MAHOJIANO NA PETER MSIGWA KESI YA DR SLAA, UCHAGUZI WA CHADEMA, WASIRA KATIBU CCM,KAULI YA CHALAMILA
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- DANADANA KESI YA DR SLAA, KAULI YA MKUU WA MKOA CHALAMILA, WASIRA KUWA KATIBU WA CCM, UCHAGUZI WA CHADEMA WA UENYEKITI NA CCM NAMNA WALIVYOMPITISHA MWENYEKITI WAO SAMIA SULUHU HASSAN.
Msigwa hata sura imebadilika baada ya kuwa ccm maana uongo unaharibu sura
Moderator uko vizuri sana bro.
Ukweli unapatikana kwenye kura ya siri unapouliza swali mbele ya raisi nani atapinga acha uchawa msigwa utaratibu wa kupata mgombea wa urais kupitia CCM haufanyikagi hivyo
Ndugu upendavyo wewe sio mawazo ya kila taasisi usifikiri chadema wanacho kitaka kitakua la acheni usiasa hao cdm mm tu siwawapendi kwa siasa zao ni zaudini na ukabila wala haufichiki kila mmoja na akili zake
Hayo maswali ni mazito kwa msigwa.kuna kitu nyuma yake!kauli zake za huko nyuma zipo.katiba,tume,ufisadi,utekaji tunazo,hivyo msigwa ulipaswa uende kanisani tungekuelewa,lakini hapo ulipo umetengeneza maswali kibao kama kifo cha Ali Kibao!pole sana
Lina njaa ase hili nitako😢
Anataka uteuzi
Msigwa mwenyewe ni mnafiki tu unafikili atadema nini zaidi ya uchawa tu ivi kuna wakati alikuwa anasema CCM ni mafisadi watekaji matapeli na Leo yeye msigwa amehamia huko kwa alikosema mafisadi je yeye pia nia fisadi
Kweli njaa inamtesa huyu baba
Mtu yeyote akiondoka chadema ni nja ndiyo maana wenye busara na hekima wanaogopa siasa za chadema
KATIBA inasemaje msigwa
Hapa Msigwa umekuwa mnafiki . Sema ukweli kabisa .
Yaani vichawa vingine vinatia aibu sula zao zimejaa unafki nafki tu sasa angalia ukweli upo wazi wazi alafu anapindisha ulimi kama nyoka jamani bola ukae huko kwenye ccm uchungaji ulishakushinda huko ccm ndio kwako maana huko kufanania
Nja njaa njaa jamani mbaya
Ujinga ujinga ujinga mbaya sana kama uliekuwa nao wewe ujinga na udini
Wenye majina kama yako wote ni wajinga kwa sababu ya udini@@abuumuhammad7133
Angalieni clip ya Kibajaji Lusinde,,,Ndio utajua ukweli..
Mm ni ccm lkn siyo ccm ya sasa ccm B sijawahi hama chama ila uwa napenda sana uzalendo wa mtu msigwa kaka angu lkn nilishaona hajielewi binadamu wamekuwa wanfiki sana uchawa tu nimejitahidi sana kumsikiliza lkn ccm ya sasa hatahamu yakuwasikiliza sina
Ishu sio kunyoosha mkono kupiga Kura ya Siri uku kunyoosha mikono watu wanaogopa
Hakuna mtanganyika anaeunga huyu mama yenu
Tupo wengi wa kutosha *
Ukafiri unakutesa kwa Uongizi wa Mama Samia kisa udini wako na kwa mwenyezi Mungu anakusubiria kwa adhabu kwa kumshirikisha kwako sasa kaa utafakari.
Jamaaa sio mchungaji Tena Yuda eskarioti bwana ,umeona nguvu ya pesa
Msigwa ana ndimi 2
Yaani Unapo uliza wajumbe mbele ya Raisi hofu inapata wajumbe...Kibajaji ndio alisema mwenyekiti na mkamo watoke ili wajadiliwe..
Wote wamelishwa matongo pori
Lusinde alilalamika hapo,hapo.. wakamzingua,,hawakutii..
Msingwa sulayakotu aifanani na chama ulichonacho
Ccm ni aibu kubwa
Wanataka ubebe ya lissu
Wangu ninakubali sana uwezo wako, kwanza umeenda sehemu sahihi,
Hivi Kuna uvunjifu wa katiba mkubwa uliofanywa na CCM zaidi ya ule alioufanya Mwl Nyerere aliposhinda Kikwete nafasi ya kugombea uraisi 1995 hatimaye akachaguliwa Mkapa hivi hamulikumbuki nyinyi wa vipi ,watu wanaangalia nani anafaa,alivyo pitishwa Magufuli CCM Lowasa alikatwa ,hamuoni kia CCM inaangalia nani afaa
Miladi ya magufuli leo anasifiwa mwafulani njaa bhana hainaga adabu msigwa leo nimtu wakusema haya?
Demokrasia gani miaka 15 wanatoa fomu moja..
Acheni kuwa waandishi kanjanja na maandazi viongozi wa blog hii
Kwanini utaratibu wa kuchukua formul za kugombea uraisi hazikutolewa? Kama wajumbe wa mkutano mkuu wangekuwa wanampenda wangempigia kura zote za ndiyo.
Kipindi hicho kifutwe hakuna maadili ya nchi
Huo n mtazamo wako CCM hakuna demokrasia pigeon kura kuchagua watu sio kuteuana
Huyu msigwa sasahiv anatetea raisi amuone anatetea uwaziri achaguliwe
Ninachoomba wamtoe Dr slaa jamani ni mzee asije akafia humo jela mtalaanika mliomuweka huyo
Msigwa hana hoja
Mchakato wa kuteuana sio ajenda ya kidemokrasia je ccm hapakuwa na watu wa kugombea nafasi hiyo?
Uchaguzi niwa sili siyo wakunyosha mikono msigwa ww mtoto pale kunyosha mikono watu waliogopa kuonekana hawa taki hivyo nikama wamelazimishwa
Mda alokaa mwinyi walipotea na kuuwa wangap na kipindi cha samia wamepotea na kuuwa wangapi acha ujinga
Kwanza wengi cdm ni wachaga
Ishapita na wakati tafuja jengine, kweli ccm mtaji wao ni wapumbavu
Msigwa kajichanganya. Amechujuka kisiasa. Aliji invest vizuri chadema kama mwanasiasa kiongozi. Baada ya ku flip kaenda ccm kwa hasira. Saaa kisiasa alicheza karata vibaya. Infact hawezi tena aminiwa na pande yoyote 100%
Uyu jamaa kumbe ni mjinga, unazan kauli ya raisi nani asinge nyoosha mikono kuunga hoja
Hiyo ndio raha ya uraisi mkuu wa nchi
Watanzania ni wanafiki Msigwa,ni nani miongoni mwa wajumbe wa mkutano mkuu angemkatalia rais? Kwa nini wasingeweka uwazi,ili watu kadhaa wachukuwe fomu na achaguliwe mmoja?
Mwinyi tulikuwa tunatibiwa bila malipo Samia wananchi tukiumwa tukiwa hatuna pesa tunafia kwenyevituo vya afya bila matibabu, pesa imewekwa mbele kuliko utu.
Alidai fomu tatu,,na jina la Mwenyekiti Liwepo..
Kapoteza kabisa mwelekeo huko nyuma akiongea alikuwa anavita hisia za watu kwasa hakuna amebaki kusifiwa 2
Safi kabisa Msigwa upo juuu
Kwenye mkutano mkuu,,,hawakujua wanaenda kufanya nini?...waliitwa..
Msigwa hawezi SEMA ukweli atakosa uteuzi njaabaya sana
Ccm hawakuvunja katiba yao, ila ilikuwa uhuni mtupu. Yaani hata mtu aliyekuwa anajipanga kugombea asingeweza ikiwa agenda mpya imeletwa . Na sidhani kama kuna mtu anaweza kusema hapana kwa kura za ndio na hapana especially kwa kunyoosha mkono
Hili ndiyo guberi2 la siasa na kidini shetani proper
Pibdi uko chadema uliwahi kuvaa picha ya rais
Muhongo huyo sio CCM,,,
Ukiungana na SHETANI lazima utetee DHAMBI
Wajumbe walipokwenda Dodoma hawakuwa na agenda ya kuchagua watakaogombea Urais. Hivyo wajumbe walikuwa hawana mawazo ya Wananchi wanaowakilishwa. Wajumbe walitumia utashi wao binafsi; na sio waliwakilisha mawazo ya wanachama waliowatuma.
Hili kweli ni bwabwa, limegeuka jitu ongo, huyo hangaya alisimamishwa na nani???ccm hakuna demokrasia, wewe ni jichawa lililojificha kwenye uchungaji, acha uchawa
Mnaogopa kushindana
Wajumbe hoyeeeee *
Ungechukua fomu haohao waliompitisha Samia wangekukataa
Mimi nakuona wewe ni wale wale wasio Italia tz mema
Haki ya kuchagua na kuchaguliwa haikasimiwi kwa ye yote ile. Huu ni uminyaji wa demokrasia.
mzigwa ulipo toka na ulipoenda mbona ni sawa sema wewe ujielewi unatakula tu haujitt nchi unajitee ulaji wako
Msigwa kumbe na wewe ni mbumbumbu ku a demokrasia bila uchaguzi we vipi kawadanganye wasira nawengine
Huyu peter kichaa kimemvaa nahisi atakufa kwa mawazo hayupo sawa mentality
Wewe huna hadhi ya kuwa rais na wewe sio CCM wewe chadema
Tatizo mbwa mwenye mnofi hajawai kubweka hakunaa majibu hapo anaongea ujingaa mwingi mtupu
Kanani.msigwatu..kapotea..hamnakitutena
Msingwa hao ni wapuuzi tu
Walienda kupiga makofi dodoma
Yaani nimeina coment zote za kumpinga Msigwa ni majina ya dini moja nachoendelea kuona ni Udini ndio tatizo kwa Urais wa Rais Samia na sio kingine punguzeni chuki baadhi yenu Wakristo huo ni ujinga wa hali ya juu sana kuleta udini katika Nchi yetu.
Nchi haina dini
@adelinelyaruu3036 ndio maana nawahabarisha hao kila jambo kukosoa tu na ukiangalia wakosowaji wengi ni majina ya dini ya upande mmoja tu hivyo kinachoonekana ni chuki juu ya Rais Samia na sio kingine na sio yeye tu hata waliepita Mzee Mwinyi na JK yalikuwa kama haya hivyo.baadhi ya Watanzania wa dini ingine huwa na chuki waache hiyo.kitu ni kibaya kwa Taifa letu ikifikia mahali na wa upande wa pili wanaanza hivyo sindio na ukabila utakuja?
Alimsikia lakini hakumuekewa, ni yule mbunge Ngwashi na hakumuelewa kabisa.
mbona yule mwanachama alisema mbona amkuleta majina matatu na wewe unasema kutetea linda ugali baba
Unafikiri wangesema hawamtaki mama?hapomipangoilikuwa imesukwa tangu hukonje
Anyoxhe mkono wamuuwe
Wewe nenda chama kingine tu
Acha upuuzi wewe uliwasikia wangapi au ulimsikia yule mpuuzi nwenzio anaedai eti yeye ni ccm
Msigwa you are doing what you do for whose interest?perhaps you are being employed by ccm to do so,Mbowe kuwa na udhaifu AB,will never help our country, una tofauti Gani na Hawa tunaowaita waropokaji, hivi ungekuwa mpinzani unaongea yote hayo usingesurvive,wacha niamini una tatizo mahali
Kweli.ccm.mika.10.wanachagua.mtu.mŵingine.katiba. l,,oʻo,,,ppppppp
Mmmmh ama kweli diaspora acheni uongo huo
Msigwa akapimwe mkojo
Kwenye mkutano mkuu,,,hawakujua wanaenda kufanya nini?...waliitwa..