Jifunze Kiarabu - Sehemu ya 2 (Darsa ya 1/2)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • Huu ni mwendelezo wa somo la kwanza ambapo leo tutafanya mazoezi mballimbali yanaohusiana na somo lililopita.
    Hakikisha umetazama Somo la kwanza sehemu ya kwanza ili kuweza kuendelea na darsa hili.
    Kwa maswali na maoni andika kwenye comment hapa chini.

Комментарии • 23

  • @ahmedrashed7138
    @ahmedrashed7138 3 года назад

    Maashaallaah Allhamdullaah mungu akuweke akupe Barak nyingi Amiin

  • @mariamkredo5122
    @mariamkredo5122 4 года назад +1

    Shukran maalim jazaka llah kheiran

  • @ganettsofa7015
    @ganettsofa7015 6 лет назад +2

    Masha ALLAAH

  • @hassanalkiluwa8358
    @hassanalkiluwa8358 6 лет назад +1

    shukran shekh

  • @Saumbish1606
    @Saumbish1606 11 месяцев назад

    Shukran

  • @king-size8114
    @king-size8114 3 года назад +1

    Mashallah

  • @hashimuhamisi8317
    @hashimuhamisi8317 4 года назад +1

    Shekhe pendekezo langu ni kwamba andika kabisa sentensi ili tuweze kunakili kwani wengine hatuna vitabu vya light.

  • @abdulmajidsina7838
    @abdulmajidsina7838 4 года назад

    Kaka shukran sana ila andika ndio vzr zaid tupate kuelewa vilivyo

  • @ZainabZainab-r9n
    @ZainabZainab-r9n Год назад

    Maashaallaaah

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 5 лет назад +1

    Nipo oman sijui kiarabu hata mm napata tabu sana nimepata waswaili

    • @BINTIwaKITANGA
      @BINTIwaKITANGA 3 года назад

      Pole ndugu yangu tatu ☹️Mimi pia nipo omani Nina miezi Sita Tu lakini alhamdulillah 🙏🏻 naelewa kila waongeacho kama anavyoongea Hutu mwalimu na Nina watt basi rahisi Sana maana kila siku naongea nao.kiarabu kizuri sana

  • @ramadhanikiluwa5249
    @ramadhanikiluwa5249 5 лет назад +2

    mashaallah

  • @mamawamoya3344
    @mamawamoya3344 Год назад

    Acha kusema ,na kadhalika ,usichoke kurudia majina ya vitu ,na pia acha kuenda haraka,kama ungekua unaandika ungekua na utaratibu mzuri wa kueleweka,unatufuna lugha geni ,kua mpole huezi funza kwa haraka hivyo ,take time you have agood book,hatuna time ya ku load

  • @hassanbaoma8798
    @hassanbaoma8798 4 года назад

    Masomo yako mazuri ila hi mi nyimbo katikat ya masomo unatu malizia mb zetu

  • @rukkyxarat
    @rukkyxarat 4 года назад

    Assalam aleykum jamani namtafuta huyu mtu kama ana mawasiliano yake

  • @issamatula9818
    @issamatula9818 6 лет назад

    hbr yako mwalimu
    Je unaweza kunitumia kwa email hicho kitabu

  • @iddmulenga5662
    @iddmulenga5662 6 лет назад

    Je mwalimu nitapata wapi kitabu hicho ili niweze kuendana na darasa lako?

    • @abdallahkiyeyeu6510
      @abdallahkiyeyeu6510 4 года назад

      naomba unitumie soft copy ya hicho kitabu email yangu ni abdallahkiyeyeu8@gamail.com

    • @fadiaiddi4459
      @fadiaiddi4459 3 года назад

      Nimeipenda sana

  • @omanibra3899
    @omanibra3899 4 года назад +1

    MASHAALLAH