Utapeli kwa jina la Mungu katika kanisa la Fire Gospel Ministries

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024
  • Mhubiri wa kanisa la Fire Gospel Ministries Michael Njoroge mapema Jumapili alifika kanisani na kuwatisha wanahabari wa NTV waliofichua sakata inayomhusu ya utapeli kwa jina la mungu. Mbali na hayo mhubiri huyo alikataa kuzungumza na wanahabari wetu. Mwanahabari wetu Mohammed Ali ana maelezo zaidi.

Комментарии • 1,6 тыс.

  • @Lucywanjirukagonye
    @Lucywanjirukagonye 7 месяцев назад +52

    2024 mpo??? Kama umewartch sai pita na like ..na poster continue resting in peace 🕊️

  • @hezronkwaso1927
    @hezronkwaso1927 Год назад +22

    Kama umewatch na hii serikali ya ruto wapi like

  • @ErickLenana
    @ErickLenana 10 месяцев назад +6

    Umehaibisha yesu mungu wetu na pia wakristo😢😢😢😢😢😢😢

  • @MUMBIJOY
    @MUMBIJOY 5 лет назад +74

    I love this guy Mohammed Ali,expose them all,❤

  • @frdahkwa5483
    @frdahkwa5483 8 месяцев назад +4

    Ghaiiiii nko hapa 2024 makubwa akih yawah 😢😢😢😢

  • @flomatmungania7916
    @flomatmungania7916 3 года назад +2

    Our ever courageous Journalist and now an MP, Mungu akubariki na wanahabari wengine.

  • @SummerTime-v1s
    @SummerTime-v1s Год назад +12

    I went in this church 2011 at citycabanas...They pray for people according to their money...this video will never be old.. I will continue commenting upto my old age😅

  • @ahmedwanyama4703
    @ahmedwanyama4703 4 года назад +1

    Wewe mwenyewe unahitaji kutubu kwa kuzini na kutumia jina la Mjumbe wa Mwenyezi Mungu visivyo . Natamani sana upate mwelekeo sahihi kutoka kwa Muumba wetu sote ili moto wa jehanamu uwe mbali na wewe kwa Uwezo wa Mungu aliyetukuka .

  • @cezzdankenya6812
    @cezzdankenya6812 5 лет назад +12

    Wherever you are and whatever you do may God bless you Moha....may he uplift you...you opened our eyes b4 you left ktn

  • @festuskathuki8229
    @festuskathuki8229 4 года назад +90

    Echoing the words of Shakespeare in his quote, "This world is a stage where we are all Actors!" Pastor is doing his part of theatre very well.

  • @bobogitau5383
    @bobogitau5383 4 года назад +221

    2020 mpo??? gonga like

  • @aloycychuwa8887
    @aloycychuwa8887 4 года назад +1

    Yes I agree and like the You tube's terms of the services supplied to us.Thanks soo much.From Aloycy Chuwa.

  • @lornamary8690
    @lornamary8690 7 месяцев назад +1

    Amazing!!! Where is the fear of the Lord??

  • @bintlola3127
    @bintlola3127 6 лет назад +4

    Kanisa limekaa kishangingi zaidi...huyo mchungaji ndo namb moja fyuuuuu....alhamdulilah kuwa muislam...dini yenye stara👌🏻👌🏻

  • @gilbertotieno3984
    @gilbertotieno3984 2 года назад

    Safi Sana Ali. Hawa wahuni hulichafua dini na kulitumia kwa faida binafsi. Huyo siyo mchungaji. Ni tapeli tu

  • @rashidkalimbo2451
    @rashidkalimbo2451 5 лет назад +7

    SubhaAllah.... Innalillah wa inna illeih rajiun.
    Mohammad Ali rudi ntv bwana.

  • @lawjoseph6590
    @lawjoseph6590 4 года назад +1

    Nishawambia hakuna nabii ukitaka kujuwa nabii wa mungu sikiliza sauti ya mungu yeye yu ndani yetu amina

  • @kijanaWaMamaBhajia
    @kijanaWaMamaBhajia 4 года назад +72

    Kama umewatch na hii corona nipe like

    • @artifgammy2156
      @artifgammy2156 4 года назад +1

      tupo

    • @josephkiarie35
      @josephkiarie35 Год назад

      @@artifgammy2156 ó

    • @bnargacu1291
      @bnargacu1291 10 месяцев назад

      2023 Dec after him demise

    • @KiyureKiyure
      @KiyureKiyure 7 месяцев назад

      @@artifgammy2156 hyyyuyyyiuuyyyyyyyyyyhyyyyyyyyyhhhyyyyyyyyyyyyyyyyyyy
      Yyhyyyy

  • @esthermatheka2642
    @esthermatheka2642 4 года назад +93

    Nani amejipata akijaribu kupindua mdomo kaa huyo mama,gonga like ya 2019

  • @MERCYLINEM
    @MERCYLINEM 6 месяцев назад +3

    Shetani ashindwe katika jina la yesu

  • @thomaslandwhale
    @thomaslandwhale Год назад +2

    My Father's house of worship has become the Den Of Thieves... Stealing in the name of the Lord...Wickedness

  • @johnkiguru6986
    @johnkiguru6986 Год назад +8

    The word of God is full of love, wisdom, peace, and it's full of joy. Why is this church lacking all these qualities? Preach to those who do not believe, love them until the truth is revealed to them acts 17:3-4

  • @sir_felix.
    @sir_felix. 3 года назад +2

    In 2021 still people attend and listen to such pastors,heri nijiombee kwangu lakini sio kua mjinga wa kufuata wapastors

  • @kenyantrendz3860
    @kenyantrendz3860 3 года назад +47

    I tried to twist my mouth to see if it's possible for a whole day, it was shaking and returning to its position 😂😂😂

    • @juddexdonniex6472
      @juddexdonniex6472 3 года назад +1

      🤣🤣🤣am also trying to imagine how to twist 🤣🤣🤣 this world

    • @kenyantrendz3860
      @kenyantrendz3860 3 года назад

      @@juddexdonniex6472 Looking for money

    • @johanesskeys
      @johanesskeys 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣

    • @collinsochieng6146
      @collinsochieng6146 3 года назад

      😂😂😂Hii kenya ptho

    • @annwamuyu8443
      @annwamuyu8443 3 года назад

      I'm stupidily trying this at 1:28am😂😂😂😂😂

  • @tabbysteve7191
    @tabbysteve7191 Год назад +12

    Woiye mungu na anataja jina lako😭😭😭😭God have mercy on us

  • @kipronokenneth320
    @kipronokenneth320 5 лет назад +405

    They cursed Mohammed Ali and now he is the MP for Nyali😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @doreennasike6298
      @doreennasike6298 5 лет назад +11

      God never sleeps or slumber

    • @kipronokenneth320
      @kipronokenneth320 5 лет назад +5

      @@doreennasike6298 true

    • @maryamashmrei9999
      @maryamashmrei9999 5 лет назад +4

      Nakwambia

    • @alexmuya8541
      @alexmuya8541 5 лет назад +12

      Kanisa za idols can only curse themselves

    • @Mokiwa
      @Mokiwa 5 лет назад +20

      Kiprono Kenneth he better go back for the second curse may be he may become a president 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 2 года назад +1

    Kazi nzuri mungu awabariki kwakugunduwa machafuko

  • @stanstano6064
    @stanstano6064 3 года назад +7

    Damn! At my age trying to twist my mouth...Thug Life Until Jesus Comes

  • @denismugambi1143
    @denismugambi1143 2 года назад

    I will take you as a pastor but I will believe in God for miracles...

  • @kenyashop6840
    @kenyashop6840 6 лет назад +54

    Spiritual blindness has no boundaries hits everybody on earth may God intervene

  • @herimlelwa3497
    @herimlelwa3497 6 лет назад

    Mwenyezi mungu ndie anaejua kwa hyo hatuna haja ya kuhukumu..iwe kweli au sio kweli

  • @shabanbchijo
    @shabanbchijo 6 лет назад +69

    Ashihadu alla ila
    Hailalla huashihadu
    Ana muhamadi rasullullah

  • @estherkituyi9890
    @estherkituyi9890 Год назад

    I went to this church at city kabanas Haha Ni mungu tu,Kwanza niliona ma bouncer waki chapa jama Kofi kwa mulagu..wheu...

  • @dankago8668
    @dankago8668 6 лет назад +25

    Last days the world is coming to an end . Blessed are those who worship in truth and in the spirit

    • @wanjalaspha797
      @wanjalaspha797 2 года назад +2

      when you die is when your world is over.the sun will forever rise.

  • @wambuimathai376
    @wambuimathai376 5 лет назад

    Si vizuri sana when the church falls short of expectations... Sio vizuri tena, yule anachukua ripoti ni mwislamu😢

  • @janetwanja6114
    @janetwanja6114 6 лет назад +67

    I love u Muhammed Ali Godbless u much

  • @anitharichard3725
    @anitharichard3725 4 года назад

    Ee mwenyezi Mungu Tunusuru hizi ni nyakati za mwisho Tunusuru hizi ni nyakati za mwisho ee mungu viangalie vizazi vya sasa mungu angalia kizazi changu

  • @kevinkemboi6218
    @kevinkemboi6218 5 лет назад +13

    Ali is the real hustler if this guy asks for president i will give him

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 4 года назад

    Hapo waumini hata uwaambie nn hakuelewi! Sijui hata sijui huwa wanafanywa nn wasifunguke macho! Yaani hizi mambo bwana ndio maana kibwetele aliwachoma kirahisi mno! Dah! Mbaya sana!

  • @dayanakarimi
    @dayanakarimi 5 лет назад +111

    I can't blame this man I blame the person who goes 2 his church

    • @rabielulomi8607
      @rabielulomi8607 4 года назад +3

      The wicked are capitalising on our Ignorance and poverty.

    • @robertsure146
      @robertsure146 4 года назад

      Alikua Na shida

    • @maimunafzaka880
      @maimunafzaka880 3 года назад

      Me too

    • @fowziisak6800
      @fowziisak6800 3 года назад +1

      Christian fake religion

    • @gracemoses3062
      @gracemoses3062 3 года назад

      @@fowziisak6800 ulikuja na religion hapa duniani wewe shame an you for even saying that

  • @Debysyowia
    @Debysyowia 2 года назад

    Wah ... Thanks bwana jicho pevu

  • @tileh_pacbro
    @tileh_pacbro 4 года назад +144

    Me in 2020 trying to twist my mouth😏😫🤣🤣🤣

  • @byrummungau8583
    @byrummungau8583 Год назад

    Pastor if you can't change he'll will change you ,,,,, usifanye utapeli kwa wanaanchi kujifaidi wewe ni pepo shetani wewe mungu akupige kiboko

  • @isayamwakyoma6336
    @isayamwakyoma6336 6 лет назад +168

    kama na ww umejaribu kupeleka mdomo pembeni gonga like hapa twende sawa

  • @tdlkonyagi5098
    @tdlkonyagi5098 2 года назад

    Pastor mpumbavu sana wewe; SUPPORT NOW kumbe tapeli. Mamae..

  • @DjMozz.
    @DjMozz. 6 лет назад +90

    Religion can switch people's brain off...literally

  • @chepkoechcaroline214
    @chepkoechcaroline214 3 года назад

    Ghai! Ali keep exposing team

  • @macym57
    @macym57 4 года назад +28

    Not all who call me Lord, Lord will enter into the Kingdom of God, Jesus said.

    • @dianan23
      @dianan23 Год назад

      Ai uyo pastor inafaa achukuliwe atua vikali kuaaribu kanisa

  • @Luizahwainaina5246
    @Luizahwainaina5246 3 года назад

    Anaitua moha you did thise when i was about to Rauka n go there

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 3 года назад +3

    I will never take shortcuts in life so help me God in Jesus name Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 by Steve Irungu Jermaine

  • @ahmednuur8115
    @ahmednuur8115 4 года назад

    Mohammed Ali Unasema kweli bila kusema uwongo Like u

  • @princejustice6962
    @princejustice6962 3 года назад +11

    2021 mko. Piga like kama upo....

    • @johnwaigwa1744
      @johnwaigwa1744 3 года назад

      Mimi najaribu kugeuza shimo la Mavi nashindwa

  • @t.wkangethe4814
    @t.wkangethe4814 Год назад +1

    …and a decade later he dies,never mourned never appreciated and hurriedly and secretly buried..
    He was a quack in the Ministry of God..

  • @sarahwangari8461
    @sarahwangari8461 Год назад +10

    how time flies. Who is here after his death? He recently died and buried

  • @jacklinelihabi5535
    @jacklinelihabi5535 Год назад

    Wooie Ali ulienda wapi.ulikuwa unatupasha ukweli wa mambo we miss u kwa hii ukweli

  • @njambierastus8281
    @njambierastus8281 3 года назад +9

    Where did Moha go????? We really miss JICHO PEVU!!!! The only one true investigative journalist in Kenya!!!

    • @marimbushadrack3174
      @marimbushadrack3174 3 года назад

      He is a member of Parliament since 2017

    • @miriammwangi3328
      @miriammwangi3328 2 года назад

      That's what happens when one becomes a politician..they vanish

  • @periswanjiru3253
    @periswanjiru3253 4 года назад

    2020watu wangu chawa ma postor wa uongo ndo wanafanya Kenya ilaaniwe na mungu, na bado watu wanaenda tu iyo church

  • @jakleengakleen1304
    @jakleengakleen1304 6 лет назад +8

    God bless you moha. Stealing in the name of the lord

  • @mahinditv342
    @mahinditv342 3 месяца назад

    Huyo pastor ni umbwa mwito mtumbavu sana

  • @lydiaaruba6670
    @lydiaaruba6670 6 лет назад +8

    Mtawatambua kwa matendo yao...
    Eti ageuza mdomo..O.M.G have mercy
    USHINDWE KABISA!!!

  • @byoseasolokoci7257
    @byoseasolokoci7257 2 года назад

    Bwana YESU Kristo atawahukumu tusipo tubu makosa yetu.

  • @catherinemueni1250
    @catherinemueni1250 5 лет назад +43

    Kugeuza mdomo from morning till evening for 2k😂😂😂God see ur children....n u ask why I don’t go to church I would rather kneel down in my room n pray to my God

    • @robertsure146
      @robertsure146 4 года назад

      Siwezi 2 k tu

    • @vitisha8986
      @vitisha8986 3 года назад

      Juu yake pastor anagonga shot🤣🤣🤣🤣

  • @samkamau1340
    @samkamau1340 3 года назад +2

    Nani hako hapa 2021

  • @maureenkaranja7895
    @maureenkaranja7895 5 лет назад +53

    I never regret not going to church....

    • @shadracknjogu7299
      @shadracknjogu7299 5 лет назад

      True

    • @diggysimmons4132
      @diggysimmons4132 5 лет назад +2

      Its brainwahes guys. Colonisers used it to brainwash Africans, Africans use it to enrich themselves.

    • @gracemwaura1475
      @gracemwaura1475 3 года назад +4

      You go to church for your own good, kila mutu atapiga goti lake mwenyewe, let no one hider you from seeking your God, the Bible in the book of revelation 22:11-12, says;
      Let the evil doer continue doing evil and the filthy continue to be filthy and righteous continue to be right, the holy continue to be holy for behold He is coming soon bringing the recompense and everyone will bepaid according to what he has done
      Whatever you do is not in vain there is a reward.

    • @natureworld295
      @natureworld295 3 года назад +1

      Go to the original protestant churches , not the new deliverance churches

    • @natureworld295
      @natureworld295 3 года назад +2

      @@diggysimmons4132 stop misusing the name of colonisers . missionaries came with pure churches not these ones and they never used to perform miracles it was pure Christianity

  • @phoebewandera8003
    @phoebewandera8003 4 месяца назад

    Mimi hapa nimewatch 2024

  • @nehemkibi4555
    @nehemkibi4555 3 года назад +4

    It's the "Nii.. *takes a puff* .. *blows out smoke* " for me.. 😂😂😂😂😂😂

  • @jakee2041
    @jakee2041 Год назад

    Mungu baba, Mwana, Roho mtakatifu tusamehe dhambi zetu

  • @african.3431
    @african.3431 5 лет назад +44

    Bwahahaha 😂 😂 dramaaa .how I landed here is how I don't know

  • @ndukubeatrice9298
    @ndukubeatrice9298 Год назад

    Waah Mheshimiwa Ali those days Jicho Pevu I miss you😅😅😅😅

  • @mirydanny.6658
    @mirydanny.6658 7 лет назад +17

    dunia kwisa watapeli na neno la mungu .moha congratulations

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 3 года назад +1

    I will never be ignorant so help me God 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 in Jesus name Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 by Steve Irungu Jermaine

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 3 года назад +6

    I'm a born again Christian by conviction and knowledge and I'm not ignorant so help me God in Jesus name Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 by Steve Irungu Jermaine

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 Год назад +2

    I refused to be ignorant so help me God 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 🙏🙏🙏🙏🙏 in Jesus Christ name Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 by Steve Irungu Jermaine

  • @gikuyumnatty8691
    @gikuyumnatty8691 5 лет назад +7

    2019 and am watching this was online doesn't forget

  • @AlvinMumo
    @AlvinMumo 6 месяцев назад +1

    God watch this and let the truth be followed

  • @gladyssyombua3590
    @gladyssyombua3590 3 года назад +7

    saitan .......I remember how radio jambo used to bring him every night

  • @nicholasrono8552
    @nicholasrono8552 Год назад

    Nani bado anawatch 2023.. aki. This world.. mmmm

  • @Kizigira
    @Kizigira 5 лет назад +16

    He goes for short call then continue to preach. OK he is a man of gods.

    • @jeidaandayi100
      @jeidaandayi100 5 лет назад +1

      Nyege ni hatari imagine unachapa mtu short unamleta church yenge zina confusion

    • @dianaigoko4871
      @dianaigoko4871 3 года назад

      😂😂😂ati shot 📞📲

    • @irenewanjiku620
      @irenewanjiku620 2 года назад

      @@dianaigoko4871 maybe juma hajui dfrence ya shot na short call 😂😂😂

    • @awinojuju8522
      @awinojuju8522 2 года назад

      God***

  • @melkizedekiwiliam5533
    @melkizedekiwiliam5533 5 лет назад

    Da! Yesu alitabir haya. alisema dalili mojawapo ya siku za mwisho ni kutokea kwa manabii wa uongo wakitumia jina lake Yesu. ushaur wangu "ANGALIA SHETAN ASIKUTUMIE KUTIMIZA UNABII WA YESU"

  • @bigboy8508
    @bigboy8508 6 лет назад +131

    It is unbelievable people still go to his Church.

  • @zaveriamwai763
    @zaveriamwai763 7 месяцев назад +1

    RIP....mwende na pastor all dead 💔

  • @appskenya6114
    @appskenya6114 4 года назад +3

    If we don't repent of sin like this..Heb 12:14 shall be fulfilled...I quote "..for without Holiness, no one will see the LORD

  • @Brimot
    @Brimot 2 года назад

    Madness pastor,you are in business

  • @abdulrahimowino1235
    @abdulrahimowino1235 4 года назад +3

    Alhamdulillah. I'm proud to be Muslim

  • @jacklinelihabivshisundishi4303
    @jacklinelihabivshisundishi4303 5 лет назад

    Hongera moha .kwa kurudi kaxi mazuri

  • @luciannahngata5633
    @luciannahngata5633 6 лет назад +48

    God is light, and in Him there is no darkness at all.

  • @amossila
    @amossila 6 месяцев назад +1

    2024 we here

  • @blessedlovedandfavoured4129
    @blessedlovedandfavoured4129 5 лет назад +47

    All that that are done in darkness will be exposed thus says the lord

  • @KH-on8pp
    @KH-on8pp 2 года назад

    Great Mohammed keep it good Job let them stop lies in the name of Allah

    • @ErickLenana
      @ErickLenana 10 месяцев назад

      Christian don't preach in the name of Allah😂😂😂😂yahweh,hosssana

  • @donmwasvlog5367
    @donmwasvlog5367 4 года назад +30

    Why is RUclips recommending this 7 years later 🤣🤣🤣

    • @NabiiAmoh
      @NabiiAmoh 3 года назад

      😂😂😂😂

  • @masala8099
    @masala8099 4 года назад +2

    Dini Ni moja ya kiislam tu ila imani ndyo nyingi ikiwemo imani iitwayo ukristo

    • @gracemoses3062
      @gracemoses3062 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @salmadashlaquimanelaquiman4427
    @salmadashlaquimanelaquiman4427 6 лет назад +42

    Alhamdulillah Asante Allah kwa kuzaliwa muislam

    • @wanjikukaguara3900
      @wanjikukaguara3900 6 лет назад +4

      Salmadashlaquimane Laquimane ni magaidi pia Juana na Mungu pekee achana na dini

    • @iambetty1603
      @iambetty1603 6 лет назад

      Salmadashlaquimane Laquimane nakwambia

    • @yasintakulwa2354
      @yasintakulwa2354 6 лет назад

      Salmadashlaquimane Laquimane

    • @godfreynkya9271
      @godfreynkya9271 6 лет назад +4

      Dini haimpeleki mtu mbinguni ndugu zangu matendo yampendezayo muumba wako na kuishi sawa sawa na matakwa yake ivyo tu.ndo mana unambiwa njia ya kwenda huko ni nyembamba

    • @antoooa8664
      @antoooa8664 5 лет назад +2

      Uislamu ni magaidi

  • @sharonelekisha2722
    @sharonelekisha2722 3 года назад +1

    I don't regret never going to church......

  • @malvodjokovic6636
    @malvodjokovic6636 Год назад +5

    How time flies🔥🔥🔥

  • @nelsonkomen3735
    @nelsonkomen3735 2 года назад

    I believe church is just a big building but me personally can be the real church....I will never betray my Christ Jesus

  • @paulnjoroge1249
    @paulnjoroge1249 5 лет назад +8

    God is Love and everything about Him is Love. If there is anything done without Love just know God is not there.

    • @minjirewambugu7905
      @minjirewambugu7905 2 года назад +1

      Not everything about him is love.He can get very very angry.He is a God of wrath,please preach that too.

    • @LETLOVELEAD-nn9nj
      @LETLOVELEAD-nn9nj 2 года назад

      @@minjirewambugu7905 His name is love

    • @millicentluvai1652
      @millicentluvai1652 Год назад +1

      Wee don't advantage of of love, that's nonce remember the you are talking about is Jesus,stop it,mtachomwa nyinyi ni wale ibilis

  • @catherinegitau9053
    @catherinegitau9053 8 месяцев назад +1

    Halafu pastor akamumaliza😢😢😮

  • @elizabethfares4650
    @elizabethfares4650 6 лет назад +24

    Allah subuana wA tahala amewaona inshallah atajibu kwa wakati wake

  • @susanmartin6556
    @susanmartin6556 2 года назад

    Woooooi.... I'll stay where I am.

  • @bree2695
    @bree2695 3 года назад +4

    Jeisooooooo🤣🤣🤣💔💔💔..
    After 9 years and it's still funny😂😂😂

    • @Nita-rs7yn
      @Nita-rs7yn 3 года назад +1

      Iwonder how nimejikutahuku

    • @bree2695
      @bree2695 3 года назад

      @@Nita-rs7yn me too 🤣🤣🤣🤣..