Комментарии •

  • @khalidmwakabuta5045
    @khalidmwakabuta5045 2 дня назад +1

    Mh Waziri wa Ardhi huku Singida wenye mabavu na mamlaka wanajichagulia maeneo ya watu na kujimilikisha na hizo maamlaka zilizopo bado hazitendi haki pamoja na uthibitisho wa baraza la ardhi kata lakini haki za wanyonge bado zinazidi kuminywa