Happy na Chidi wafunga ndoa - Huba |S9 | Ep 45-49 | Maisha Magic Bongo
HTML-код
- Опубликовано: 3 июн 2021
- Devi aja nyumbani kwa Tima wakati Chidi akuliwa kwenye shughuli ya kufunga ndoa na Happy. Chidi aamua kumdanganya Devi kwamba Tima na Jude ndio wanaofunga ndoa. Doris na Roy waendelea kugombana wakati Devi arudi kumwomba Kibibi amuoe.
---
Endelea kutizama DStv chaneli 160
Official Website: bit.ly/3lXtAFc
Angalia tamthilia bora Tanzania kwa kutumia Showmax:
bit.ly/2KnGqyv
Pakua App ya DStv: bit.ly/36ZGjkz
Instagram: / maishamagicbongo
Twitter: / maishamagictz
Facebook: / maishamagicbongo Развлечения
Hongera sana heppy na chidi kufunga ndoa wafurah afu uyo dorisi na royi wana kera sana
Number one likes hapo
Karosi na sidi nyiye muna nikera mweye du njonin sana
Roy wallai nimefeel hiyo ngumi ya uso bt you deserve it🤣🤣🤣🤣🤣
Yakub safi sana amezindi roy piga sana atakueshmu
Mashallah Asante sana washilika mwendelezo
Mwanakulitafu ndio mwana kulipata Roy naww umeenda kufanya nini
Kumbe nzuri hv
Isidingo ya huba
Zur sana nyingine jamani
Mwendelezo dj
Huba ya leo vpi
Roy pore yako achana na yakubu atakutowa roho
Yakubu🤣🤣🤣
Mbona kafupi