Eeee YESU damu hiii inene juu ya hao walio fanya tukio hili pesa itoe uhai wa mtu jamani kitu kinacho tafutwa kweli daaaaah DAMU hii isinyamaze milele juu ya maisha ya hao watu
@@lizzybenny9368 Kama uhai una nguvu atafute pesa kwa njia halali ukitaka mseleleko madhara yake ndo hayo akutafutie mwingne yeye abebe tyu umejua ameipataje? Jaribu Sasa kuiba uone Kama utaonewa huruma kwa kusema pesa Ina nguvu kuliko uhai
Tz watu wanatabia mbaya sana mtu akiwa nq maisha ya chini kila baya linalotokea kwenye jamii anashukiwa yeye acheni ushenxi huo serikali ichukue hatua kali kwrnye tukio hilo
Hao watuhumiwa kwa nini police wawalinde tatizo lushwa washapewa pesa kisha wanawalinda police mumuogope Mungu mkisha zika tu police watawaachia chap ndo mana mumeambiwa mzike.😢😢😢
Huwezi jua dear watu tunatofautiana namna ya kuumia kwahiyo usitake Kila mtu awe kama ww huwezi jua amehojiwa siku ya ngapi hata akigaragara itasaidia nn ataludi
Plz maoni yangu huyo asizikwe hadi hki ipatikane na uchunguzi uendelee kwa umakini na waliohuzika wachkuliwe hatua na shuhuli zote za mazishi washuhulke na bahati nzuri mnawafahamu bc! Serekali ifanye kazi yke hyo mama apate hki yke Moja na familia kwa jumla! Watoto bdo wadgo sna Hawa!
Poleni sasa Wanafamilia Mungu awape Subra
pole dadayang
Jamani mungu
Akutiye nguv
😢😢😢 My dear you are strong woman
Mungu na asikie kilio chenu Dadangu🙏🙏
Poleni my dear mpare mwenzngu
Pole sana dada yangu na wanafamiliya ote
Sasa mlio kazana kwamba anaroho ngumu mnataka awe anagaragara ndo mjue anauchungu.
Pole sana dada mungu ukufanyie wapes
Poleni sana Familia yote . Ila MUNGU yupo na atatenda haki kwa damu ilio dhurumiwa.😭😭😭
Hii nchi utafikiri hakuna serikali😭😭
Pole dada mungu akufanyie wepesi
Emwenyezi mungu tupe mwisho mwema mana huku tuendapo sijui nchii yetu kila mtu anamuwa anavyo taka😢😢😢😢😢
Huyu dada ndio alivyo an smile all the time msimjaji
Pole sana mdogo wangu.
Duuh polen sana jamani ndugu ila sijapenda kwann wamchome 😭😭😭
Sasa shs laki moja unamchoma mtu kweli,,,afe ....hapa kuna mambo ya mazombi Zombo....huyu mwanamke kuna kitu ajasema.
Dah mke wa marehem jasir
Ashalia sana Hellen bora ajikaze tu
Ni kher ww unayekijua hilo@@omarymbaraj8072
Inasikitisha sana na inaumiza sana 😭😭 jamani😭😭
Pole sana😢😢😢😢😢
Eeee YESU damu hiii inene juu ya hao walio fanya tukio hili pesa itoe uhai wa mtu jamani kitu kinacho tafutwa kweli daaaaah DAMU hii isinyamaze milele juu ya maisha ya hao watu
Siku ukiibiwa wew ndo utaelewa mwizi Hana maana
@EuniceDaniel-p4o ooooooh kumbe kwako wewe pesa ina nguvu kuliko uhai et?
@@lizzybenny9368 huwezi elewa maumivu mpaka uibiwe my sister ubakishwe mtupu ndo utaelewa sahv wew ni kipofu
@@lizzybenny9368 Kama uhai una nguvu atafute pesa kwa njia halali ukitaka mseleleko madhara yake ndo hayo akutafutie mwingne yeye abebe tyu umejua ameipataje? Jaribu Sasa kuiba uone Kama utaonewa huruma kwa kusema pesa Ina nguvu kuliko uhai
Dada pole sana
Tz watu wanatabia mbaya sana mtu akiwa nq maisha ya chini kila baya linalotokea kwenye jamii anashukiwa yeye acheni ushenxi huo serikali ichukue hatua kali kwrnye tukio hilo
Pole sana inauma
pole sana dada
Ila tanzaniya bara wamezidi roho ngumu😢😢
Pole xn
Hao watuhumiwa kwa nini police wawalinde tatizo lushwa washapewa pesa kisha wanawalinda police mumuogope Mungu mkisha zika tu police watawaachia chap ndo mana mumeambiwa mzike.😢😢😢
Hawa wahusika washughulikiwe huwezi kumchoma mtu gharama ya uhai wa mtu na hiyo pochi hebu binadamu kuweni na utu
Auaye kwa upanga atakufa kwa upanga. Haki itendeke jamani Tanzania
Mbn mwanamke ana uchungu😮😮
Sasa ndoatasimanzi kweli jamani Pete Pete atakuvua
Hakuna haja wanted mpeleka polisi😢😢😢😢
Mmmmmmmmh da binaadamu watu atar sana
Daaahh inauma sana ila Mungu atawalipa
Awa wachukuliwe hatua la sivyo Hizi hali zitaendelea BIla maana
Jamani poleni sana ndugu waliopatwa na janga hilo tunaomba jamani hao walio mfanyia huyo kijana tukio kama hilo wachukuliwe hatua kali ya kisheria
huyo dada alikua Hana mapenzi na mume wake, ana sema wame fanya Kwa kustukiza kweli jamani
Mnamhoji nini sasa kuna faida gani😊
Heee pole yake
Pole sana mke wamarehem
Miaka 6 umefiwa na mume unatabasamu? Wonder shall never end 😮
Uyu mtoto jasiri Kwa kweli Yani yupo vizur Kwa kweli anaongea tu na tabasamu la kutosha 😢😢😢
Hapa mambo na police itachukua miaka 20 Daktari akuje hapo wenye kuchoma huyu mjamaa ajilete
Aiseee hii dunia
Mnaelaumu ,,eti halii unajuaje kama kalia sana na kapewa mawaidha maana kulia sio dawa bali unamuwekea mazingira magumu maiti
Acheni huongo tukio la zamani sana ili hii video ya uyu mama anaye chomwa apa niya mda mrefu sana
wapumbavu ao
Dada pole sana Mungu akutie nguvu lakini kwakweli jeshi la polisi huko gogoni washugulike na hao Wajinga
Hatibu baraka
Mungu ndiye mwnye haki zote
Mtihani wallahi ila mwanamke mwenzangu unanguvu 😢😢😢😢mie nauliza huo ujasiri wakuongea ivo unautolea wapi
Ku
Nmeshangaa sana, au nae mhusika
Yani huyu dada ana uchawi ndani yake so bure
Yaaani mkavu kama kibambala
Eeeeeee Mungu eeeeee.
Nimeumia sana kwa kweli.
Kwanini mnaandika MWIZI mna uhakika ni MWIZI!!!! badilisha hicho kichwa cha habari haraka sana....mmeshaambiwa sio mwizi kwanini uandike mwizi!!!!!+
Poleni jamani
Pole
tanzania bado ingali nyuma ,inchi ya ukatili haki zakibinamu hakuna
MUNGU mpokee kwako na ushughulike nao waliomchoma huyo kijana wa watu MUNGU mpumzishe kwa amani
SASA MBONA MNAMWITA MWIZI?. ANGEKUWA MZIMA ANGETUAMBIA KILICHOTOKEA. SASAHIVI HATUWEZI KUJUWA UKWELI.
Sasa hiyo heading kuwa Ni mwizi una uhakika???
Da noma sana 😢😢😢
Dada anariho ngum sana ni mjasiri sana masikin
Mbon mke wake anaongea huku anafurahi 😢😢😢😢😢😢😢😢
Hata mim nimeona hivyo
kabisa huyu dada kama vile anatambuwa ukweli wa swala mana haonyeshi maumivu kabisa
Hapo hakuna mke, hakuna mapenzi, anazungumza kama sio jambo la kuhuzunisha!!
Jamaa angejuaaa@@jumasaid6073
Sio mwinzi
Mbona anatabasamu huyu mfiwa macho makavu
Mke wa marehemu ?
Wahusika walipswa kuchomwa moto nawawo kwann wachukue sheria mkononi
Serikali ya tanzania. Iweke mkazo MTU kama.ni mwizi.asichomwe wengine ni fitina tuu kumuvamia na kusema mwizi kusudi ni fitina
Jamania watu mbona wamigiuka kuwa wanyama mungu wangu
Heeee jmn jmn vp hawa walimaengu wanaenda wap
Tumelaaniwa watz,vibaka wanachomwa moto,mafisadi ndio mashujaa ktk taifa hili
We dada huyo mumeo na kaacha watoto kweli mbona unaongea kama unajua kulea watoto bila baba ni kula ugali na mlenda aseee 😢😢
Anajikaza, kuna video nimeona anahojiwa alikuwa anashindwa ata kujielezea vizur, apa naona amekomaa Machoz yameisha, mpaka siku ya msiba
Huwezi jua dear watu tunatofautiana namna ya kuumia kwahiyo usitake Kila mtu awe kama ww huwezi jua amehojiwa siku ya ngapi hata akigaragara itasaidia nn ataludi
Musimuhukimu musilojuwa huyo dada asikia uchungu ndania yaroho yake anajikaza tu
Plz maoni yangu huyo asizikwe hadi hki ipatikane na uchunguzi uendelee kwa umakini na waliohuzika wachkuliwe hatua na shuhuli zote za mazishi washuhulke na bahati nzuri mnawafahamu bc! Serekali ifanye kazi yke hyo mama apate hki yke Moja na familia kwa jumla! Watoto bdo wadgo sna Hawa!
Huyu ni mfiwa kweli? Na alimpenda mume wake kweli? Duh roho ngumu isio faa
Ulitaka ashindwe kujieleza au!
@@InnocentKapwani may be
Mungu awalani wote
Duh watanizania 2nakuwa wa coco
Mke wake halikuwa ana hojiwa analia sana
Unaroho yako unaulizwa unajibu MI siwez we eeee alafu una
Huyu dada anavuta bangi hata kama hampend mume wake ndo acheke cjapenda
Wadishia wahabare mumsaidia sio masualia hapo msaada ni muhemu kaka
Waliofanya tukio wako wapi au ndio washaachiwa?
hawa wakikamatwa wapelekeni na gari jeusi
Au alikuwa anaiba sim za watu
Tanzania si nchi ya amani mwizi anauawa kwa sheria acheni izo manamba nyie
Kamateni hao watu wachomeni moto na wao
Ila huyu dada kweli jasiri anaongea kama Hana majonzi vile duuu
Dada naww ni mhusika namba moja,maana huna hata uchungu wwote,arusha amani imetoweka,maovu yameongezeka,
Soma habari vizuri, sio Arusha, ni Dar, kwani kila baya ni Arusha?
Inauma sana
Dunia Haina huluma hata mimi baba angu ame uwawa mrimba😭😭😭😭😭 hakuna hakiyoyote iliyo tendeka ilila nimemwachia mungu
Pole kpnz😢😢
Mrimba maan ake nn.nenda kwa mganga watoe kafara wote waliobusika
Huyo mume wake kweli mana anaongea hana hata hana maumivu anaongea vizur
Mimi ni wa kwanza nipeni like zangu jameni
Mbwa mkubwa,sisi tunafuatilia vitu vya maana lenyewe linaleta lipewe hongera,mavi nn
Wakwanza kwenye mtihani wakwanza kuzaliwa@@yukundapeter8200
uyu mke wa marehemu mbona anaongea kama. ajafiliwa na mume wake ata uchungu aisi
Duh jaman nitangulize polen Sana ndugu jamaa wote hikitendo chakumfanyia binadam mwenzenu me Ninachotaka naionekane siokutumia lushwa naikataa
Oy awo waliomchoma Motokija huyo wakamatwe nawao wachomwe Moto hp
Mbona huyu dada anaongea hana hata shida
Rekebisha hicho kichwa cha habari sio mwizi ni uonevu tuu haiwezekani mtaa mzima wamtetee mwizi hadi viongozi wa mtaa tumieni akili
Mbona huyu dad Ana nguvu
Jamaa Sio mwizi asee daah
Aiseee
Jamani afu mbna mwandishi na wewe unamwandika mwizi 😢😢😢
Jamani huyu mwanamke achunguzwe vizuri siamini kama mumeo amekufa Jana Leo unahojiwa unatabasam. Siokweli Kuna jambo hapo. Ebu muangalie rafiki anazungumza kwauchungu alafu mke yupo safi kweli
Hivi huyo kweli ni make au maana kwa NGUVU hizo sijui
Jamani labda ni nature yake tu lakini anaumia uyo
Nilivo mskiliza Dada vizuri akili Aiko sawa jaman mstuko mkubwa😢😢