SOLOMON MUKUBWA AFICHUA SIRI YA KUKATWA MKONO WAKE KIMAZINGARA - "NILITAMANI KUJINYONGA" |HARD TALK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 ноя 2023
  • SOLOMON MUKUBWA AFICHUA SIRI YA KUKATWA MKONO WAKE KIMAZINGARA - "NILITAMANI KUJINYONGA" |HARD TALK
    KWENYE Hard Talk ya Mtumishi wa Mungu na Mwandishi wa vitabu nchini, Lilian Mwasha amezungumza na Mwimbaji wa gospel Solomon Mukubwa ambaye ameeleza mengi mazito ikiwemo siri iliyopo nyuma hadi akakatwa mkono....
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 18

  • @deboramuhoja1777
    @deboramuhoja1777 4 месяца назад +2

    Ukisikia Mungu anao watu, na anawajua walio wake, Solomon Mkubwa ni miongoni🥰💪ninampenda sana tangu nilianza kusikia nyimbo zake miaka ya 2008! Wimbo "Mfalme wa Amani" Mungu akuweke sana Solomon, shetani aliaibishwa na kubatilishwa na KAZI zake zote, endelea kumtumikia Mungu ALIYE HAI, history Yako ya utotoni imenitoa machozi lkn nimemuona Mungu dhahiri kupitia wewe. Barikiwa sana unapoendelea kumtumikia MUNGU, BABA yetu💪💪💪

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 7 месяцев назад +3

    Nampenda Mungu Asante yesu nakupenda Solomon sio mkubwa ni mnene ktk kristo,amen

  • @musokedios8162
    @musokedios8162 7 месяцев назад +1

    Tulikumiss mtumishi wa MUNGU Lilian karibusana

  • @AlySaranque
    @AlySaranque Месяц назад

    Grande musica de louvor, seja louvado seja o senhor

  • @ignaschengula2569
    @ignaschengula2569 Месяц назад

    touching voice in my heart

  • @WiselightOfficial
    @WiselightOfficial 7 месяцев назад

    Bro Solomon nampenda na kumheshim ubarikiwe sana

  • @brigitmusyoka3968
    @brigitmusyoka3968 Месяц назад

    Amen 🙏 🙏 🙏

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 7 месяцев назад

    Lilian hivi unajua unakipaji cha kuimba alafu vocal kama yote 🎉🎉🎉🎉

  • @zephaniadeus
    @zephaniadeus 4 месяца назад

    loaded sana weeeh

  • @CatherineMvanga-oz8bd
    @CatherineMvanga-oz8bd 6 месяцев назад

    Ameen

  • @user-ye2lp4rq5c
    @user-ye2lp4rq5c 7 месяцев назад

    ❤❤❤❤

  • @veronicakagine6984
    @veronicakagine6984 7 месяцев назад

    🙏🙏🙏🙏

  • @user-vc8bm7zb6o
    @user-vc8bm7zb6o 7 месяцев назад

    Lilian dada yangu uko vizur kiutangazaji ila punguza maneno mengi mpe nafasi uliye mualika

  • @jacobletema3681
    @jacobletema3681 7 месяцев назад +2

    Ni story nzuri sana, ila Mtangazaji punguza uchangamfu na maneno mengi, uwe na KIASI, nataka kumsilikiza Solomon kwa utulivu.

    • @elizabethdamas-zp9xl
      @elizabethdamas-zp9xl 7 месяцев назад

      😄😄😄😄😄🙌

    • @lillianmwashatv
      @lillianmwashatv 7 месяцев назад +1

      Baby ntakuita one day unisaidie kuukiza maswali..Sio rahisi sana kukaa kwenye hicho kiti na ni rahisi kumkosoa MTU pale ambapo si wewe umefanya.

    • @elizabethwanjiku7831
      @elizabethwanjiku7831 7 месяцев назад +1

      Anza show yako uhoji watu kwa utulivu

  • @JulianaMushi-nq3kc
    @JulianaMushi-nq3kc 7 месяцев назад

    Dada anajiziba uso masaa yote mkono uko usoni nywele usoni sas kwa nini jikubali dada mbon wew nzuri tu 🤣