Karia na T F F Ni Wala rushwa wakubwa toka GSM anafadhili timu nane kwenye ligi Kisha kayoko kishafungiwa Mara tatu bado anapewa mechi kubwa Almasi na bodi ya ligi Ni walafi wa bahasha chini ya meza
Ikiwa kweli TFF wanakubali kwamba refa hakutenda haki kwenye maamuzi. Usiwe kimfungia refa tu, Bali kuukataa mchezo mzima ili UFUTWE , upangiwe na urudiwe siku nyengine
Njaa na umasikini ndio tatizo.. Kayoko lazima afanye hivyo,kwa mzigo aliahidiwa. Hii ndio maana refs anakattaa penalty ya waziii.Ni VAR TUU NDIO KOMESHA YAOOO
FIFA wanapaswa kumnyanganya Refa Kayoko beji yao. Hastahili kabisa kuendelea kuchezea dabi. Yeye anaweka mapenzi yake mbele kuliko mpira wa haki. Kama siyo mapenzi kwa yanga basi Kayoko ni mla rushwa.
Yani kila Leo yanga ku hujuma Simba. Na T.F.F. wame kaa kimya. Naomba kwa viongozi wa Simba wachukuwe hatuwa hata clip wa peleke huko CAF. wa ulize hapa ligi yetu ina kwa na hujuma sana aseio stahili wana pata ubingwa bila kufata Shereya.
Mimi naona TFF wanaruka ruka tu kama mchezo umechezwa hadharani kwanini wasitoe adhabu kwa Ramadhani kayoko na pia yanga wakanyang'anya ushindi ili kama kunaruswa basi iwefundisho kwanini hili jambo linarudia kila kila siku?mm nashani kufungiwa haitoshi na timu husika inatakiwa kupokwa pointi na ngoli pia TFF wawa poke pointi yanga na goli ambalo lilikuwa si halala kabisa kwanza mpili ulisha toka nje kwanini waliacha?
Magori yuko sahihi. Kamara ametukosea sana na kufungwa kunauma sana. Kamara kafanya makosa ya kizembe katika mchezo wa Coastal Union pia. Mimi ingekuwa kiongozi ningemsimamisha acheze kipa mwingine. Napendekeza Lakred asiondoke. Kama ni lazima kupunguza mchezaji basi atolewe Kamara. Hata kocha wa makipa nina wasiwasi na uwezo wake. Kama Lakred atachelewa kupona basi adake Salimu ambaye kwasasa ndiye Tanzania one.
Tff malofa tuu hao wote ni yanga mbona tenga hakufanya hayo wakati wa uongozi wake? Wewe rais Maria hunatuhujumu na bodies yako ujue iPo ck utaachia hapo wewe tunyonge tuu
nasemaga mutu muzuri ana akili kumbe hakuna kitu pole sanaaaa tenda haki ipo siku yako hii ni kweli si kuigiza lefa kazingua pia sisi tumekosea wenyewe hilo bao❤❤❤❤
ni.kweli.pia.camara.pia.kafanya.makosa.hatuna.imani.pia.na.kipa
Ndiyo maana marefa wa Tanzania huwa hawachaguliwi kuchezesha michuano ya Afrika na Dunia kwa sababu hii hii ya kubeba timu au bahasha
Kwanza wasndishi na watangazaji mara nyingi nao ni machawa wanaona lakini hawaandiki
Karia na T F F Ni Wala rushwa wakubwa toka GSM anafadhili timu nane kwenye ligi Kisha kayoko kishafungiwa Mara tatu bado anapewa mechi kubwa Almasi na bodi ya ligi Ni walafi wa bahasha chini ya meza
Ikiwa kweli TFF wanakubali kwamba refa hakutenda haki kwenye maamuzi. Usiwe kimfungia refa tu, Bali kuukataa mchezo mzima ili UFUTWE , upangiwe na urudiwe siku nyengine
Umefungia refa inasadia Nini wakati Simba umewauwa refa amekula rushwa hiyo tabia imezidi ifikie mubadilishe Sheria mchezao urudiwe
Ni uongo TFF haiwezi kumfungia Kayoko kwa kuwa lao ni moja.
Yanga mkiletewa kocha mwenginenyinyi hamfungi ngoo ken gold walifunga goli mkalikataa
Simba hamkumbuki ninyi mlifunga goli la Of side na mfungaji alikuwa Ngoma kwenye mechi mojawapo iliyopita acheni dezo
Njaa na umasikini ndio tatizo..
Kayoko lazima afanye hivyo,kwa mzigo aliahidiwa.
Hii ndio maana refs anakattaa penalty ya waziii.Ni VAR TUU NDIO KOMESHA YAOOO
FIFA wanapaswa kumnyanganya Refa Kayoko beji yao. Hastahili kabisa kuendelea kuchezea dabi. Yeye anaweka mapenzi yake mbele kuliko mpira wa haki. Kama siyo mapenzi kwa yanga basi Kayoko ni mla rushwa.
Simba haijaburuzwa kayoko ndiyo amewaburuza Simba Kwa ajili ya njaa zake
Hawa kenge yanga wamezowea dhulma na kuhonga refa.....huyu kayoko afungiwe hata miaka 5 jiqe fundisho kwa wengine
Simba kwanini hamsemi ukweli refa jana wachezaji wenu walikuwa wanafanya rafu za wazi lkn refa hakutoa adhabu yeyote?
Yani kila Leo yanga ku hujuma Simba. Na T.F.F. wame kaa kimya. Naomba kwa viongozi wa Simba wachukuwe hatuwa hata clip wa peleke huko CAF. wa ulize hapa ligi yetu ina kwa na hujuma sana aseio stahili wana pata ubingwa bila kufata Shereya.
Kufungiwa siyo ishu ishu tushawapa tayari point 3 afutiwe lessen asichezeshe mech yoyote Tena akawe mkulima
Kwa maoni yako mkulima siyo kazi ya heshima. Anapewa mtu asiyefiti kwenye ajira zingine. Huu ni udhaifu mkubwa wa akili.
Mimi naona TFF wanaruka ruka tu kama mchezo umechezwa hadharani kwanini wasitoe adhabu kwa Ramadhani kayoko na pia yanga wakanyang'anya ushindi ili kama kunaruswa basi iwefundisho kwanini hili jambo linarudia kila kila siku?mm nashani kufungiwa haitoshi na timu husika inatakiwa kupokwa pointi na ngoli pia TFF wawa poke pointi yanga na goli ambalo lilikuwa si halala kabisa kwanza mpili ulisha toka nje kwanini waliacha?
Kipa wa simba anadaka saaana anadaka mpaka mipira inayotoka nje.
Magori yuko sahihi. Kamara ametukosea sana na kufungwa kunauma sana. Kamara kafanya makosa ya kizembe katika mchezo wa Coastal Union pia. Mimi ingekuwa kiongozi ningemsimamisha acheze kipa mwingine. Napendekeza Lakred asiondoke. Kama ni lazima kupunguza mchezaji basi atolewe Kamara. Hata kocha wa makipa nina wasiwasi na uwezo wake. Kama Lakred atachelewa kupona basi adake Salimu ambaye kwasasa ndiye Tanzania one.
kawanyima.simba.point.tatu
Inasaidia Nini kama mpunga ushaliwa na mikono WATU washanawa maji
Wewe hujui simba ukubwa ni namɓa siyo kumfunga simba labda hujui simba ipo 10 bora haya wewe unayejiita mkubwa
Kawaida ya akina walles badala ya kukuza mpira ni kuadhibu refa
Tena namfuta kabisa kwenye raman ya mpira wa tz kabisa mana hajiwez akalime au akauze maji ya boss wake huko yanga
Na kwa mtindo huo yanva watawafunga simba milele huosio mlila hata mimi mbumbu sijasoma mpila naona kabisa kua hiishida
Siyo afungiwe tu anyongwe kabisa huyu mshenz mmoja pumbavu zaje
Kwani refa ni Kayoko peke yake ?
TFF
IVUNJEmikatabaYAkufadhiliTIMUnyingiKWAyanga
Karia rais unaendelea kayoko ni ndugu yako ndio hamtaki kumpa adhzbu Kila wakati ni kayoko arajiga
Kamati ya masaa 72 imekaa lini we hewa nenda kakojoe uka lale
Huyu kayoko atakuja kujuta safari hii simba hatukubali upumbavu huu ila Mungu yupo atahukumu hapa hapa hapa hapa na ver soon ataokota makopo
Kayoko ataokota makopo
@@MADINAKITEMOnayule aliyesukumiza mpira wavuni ataokota nini??
Mlungula Tz haitakwisha bahasha hatari sana
IFIKE WAKATI MATOKEO YAFUTWE KWA VITENDO KAMA HIVI AU KURUDIA MECHI
@@StellaKaluwa-h3ihiyo ndo imetoka. Mumlaumu kipa wenu kwa kudaka mipira inayotoka. Ameona faida yake.
Kitu nimeguduwa tff wanashiriki kubeba yanga
afutiwe.leseni.kabisa.
Mpira ulitokea nje .kama ukitokea nje sio gori ila refa anajua alichokifanya aliamua kuuza tim y a simba .afungiwe kabisa hafai.
ni.kweli.inabidi.watafute.refa.kutoka.nje.
Malefa wakikosea nawao wawe wanaenda kuchezesha ligi dalaja la pili uko wawe na akili wakiludi
Tff malofa tuu hao wote ni yanga mbona tenga hakufanya hayo wakati wa uongozi wake? Wewe rais Maria hunatuhujumu na bodies yako ujue iPo ck utaachia hapo wewe tunyonge tuu
Katimu kadogo wakat tupo wa 6africa nyie ndio wadogo mko wa 12
Viongoz wa Simba tateni rufaa tff siyo mwisho
Una mume
Acheni fitina zenu
Wehu hauna dawa iko siku utapotea nyumba yako.
Akuna refa fara tz kama kayoko afunguwe kabisa
Ramadhani kayoko sio mihemko ni bahasha ndio inamsumbua
T.F.F waangalieni sana baadhi ya marefa wa Tanzania wanaendekeza njaa, hawafati Sheria za michezo
Yanga. Imnabebwakilasiku hamnalolote. Kayokompumbavu. Hanalolote
Hawa kenge Simba niliwaambia sisi yanga hatutaki mchezo Simba ni katimu kadogo sana tumekaacha mbali sana 😂😂😂😂 Simba ni kenge kama kenge wengine
Kenge nyie mliyobebwa kwa gori gani mlilofunga maana hakuna pakoma wala azizi kund...
nasemaga mutu muzuri ana akili kumbe hakuna kitu pole sanaaaa tenda haki ipo siku yako hii ni kweli si kuigiza lefa kazingua pia sisi tumekosea wenyewe hilo bao❤❤❤❤
Kŵeli ni timu ndogo na ni kenge ndo mana waliwafungia gol but remember time is talking na utakuja kuwa shaid Mungu atupe uzima tu na not far from now
Kenge ni familia yenu na ndugu zako
Kenge ni wewe na familia yako nzima kapuku mchovu mxiuuuuuuu