UTUKUFU NA FADHILA ZA BISMILLAH | BISMILLAH NI DAWA NA TIBA | UKISOMA KWA IDADI HII HAUTOIBIWA
HTML-код
- Опубликовано: 8 сен 2024
- UTUKUFU NA FADHILA ZA BISMILLAH | BISMILLAH NI DAWA NA TIBA | UKISOMA BISMILLAH KWA IDADI HII HAUTOIBIWA NA CHOCHOTE KATIKA UNAVYOVIMILIKI
USTADH JAAFAR ABDULRAHMANI
MashaAllah MashaAllah MashaAllah shukran shekh wang kw elimu hii Allah akulipe kwkunipa somo ambalo nilikuwa silijuwi shukran ya akhy
Allha akuzidilchie kher
Allahumah Amiin 🤲
Huku wengine wanasema BISMILLAHI ni bidaa, hatari tupu wallahi
Hao ndo waislam misimamo wakileo hawaongei din bali matakwa ya nafs zao
MashaAllah
Shukran sheikh jazakallahu khair fil dunia wal akherah
Masha Allah 🌹
Shukran sheik..
Shukrani sana
Shukran shekh
Kwanini husemi hiyo idadi sheikh
Uradi wa kwenda haji ni upi
Sheikh Jafari lakini idadi tuambie basi
Mara 50