SOLOMON MUKUBWA AFICHUA SIRI YA KUKATWA MKONO WAKE KIMAZINGARA - "NILITAMANI KUJINYONGA" |HARD TALK
HTML-код
- Опубликовано: 25 ноя 2023
- SOLOMON MUKUBWA AFICHUA SIRI YA KUKATWA MKONO WAKE KIMAZINGARA - "NILITAMANI KUJINYONGA" |HARD TALK
KWENYE Hard Talk ya Mtumishi wa Mungu na Mwandishi wa vitabu nchini, Lilian Mwasha amezungumza na Mwimbaji wa gospel Solomon Mukubwa ambaye ameeleza mengi mazito ikiwemo siri iliyopo nyuma hadi akakatwa mkono....
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Ukisikia Mungu anao watu, na anawajua walio wake, Solomon Mkubwa ni miongoni🥰💪ninampenda sana tangu nilianza kusikia nyimbo zake miaka ya 2008! Wimbo "Mfalme wa Amani" Mungu akuweke sana Solomon, shetani aliaibishwa na kubatilishwa na KAZI zake zote, endelea kumtumikia Mungu ALIYE HAI, history Yako ya utotoni imenitoa machozi lkn nimemuona Mungu dhahiri kupitia wewe. Barikiwa sana unapoendelea kumtumikia MUNGU, BABA yetu💪💪💪
Nampenda Mungu Asante yesu nakupenda Solomon sio mkubwa ni mnene ktk kristo,amen
Tulikumiss mtumishi wa MUNGU Lilian karibusana
Grande musica de louvor, seja louvado seja o senhor
touching voice in my heart
Bro Solomon nampenda na kumheshim ubarikiwe sana
Amen 🙏 🙏 🙏
Lilian hivi unajua unakipaji cha kuimba alafu vocal kama yote 🎉🎉🎉🎉
loaded sana weeeh
Ameen
❤❤❤❤
🙏🙏🙏🙏
Lilian dada yangu uko vizur kiutangazaji ila punguza maneno mengi mpe nafasi uliye mualika
Ni story nzuri sana, ila Mtangazaji punguza uchangamfu na maneno mengi, uwe na KIASI, nataka kumsilikiza Solomon kwa utulivu.
😄😄😄😄😄🙌
Baby ntakuita one day unisaidie kuukiza maswali..Sio rahisi sana kukaa kwenye hicho kiti na ni rahisi kumkosoa MTU pale ambapo si wewe umefanya.
Anza show yako uhoji watu kwa utulivu
Dada anajiziba uso masaa yote mkono uko usoni nywele usoni sas kwa nini jikubali dada mbon wew nzuri tu 🤣