Mpenja unatia umasikini kk,napenda kurudia rudia haya matangazo mara x17 kwa siku hasa game za simu..mzee baba unaitendea haki fani yako kk....Iga ufe....this iz next level.....simba ipo mawinguni now!
Kama unaamini kuwa tar4 kulikuwa na SEND OFF ya bibi harusi kwao na leo tar6 ndio NDOA bwana harusi kakabidhiwa jiko lake..... Gonga like mingimingi.....THIS IS........
KAGERE: 📞yo dady leo nawafanya kitu hamna utashuhudia mwenyewe HAJI MANARA: Unaikumbuka slogani leo KAGERE: hapana nikumbushe boss HAJI MANARA: LIVE OR DIE🔫🔪😂😂
Wanawake. =1 Simba B=2 Halaf baba zao yanga=3 Yaan hapo ndio utaamin simba hawakurupuki wanaenda na mipangilio ya namba Mishahara ya kuvurunda ipo huwa wanapewa mikia F.c
Kwa Tanzania hii kwa sasa Baraka Mpenja ndio mtangazaji mahiri wa mpira wa miguu, ananikumbusha enzi za akina Hassan Mkumba, Ahmad Jongo, Salm Mbonde, Dominic Chilambo, Ben Kiko, Charles Hilal, Abdalah Majura, Naviu Mayoka, sauti za dhahabu, watangaji wengine jifunzeni namna hawa Walivyokuwa wanatangaza. Jamani naomba mwenye audio za Hasan Mkumba atupie humu pamoja Dominic Chilambo. Pls
Wanaomkubali medie kagere gonga like kama zoteeeeeeeeeee simba oyeeeeeeee
This is lion
He wana simba wenzangu kunamwenye swali juu ya wabrazir?
Xana
Sana 2 mk fortune
kiel John
Wanao mkubali mtangazaji mahiri Baraka Mpenja nipeni like za kutoshaaaa🤣🤣
So cool
huyo jamaa shabiki wa simba mpenja
Kuna tofauti kwenye utangazaji wa kwenye TV na ule wa Redio
Med juuuuuu
can
wanaomkubali Meddie Kagere nataka tujuane kwa like na comments kwenye hii comment kagereeeee juuu juuu mawinguni
Kagele juuuuuuu mawinguni
namkubali
Hashiry RamaD
Hashiry RamaD good
Mpenja unatia umasikini kk,napenda kurudia rudia haya matangazo mara x17 kwa siku hasa game za simu..mzee baba unaitendea haki fani yako kk....Iga ufe....this iz next level.....simba ipo mawinguni now!
kama unaikubali simba gonga like twende sawa
mmnaipedasana simba
Kama unaamini kuwa tar4 kulikuwa na SEND OFF ya bibi harusi kwao na leo tar6 ndio NDOA bwana harusi kakabidhiwa jiko lake..... Gonga like mingimingi.....THIS IS........
😆😆😆😆😆🤸🤸🤸
kama unamkubali medi kagere gonga like
Dah anatisha
wanaemkubali baraka mpenjaa gonga like iwe ishara ya upendo kwake
leo vp simba inapinga au
Yanga Kazi tunayo mwaka huu, Simba haikamatik huo ndio ukweli, Mashabiki wayanga mda mwingne tuwe wakweli2
Daynamo jezi walizovaa zimewaponza
umeonaaaaa
kweli mnanikosha
😂😂daa kwel
Wanasimba kama mm gonga like kubwaa
Mabingwa wa muda wote Kwani kuna mtu anateseka mtaani kwenu😁😁😁
So kuteseka tu had kufa wanataman
kagere ataendelea kutisha2 nahuu ndomwanzo unafikili lig ikianza itakuaje?
THIS IS SIMBA
Hahaha mambo ndivo yalivokua hivo yajayo bado yanafrahisha zaid
Amen amen. Pomoja sana vijana wangu. Mungu asimame nanyi kila atua. Amen.
Simba chama langu na likubali sanaaaa
Mimi namkubali Sana mwamba huyu kuliko kitu chochote ila gongo wazi wajipange sana
Wake zetu watoe sare nasi tutoa sare haiwezekan
Alex Suleiman sasaje si ni simba bwana
Alex Suleiman uneona eeh Alex haiwezekan kabisa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
hahaahahahahaah :D :D :D
Vigoli watoe droo na sisi tutoe droo?
We want these in amavubi kagere.and proud of u brother
Jaman ila kwa kanda simba wamelamba bwana ni zaid ya dume
C kweli
@@laurentikweliboyleonardi7947 juzi ilikua kichen part leo ndoa
@@azzamohamed6649 Haha
Uko sahih
Mimi mwenyewe simba sema Yanga wanajua aiseee
#This_is_unfogetable_never_seen_before,,,, simba juuuuuuuu kabsa
mmmmmmmm mimisisemi
Simbi
Motto umewaka wenye mabakur jiandaen..simba tunaenda next level.......%%%
waaaaoooooooo @meddiekagereeeee
Simba hakuna wachezaji
Utaumiya sana kwa SIMBA hii
Penda sn timu yangu ,,simba oyeeee
Simba babalaoo
Wanao mkubali kagere naomba like zenu
Kwasukwasu kazi mnayo
Og og og naomba likes
Jezi za hawa Power Dynamo ziliwaponza😂😂😂
Na wao walivaa zao la alizeti simba wamewabamiza walizan yanga
Yeees hiiii ndyo SIMBA bwanaaa
jeziiii zimewapozaaaa ,,, Ni kwasababu ya ndugu zetu tumewapa chachee magoriii
Tunafung hvi
KAGERE: 📞yo dady leo nawafanya kitu hamna utashuhudia mwenyewe
HAJI MANARA: Unaikumbuka slogani leo
KAGERE: hapana nikumbushe boss
HAJI MANARA: LIVE OR DIE🔫🔪😂😂
Huyu jamaa ni *pilato* 🙌✊😂😂🔥
Like za shiboub na Kanda ziko wapi kwa kwel nimeona radha ya mpira
Ngoja ngoma yangu mpya ft alikiba ni zaidi ya nyimbo zote duniani
Km umemxkia Barak akisema roho yako ni mhimu gonga lyke yko ili CMB iwe bingwa Africa 😂😂
Upnde w pili Mbona comment zao sizion jmn.... 😂😂😂😂🏃🏃
Kama umemuona Bwalya Ndo alipiga Kona power dynamo wakapata goli usipite bila like.....
Wabrazili wanatumalizia pesa tu... Waend kwao
Simba naipenda Sana
Kagere big up broz we luv u so much
Juzi ilikua kichen part leo ndoa
Baraka mpenja, 100% Kazi unaiweza
Ndug zangun mie kwafuraha walionipa simba hata lakusema sinaa
Nakubaliiii
Mm nimerud huku kumchek bwalya ambe saiv yupo unyamani 🦁🦁🦁
MEDDIE KAGERE MTUU M-BAD 💪 MJESHI
ch come Kisanga
lkn mungetoa highlight ingependeza zaidi
Tanzania raha sana
God bless +255
Weweeee iga ufeeeee
Simba juuu
Deo kanda bado sana
Deo Kanda💟💟💟💟
Waungwana naombeni like zenu kwa anaemkubali mtangazaji
😆😆😆😆Simba raha jamani nashindwa hata nicomment nini
Mi akupenda wewe
@@kasheshielisha3587 pamoja sana raha ya leo hatri sana
Raha tupu
Wanawake. =1
Simba B=2
Halaf baba zao yanga=3
Yaan hapo ndio utaamin simba hawakurupuki wanaenda na mipangilio ya namba
Mishahara ya kuvurunda ipo huwa wanapewa mikia F.c
nixhida simba kilacku
Dah azam mumekabana haka kakipande dakika chache san highligt sijaona
Mtoto wa kwetu Adui wa ma goalkeeper M14😍
kufunga kama kula kwake 😂😂
hatari simbaa burudani sana ukiwa shabiki wa SIMBA
dah kuwa Na timu kama simba ni raha sana au sio wadau
hahaha baraka mpeja nomaaaa sanaaaaaa...............ssanaa
Haya mmeanza kutupa raha nyie😊😊😊😊😍😍😍😍
Weweweee sisi ndo SIMBA 🙌🙌🙌
Hapa kwa MK 14.......Gormahia tulipoteza mshambuliaji mahiri
Ilikua gem Kali sana
simbaaaaaaa this is....
mzima kaka uko wap
Naipenda simba
Weka mbali na watoto
Uwanja umejaaaa ad wat hawakutosha sasa vyuraaa wanatetema tu 😂😂😂😂
Y
@Azamtv mngekuwa mnaongeza na highlights kidg
Meddy kagere proud of you boss
Simba simba simba simba wote watamu, nguvu ya mamba kumai pambe 2 hahahahahaha haloooo
Simba Daima 🦁🦁🦁
Nan amemuona Rally bwalya maestro km mim
Kwa Tanzania hii kwa sasa Baraka Mpenja ndio mtangazaji mahiri wa mpira wa miguu, ananikumbusha enzi za akina Hassan Mkumba, Ahmad Jongo, Salm Mbonde, Dominic Chilambo, Ben Kiko, Charles Hilal, Abdalah Majura, Naviu Mayoka, sauti za dhahabu, watangaji wengine jifunzeni namna hawa Walivyokuwa wanatangaza. Jamani naomba mwenye audio za Hasan Mkumba atupie humu pamoja Dominic Chilambo. Pls
Kona alieipiga ni Larry bwarya like kwangu jamani
Kuishabikia SIMBA sports club Raha Sanaa 😂😂😂😂😂
Kweli simba hii ni next level
Tutabaki killen this is simba
Kagere huwa hana huruma mbele za maadui zake ndo hivyo Iga Ufeee
kama unaamini mijezi ndo iliyowaponza gonga like yak hapa
Tuna test mitambo😎😎
Kama unamkubali MK14 nguvu ya mamba kumai gonga like twende sawa
Yaan mavi yako yanagonga chupi, niachie au niache? Ushauli wenu jamani🐸🐸🐸🙌
😅😅😅😅😅
Mutalemwa Gabriel ahia
Hv mzee wetu kilomoni kaenda uwanjani
PA ;.moja sana
Mpenja Ni bora kam simba na akitangaza tu simba inashindaaaaaaa
nomaaa sana simba
Mpenja nakukubalii sana
Hatar
deo kanda namkubali kweli
Mbna kagere aligeuza bukti amevaa nyuma mbele au ndio masharti ya mganga
Timu gani hiyo vibonde tu mungecheza na kariobang kiboko cha everton...anaeniunga mkono agonge like
Ww yanga vs krbng shkrs 1-1 kmc vs krbng shkrs 2-1 nan kibonde hapo
@@nzwilamakonda8053 kibonde kajulikana🐸🐸🐸🐸
Sasa hao makalio bangi wameloweshwa na kmc
Laik gonga mwenyewe mbovu bc we ungekua bora mbona hakuna mlichofanya
Hakunana wakukunga mkono wala nini,mnajiosha tuuu na bado wale jamaaa wanakujaaaaaaa
Jamani sijachelewa hata Mimi nipo, kageree!!! Gonga like
Kumbe hawa power dynamos tushawahi kuwagongesha
This is next level
Simbaaaaa baba laooooo
Hakika sio mchezo! Jamaa ni streaker
Medeee mamba kumai vyura hawajakusahau