Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Tazama Davido alivyompandisha Diamond kwenye Stage kwa kushtukiza

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 июн 2018

Комментарии • 336

  • @msofelighitrider5748
    @msofelighitrider5748 6 лет назад +33

    Hays sasa watu mnaanza shobo milad ukitaka mafanikio acha kuiga bifu za kimama yani show imelipuka davido mwenyewe kafunikwa mondi ni fire gonga like mamaee

  • @jamesmoses5625
    @jamesmoses5625 6 лет назад +67

    kama unamini diamond ni star wa kimataifa gonga like

  • @eliasayasini1466
    @eliasayasini1466 6 лет назад +23

    😂 😂 simbaa kamfunika davido walio liona hilo Like twende sawa

  • @ayoubbusanya8290
    @ayoubbusanya8290 6 лет назад +43

    "Nmekuja kwa heshima ya rafiki yangu davido"that means Davido alimuomba simba kuja kumsapoti....Hakika Diamond ni maji usipoyanywa utayafulia na usipoyafulia utayaoga...... Noma sana baada ya Mond kuingia hali ya hewa ikachafuka

  • @hadassperez494
    @hadassperez494 6 лет назад +11

    Work hard until they can't avoid you 💯💯. If Diamond doesn't inspire you, l don't know 😎😎

  • @billzjuma7684
    @billzjuma7684 6 лет назад +22

    Milad ulikuwa unakosa pesa za viewers coz ya interest ya clouds pole sana hii ni biashara yako binafs au mmeshare na cloud

  • @dalalibangokigamboni3958
    @dalalibangokigamboni3958 6 лет назад

    KAMA UNAHITAJI KUUZA KUNUNUA KUPANGA AU KUPANGISHA NYUMBA VIWANJA MASHAMBA FREM NA OFISI CALL#0718295182 #0765505909
    Instagram@dalalibango
    Facebook@dalalibango

  • @jonasamos555
    @jonasamos555 6 лет назад +25

    "Tunajiandaa na wasafi festival,nimekuja kwa heshima ya mshikaji wangu au sio"
    Huu mwaka Mbona tutanyooka sasa Tangazo lake kwenye uwanja wangu hizi dharau

  • @danielelwin1778
    @danielelwin1778 6 лет назад +20

    mawingu fm kwahuyo kibakuli mnapoteza mda weni maana habebeki mambo yapo wcb

  • @mkaliwenuoriginaltv7655
    @mkaliwenuoriginaltv7655 6 лет назад +24

    Diamond ur the number one bro

    • @karabwepaschal8767
      @karabwepaschal8767 6 лет назад

      MKALIWENU ORIGINAL TV platnumz n moto wa kuotea mbaliiiii

  • @shabanmondi9299
    @shabanmondi9299 6 лет назад +56

    milardayo nilikuwa napenda kufuatilia habari zako lakini kuingilia ugomvi Wa diamond na ruge nikakudharau mpaka Leo hata uposti nini sikuelewi kabisa mnafosi kumbemba kiba MTU mwenyewe habebeki halafu kumshusha diamond hamuwezi mliwawezea hao hao akina jide nasugu sio kwa diamond mmfeli mmeanza shobo wenyewe

    • @roseirungo1950
      @roseirungo1950 6 лет назад +3

      Shaban Mondi umesema kitu ya maana sana kwangu pia huu millard ayo Nilimfuatilianga sana vipindi vyake lakini vile alimbwaga daimond nikauchukia unafki wake ...Sabbu hufai kumchukia mwenzako kwa ajili ya wengine ....

    • @fredykisongo7081
      @fredykisongo7081 6 лет назад +2

      Shaban Mondi ujinga huo CIO lazima umwelewe Millard ukimchukia wengine wanamkubali

    • @africandreamchaser8676
      @africandreamchaser8676 6 лет назад

      Hiii dunia kweli kuna watu timamu zao zilishastaafu sasa ww ugomvi wao unakupa faida gani? Hata ukitukana hakuna kinachobadilika hapo na usikalili kila unachikiona vingine ni lazima vitokee ili maisha yaende

    • @ashamlosi1899
      @ashamlosi1899 6 лет назад +1

      Sasa anaingilia kivipi? Elimu Elimu

  • @lastseen6815
    @lastseen6815 6 лет назад +17

    Sasa kati ya SIMBA na RUGE nani boya? tanzania yote na east Africa washajua RUGE ndio anauwa vipaji vya wasanii msenge sana. +254 niko hapa kwaajili ya diamond na mkifanya mchezo atawapoteza nyinyi

  • @kifarusongeaolg9726
    @kifarusongeaolg9726 6 лет назад +15

    mtangazaji: daimondi unazungumziaje media zinazoacha kupiga nyimbo zako?
    #daimondi : unajua nikuambie kitu mimi nikama maji usiponioga utaninywa utanifulia au utanichambia kwaiyo wao waendelee kubania lakini wajue biashala yamzki sasa IPO #wcb usipoiyongelea #wcb utaongelea nini
    mtangazaji: 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @boniphaceexsavery8271
    @boniphaceexsavery8271 6 лет назад +13

    Hahahahaha kam unakubalian na mim kuw ayo tv wameinua mikon kwa mond like down

  • @yohanamsafii3404
    @yohanamsafii3404 6 лет назад +21

    Mtamkubali tu diamond wapuuzi nyie mlifikili naye ni jaydee mukimbania atayumba huyu ndio simba ni km maji na bado

  • @fbr5113
    @fbr5113 6 лет назад +53

    Hata namba moja iko chini yako, huna namba Dai, umeibeba Dunia. Hilo linyota si la ulimwengu huu. Millard nimekupenda kwa kuiona hela ilipo umepotezea upuuzi wa bifu. Usawa huu usipounga urafiki na WCB utakula wapi? Tulishakusahau dogo Millard sasa tumerudi kwaajili ya Chibu Deee.

    • @fredymsahe4051
      @fredymsahe4051 6 лет назад +1

      Millard wewe Leo ubishi umeisha achane mambo yenu ya kisenge mlidhani kumpotezea mondi mnamuua kumbe mnajiua nyie wenyewe sasa angalia shangwe hapo kama maji mengi kwa mondi mnambeba MTU ambaye abebeki

    • @fbr5113
      @fbr5113 6 лет назад

      Na Millard ukirudia tunakuhama jumla hatupendagi watu wenye roho mbaya TZ ni moja tunataka roho nzuri kama ya Mondi kunyanyuana kimaisha. Mfyuuuuu ulikuwa unaboa na habari zisizo na kichwa wala miguu. hizi ndio habari sasa tunael;ewana

    • @fbr5113
      @fbr5113 6 лет назад +1

      Huu mchezo asirudie kuucheza maana anadharaulika. Wapuuzi tu ndio wanachezaga michezo michafu isiyo na faida. Unaanzaje kumkaushia mtu ana folowers kibao na ukichanganya na za mademi wake na za wasanii wake hivi wanategemea wataweza kupambana na Mondi? Ana nyimbo nzuri na ana vyombo pia vya habari sasa fyuuuuuuu maana walikuwa wanajidai na midia zao kawakomesha kafungua yake sabb alijua kitambo

    • @kessymontana4297
      @kessymontana4297 6 лет назад

      Potezea Wazushi shuhudia mwenyewe kwel me mmoja wapo

    • @saeidmrombo134
      @saeidmrombo134 6 лет назад

      Me mwenyewe nilimpotezea

  • @64aaa
    @64aaa 6 лет назад +6

    Safi sana na usipo yaoga lazma utayanywa. Chama la Wana✌💞

  • @iconlyx2724
    @iconlyx2724 6 лет назад +27

    Millard ulimiss kumpost diamond bhs tu😂😂😂 yan kama Mungu vile jana kakuona😂😂😂😂

  • @zachariamishai7258
    @zachariamishai7258 6 лет назад +35

    Kwa media zinazombania Simbaaa,, Tutaelewana tu😂😂

    • @congoboymbeyas2440
      @congoboymbeyas2440 6 лет назад

      Zacharia Mishai 😂😂😂

    • @mwisukulu1
      @mwisukulu1 6 лет назад

      Zacharia Mishai ha ha ha safari hii tutaelewana tu

    • @peterfabian8860
      @peterfabian8860 6 лет назад

      zacharia mishai 😂😂😂😂😂😂

  • @ligmmohd8112
    @ligmmohd8112 6 лет назад +57

    Hahahahahahhahahhahhahaahaahahahhahaahhahahahahhahahahhahahahah, "MWISHO WA UBAYA ni AIBU "PMOJA SANA.

  • @wilibrodislayo8334
    @wilibrodislayo8334 6 лет назад +15

    yani simba kawafunika wenyeshoooyao kweli simbaaaaaaaaa nihatari

  • @ahmedsalum8947
    @ahmedsalum8947 6 лет назад +9

    🔥 🔥 WCB for life 👌

  • @mikasatv1597
    @mikasatv1597 6 лет назад +12

    HAHAHA ILA MILLARD WEW NI MSENGE UACHE KUFATA MIKUMBO USHAKUA UTWAMBIE KAMA AYO TV INAMILIKIWA NA LUGE UWEKE LUGE TV SIO UNAKUZA JINA KUMBE HUNA MAMLAKA NALO

  • @alquinmadoro8064
    @alquinmadoro8064 6 лет назад +4

    Hahahahah wanao tengeneza bifu na diamondplatnumz kiukweli nothing they are doing ,namkubali sana chibuuu

  • @mimiissueboy9096
    @mimiissueboy9096 6 лет назад +11

    watu mlikuwa mnashindwa kuelewa mnamulaumu millard bure tu hii bifu ni ya diamond na clouds media kwaiyo yeye kama mfanyakazi wa clouds alikuwa aruhusiw kupoct habar yoyote inayohusiana na diamond,sa nyie mlitaka apost ili afukuzwe kazi au,ila wao binafsi awana bifu.acha like yako hapa kama unakubaliana na mimi

    • @samcleophace8652
      @samcleophace8652 6 лет назад +1

      Mimi Issueboy contract zingine bana yani Mtu unamilikiwa Kama products

    • @mimiissueboy9096
      @mimiissueboy9096 6 лет назад

      kwel kabsa kk

    • @songorojaphari5401
      @songorojaphari5401 6 лет назад +1

      Duh!!! Nembo ya taifa ni mond

    • @gisbertruseruka8977
      @gisbertruseruka8977 6 лет назад +1

      Mimi Issueboy ,sio kweli ,Millard ayo sio muajiliwa wa clouds ,kanunua kipind clouds ndomana anakiita kwa jina lake kwamba Ayo Tv ,so anapost anachojsikia na pesa zote za matangazo n.k zinaingia mfukon mwake ,so yy sio muajiliwa wa clouds n mmiliki wa kipind clouds kama ww ambavyo unaweza lipia kipind ukifanya yako ,clouds kuna vipind vya clouds kama clouds na vipind vipind binafs chini ya watu ,alianza kama mwajiliwa sahv n mmiliki wa Tv ndani ya Tv clouds, so wakiznguana anaweza kwenda azam TV akachukua kipind na kikaenda kwa jna lake LA Ayo Tv , sema alitaka kujiingiza kwenye bifu lisilomhusu kwa kujikweza kwa ruge

    • @mimiissueboy9096
      @mimiissueboy9096 6 лет назад

      mmmmh cna uhakika na maneno yako kwaiyo unasema millard cyo mwajiliwa wa clouds si kwel kk

  • @zainabualtz1455
    @zainabualtz1455 6 лет назад

    Millard Ayo t.v. Asante 😘😘😘😍😍 achana nao haooo team #diamond naona matusi kibao piga kazi💪💪💪💪

  • @DolbachSadi-10
    @DolbachSadi-10 6 лет назад

    live performance ndo mziki sio CD Asante sana Davido japo mziki wenu hauingii kwa mziki wa kwetu DRCongo

  • @allymuhadimu2268
    @allymuhadimu2268 6 лет назад +8

    yaaa tz one mond hana mpinzani

  • @hendryolotuz863
    @hendryolotuz863 6 лет назад +10

    Simba toka mbuga yatandale mvumo warad wanataka tuwe saresare

  • @abuyizedon
    @abuyizedon 6 лет назад +3

    Madaraka ni kama mchanga. Jinsi unavyoyakumbatia kiganjani ndivyo yanavyokuponyoka
    MMESHAUMIA TAYARI TEAM CLOUDS

  • @leonardmavele183
    @leonardmavele183 6 лет назад +5

    Chibuu chibuuu kwa saut ya davido haaa haa

  • @fbr5113
    @fbr5113 6 лет назад +4

    Hizi raha mwenzenu hadi nachanganyikiwa jinsi watu wanvyokunwa na Mondi

  • @mapishionline4396
    @mapishionline4396 6 лет назад +11

    naona baazi ya wasanii walioperform walivonuna hapoooooo

  • @fbr5113
    @fbr5113 6 лет назад +3

    Ila jamani hivi bongo kunia vyuma au uongo maana si kwa nyomi hilo sabb ya WCB. WCB mnatukomeshaje hadi rahaa

  • @princewolf9232
    @princewolf9232 6 лет назад +1

    Poleni sana kashaondoka hapo kamlenga davido diamond anajipendekeza kwenye media kiujanja kwa wasanii wakubwa hamna lolote kajipendekeza tu

  • @shabanmondi9299
    @shabanmondi9299 6 лет назад +6

    kwa diamond mtasanda diamond ashakuambieni ye ni kama maji

  • @brendaduncan8121
    @brendaduncan8121 6 лет назад +1

    Hate will never prevail, Good job Millard

  • @SwahiliPrideBongoMovie2018
    @SwahiliPrideBongoMovie2018 6 лет назад +1

    nimeipenda sana hii video Davido na diamond kwakweli nimefurahi sana, i wish if they do various artist like what they did in All i do is WIN WIN of T-pain, any way for those who love bongo movie, kwa wale waliopenda bongo movies, karibu sana kwenye channel yangu ya BONGO MOVIE asantehh

  • @jeffwasulaya3322
    @jeffwasulaya3322 6 лет назад +6

    SASAJE!!ENDELEA HIVIHIV #MILLADAYO UTAFANIKIWA SIYOKUBANIA BANIA

  • @zabronlameck1073
    @zabronlameck1073 6 лет назад +4

    Nice work ,diamond katisha sana

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +10

    *Clouds fm* ckuizi mnampost Diamond, chezea Baba Dylan nyinyi.

    • @kijanamatata7135
      @kijanamatata7135 6 лет назад

      Saumu Hassan duuh hivi wewe Dada unapata mda wa kufanya kazi kweli?? muda wote upo RUclips tu.

    • @thelifestyle6077
      @thelifestyle6077 6 лет назад

      saum vipi hatumwoni sky a sns kwa hewa

    • @saumuhassan1365
      @saumuhassan1365 6 лет назад

      King o Tv hata mimi nakosa raha cjajua nini tatizo, hata jana nimeingia instagram yake nimeuliza hili swali, ila hakujibu, cjui yuko likizo au wamepata msiba kama Mimi.

    • @saumuhassan1365
      @saumuhassan1365 6 лет назад

      Kijana Matata tena mimi nafanya kazi kama punda, nimeamka saa kumi na mbili kasoro asubuh sassivi nimemaliza kazi naingia kuoga nisali ninyooshe nguo, nafanya kazi sana, we acha tu.

    • @kijanamatata7135
      @kijanamatata7135 6 лет назад

      Saumu Hassan mmh mbona muda wote upo RUclips tu??

  • @richardmichael7708
    @richardmichael7708 6 лет назад

    Aisee kama umefurahia Millard kupost story za diamond like tu-enjoy wote

  • @kingkiwango1435
    @kingkiwango1435 6 лет назад

    Hatimae yametimia yale maneno ya wahenga kwamba asiyekubal kushindwa c mshindan... Now on kwa clouds and ayo tv.. It's a long journey for sure!!

  • @ritchiexanti9587
    @ritchiexanti9587 6 лет назад +5

    Millard... I hate these ads mwanzoni....
    RUclipsrs weng wanaweka lakini short and clear... Ads ndef and unclear zanaboa

    • @frankemson
      @frankemson 6 лет назад +1

      Richy Xanty HD. 😅😅😅
      Kila siku anatuambia Kazi yake ni habari utazani hatujui

  • @wilsonwizzo2483
    @wilsonwizzo2483 6 лет назад +1

    hapo tupo sawa Millardayo

  • @kessymontana4297
    @kessymontana4297 6 лет назад

    We jamaa umejpunguzia mapenz kwa fan wko like me,knachotakiw usimchukie mchezaj bali uchukie mchezo wnyw uyu hata wapasua vchwa sana

  • @peterngassalah6454
    @peterngassalah6454 6 лет назад

    Diamond alivyo mtu mbaya kachomekea na tangazo umo #Tukutane_Wasafi_Festival asa mtamwambia nn maboya nyinyi uyo ndo #Diamond Maji bhana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mussajoseph7746
    @mussajoseph7746 6 лет назад +1

    Nimesikia kama#Davido kasema new music coming soon akimaanisha kuna wimbo yeye na #Chibu unakuja au nimasikio yangu wakubwa naombeni aliyesikia vizur aniambie 😀😀

  • @snippermaricka6358
    @snippermaricka6358 6 лет назад +11

    Mmesha maliza beef zenu sio

  • @benimagaya7966
    @benimagaya7966 6 лет назад +1

    Kazi Nzuri Davido VS Diamond Platinum 🔥🔥

  • @asimwesarah7883
    @asimwesarah7883 6 лет назад

    Welcome to Uganda davido we love you

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 6 лет назад

    Kama unamkubali. siimbaaaa tia like hapaaa

  • @nizoplatinumztz8025
    @nizoplatinumztz8025 6 лет назад +7

    Ayo uwe unafanya ivo ivo kwa show za simba

  • @mpuwanyahamza5188
    @mpuwanyahamza5188 6 лет назад

    Safi sana bro. wagombanao ndio wapatanao. masnitch wata troll sana but ni kawaida ktk maisha kugombana na kuelewana.

  • @Eddie25502
    @Eddie25502 6 лет назад

    Huyo ni maji msipomnywa mtamchambaaaaaa..
    #teamKibamiaaaa nawaona...
    WCB for maisha

  • @ommydee
    @ommydee 6 лет назад

    xhow Kali, namkubali Sana #diamond

  • @kaombwekhadija
    @kaombwekhadija 6 лет назад

    Wewe ndo Icon yetu Chibu Dangote chibu Deeeeeeee

  • @godrickmalinga3762
    @godrickmalinga3762 6 лет назад

    Du we proud on yu DIAMOND PLTMZ

  • @larickmtui2852
    @larickmtui2852 6 лет назад +2

    Simba nikama maji milard na clouds msipo yanywa mtapigia dek

  • @tuxher8117
    @tuxher8117 6 лет назад

    Hahaha finally u made it brooo acha kupelekw brooo usiingizwe tu ka kamba ya bikin

  • @lovenaagervaa8749
    @lovenaagervaa8749 6 лет назад

    Chibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 chibu Dee chibu Deeeee❤

  • @frankmgendi8985
    @frankmgendi8985 6 лет назад

    nilitoa subscribe yangu kwa milad coz ya kumchukia mchiz ngote but nou nasubscribe tenaa brother millad ulituvunja moyo mafans wakoo but all of that big up to you mambo ni🔥🔥🔥

  • @shamsaabdalah7038
    @shamsaabdalah7038 6 лет назад

    Nzuri sana daaa kama unamkubali diamond gonga like hapa dii

  • @dalalibangokigamboni3958
    @dalalibangokigamboni3958 6 лет назад

    KAMA UNAHITAJI MAKONTENA YA AINA ZOTE 20 FT NA 40 FT CALL #0718295182 #0765505909

  • @frezixsabk8078
    @frezixsabk8078 6 лет назад +1

    siku moja view 60k utajua upepo upo kwa nan... kaz kwako kujumlisha au kutoa

  • @judithmapunda5137
    @judithmapunda5137 6 лет назад

    safi sana d,sasa ckui watakulipaa

  • @cypherkongwe1910
    @cypherkongwe1910 6 лет назад +27

    Hii channel nilishaachaga kutazama sbb ya unazi wa kijinga Hapo sasa tutaelewana

  • @asallymbwego5906
    @asallymbwego5906 6 лет назад

    Ndiyo level zetu hizi WCB 4 rever and 4 always.

  • @VAVE_MEDIA
    @VAVE_MEDIA 6 лет назад

    Show ya Kizazi Sanaa Big up Davido na Diamond

  • @bensonfrank643
    @bensonfrank643 6 лет назад +1

    Jina Lenywe Diamondplatnumz Bado Hamuogopi tu??? 🔥🔥🔥

  • @chicharitoronaldo5950
    @chicharitoronaldo5950 6 лет назад

    Clouds ni Zilipendwa WASAFI TV NDIO HABARI YA MJINII...kama hutaki jambaa🔥🔥🔥

  • @jkissjuma9425
    @jkissjuma9425 6 лет назад

    Hapo sawa sasa nilikuhama sasa naludi nikuzalau sana mird

  • @lyciampongo2310
    @lyciampongo2310 6 лет назад

    trop de love pour ma stard Davido

  • @ccmtunatekeleza2898
    @ccmtunatekeleza2898 6 лет назад

    Unstoppable simbaaa,mondi,chibu dangote,onfire

  • @novatpedro5941
    @novatpedro5941 6 лет назад

    millad ayo mungu atakuongezea zaidi bhana asifuate kapuni inataka nini fata kilicho kwenye imani: yako simba kwenye buga ya tanzani nice one

  • @khassnmoto6870
    @khassnmoto6870 6 лет назад +3

    Atakae kukataa mond ni roho ya mamba2

  • @aloycemazikuoffocial4261
    @aloycemazikuoffocial4261 6 лет назад

    yaaani na kukaa kimya kuto kupost video za matukio ya mond na kubase sanaa kwa kiba Leo hii mkuu millady ayo umepost kwa Mara ya kwanza acheni utimu tunagandamiza mziki wetu clouds TV na FM mnachofanya mnajiribu kuua mziki wa nassibu Abdul lakin kwasasa mmechelewa jamaa kawa matawi ya juu nyimbo yake mmsipo ipiga clouds TV na FM basi wasafi TV watapiga👋👋👋👋❤

  • @juliusonesmomfumya8709
    @juliusonesmomfumya8709 6 лет назад +14

    Ayo nakupa bigup kwa kuzika vibifu vya kijinga kumpoct mond

    • @flyhigher5393
      @flyhigher5393 6 лет назад

      Julius Onesmo Mfumya hapo alikuwa hana jinc tu kwajili ya davido kapost ila hatampost diamond huyo...
      Hapo kaona acpo post itaonekana kambania davido so kapost kinafiki tu...

    • @juliusonesmomfumya8709
      @juliusonesmomfumya8709 6 лет назад

      Abdul Gingo 😀😀😀😀 bongo bahati mbaya, wenzetu ngozi nyeupe mtoto akionesha kipaji anasapotiwa, ila bongo bwana duh watu wanawaza kudidimiza tu 😁😁😁😁😁😁

  • @kelvinmanyota9353
    @kelvinmanyota9353 6 лет назад +7

    some time una akili bro

  • @sirangoclassic9555
    @sirangoclassic9555 6 лет назад

    Umepatia millard Safi sana

  • @mashmashmkeyenge9210
    @mashmashmkeyenge9210 6 лет назад

    Acheni kuharibu nyimbo my number one mnapiga sebene la nini

  • @larickmtui2852
    @larickmtui2852 6 лет назад +2

    Simba nikama maji

  • @amiria.mustafa9859
    @amiria.mustafa9859 6 лет назад

    Mpige na nyimbo zao sasa,, maisha yaendelee,😕

  • @nizoplatinumztz8025
    @nizoplatinumztz8025 6 лет назад +1

    Millardayo nakukubali xn lkn kutokumpost diamond Platinumz unatuudhi unamfataje Ruge wakati una blog yako

  • @stephanoeemson5380
    @stephanoeemson5380 6 лет назад

    Safiii Sana mtu Wang wa nguvuuuuu

  • @isackelisha2704
    @isackelisha2704 6 лет назад +3

    Nlikuwa naanza kukuchukia Broo kisa Bifu zakijinga🤔

  • @msabahamsabah9128
    @msabahamsabah9128 6 лет назад

    Diamond platnumz 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @athanastheonest6728
    @athanastheonest6728 6 лет назад

    Dah huyu mnyama ametoka mbuga gani jaman Ndege zingekuwa nauli kama daladala ningepanda SAA 7 usiku dah gonga like kwa Chibu denga

  • @kolinsimahanga9845
    @kolinsimahanga9845 6 лет назад

    can't wait 4wasafi festival,,, inatangaziwa uwanja wa adui

  • @kalebzacharia9302
    @kalebzacharia9302 6 лет назад

    Safi sn Millardayo.....naona umekataa kuwa kaa

  • @festoedward1902
    @festoedward1902 6 лет назад +1

    Yaani we Millard akili zako za kitoto Sana yaani mtu akitofautiana na boss wako na ww unaingilia hii Chanel ni yako utapoteza mashabiki bure hapa nimekuja baada ya kuona umempost boss wetu

  • @frankgalus2000
    @frankgalus2000 6 лет назад

    Unampost mond kwa shingo upande we mpost tu ivo ivo kila unapopata nafasi bwana mdogo mirrady kwan mond namba nyngne

  • @charlsngosha9128
    @charlsngosha9128 6 лет назад

    bonge LA shavu mpaka dovido kafurahi safi sana d mnyama.

  • @middlesimba
    @middlesimba 6 лет назад +2

    💦 💦💦💦💦💧

  • @mjukuumtindo8057
    @mjukuumtindo8057 6 лет назад

    performance nzuri..!!

  • @davidmpungu8502
    @davidmpungu8502 6 лет назад

    Mbona hakumpandisha kiba nawakati mlikuwa mnampigia sana pande sana kwa davido aise hata ukimchukia mond yeye sawa na maji utamywa tu.

  • @danielelwin1778
    @danielelwin1778 6 лет назад +1

    yanaitwa maji usipoyaoga utayanywa na ukigoma basi utayachambia choon nakama haiwezekan utayakanyaga wakati wa masika

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya 6 лет назад

    Mond ni biggest brand in Tz

  • @haxhymseyf9710
    @haxhymseyf9710 6 лет назад +8

    Ali kiba katemwa au

  • @kinjeathuman2350
    @kinjeathuman2350 6 лет назад

    Diamond platnumz ni 🔥🔥🔥