Mie ni ccm damu lakini naipenda zanzibar yangu ikibidi siku moja tutowe ishara maalumu ndani ya nchi na ndani ya uingereza kuitaka iwajibike na vibaraka wake alowapa nchi yetu
The way forward kama muhali kuomba radhi natoa Rai waliofanya mapinduzi hawapo Tena wanaogopa kuwajibishwa utawala uliopo ni urithi basi wajiuzulu tufunge chapter ya mapinduzi
Acheni uongo, kwani nchi za Jodan, Iraq , Sudan, Libya, Yemen, Lebanon etc si nchi za Kiislam au kwani walivamiwa na Watanganyika ? Mbn nao masikini na nchi zao hazikaliki, pamja na kuwa Waislam, acheni uongo, Mapinduzi ni halali na Uhuru wa Zanzibar ulipewa wageni Warabu wa Oman, ni Uhuru wa bandia
@@2002-h6c kwanza wewe ndo muongo hizo nchi za kiarabu ulizoziseme wewe kiuchumi wapo juu sanaa kimaendeleo wapo juu sanaa huwezi hata kufananisha na nchi za Afrika mashariki,halafu hao unaowaona wanazamia ni kutoka Syria na kwasababu kulikuwa na vita kubwa sanaa hapo Syria lakini kaangalie maisha yao na vita vita yao huko lebanon, libya Iraqi maisha yao kiuchumi yapo vizuri huwezi kufanabisha na nchi kama za Afrika mashariki acha uongo.
@@2002-h6c ndugu yangu nimeziona comment zako nyingi sanaa ukionesha chuki zidi ya waarabu,Mimi ushauri wangu achana na dini iliyoshushiwa uarabuni ambaye mtume wake mwarabu makhalifa wake wote waarabu kitabu alichoshushiwa na ALLAH ni cha lugha ya kiarabu Mimi nakushauri achana na hiyo dini utakuwa umeitendea hati chuki yako tafuta dini nyingine.
Mussa Nasor ndugu yangu comment zako nyingi sanaa nimeziona za chuki ya wazi wazi zidi ya waarabu,Mimi ushauribwangu achana kuifuata dini iliyoshushiwa uarabuni ambaye mtume wake mwarabu,makhalifa wake wote waarabu na kitabu alichoshushiwa mtume wake kutoka kwa mwenyeeezi mungu ni lugha ya kiarabu,sasa Mimi ushauri wangu achana na hiyo dini utakuwa umeitendea haki chuki yako.tafuta dini nyingine uifuate ambayo haijafungamana na uarabu.
Very true...
Mie ni ccm damu lakini naipenda zanzibar yangu ikibidi siku moja tutowe ishara maalumu ndani ya nchi na ndani ya uingereza kuitaka iwajibike na vibaraka wake alowapa nchi yetu
Nauliza nchi gari iliohuru duniani inamamlaka ya mapato ya nchi 2 kama kwamfano TRA na ZRB Uchumi wa Bluu
Allah ndio haki kila mtu atahukumiwa alichokichuma insha Allah
The way forward kama muhali kuomba radhi natoa Rai waliofanya mapinduzi hawapo Tena wanaogopa kuwajibishwa utawala uliopo ni urithi basi wajiuzulu tufunge chapter ya mapinduzi
Cha ajabu wanasherekea mapinduzi lakini bamwiny na genge lake wapo uko uko uarabun kuomba misaada
Acheni uongo, kwani nchi za Jodan, Iraq , Sudan, Libya, Yemen, Lebanon etc si nchi za Kiislam au kwani walivamiwa na Watanganyika ? Mbn nao masikini na nchi zao hazikaliki, pamja na kuwa Waislam, acheni uongo, Mapinduzi ni halali na Uhuru wa Zanzibar ulipewa wageni Warabu wa Oman, ni Uhuru wa bandia
Uongo , nani aombe msaada kwa Waarabu, Waarabu wenyewe wamechoka, kila siku wanazama baharini wakijaribu kwenda ulaya kutafuta maisha, dhoofu lihal
@@2002-h6c Hivi yote haya yanayoelezwa bado huyafahamu, bora elekea maskani
@@2002-h6c kwanza wewe ndo muongo hizo nchi za kiarabu ulizoziseme wewe kiuchumi wapo juu sanaa kimaendeleo wapo juu sanaa huwezi hata kufananisha na nchi za Afrika mashariki,halafu hao unaowaona wanazamia ni kutoka Syria na kwasababu kulikuwa na vita kubwa sanaa hapo Syria lakini kaangalie maisha yao na vita vita yao huko lebanon, libya Iraqi maisha yao kiuchumi yapo vizuri huwezi kufanabisha na nchi kama za Afrika mashariki acha uongo.
@@2002-h6c ndugu yangu nimeziona comment zako nyingi sanaa ukionesha chuki zidi ya waarabu,Mimi ushauri wangu achana na dini iliyoshushiwa uarabuni ambaye mtume wake mwarabu makhalifa wake wote waarabu kitabu alichoshushiwa na ALLAH ni cha lugha ya kiarabu Mimi nakushauri achana na hiyo dini utakuwa umeitendea hati chuki yako tafuta dini nyingine.
Ni hatar
Kilaikifika kipindi chauchaguzi mauwaji mauwaji wapemba wauliwa kama kuku Kisha watawala wanakaa kimyaa lkn ipo siku
Wanaouliwa ni wapemba tu!?
Mapinduzi 1964 waliuliwa Wapemba tu!?
@@abubakarmuhammadsaid3244 Bambi waliuliwa Waislam ndani ya Tanuri la Mbata. Na Serikali inasherehekea kila mwaka.
Profesa yote h
Profesa upo sawa
Mbona wanaopinga Mapinduzi ni sura zile zile tu, sura za Kisultan, wako wapi Waafrika wenye asili yao ?
Acha upuuzi wewe hujui kitu
Wote ni Watanzania wana
wanaopinga dhulma na mauwaji ya Waislam kwa jina la Mapinduzi
Kamawewe Mtanganyika kichogo Unavyo yakubali Mapinduzi kwakua Zanzibar sio kwenu
Mussa Nasor ndugu yangu comment zako nyingi sanaa nimeziona za chuki ya wazi wazi zidi ya waarabu,Mimi ushauribwangu achana kuifuata dini iliyoshushiwa uarabuni ambaye mtume wake mwarabu,makhalifa wake wote waarabu na kitabu alichoshushiwa mtume wake kutoka kwa mwenyeeezi mungu ni lugha ya kiarabu,sasa Mimi ushauri wangu achana na hiyo dini utakuwa umeitendea haki chuki yako.tafuta dini nyingine uifuate ambayo haijafungamana na uarabu.