MAGOLI YOTE: SIMBA SC 3-1 POWER DYNAMOS (6/8/2019)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Tazama namna Simba SC ilivyoichakaza Power Dynamos ya Zambia kwenye mchezo wa kuhitimisha tamasha la Simba Day huku Medie Kagere akifunga hat-trick.

Комментарии • 329

  • @ezekieljohn8874
    @ezekieljohn8874 5 лет назад +93

    Wanaomkubali medie kagere gonga like kama zoteeeeeeeeeee simba oyeeeeeeee

  • @lizzyshoo8084
    @lizzyshoo8084 5 лет назад +376

    Wanao mkubali mtangazaji mahiri Baraka Mpenja nipeni like za kutoshaaaa🤣🤣

  • @hashiryramad5962
    @hashiryramad5962 5 лет назад +313

    wanaomkubali Meddie Kagere nataka tujuane kwa like na comments kwenye hii comment kagereeeee juuu juuu mawinguni

  • @kulwamigo9127
    @kulwamigo9127 5 лет назад +7

    Mpenja unatia umasikini kk,napenda kurudia rudia haya matangazo mara x17 kwa siku hasa game za simu..mzee baba unaitendea haki fani yako kk....Iga ufe....this iz next level.....simba ipo mawinguni now!

  • @rauphhamis6887
    @rauphhamis6887 5 лет назад +140

    kama unaikubali simba gonga like twende sawa

  • @saidhamad5931
    @saidhamad5931 5 лет назад +70

    Kama unaamini kuwa tar4 kulikuwa na SEND OFF ya bibi harusi kwao na leo tar6 ndio NDOA bwana harusi kakabidhiwa jiko lake..... Gonga like mingimingi.....THIS IS........

  • @happymackernest9348
    @happymackernest9348 5 лет назад +68

    kama unamkubali medi kagere gonga like

  • @abalkassim729
    @abalkassim729 5 лет назад +86

    wanaemkubali baraka mpenjaa gonga like iwe ishara ya upendo kwake

  • @paulonima6947
    @paulonima6947 5 лет назад +13

    Yanga Kazi tunayo mwaka huu, Simba haikamatik huo ndio ukweli, Mashabiki wayanga mda mwingne tuwe wakweli2

  • @josboy5384
    @josboy5384 5 лет назад +121

    Daynamo jezi walizovaa zimewaponza

  • @Astroworld-sc6gi
    @Astroworld-sc6gi 5 лет назад +18

    Wanasimba kama mm gonga like kubwaa

  • @goodlucklinus141
    @goodlucklinus141 5 лет назад +43

    Mabingwa wa muda wote Kwani kuna mtu anateseka mtaani kwenu😁😁😁

  • @erastoodasi2534
    @erastoodasi2534 5 лет назад +22

    kagere ataendelea kutisha2 nahuu ndomwanzo unafikili lig ikianza itakuaje?

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 5 лет назад +54

    Hahaha mambo ndivo yalivokua hivo yajayo bado yanafrahisha zaid

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 5 лет назад +7

    Amen amen. Pomoja sana vijana wangu. Mungu asimame nanyi kila atua. Amen.

  • @GLOBALFIREONLINE
    @GLOBALFIREONLINE 5 лет назад +1

    Simba chama langu na likubali sanaaaa

  • @mussamjai1523
    @mussamjai1523 5 лет назад +20

    Mimi namkubali Sana mwamba huyu kuliko kitu chochote ila gongo wazi wajipange sana

  • @alexsuleiman9912
    @alexsuleiman9912 5 лет назад +81

    Wake zetu watoe sare nasi tutoa sare haiwezekan

  • @erica9758
    @erica9758 5 лет назад +8

    We want these in amavubi kagere.and proud of u brother

  • @beatuskazimily457
    @beatuskazimily457 5 лет назад +83

    Jaman ila kwa kanda simba wamelamba bwana ni zaid ya dume

  • @eunicejoseph3870
    @eunicejoseph3870 5 лет назад +21

    #This_is_unfogetable_never_seen_before,,,, simba juuuuuuuu kabsa

  • @shabanally1862
    @shabanally1862 5 лет назад +13

    Motto umewaka wenye mabakur jiandaen..simba tunaenda next level.......%%%

  • @hashiryramad5962
    @hashiryramad5962 5 лет назад +16

    waaaaoooooooo @meddiekagereeeee

  • @tatukachingwe2290
    @tatukachingwe2290 5 лет назад +66

    Penda sn timu yangu ,,simba oyeeee

  • @kasimusefu6699
    @kasimusefu6699 5 лет назад

    Wanao mkubali kagere naomba like zenu

  • @semeninyerere3573
    @semeninyerere3573 5 лет назад +1

    Kwasukwasu kazi mnayo

  • @calvinabihud4920
    @calvinabihud4920 5 лет назад +12

    Og og og naomba likes

  • @AllyMchume
    @AllyMchume 5 лет назад +17

    Jezi za hawa Power Dynamo ziliwaponza😂😂😂

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 5 лет назад

      Na wao walivaa zao la alizeti simba wamewabamiza walizan yanga

  • @fadhiliabdul8049
    @fadhiliabdul8049 5 лет назад +3

    Yeees hiiii ndyo SIMBA bwanaaa

  • @kombaeliya4738
    @kombaeliya4738 5 лет назад +12

    jeziiii zimewapozaaaa ,,, Ni kwasababu ya ndugu zetu tumewapa chachee magoriii

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 5 лет назад +6

    KAGERE: 📞yo dady leo nawafanya kitu hamna utashuhudia mwenyewe
    HAJI MANARA: Unaikumbuka slogani leo
    KAGERE: hapana nikumbushe boss
    HAJI MANARA: LIVE OR DIE🔫🔪😂😂

  • @leopodyagusti9658
    @leopodyagusti9658 5 лет назад +7

    Huyu jamaa ni *pilato* 🙌✊😂😂🔥

  • @benmwasakujonga3575
    @benmwasakujonga3575 5 лет назад +3

    Like za shiboub na Kanda ziko wapi kwa kwel nimeona radha ya mpira

  • @comedy_kali
    @comedy_kali 5 лет назад +1

    Ngoja ngoma yangu mpya ft alikiba ni zaidi ya nyimbo zote duniani

  • @morlovzeboy4926
    @morlovzeboy4926 5 лет назад +34

    Km umemxkia Barak akisema roho yako ni mhimu gonga lyke yko ili CMB iwe bingwa Africa 😂😂

  • @shairanadam1443
    @shairanadam1443 5 лет назад +22

    Upnde w pili Mbona comment zao sizion jmn.... 😂😂😂😂🏃🏃

  • @josephstima5434
    @josephstima5434 3 года назад

    Kama umemuona Bwalya Ndo alipiga Kona power dynamo wakapata goli usipite bila like.....

  • @gottacheckintorehab7697
    @gottacheckintorehab7697 5 лет назад +2

    Wabrazili wanatumalizia pesa tu... Waend kwao

  • @sambetv5072
    @sambetv5072 4 года назад +1

    Simba naipenda Sana

  • @josetwi6470
    @josetwi6470 5 лет назад +2

    Kagere big up broz we luv u so much

  • @azzamohamed6649
    @azzamohamed6649 5 лет назад +13

    Juzi ilikua kichen part leo ndoa

  • @paulonima6947
    @paulonima6947 5 лет назад

    Baraka mpenja, 100% Kazi unaiweza

  • @grapesruhomvya6114
    @grapesruhomvya6114 5 лет назад +3

    Ndug zangun mie kwafuraha walionipa simba hata lakusema sinaa

  • @chipaljulis1176
    @chipaljulis1176 3 года назад +1

    Nakubaliiii

  • @sagytz4994
    @sagytz4994 4 года назад

    Mm nimerud huku kumchek bwalya ambe saiv yupo unyamani 🦁🦁🦁

  • @Bensonfrank25
    @Bensonfrank25 5 лет назад +6

    MEDDIE KAGERE MTUU M-BAD 💪 MJESHI

  • @rashidijuma4866
    @rashidijuma4866 5 лет назад +7

    lkn mungetoa highlight ingependeza zaidi

  • @peternassari7634
    @peternassari7634 5 лет назад +2

    Tanzania raha sana
    God bless +255

  • @hamisnyanyagi9333
    @hamisnyanyagi9333 5 лет назад +1

    Weweeee iga ufeeeee

  • @minaside6717
    @minaside6717 5 лет назад +13

    Simba juuu

  • @abasamwame6583
    @abasamwame6583 5 лет назад

    Deo kanda bado sana

  • @victorsomba867
    @victorsomba867 5 лет назад +2

    Deo Kanda💟💟💟💟

  • @sadiqnaassib7120
    @sadiqnaassib7120 5 лет назад +3

    Waungwana naombeni like zenu kwa anaemkubali mtangazaji

  • @isunga1964
    @isunga1964 5 лет назад +11

    😆😆😆😆Simba raha jamani nashindwa hata nicomment nini

  • @africatv.africatv.5883
    @africatv.africatv.5883 5 лет назад +7

    Wanawake. =1
    Simba B=2
    Halaf baba zao yanga=3
    Yaan hapo ndio utaamin simba hawakurupuki wanaenda na mipangilio ya namba
    Mishahara ya kuvurunda ipo huwa wanapewa mikia F.c

  • @efremchambala1444
    @efremchambala1444 5 лет назад +11

    nixhida simba kilacku

  • @ibraline830
    @ibraline830 5 лет назад +2

    Dah azam mumekabana haka kakipande dakika chache san highligt sijaona

  • @explorerwanda6458
    @explorerwanda6458 5 лет назад +1

    Mtoto wa kwetu Adui wa ma goalkeeper M14😍

  • @enockmwambamkubwatz3215
    @enockmwambamkubwatz3215 5 лет назад +2

    kufunga kama kula kwake 😂😂

  • @sarahmtewele1899
    @sarahmtewele1899 5 лет назад +3

    hatari simbaa burudani sana ukiwa shabiki wa SIMBA

  • @leonardmashaury6892
    @leonardmashaury6892 5 лет назад +1

    dah kuwa Na timu kama simba ni raha sana au sio wadau

  • @hermanwenceslaus5497
    @hermanwenceslaus5497 5 лет назад

    hahaha baraka mpeja nomaaaa sanaaaaaa...............ssanaa

  • @loiaminiel9468
    @loiaminiel9468 5 лет назад

    Haya mmeanza kutupa raha nyie😊😊😊😊😍😍😍😍

  • @LovenessNankamba-gd2jm
    @LovenessNankamba-gd2jm Год назад

    Weweweee sisi ndo SIMBA 🙌🙌🙌

  • @abouhafs2891
    @abouhafs2891 5 лет назад

    Hapa kwa MK 14.......Gormahia tulipoteza mshambuliaji mahiri

  • @youngmij9392
    @youngmij9392 4 года назад

    Ilikua gem Kali sana

  • @chombaa0143
    @chombaa0143 5 лет назад +1

    simbaaaaaaa this is....

  • @tumsalim4065
    @tumsalim4065 5 лет назад

    Naipenda simba

  • @christinaalexandar6863
    @christinaalexandar6863 5 лет назад +1

    Weka mbali na watoto

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 5 лет назад +2

    Uwanja umejaaaa ad wat hawakutosha sasa vyuraaa wanatetema tu 😂😂😂😂

  • @adamunyagali4657
    @adamunyagali4657 5 лет назад +1

    @Azamtv mngekuwa mnaongeza na highlights kidg

  • @jamesnkurunziza2121
    @jamesnkurunziza2121 5 лет назад +3

    Meddy kagere proud of you boss

  • @saudambwilo3666
    @saudambwilo3666 5 лет назад +1

    Simba simba simba simba wote watamu, nguvu ya mamba kumai pambe 2 hahahahahaha haloooo

  • @benimagaya7966
    @benimagaya7966 5 лет назад +2

    Simba Daima 🦁🦁🦁

  • @abdoulliuguya7324
    @abdoulliuguya7324 3 года назад

    Nan amemuona Rally bwalya maestro km mim

  • @baloonmedics163
    @baloonmedics163 5 лет назад

    Kwa Tanzania hii kwa sasa Baraka Mpenja ndio mtangazaji mahiri wa mpira wa miguu, ananikumbusha enzi za akina Hassan Mkumba, Ahmad Jongo, Salm Mbonde, Dominic Chilambo, Ben Kiko, Charles Hilal, Abdalah Majura, Naviu Mayoka, sauti za dhahabu, watangaji wengine jifunzeni namna hawa Walivyokuwa wanatangaza. Jamani naomba mwenye audio za Hasan Mkumba atupie humu pamoja Dominic Chilambo. Pls

  • @sebastianherman607
    @sebastianherman607 4 года назад

    Kona alieipiga ni Larry bwarya like kwangu jamani

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 года назад

    Kuishabikia SIMBA sports club Raha Sanaa 😂😂😂😂😂

  • @winfredbespoke8440
    @winfredbespoke8440 5 лет назад

    Kweli simba hii ni next level

  • @selehiltonkimario7204
    @selehiltonkimario7204 5 лет назад

    Tutabaki killen this is simba

  • @sophiamohamed5140
    @sophiamohamed5140 5 лет назад

    Kagere huwa hana huruma mbele za maadui zake ndo hivyo Iga Ufeee

  • @wabumbuli2710
    @wabumbuli2710 5 лет назад +6

    kama unaamini mijezi ndo iliyowaponza gonga like yak hapa

  • @mrishowjohnny9316
    @mrishowjohnny9316 5 лет назад

    Tuna test mitambo😎😎

  • @samwelching5051
    @samwelching5051 5 лет назад +1

    Kama unamkubali MK14 nguvu ya mamba kumai gonga like twende sawa

  • @mutalemwagabriel2277
    @mutalemwagabriel2277 5 лет назад +7

    Yaan mavi yako yanagonga chupi, niachie au niache? Ushauli wenu jamani🐸🐸🐸🙌

  • @husseinchiaseeds2653
    @husseinchiaseeds2653 5 лет назад +1

    Hv mzee wetu kilomoni kaenda uwanjani

  • @ramakiu796
    @ramakiu796 5 лет назад

    PA ;.moja sana

  • @amanisilah9024
    @amanisilah9024 5 лет назад +2

    Mpenja Ni bora kam simba na akitangaza tu simba inashindaaaaaaa

  • @samirabdul1893
    @samirabdul1893 5 лет назад

    nomaaa sana simba

  • @roziantony2850
    @roziantony2850 5 лет назад

    Mpenja nakukubalii sana

  • @kingsimbahh8458
    @kingsimbahh8458 5 лет назад +1

    Hatar

  • @makwirojryg1885
    @makwirojryg1885 5 лет назад

    deo kanda namkubali kweli

  • @ramermohamedy4344
    @ramermohamedy4344 5 лет назад +2

    Mbna kagere aligeuza bukti amevaa nyuma mbele au ndio masharti ya mganga

  • @abubakarnabahani4994
    @abubakarnabahani4994 5 лет назад +11

    Timu gani hiyo vibonde tu mungecheza na kariobang kiboko cha everton...anaeniunga mkono agonge like

    • @nzwilamakonda8053
      @nzwilamakonda8053 5 лет назад +3

      Ww yanga vs krbng shkrs 1-1 kmc vs krbng shkrs 2-1 nan kibonde hapo

    • @kisulaabas2614
      @kisulaabas2614 5 лет назад +1

      @@nzwilamakonda8053 kibonde kajulikana🐸🐸🐸🐸

    • @alphakivamba6200
      @alphakivamba6200 5 лет назад

      Sasa hao makalio bangi wameloweshwa na kmc

    • @dorapetermmbaga8884
      @dorapetermmbaga8884 5 лет назад

      Laik gonga mwenyewe mbovu bc we ungekua bora mbona hakuna mlichofanya

    • @alphakivamba6200
      @alphakivamba6200 5 лет назад

      Hakunana wakukunga mkono wala nini,mnajiosha tuuu na bado wale jamaaa wanakujaaaaaaa

  • @wilsonkimaro6375
    @wilsonkimaro6375 5 лет назад

    Jamani sijachelewa hata Mimi nipo, kageree!!! Gonga like

  • @Nicolasmosereta
    @Nicolasmosereta Год назад

    Kumbe hawa power dynamos tushawahi kuwagongesha

  • @bahatilihupa8682
    @bahatilihupa8682 5 лет назад

    This is next level

  • @gracemichael9774
    @gracemichael9774 3 года назад

    Simbaaaaa baba laooooo

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 5 лет назад

    Hakika sio mchezo! Jamaa ni streaker

  • @georgemuhenga5727
    @georgemuhenga5727 5 лет назад

    Medeee mamba kumai vyura hawajakusahau