MAHOJIANO NA PETER MSIGWA KESI YA DR SLAA, UCHAGUZI WA CHADEMA, WASIRA KATIBU CCM,KAULI YA CHALAMILA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • DANADANA KESI YA DR SLAA, KAULI YA MKUU WA MKOA CHALAMILA, WASIRA KUWA KATIBU WA CCM, UCHAGUZI WA CHADEMA WA UENYEKITI NA CCM NAMNA WALIVYOMPITISHA MWENYEKITI WAO SAMIA SULUHU HASSAN.

Комментарии • 91

  • @mshindimshindi9120
    @mshindimshindi9120 4 дня назад +7

    Msigwa hata sura imebadilika baada ya kuwa ccm maana uongo unaharibu sura

  • @ShesheKaoneka
    @ShesheKaoneka 4 дня назад +1

    Moderator uko vizuri sana bro.

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 4 дня назад +4

    Ukweli unapatikana kwenye kura ya siri unapouliza swali mbele ya raisi nani atapinga acha uchawa msigwa utaratibu wa kupata mgombea wa urais kupitia CCM haufanyikagi hivyo

    • @fauzseif7344
      @fauzseif7344 4 дня назад

      Ndugu upendavyo wewe sio mawazo ya kila taasisi usifikiri chadema wanacho kitaka kitakua la acheni usiasa hao cdm mm tu siwawapendi kwa siasa zao ni zaudini na ukabila wala haufichiki kila mmoja na akili zake

  • @DittoSylvester
    @DittoSylvester 4 дня назад +4

    Hayo maswali ni mazito kwa msigwa.kuna kitu nyuma yake!kauli zake za huko nyuma zipo.katiba,tume,ufisadi,utekaji tunazo,hivyo msigwa ulipaswa uende kanisani tungekuelewa,lakini hapo ulipo umetengeneza maswali kibao kama kifo cha Ali Kibao!pole sana

  • @MakanyangaNyamboto
    @MakanyangaNyamboto 4 дня назад +5

    Lina njaa ase hili nitako😢

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 4 дня назад +3

    Msigwa mwenyewe ni mnafiki tu unafikili atadema nini zaidi ya uchawa tu ivi kuna wakati alikuwa anasema CCM ni mafisadi watekaji matapeli na Leo yeye msigwa amehamia huko kwa alikosema mafisadi je yeye pia nia fisadi

  • @SamweliMshana
    @SamweliMshana 4 дня назад +4

    Kweli njaa inamtesa huyu baba

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 4 дня назад +1

      Mtu yeyote akiondoka chadema ni nja ndiyo maana wenye busara na hekima wanaogopa siasa za chadema

  • @mutalemwajohanes-kx9dj
    @mutalemwajohanes-kx9dj 4 дня назад +2

    KATIBA inasemaje msigwa

  • @godfreymjuni3420
    @godfreymjuni3420 4 дня назад +6

    Hapa Msigwa umekuwa mnafiki . Sema ukweli kabisa .

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 4 дня назад +2

    Yaani vichawa vingine vinatia aibu sula zao zimejaa unafki nafki tu sasa angalia ukweli upo wazi wazi alafu anapindisha ulimi kama nyoka jamani bola ukae huko kwenye ccm uchungaji ulishakushinda huko ccm ndio kwako maana huko kufanania

  • @GaradiGaradi-zq1wf
    @GaradiGaradi-zq1wf 4 дня назад +3

    Nja njaa njaa jamani mbaya

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 4 дня назад +1

      Ujinga ujinga ujinga mbaya sana kama uliekuwa nao wewe ujinga na udini

    • @selemaniigosha
      @selemaniigosha 4 дня назад

      Wenye majina kama yako wote ni wajinga kwa sababu ya udini​@@abuumuhammad7133

  • @furahamwikombo-p7g
    @furahamwikombo-p7g 4 дня назад +3

    Angalieni clip ya Kibajaji Lusinde,,,Ndio utajua ukweli..

  • @messmongi6623
    @messmongi6623 4 дня назад +1

    Mm ni ccm lkn siyo ccm ya sasa ccm B sijawahi hama chama ila uwa napenda sana uzalendo wa mtu msigwa kaka angu lkn nilishaona hajielewi binadamu wamekuwa wanfiki sana uchawa tu nimejitahidi sana kumsikiliza lkn ccm ya sasa hatahamu yakuwasikiliza sina

  • @kobelochamanga9757
    @kobelochamanga9757 4 дня назад +1

    Ishu sio kunyoosha mkono kupiga Kura ya Siri uku kunyoosha mikono watu wanaogopa

  • @JaphetAndondile
    @JaphetAndondile 4 дня назад +3

    Hakuna mtanganyika anaeunga huyu mama yenu

    • @hamzaameir4680
      @hamzaameir4680 4 дня назад

      Tupo wengi wa kutosha *

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 4 дня назад

      Ukafiri unakutesa kwa Uongizi wa Mama Samia kisa udini wako na kwa mwenyezi Mungu anakusubiria kwa adhabu kwa kumshirikisha kwako sasa kaa utafakari.

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 дня назад

    Jamaaa sio mchungaji Tena Yuda eskarioti bwana ,umeona nguvu ya pesa

  • @FrankKwanama-lo6fj
    @FrankKwanama-lo6fj 4 дня назад

    Msigwa ana ndimi 2

  • @furahamwikombo-p7g
    @furahamwikombo-p7g 4 дня назад +1

    Yaani Unapo uliza wajumbe mbele ya Raisi hofu inapata wajumbe...Kibajaji ndio alisema mwenyekiti na mkamo watoke ili wajadiliwe..

  • @furahamwikombo-p7g
    @furahamwikombo-p7g 4 дня назад +1

    Lusinde alilalamika hapo,hapo.. wakamzingua,,hawakutii..

  • @AlexMilinga-m6e
    @AlexMilinga-m6e 4 дня назад

    Msingwa sulayakotu aifanani na chama ulichonacho

  • @lugembesweya3288
    @lugembesweya3288 4 дня назад

    Ccm ni aibu kubwa

  • @ShesheKaoneka
    @ShesheKaoneka 4 дня назад +1

    Wanataka ubebe ya lissu

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj 4 дня назад

    Wangu ninakubali sana uwezo wako, kwanza umeenda sehemu sahihi,

  • @hatibuyusufu4668
    @hatibuyusufu4668 4 дня назад

    Hivi Kuna uvunjifu wa katiba mkubwa uliofanywa na CCM zaidi ya ule alioufanya Mwl Nyerere aliposhinda Kikwete nafasi ya kugombea uraisi 1995 hatimaye akachaguliwa Mkapa hivi hamulikumbuki nyinyi wa vipi ,watu wanaangalia nani anafaa,alivyo pitishwa Magufuli CCM Lowasa alikatwa ,hamuoni kia CCM inaangalia nani afaa

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 4 дня назад

    Miladi ya magufuli leo anasifiwa mwafulani njaa bhana hainaga adabu msigwa leo nimtu wakusema haya?

  • @furahamwikombo-p7g
    @furahamwikombo-p7g 4 дня назад

    Demokrasia gani miaka 15 wanatoa fomu moja..

  • @PeterPaulin-c9x
    @PeterPaulin-c9x 4 дня назад

    Acheni kuwa waandishi kanjanja na maandazi viongozi wa blog hii

  • @jovankishamba9424
    @jovankishamba9424 5 часов назад

    Kwanini utaratibu wa kuchukua formul za kugombea uraisi hazikutolewa? Kama wajumbe wa mkutano mkuu wangekuwa wanampenda wangempigia kura zote za ndiyo.

  • @Ramadhanilawoga
    @Ramadhanilawoga 4 дня назад

    Kipindi hicho kifutwe hakuna maadili ya nchi

  • @denisdamian1190
    @denisdamian1190 3 дня назад

    Huo n mtazamo wako CCM hakuna demokrasia pigeon kura kuchagua watu sio kuteuana

  • @salminmayla
    @salminmayla 4 дня назад

    Huyu msigwa sasahiv anatetea raisi amuone anatetea uwaziri achaguliwe

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 4 дня назад

    Ninachoomba wamtoe Dr slaa jamani ni mzee asije akafia humo jela mtalaanika mliomuweka huyo

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 4 дня назад

    Msigwa hana hoja

  • @FrankKwanama-lo6fj
    @FrankKwanama-lo6fj 4 дня назад

    Mchakato wa kuteuana sio ajenda ya kidemokrasia je ccm hapakuwa na watu wa kugombea nafasi hiyo?

  • @messmongi6623
    @messmongi6623 4 дня назад

    Uchaguzi niwa sili siyo wakunyosha mikono msigwa ww mtoto pale kunyosha mikono watu waliogopa kuonekana hawa taki hivyo nikama wamelazimishwa

  • @GaradiGaradi-zq1wf
    @GaradiGaradi-zq1wf 4 дня назад

    Mda alokaa mwinyi walipotea na kuuwa wangap na kipindi cha samia wamepotea na kuuwa wangapi acha ujinga

  • @fauzseif7344
    @fauzseif7344 4 дня назад

    Kwanza wengi cdm ni wachaga

    • @taylorkasitu3819
      @taylorkasitu3819 4 дня назад

      Ishapita na wakati tafuja jengine, kweli ccm mtaji wao ni wapumbavu

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 4 дня назад

    Msigwa kajichanganya. Amechujuka kisiasa. Aliji invest vizuri chadema kama mwanasiasa kiongozi. Baada ya ku flip kaenda ccm kwa hasira. Saaa kisiasa alicheza karata vibaya. Infact hawezi tena aminiwa na pande yoyote 100%

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 4 дня назад

    Uyu jamaa kumbe ni mjinga, unazan kauli ya raisi nani asinge nyoosha mikono kuunga hoja

  • @ShesheKaoneka
    @ShesheKaoneka 4 дня назад

    Hiyo ndio raha ya uraisi mkuu wa nchi

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 4 дня назад

    Watanzania ni wanafiki Msigwa,ni nani miongoni mwa wajumbe wa mkutano mkuu angemkatalia rais? Kwa nini wasingeweka uwazi,ili watu kadhaa wachukuwe fomu na achaguliwe mmoja?

  • @israelmpiluka-gu6vh
    @israelmpiluka-gu6vh 4 дня назад

    Mwinyi tulikuwa tunatibiwa bila malipo Samia wananchi tukiumwa tukiwa hatuna pesa tunafia kwenyevituo vya afya bila matibabu, pesa imewekwa mbele kuliko utu.

  • @furahamwikombo-p7g
    @furahamwikombo-p7g 4 дня назад

    Alidai fomu tatu,,na jina la Mwenyekiti Liwepo..

  • @KilongeHenry
    @KilongeHenry 4 дня назад

    Kapoteza kabisa mwelekeo huko nyuma akiongea alikuwa anavita hisia za watu kwasa hakuna amebaki kusifiwa 2

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 4 дня назад

    Safi kabisa Msigwa upo juuu

  • @furahamwikombo-p7g
    @furahamwikombo-p7g 4 дня назад

    Kwenye mkutano mkuu,,,hawakujua wanaenda kufanya nini?...waliitwa..

  • @KilongeHenry
    @KilongeHenry 4 дня назад

    Msigwa hawezi SEMA ukweli atakosa uteuzi njaabaya sana

  • @BoBo-kg1me
    @BoBo-kg1me 4 дня назад

    Ccm hawakuvunja katiba yao, ila ilikuwa uhuni mtupu. Yaani hata mtu aliyekuwa anajipanga kugombea asingeweza ikiwa agenda mpya imeletwa . Na sidhani kama kuna mtu anaweza kusema hapana kwa kura za ndio na hapana especially kwa kunyoosha mkono

  • @karenstephen8738
    @karenstephen8738 4 дня назад

    Hili ndiyo guberi2 la siasa na kidini shetani proper

  • @lugembesweya3288
    @lugembesweya3288 3 дня назад

    Pibdi uko chadema uliwahi kuvaa picha ya rais

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525 4 дня назад

    Muhongo huyo sio CCM,,,

  • @mutalemwajohanes-kx9dj
    @mutalemwajohanes-kx9dj 4 дня назад

    Ukiungana na SHETANI lazima utetee DHAMBI

  • @BylawTegeta-g9x
    @BylawTegeta-g9x 4 дня назад

    Wajumbe walipokwenda Dodoma hawakuwa na agenda ya kuchagua watakaogombea Urais. Hivyo wajumbe walikuwa hawana mawazo ya Wananchi wanaowakilishwa. Wajumbe walitumia utashi wao binafsi; na sio waliwakilisha mawazo ya wanachama waliowatuma.

  • @taylorkasitu3819
    @taylorkasitu3819 4 дня назад

    Hili kweli ni bwabwa, limegeuka jitu ongo, huyo hangaya alisimamishwa na nani???ccm hakuna demokrasia, wewe ni jichawa lililojificha kwenye uchungaji, acha uchawa

  • @godfreymjuni3420
    @godfreymjuni3420 4 дня назад

    Mnaogopa kushindana

  • @hamzaameir4680
    @hamzaameir4680 4 дня назад

    Wajumbe hoyeeeee *

  • @ladislausriwa7768
    @ladislausriwa7768 4 дня назад

    Ungechukua fomu haohao waliompitisha Samia wangekukataa

  • @nassorally4002
    @nassorally4002 4 дня назад

    Mimi nakuona wewe ni wale wale wasio Italia tz mema

  • @duniakidogo8516
    @duniakidogo8516 4 дня назад

    Haki ya kuchagua na kuchaguliwa haikasimiwi kwa ye yote ile. Huu ni uminyaji wa demokrasia.

  • @wilisonimeyasiwilisonimeyasi
    @wilisonimeyasiwilisonimeyasi 4 дня назад

    mzigwa ulipo toka na ulipoenda mbona ni sawa sema wewe ujielewi unatakula tu haujitt nchi unajitee ulaji wako

  • @NgendandumweAlouise
    @NgendandumweAlouise 4 дня назад

    Msigwa kumbe na wewe ni mbumbumbu ku a demokrasia bila uchaguzi we vipi kawadanganye wasira nawengine

  • @GaradiGaradi-zq1wf
    @GaradiGaradi-zq1wf 4 дня назад

    Huyu peter kichaa kimemvaa nahisi atakufa kwa mawazo hayupo sawa mentality

  • @nassorally4002
    @nassorally4002 4 дня назад

    Wewe huna hadhi ya kuwa rais na wewe sio CCM wewe chadema

  • @FranceKomba-sn3ui
    @FranceKomba-sn3ui 4 дня назад

    Tatizo mbwa mwenye mnofi hajawai kubweka hakunaa majibu hapo anaongea ujingaa mwingi mtupu

  • @ezraochora8495
    @ezraochora8495 4 дня назад

    Kanani.msigwatu..kapotea..hamnakitutena

  • @ShesheKaoneka
    @ShesheKaoneka 4 дня назад

    Msingwa hao ni wapuuzi tu

  • @MichaelMgudula
    @MichaelMgudula 4 дня назад

    Walienda kupiga makofi dodoma

  • @abuumuhammad7133
    @abuumuhammad7133 4 дня назад

    Yaani nimeina coment zote za kumpinga Msigwa ni majina ya dini moja nachoendelea kuona ni Udini ndio tatizo kwa Urais wa Rais Samia na sio kingine punguzeni chuki baadhi yenu Wakristo huo ni ujinga wa hali ya juu sana kuleta udini katika Nchi yetu.

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 4 дня назад

      Nchi haina dini

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 4 дня назад +1

      @adelinelyaruu3036 ndio maana nawahabarisha hao kila jambo kukosoa tu na ukiangalia wakosowaji wengi ni majina ya dini ya upande mmoja tu hivyo kinachoonekana ni chuki juu ya Rais Samia na sio kingine na sio yeye tu hata waliepita Mzee Mwinyi na JK yalikuwa kama haya hivyo.baadhi ya Watanzania wa dini ingine huwa na chuki waache hiyo.kitu ni kibaya kwa Taifa letu ikifikia mahali na wa upande wa pili wanaanza hivyo sindio na ukabila utakuja?

  • @ShesheKaoneka
    @ShesheKaoneka 4 дня назад

    Alimsikia lakini hakumuekewa, ni yule mbunge Ngwashi na hakumuelewa kabisa.

  • @GeorginaAnatory-u1z
    @GeorginaAnatory-u1z 3 дня назад

    mbona yule mwanachama alisema mbona amkuleta majina matatu na wewe unasema kutetea linda ugali baba

  • @EmmaculateGembe
    @EmmaculateGembe 4 дня назад

    Unafikiri wangesema hawamtaki mama?hapomipangoilikuwa imesukwa tangu hukonje

  • @JaphetAndondile
    @JaphetAndondile 4 дня назад

    Anyoxhe mkono wamuuwe

  • @ShesheKaoneka
    @ShesheKaoneka 4 дня назад

    Wewe nenda chama kingine tu

  • @ShesheKaoneka
    @ShesheKaoneka 4 дня назад

    Acha upuuzi wewe uliwasikia wangapi au ulimsikia yule mpuuzi nwenzio anaedai eti yeye ni ccm

  • @RUTACHCHURCH
    @RUTACHCHURCH 4 дня назад

    Msigwa you are doing what you do for whose interest?perhaps you are being employed by ccm to do so,Mbowe kuwa na udhaifu AB,will never help our country, una tofauti Gani na Hawa tunaowaita waropokaji, hivi ungekuwa mpinzani unaongea yote hayo usingesurvive,wacha niamini una tatizo mahali

  • @evelina9621
    @evelina9621 2 дня назад

    Kweli.ccm.mika.10.wanachagua.mtu.mŵingine.katiba. l,,oʻo,,,ppppppp

  • @ShesheKaoneka
    @ShesheKaoneka 4 дня назад

    Mmmmh ama kweli diaspora acheni uongo huo

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 4 дня назад

    Msigwa akapimwe mkojo

  • @furahamwikombo-p7g
    @furahamwikombo-p7g 4 дня назад

    Kwenye mkutano mkuu,,,hawakujua wanaenda kufanya nini?...waliitwa..