UCHAMBUZI: USAJILI WA ELIA MPANZU SIMBA/ VIGOGO SIMBA WATOA MAPANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Комментарии • 33

  • @drallan6879
    @drallan6879 Месяц назад +2

    presentors wenye weledi ;bravo guys

  • @TithoMkaburu
    @TithoMkaburu Месяц назад +1

    🔥 🔥 🔥

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 Месяц назад +1

    Baada ya Aubin Cramo kutolewa kwa mkopo Simba bado ina nafasi 2 za Wachezaji wa kigeni. Kwahiyo Mpanzu akipatikana bado Onana atakuwa na nafasi.

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 Месяц назад +2

    Simba au Yanga haiwezi kuwekeza kwa mtazamo wa timu ya Taifa bro,mpira ni biashara,sera za kujenga timu ya taifa hiyo haiwahusu Gov.iwajibike.

  • @SdMwayasin
    @SdMwayasin Месяц назад +2

    Naomba tuongelee timu zote Za nyumbani 🇭🇹

  • @SamwelBonifance
    @SamwelBonifance Месяц назад +3

    🎉

  • @Igauf3
    @Igauf3 Месяц назад +2

    Kuna umuhimu wa kuwa na salary cap per season ili timu ndogo ziweze kupata wachezaji wazuri na kuongeza ushindani.
    Vilevile kila ninaposikiliza uchambuzi ni Yanga, Simba na Azam. Ligi ni pana sana.

    • @mosessimon4570
      @mosessimon4570 Месяц назад

      team zingine hawana vitu vya kuongelea. ukiongea juu ya team fulani ya chini leo kesho huna cha kuongea but hizo team 3 kila siku wana habari na updates.

    • @SdMwayasin
      @SdMwayasin Месяц назад

      Soka Alina swala Hilo kaka

  • @Abdallajuma-rc3ur
    @Abdallajuma-rc3ur Месяц назад +1

    Nawakubar sana

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 Месяц назад

    Hata mimi namkubali sana Onana. Ni game changer. Angalia anavyoingia hizo dakika chache za mwisho anachofanya. Lazima watamkwatua ipigwe penati au free kik. Aliwanyanyasa sana Wydad. Ni mchezaji ambaye anastahili kupewa support na kutiwa moyo. Inawezekana hakuonesha makali kwasababu kwanza alichelewa preseason na pili makocha hawakugundua kipaji chake mapema na kumpa muda wa kutosha. La mwisho timu nzima ya Simba msimu uliopita hakuna aliyekuwa na workrate kubwa labda Kibu tu na hawa vijana aliowachezesha Mgunda. Kwahiyo kosa la timu nzima tusimlaumu Onana. Msimu ujao atafanya maajabu mpaka mtashangaa. Lakini Mpanzu angepatikana basi ningekubali Onana ampishe kama nafasi zimejaa.

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston3841 Месяц назад +1

    Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiii.......!!

  • @TithoMkaburu
    @TithoMkaburu Месяц назад +1

    Tupo pamoja kaka

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 Месяц назад +1

    Tatizo Hans wewe hujui una mzungumzia mchezaji huyo ktk uhalisia na ukweli. Tatizo Geofray na Mkai ni usimba!!!

  • @davidsabaya9362
    @davidsabaya9362 Месяц назад +1

    Waooo

  • @mikidadikiga90
    @mikidadikiga90 Месяц назад +1

    Crown yamoto

  • @issatindwa6530
    @issatindwa6530 Месяц назад +5

    Jaman naona mnanichanganya tu naomba jibu moja tu la.ukweli sio la kutafuta followers na viewers Je ni kweli Mpanzu kasajiliwa Simba 2024/25?

  • @SmilingCondorBird-wo3wk
    @SmilingCondorBird-wo3wk Месяц назад +2

    Nikiwa Johannesburg naburudika kabisa

  • @davismuzahula907
    @davismuzahula907 Месяц назад

    Kiwango cha weredi katika uchambuzi kinaridhisha endeleeni hivyo Crown

  • @SayiMahangi
    @SayiMahangi Месяц назад +1

    Kwa mm naungana na wales

  • @shukuruiddi82
    @shukuruiddi82 Месяц назад

    ni suala la muda sasa uwekezaji ktk soka la vijana liwekwe sawa, halafu ule udhamin uliopo ktk ligue kuu ujaribu kushushwa ht kwa nusu budget kwa ligue ya vijana hii itasaidia kupunguza gharama kwa timu husika na matokeo yake wadhamin wanapewa nafasi ya kuzibeba hizi timu. then kuhusu kutumia wachezaji wa maeneo mengine kupunguza gharama hii ni shida itokayo na usajili tu, ni muda sahihi timu za vijana ziingie ktk usajili na wachezaji walipwe mishahara na sio posho tu.

  • @Deokaliba
    @Deokaliba Месяц назад

    Hayo ni maneno 2 maendeleo ya mpira wa vijana hautayaona sababu kule hamna hela mwekezaji hautaona.

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Месяц назад +1

    Kwa hiyo mmeiua wasafi arena hahahahah hii Noma sn

  • @JumaAbdalla-j5m
    @JumaAbdalla-j5m 25 дней назад

    Simba ipo pea😮😅😅

  • @alliepeppino8883
    @alliepeppino8883 Месяц назад +1

    Corruption inatudondosha

  • @michaelseti1287
    @michaelseti1287 Месяц назад +1

    Nikiwa south Africa munatupa raha kabisa

  • @bilaladdy6620
    @bilaladdy6620 Месяц назад

    what's wrong with Jeff? isn't it very obvious with Onana? technically brilliant and skillful...he's got lack of concentration in the game as well as consistency throughout games. period!!!

  • @MjMohammed-nt6fq
    @MjMohammed-nt6fq Месяц назад

    We jeff muongo kuna mchezaj yupo ihef tamim kama sikosei amecheza nigeria africon hii

  • @Vitasafari-hr6ub
    @Vitasafari-hr6ub Месяц назад

    Kibu kamwaga wapi

  • @FeisaliMudathili-yt9ge
    @FeisaliMudathili-yt9ge Месяц назад +1

    V

  • @TithoMkaburu
    @TithoMkaburu Месяц назад

    🔥 🔥 🔥