Комментарии •

  • @nak3477
    @nak3477 2 года назад

    Very true...

  • @abdulhakimjuma9112
    @abdulhakimjuma9112 2 года назад +1

    Mie ni ccm damu lakini naipenda zanzibar yangu ikibidi siku moja tutowe ishara maalumu ndani ya nchi na ndani ya uingereza kuitaka iwajibike na vibaraka wake alowapa nchi yetu

  • @rashidmohamed1903
    @rashidmohamed1903 2 года назад +1

    Nauliza nchi gari iliohuru duniani inamamlaka ya mapato ya nchi 2 kama kwamfano TRA na ZRB Uchumi wa Bluu

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 2 года назад

    Allah ndio haki kila mtu atahukumiwa alichokichuma insha Allah

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 2 года назад

    The way forward kama muhali kuomba radhi natoa Rai waliofanya mapinduzi hawapo Tena wanaogopa kuwajibishwa utawala uliopo ni urithi basi wajiuzulu tufunge chapter ya mapinduzi

  • @nak3477
    @nak3477 2 года назад +3

    Cha ajabu wanasherekea mapinduzi lakini bamwiny na genge lake wapo uko uko uarabun kuomba misaada

    • @2002-h6c
      @2002-h6c 2 года назад

      Acheni uongo, kwani nchi za Jodan, Iraq , Sudan, Libya, Yemen, Lebanon etc si nchi za Kiislam au kwani walivamiwa na Watanganyika ? Mbn nao masikini na nchi zao hazikaliki, pamja na kuwa Waislam, acheni uongo, Mapinduzi ni halali na Uhuru wa Zanzibar ulipewa wageni Warabu wa Oman, ni Uhuru wa bandia

    • @2002-h6c
      @2002-h6c 2 года назад

      Uongo , nani aombe msaada kwa Waarabu, Waarabu wenyewe wamechoka, kila siku wanazama baharini wakijaribu kwenda ulaya kutafuta maisha, dhoofu lihal

    • @nassormohammed9742
      @nassormohammed9742 2 года назад +2

      @@2002-h6c Hivi yote haya yanayoelezwa bado huyafahamu, bora elekea maskani

    • @mkude
      @mkude 2 года назад +2

      @@2002-h6c kwanza wewe ndo muongo hizo nchi za kiarabu ulizoziseme wewe kiuchumi wapo juu sanaa kimaendeleo wapo juu sanaa huwezi hata kufananisha na nchi za Afrika mashariki,halafu hao unaowaona wanazamia ni kutoka Syria na kwasababu kulikuwa na vita kubwa sanaa hapo Syria lakini kaangalie maisha yao na vita vita yao huko lebanon, libya Iraqi maisha yao kiuchumi yapo vizuri huwezi kufanabisha na nchi kama za Afrika mashariki acha uongo.

    • @mkude
      @mkude 2 года назад +1

      @@2002-h6c ndugu yangu nimeziona comment zako nyingi sanaa ukionesha chuki zidi ya waarabu,Mimi ushauri wangu achana na dini iliyoshushiwa uarabuni ambaye mtume wake mwarabu makhalifa wake wote waarabu kitabu alichoshushiwa na ALLAH ni cha lugha ya kiarabu Mimi nakushauri achana na hiyo dini utakuwa umeitendea hati chuki yako tafuta dini nyingine.

  • @SaidSalim-f2c
    @SaidSalim-f2c 11 месяцев назад

    Ni hatar

  • @saidmselem6605
    @saidmselem6605 2 года назад +1

    Kilaikifika kipindi chauchaguzi mauwaji mauwaji wapemba wauliwa kama kuku Kisha watawala wanakaa kimyaa lkn ipo siku

    • @abubakarmuhammadsaid3244
      @abubakarmuhammadsaid3244 2 года назад +1

      Wanaouliwa ni wapemba tu!?
      Mapinduzi 1964 waliuliwa Wapemba tu!?

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 2 года назад +1

      @@abubakarmuhammadsaid3244 Bambi waliuliwa Waislam ndani ya Tanuri la Mbata. Na Serikali inasherehekea kila mwaka.

  • @hilalal-busaidi4007
    @hilalal-busaidi4007 2 года назад

    Profesa yote h

  • @2002-h6c
    @2002-h6c 2 года назад

    Mbona wanaopinga Mapinduzi ni sura zile zile tu, sura za Kisultan, wako wapi Waafrika wenye asili yao ?

    • @mohammedchikito8441
      @mohammedchikito8441 2 года назад +3

      Acha upuuzi wewe hujui kitu

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 2 года назад +2

      Wote ni Watanzania wana
      wanaopinga dhulma na mauwaji ya Waislam kwa jina la Mapinduzi

    • @Stillrunlikeaball
      @Stillrunlikeaball 2 года назад

      Kamawewe Mtanganyika kichogo Unavyo yakubali Mapinduzi kwakua Zanzibar sio kwenu

    • @mkude
      @mkude 2 года назад +2

      Mussa Nasor ndugu yangu comment zako nyingi sanaa nimeziona za chuki ya wazi wazi zidi ya waarabu,Mimi ushauribwangu achana kuifuata dini iliyoshushiwa uarabuni ambaye mtume wake mwarabu,makhalifa wake wote waarabu na kitabu alichoshushiwa mtume wake kutoka kwa mwenyeeezi mungu ni lugha ya kiarabu,sasa Mimi ushauri wangu achana na hiyo dini utakuwa umeitendea haki chuki yako.tafuta dini nyingine uifuate ambayo haijafungamana na uarabu.