mkatoriki lakn hapa rasmi mm hapa Sina dini larud kule Kwa mungu ni sapanga sio uyo mungu wenu et God uyu ni wakenu

    • @mangulimanguli3974
      @mangulimanguli3974 8 месяцев назад

      Njoo kwenye dini ya haki apo dini akuna ilo kanisa limejaa ushetani

    • @ivonaevarista4654
      @ivonaevarista4654 8 месяцев назад

      ​@@mangulimanguli3974dini ya haki ipi? Wakati at waislam mshauzwa inataka kuwa dini moja,chrislam

  • @wachujahabari3022
    @wachujahabari3022 8 месяцев назад

    Wakristo ata mpige kelele sheria ya papa ishasainiwa iyo awa maaskofu wenu wanaopinga kwasab baada ya mdA watsataafu watakuja wapya watakao tekeleza sheria ya papawao kwaiyo mjiandae tu wakristo ilo lishapita 😁😁cha kuwa shauri tu amieni kwenye uislamu ili msiwe na dhiki na amshaka yamoyo kwenye uislamu

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 8 месяцев назад

    Saaafii

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 8 месяцев назад +2

    Hapo bado cjakuelewa kwa kweli

    • @thefinalstand2022
      @thefinalstand2022 8 месяцев назад

      Hujaelewa nini, Msikilize Papa Mwenyewe alichokisema..ktk kanisa katoliki, Mume kuoa mume Halali na padri afungishe ndoa hiyo ila si hadharani..

    • @jamaldeenmakenga
      @jamaldeenmakenga 8 месяцев назад

      Utaelewa tu unahitaji muda 😂😂😂😂😂

  • @user-zs7nf7ph5n
    @user-zs7nf7ph5n 8 месяцев назад +6

    Ndoa ni baina ya mke na mme,Hiyo ni baraka. Basi hamna baraka nyingine.

  • @user-mg4uf5vm5i
    @user-mg4uf5vm5i 8 месяцев назад +1

    Dunia iko mwisho tutaerewa tu🪱🧑‍🎓🧑‍🎓🧑‍🎓

  • @user-qk4lx4hg7g
    @user-qk4lx4hg7g 8 месяцев назад

    Ila hapo papa franciss kafika mbali kiongozi mkubwa sana huyo ktk dini katoliki hapaswi kuongelea hayo mambo kbs

  • @EliaHiluka-ep3tp
    @EliaHiluka-ep3tp 8 месяцев назад

    Huyo sio baba mtakatifu

  • @user-un1wh9ms1q
    @user-un1wh9ms1q 8 месяцев назад

    Wewe,askofu. Baraja ni kibali,poneza,zazawadi,kukubaliwa,kuruhusiwa.kibali cha Mungu. Sasa kwa tafriri hiyo,padri au mchungaji anabariki nini? Mwenye masikio amesikia,ni lazima wajatoliki mjitambue.

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 8 месяцев назад

    Ubalikiwe sana askof sasa wokovu unaingia katoliki Mungu ameruhusu papa akosee ili macho yafunguke watu waone heeee tupo wapi kwenye dini gani Yesu yupo kazini kimbieni kimbieni kimbieni huko sio sarama wenzenu tulikuaga huko tuliwakuta wazazi wapo huko tulipoona uzaifu tulikimbia kwa miguu miwili njooni huku
    Huyo papa sio sarama

  • @ModestaMassawe-br1bw
    @ModestaMassawe-br1bw 8 месяцев назад +4

    Sasa!!! du! Watu ni mashoga ni baraka gani ina kibali kwao mbele za Mungu?wamejilaani wenyewe iwe toba sio baraka

    • @agnessima5032
      @agnessima5032 8 месяцев назад +2

      Kwani shoga hastahili baraka yoyote toka kwa Mungu?? Lah hasha! Kwa mambo yete yaliyo haki anapaswa kubarikiwa ila katika dhambi zake hapaswi kubarikiwa ili atumikie zaidi dhambi. Hivi shoga akiomba baraka ktk afya je asibarikiwe kwa kuwa yeye ni shoga? Kila mtu anastahili baraka bila kujali dhambi alizonazo..ingekuwa tunabarikiwa kwa kutokuwa na dhambi basi dunia yote ingekywa tupu tena yenye ukiwa tangu enzi za Adam na Eva!!

  • @novatv5575
    @novatv5575 8 месяцев назад

    Bandu bandu umaliza Gogo.

  • @rashidiiddi2433
    @rashidiiddi2433 8 месяцев назад

    Ubaliki wewe ni mungu

  • @user-bm5ov6kx3c
    @user-bm5ov6kx3c 8 месяцев назад

    Mm nitajiunga na uisilamu kama hali ndio hii

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 8 месяцев назад

    Kwangu uki niambia mungu nitasema mungu gan wa kikatoriki au kiislam au wa kisamato uyo mm Nita sema no mungu yoyote wa kigeni nitasema no nitasema mungu wangu mwenye nguvu anayenisaidia Kila wakat dhini ya dhambi na uhovu uyu kwangu ni sapanga ushoga kwetu ni dhambi

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 8 месяцев назад +1

    Huyo papa kajuwa kuiharibu Christmas yani mapadri watakuqa na muta mwingi wa kuijadidi na kutafuta namna ya kuifunika funika wakiwamadhabauni siku ya ibada, as if watu hatukumuelewa alichoomaanisha vile..

  • @nsusabudda2951
    @nsusabudda2951 8 месяцев назад +2

    Mzee tafadhari usipindishe maneno..papa kasema mbariki ndoa za jinsia moja... sasa wewe unataka kupindisha maneno ..sisi sio mazuzu..

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 8 месяцев назад

    Mimi sizani main issue ni kubariki au kutobariki ndoa za jinsia moja. Mimi nadhani tatizo ni kuwa chini ya kiongozi anaye elekeza watumishi walio chini yake kubariki ndoa za jinsia moja.

  • @saidbakar7137
    @saidbakar7137 8 месяцев назад +1

    Uwache upwage

  • @masetomaswali1563
    @masetomaswali1563 8 месяцев назад

    Ukristu matatizoni maana sio Roman Cathoric tu Mbona muda sasa Methodist church mpaka bendera za ushoga wanapeperusha makanisani, mashoga wanafungishwa ndoa na kubarikiwa.

  • @user-uo1qf1ox7s
    @user-uo1qf1ox7s 8 месяцев назад

    Mm Bora nisiwe mkristo tu kwa hali hiii

  • @joycefrances4516
    @joycefrances4516 8 месяцев назад +2

    Huyu papa Hana akili kabisaaa,aiseee aolewe yeye,anaaibisha kabisa duniani,

  • @peterkanja4765
    @peterkanja4765 8 месяцев назад

    iwapo baba mtakatifu anatoa mafundisho tata yanayohitaji makasisi wake kuulizwa maswali tata basi na yeyeastasishwe ajiudhuru apumzishwe atawezaje kutoa mafundisho kinyume na imani katoliki awekwe benchi.

  • @thomsanga7956
    @thomsanga7956 8 месяцев назад

    Huyu hujamuelewa pope aisee

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 8 месяцев назад

    Poleni jamani hivi bado wakatoliki mnamuita Baba Mtakatifu? Kweli? Inasikitisha.

  • @hassannachia3946
    @hassannachia3946 8 месяцев назад

    Mlikuua mnasema sana wakristu waislamu mashoga sasa kibao

  • @user-ff1gh8wn1x
    @user-ff1gh8wn1x 8 месяцев назад

    Kwa habari ya askofu mkuu Ruwai-Ichi na askofu Msimbe, kumtetea Papa. Maelezo yenu hayana mshiko kabisa. Anzeni na tofauti kati ya maneno "kuombea" na "kubariki" kwa Kiswahili, kama Kiswahili kina utata twende kwenye lugha ya Kiingereza ambayo imejitosheleza haina shida kwenye sarufi yake, difference between, "praying for" and "bless" Swala la papa akizungumza kwa kauli yake mkiwa ana kwa ana au kumsikia halikuondolei uwezo wako mdogo kumuelewa alichomaanisha labda uwe umeamua kumtetea tu, huyu bosi wako.
    Pale Vatican waliomuelewa alichokiongea wanatahayari jinsi kanisa linavyoweza kubomoka bado ninyi tu kujua! Ninyi huku mnajua kuliko wao?

  • @FRANKDONALDSENGOSENGO
    @FRANKDONALDSENGOSENGO 8 месяцев назад

    simamieni imani yenu kwa maana itwafikisha mbinguni

  • @ImanSaid-ox3po
    @ImanSaid-ox3po 8 месяцев назад

    Anajaribu kuvuka kiunzi cha bwana wake, {aliye mpa maagizo : Mapadri wote waliwe nyuma ili wawe mfano kwa waumini wao na wambaliki kila aliye chagua wakumla "HAHAHAHA WAKRISTO KAZI MNAYO {Mtakuja kutafuta uislamu mkiwa tayar mmesha liwa} jisalimisheni kwa Allah kabla hamjakubwa na hiyo fitna

  • @williammaxmillian5738
    @williammaxmillian5738 8 месяцев назад

    Huyu mnamwelewa kwel maan mm simwelew toka lini mwanaume na mwanaume mzenzie wakaenda kuomba baraka si ushoga au mm ndo sielew

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 8 месяцев назад

    Safi Sanaaaaaa

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 8 месяцев назад

    Wachungaji hapo msiogope ukiwashauri jaribu kuwaambia.ubaya.wa.dhambi.hiyo.ushoga.ni zaidi ya dhambi.ni.kufuru.hiyo dhambi.kuitubia.ni.ngumu.sana

  • @user-fj1kz8pl5k
    @user-fj1kz8pl5k 8 месяцев назад

    Baba muchafu