TFF WATOA TAMKO KUMFUNGIA KAYOKO MIEZI 6 BAADA KUANYIMA SIMBA PENATI,RAIS TFF KARIA AKILI HILO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 окт 2024

Комментарии • 64

  • @abdallahomaryabdallah
    @abdallahomaryabdallah 16 часов назад +1

    ni.kweli.pia.camara.pia.kafanya.makosa.hatuna.imani.pia.na.kipa

  • @ZaidAKissinza
    @ZaidAKissinza 19 часов назад +1

    Ndiyo maana marefa wa Tanzania huwa hawachaguliwi kuchezesha michuano ya Afrika na Dunia kwa sababu hii hii ya kubeba timu au bahasha

  • @briankatani6770
    @briankatani6770 10 часов назад

    Kwanza wasndishi na watangazaji mara nyingi nao ni machawa wanaona lakini hawaandiki

  • @geoffreyrusibamayila8366
    @geoffreyrusibamayila8366 11 часов назад

    Karia na T F F Ni Wala rushwa wakubwa toka GSM anafadhili timu nane kwenye ligi Kisha kayoko kishafungiwa Mara tatu bado anapewa mechi kubwa Almasi na bodi ya ligi Ni walafi wa bahasha chini ya meza

  • @ommarallyhamad7435
    @ommarallyhamad7435 17 часов назад

    Ikiwa kweli TFF wanakubali kwamba refa hakutenda haki kwenye maamuzi. Usiwe kimfungia refa tu, Bali kuukataa mchezo mzima ili UFUTWE , upangiwe na urudiwe siku nyengine

  • @hamisally9255
    @hamisally9255 16 часов назад

    Umefungia refa inasadia Nini wakati Simba umewauwa refa amekula rushwa hiyo tabia imezidi ifikie mubadilishe Sheria mchezao urudiwe

  • @KivungeMmbuji
    @KivungeMmbuji 15 часов назад

    Ni uongo TFF haiwezi kumfungia Kayoko kwa kuwa lao ni moja.

  • @MamaBagiya
    @MamaBagiya Час назад

    Yanga mkiletewa kocha mwenginenyinyi hamfungi ngoo ken gold walifunga goli mkalikataa

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani6418 15 часов назад

    Simba hamkumbuki ninyi mlifunga goli la Of side na mfungaji alikuwa Ngoma kwenye mechi mojawapo iliyopita acheni dezo

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 13 часов назад

    Njaa na umasikini ndio tatizo..
    Kayoko lazima afanye hivyo,kwa mzigo aliahidiwa.
    Hii ndio maana refs anakattaa penalty ya waziii.Ni VAR TUU NDIO KOMESHA YAOOO

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 13 часов назад

    FIFA wanapaswa kumnyanganya Refa Kayoko beji yao. Hastahili kabisa kuendelea kuchezea dabi. Yeye anaweka mapenzi yake mbele kuliko mpira wa haki. Kama siyo mapenzi kwa yanga basi Kayoko ni mla rushwa.

  • @georgegregory8414
    @georgegregory8414 18 часов назад

    Simba haijaburuzwa kayoko ndiyo amewaburuza Simba Kwa ajili ya njaa zake

  • @Hussna-s6q
    @Hussna-s6q 12 часов назад

    Hawa kenge yanga wamezowea dhulma na kuhonga refa.....huyu kayoko afungiwe hata miaka 5 jiqe fundisho kwa wengine

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani6418 16 часов назад

    Simba kwanini hamsemi ukweli refa jana wachezaji wenu walikuwa wanafanya rafu za wazi lkn refa hakutoa adhabu yeyote?

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 23 часа назад

    Yani kila Leo yanga ku hujuma Simba. Na T.F.F. wame kaa kimya. Naomba kwa viongozi wa Simba wachukuwe hatuwa hata clip wa peleke huko CAF. wa ulize hapa ligi yetu ina kwa na hujuma sana aseio stahili wana pata ubingwa bila kufata Shereya.

  • @georgegregory8414
    @georgegregory8414 18 часов назад

    Kufungiwa siyo ishu ishu tushawapa tayari point 3 afutiwe lessen asichezeshe mech yoyote Tena akawe mkulima

    • @Robust78
      @Robust78 15 часов назад

      Kwa maoni yako mkulima siyo kazi ya heshima. Anapewa mtu asiyefiti kwenye ajira zingine. Huu ni udhaifu mkubwa wa akili.

  • @janefadhili8384
    @janefadhili8384 14 минут назад

    Mimi naona TFF wanaruka ruka tu kama mchezo umechezwa hadharani kwanini wasitoe adhabu kwa Ramadhani kayoko na pia yanga wakanyang'anya ushindi ili kama kunaruswa basi iwefundisho kwanini hili jambo linarudia kila kila siku?mm nashani kufungiwa haitoshi na timu husika inatakiwa kupokwa pointi na ngoli pia TFF wawa poke pointi yanga na goli ambalo lilikuwa si halala kabisa kwanza mpili ulisha toka nje kwanini waliacha?

  • @Robust78
    @Robust78 15 часов назад

    Kipa wa simba anadaka saaana anadaka mpaka mipira inayotoka nje.

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 13 часов назад

    Magori yuko sahihi. Kamara ametukosea sana na kufungwa kunauma sana. Kamara kafanya makosa ya kizembe katika mchezo wa Coastal Union pia. Mimi ingekuwa kiongozi ningemsimamisha acheze kipa mwingine. Napendekeza Lakred asiondoke. Kama ni lazima kupunguza mchezaji basi atolewe Kamara. Hata kocha wa makipa nina wasiwasi na uwezo wake. Kama Lakred atachelewa kupona basi adake Salimu ambaye kwasasa ndiye Tanzania one.

  • @abdallahomaryabdallah
    @abdallahomaryabdallah 16 часов назад

    kawanyima.simba.point.tatu

  • @AbuuAtka
    @AbuuAtka 17 часов назад

    Inasaidia Nini kama mpunga ushaliwa na mikono WATU washanawa maji

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 7 часов назад

    Wewe hujui simba ukubwa ni namɓa siyo kumfunga simba labda hujui simba ipo 10 bora haya wewe unayejiita mkubwa

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 21 час назад

    Kawaida ya akina walles badala ya kukuza mpira ni kuadhibu refa

  • @BeatriceSoka-c7c
    @BeatriceSoka-c7c 23 часа назад +1

    Tena namfuta kabisa kwenye raman ya mpira wa tz kabisa mana hajiwez akalime au akauze maji ya boss wake huko yanga

    • @StellaKaluwa-h3i
      @StellaKaluwa-h3i 19 часов назад

      Na kwa mtindo huo yanva watawafunga simba milele huosio mlila hata mimi mbumbu sijasoma mpila naona kabisa kua hiishida

  • @MahmoudJaffar-mt1qr
    @MahmoudJaffar-mt1qr 16 часов назад

    Siyo afungiwe tu anyongwe kabisa huyu mshenz mmoja pumbavu zaje

  • @KivungeMmbuji
    @KivungeMmbuji 14 часов назад

    Kwani refa ni Kayoko peke yake ?

  • @AthumaniMdarabi
    @AthumaniMdarabi 2 часа назад

    TFF
    IVUNJEmikatabaYAkufadhiliTIMUnyingiKWAyanga

  • @mariammbapira645
    @mariammbapira645 11 часов назад

    Karia rais unaendelea kayoko ni ndugu yako ndio hamtaki kumpa adhzbu Kila wakati ni kayoko arajiga

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 11 часов назад

    Kamati ya masaa 72 imekaa lini we hewa nenda kakojoe uka lale

  • @MADINAKITEMO
    @MADINAKITEMO 19 часов назад

    Huyu kayoko atakuja kujuta safari hii simba hatukubali upumbavu huu ila Mungu yupo atahukumu hapa hapa hapa hapa na ver soon ataokota makopo

    • @MADINAKITEMO
      @MADINAKITEMO 19 часов назад

      Kayoko ataokota makopo

    • @Robust78
      @Robust78 15 часов назад

      ​@@MADINAKITEMOnayule aliyesukumiza mpira wavuni ataokota nini??

  • @essaumapunda5766
    @essaumapunda5766 21 час назад

    Mlungula Tz haitakwisha bahasha hatari sana

    • @StellaKaluwa-h3i
      @StellaKaluwa-h3i 19 часов назад

      IFIKE WAKATI MATOKEO YAFUTWE KWA VITENDO KAMA HIVI AU KURUDIA MECHI

    • @Robust78
      @Robust78 15 часов назад

      ​@@StellaKaluwa-h3ihiyo ndo imetoka. Mumlaumu kipa wenu kwa kudaka mipira inayotoka. Ameona faida yake.

  • @hamisally9255
    @hamisally9255 15 часов назад

    Kitu nimeguduwa tff wanashiriki kubeba yanga

  • @abdallahomaryabdallah
    @abdallahomaryabdallah 16 часов назад

    afutiwe.leseni.kabisa.

  • @JestonJoely-h3z
    @JestonJoely-h3z 22 часа назад

    Mpira ulitokea nje .kama ukitokea nje sio gori ila refa anajua alichokifanya aliamua kuuza tim y a simba .afungiwe kabisa hafai.

  • @abdallahomaryabdallah
    @abdallahomaryabdallah 16 часов назад

    ni.kweli.inabidi.watafute.refa.kutoka.nje.

  • @HamisiMidumo-s4l
    @HamisiMidumo-s4l 23 часа назад

    Malefa wakikosea nawao wawe wanaenda kuchezesha ligi dalaja la pili uko wawe na akili wakiludi

  • @AdamRashidi-n9g
    @AdamRashidi-n9g 12 часов назад

    Tff malofa tuu hao wote ni yanga mbona tenga hakufanya hayo wakati wa uongozi wake? Wewe rais Maria hunatuhujumu na bodies yako ujue iPo ck utaachia hapo wewe tunyonge tuu

  • @MamaBagiya
    @MamaBagiya Час назад

    Katimu kadogo wakat tupo wa 6africa nyie ndio wadogo mko wa 12

  • @hamisally9255
    @hamisally9255 15 часов назад

    Viongoz wa Simba tateni rufaa tff siyo mwisho

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani6418 16 часов назад

    Acheni fitina zenu

  • @AbutwalibuMohamedy
    @AbutwalibuMohamedy 19 часов назад

    Wehu hauna dawa iko siku utapotea nyumba yako.

  • @NgolongoNguna
    @NgolongoNguna 21 час назад

    Akuna refa fara tz kama kayoko afunguwe kabisa

    • @Saidaabdu
      @Saidaabdu 20 часов назад

      Ramadhani kayoko sio mihemko ni bahasha ndio inamsumbua

    • @Saidaabdu
      @Saidaabdu 19 часов назад

      T.F.F waangalieni sana baadhi ya marefa wa Tanzania wanaendekeza njaa, hawafati Sheria za michezo

  • @KayembaRashid
    @KayembaRashid 13 часов назад

    Yanga. Imnabebwakilasiku hamnalolote. Kayokompumbavu. Hanalolote

  • @mpekuzimedia-xw1rb
    @mpekuzimedia-xw1rb День назад +3

    Hawa kenge Simba niliwaambia sisi yanga hatutaki mchezo Simba ni katimu kadogo sana tumekaacha mbali sana 😂😂😂😂 Simba ni kenge kama kenge wengine

    • @HalimaMichael-x6x
      @HalimaMichael-x6x 23 часа назад

      Kenge nyie mliyobebwa kwa gori gani mlilofunga maana hakuna pakoma wala azizi kund...

    • @Michaelss-h6l
      @Michaelss-h6l 23 часа назад

      nasemaga mutu muzuri ana akili kumbe hakuna kitu pole sanaaaa tenda haki ipo siku yako hii ni kweli si kuigiza lefa kazingua pia sisi tumekosea wenyewe hilo bao❤❤❤❤

    • @BeatriceSoka-c7c
      @BeatriceSoka-c7c 22 часа назад +1

      Kŵeli ni timu ndogo na ni kenge ndo mana waliwafungia gol but remember time is talking na utakuja kuwa shaid Mungu atupe uzima tu na not far from now

    • @petermasanilo732
      @petermasanilo732 20 часов назад +2

      Kenge ni familia yenu na ndugu zako

    • @MADINAKITEMO
      @MADINAKITEMO 19 часов назад +1

      Kenge ni wewe na familia yako nzima kapuku mchovu mxiuuuuuuu