Комментарии •

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk Месяц назад +11

    insha ALLAH kila mnafiQ na dhwaalim atafikamwisho. na sasa mwishowaao unafiika.

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 Месяц назад +2

    Allah amuangamize king Abdulla

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Месяц назад +3

    History imekaa vizuri san wallah ❤❤❤

  • @hosseinmaina2444
    @hosseinmaina2444 Месяц назад +5

    Tumuombe Mwenyeezimungu aijalie Iran iwe na nguvu zaidi iweze kuwashinda hao madhalimu

  • @user-jf7is4fk2v
    @user-jf7is4fk2v Месяц назад +7

    kibaraka king an dala ni mnafiki

  • @bishweko
    @bishweko Месяц назад

    Ni uchungu kweli kweli. In Sha'a Allah iko siku iko siku iko siku

  • @abdallahsuwed65
    @abdallahsuwed65 Месяц назад +2

    Very Good History

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 Месяц назад +7

    Umeeleza vema an nikweli nyongeza huyo Abdullah mfalme mama yake ni myahud...
    Ama hizi hila unadhami zitaendelea mpka lini?
    Hii dunia kuna kila aina ya ya dhulma inayofanywa na Wazayuni.
    Hao wanaojiita waingereza wamepachikana majina tu wote hao nimayahudi waliopo marekani na kwinginepo..
    .
    Kwahyo unapotoa mada ujue kuwa wapo wajuzi kwenye uyasemayo.
    .ina maana hata wewe unaguswa na hii dhulma inayo fanywa.
    Kwa hakika Jutihada ni kubwa na nusra inakuja udhalimu unafika mwisho.
    Mayahudi watapigwa dunia nzima mpka watasalimu amri.
    Hy moja pili kuna watu leo bado wanaamini Israel taifa teule huko nikujidanganya km vile hutaki kusikia kifo ingali kifo kipo pale pale.
    Vyote vilivyo fanywa na Uingereza na wengine ni dhulma na dhulma hua haidumu kinacho dumu ni hasara na hasara ndio hii inajitokeza.utashuhudia tukijaaliwa uhai.
    Kwakumaluzia kuna Familia inayotawala dunia Ya Roschildy ndio moja ya familia ilo amua kuanzisha 1948 hy israel .
    Na juzi shetani Sr jacob roschild amekufa naakazikwa israel hii familia inayo zaidi ya trilion dola 5000 mpka leo ndio wanamiliki Kanisa katoliki waliikopesha kanisa dola lake nne ikashindikana kulipwa wakaichukua mambo nimengi
    Uislamu utabakia na Ushindi mkubwa kwa uchacheo

  • @khamisihamadi629
    @khamisihamadi629 Месяц назад +2

    Mwisho wao umefika

  • @user-vj6fy1cp6k
    @user-vj6fy1cp6k Месяц назад

    MAASHAALLAH UMEELEZA VIZUR

  • @saidiyusufumuhode3159
    @saidiyusufumuhode3159 Месяц назад +1

    Waarabu wa sasa hivi sio wakuaamini tena

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Месяц назад

    Shida hiz history unazipat kikafiri vile vile walivozutengenez nao ambaz sio kweli now nd tunapat vit vinavohus dini❤❤❤

  • @aligedi2869
    @aligedi2869 Месяц назад

    Kupenda dunia na kusahau mauti na hesabu.

  • @user-io8hn1jb4d
    @user-io8hn1jb4d Месяц назад +2

    Kosa kubwa linaanzia enzi za dola ya rumi, ilipowatawanya wenye yenye nchi ama jimbo la Yudea (Yuda/Yehuda) baada ya kupinga utawala wao na kulinvunja hekalu la Yerusalem wengi wao walikimbilia na masharik mwa afrika ambako warumi hawakutawala

    • @zenahussein2242
      @zenahussein2242 Месяц назад +1

      Lakin warumi wapya si ndio marafiki wa wayahudi wa leo😂😂

    • @user-io8hn1jb4d
      @user-io8hn1jb4d Месяц назад +1

      @@zenahussein2242 Wayahudi halisi wako afrika, alafu jua kutofautisha kati ya Myahudi na Muisrael, kuna moja ni kabila kati ya makabila 12 ya Yakobo pia ni imani, na jingine ni taifa mkusanyiko wa makabila 12 ukitaka kujua kua hao sio, hakuna mlawi, mrubeni, myusufu n.k Yahudi ni kabila la Yuda mtoto wa nne wa Yakobo na ufalme wa kusini makao makuu yao ni Yerusalem ambapo Mungu aliazimia kusimamisha ufalme wake kupitia huyo na ndio kabila la Yesu

  • @hassanpashua
    @hassanpashua Месяц назад +1

    Jordan ilikuwepo toka wkt wa Nabii luti

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Месяц назад +1

    Kumbe!

  • @abdullahmasakata170
    @abdullahmasakata170 Месяц назад

    Asante,Allah akulipe kheri kwa elimu unayoitoa, Ukipata wasaa andaa na historia na kwann Saud Arabia nayo iko bize na Israel na marekani na wazungu.

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia Месяц назад

      in sha Allah

    • @msamgunda7684
      @msamgunda7684 15 дней назад

      waingereza ndio waliowapa ufalme.hata jina la ukoo wa said ndio jina la nchi.

  • @mohammedmfamau43
    @mohammedmfamau43 Месяц назад

    Yah ni kweli ila allh huwa anatuonesha nani ndie na nani sie,ila uislam haulindwi na bin Adam ila aneulinda ni yule alieumba bilion ya galaxy ambaye ndali ya galaxy 1 tu kaumba nyota km itawekwa mawasiliano hadi ktk nyota iyo ukisema hello,basi baada ya miaka minne4na miezi mi3 ndio ifike huko.sasa huyu ndie mwenye kuulinda hii dini ya uislam(ALLAH S.A.W)

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Месяц назад

    Sasa ndugu yangu lengo lako ni nini sasa hivi .
    Machawa wapo siku zote Jordan ni nchi amani .

  • @simonmwaliru8590
    @simonmwaliru8590 Месяц назад

    Kwahiyo watu wauwane kwasababu ya dini?miaka ijayo walio wachache au mataifa madogo watakuwa na wakati mgumu sana hapa duniani.

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa Месяц назад +1

    Jordan Siyo nchi ya kiislamu hadi mwaka 1960 uislam ulikuwa asilimia 35 lakini kwasasa uislam unakaribia 58 asilimia ndiyo maana kwenye katiba yao rais wa nchi anakuwa mkristo na waziri mkuu mwislamu

  • @mchumiboy2972
    @mchumiboy2972 Месяц назад

    Ukimnyima mtu historia yake basi umenyima uhai ndio kinachotokea Dunia ya leo

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 Месяц назад

    wanafiki njia yao fupi

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Месяц назад +2

    Ipo siku moja watasema

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Месяц назад +1

      Asante Jordani ni rafiki wa Israel 😂😂

    • @Awatee
      @Awatee Месяц назад

      ​@@annasolomon9855Eti rafiki

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Месяц назад +1

      @@Awatee Sasa ulitaje .. wanajuana wale ni majirani kama Kenya na Tz.. Yesu Kristo alibatizwa mto Jordan na hapo kunauwezekano Kuna Wayahudi Wengi tu ndani ya nchi ya Jordan..

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Месяц назад +1

      @@Awatee halafu kwa akili Yako Waarabu na Wayahudi ni ule uadui wa kivita tu lakini hata baadhi ya maneno ya kiyahayudi ni yaleyale ya kiarabu na wanasikizana... Hata kuona wanaoleana Sana tu.. mtoto wa mfalme wa saudia prince mamake ni myahudi baba msaudi Arabia, Osama bin laden mama myahudi baba msaudi Arabia hapo najua utabisha mpaka mwisho 🤣🤣pole Sana

    • @Awatee
      @Awatee Месяц назад

      @@annasolomon9855 ulikuwepo wakati akibatizwa wacha kudanganyana Yesu hakua mkiristo

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 Месяц назад

    Nice history, ila ,watu,wa ,gaza ,wanakufa , jamani, waislamu,mungane na wakristo, wa Tanzania mpige kerere mbona ,mmenyamaza wanaokufa kule sio mbuzi ,eti, ni binadamu, kama cc,

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 Месяц назад

      Awo si ndio wale waliolishwa sumu vichwani mwao,Israel ni taifa la mungu, ata akili hawatumii kabla ya 1947 kuliluwa na taifa linaloitwa Israel?
      Ata uyo Israel masikini hawamjuwi ndio nani wanapelekeshwa tu, wkt huu ndio wakutumia akili kwa wakiristo nakuchanganua.

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Месяц назад

      Ila wewe watanzania wafanye Nini? Mmarekani kwenyewe watu wana andamana ila imeshindikana, south wameshitaki lakini wapi unafikiri sisi tunaweza kufanya nini?

    • @Harrison-zh9sb
      @Harrison-zh9sb Месяц назад

      ​@@mussammanga7791falme daudi alitawala taifa Gani? Mfalme sulemani alitawala taifa Gani? Embu nipe majibu

    • @Harrison-zh9sb
      @Harrison-zh9sb Месяц назад

      ​@@mussammanga7791falme daudi alitawala taifa Gani? Mfalme sulemani alitawala taifa Gani? Embu nipe majibu

  • @user-ow2jv4vn8b
    @user-ow2jv4vn8b Месяц назад

    Hakika wewe ndie mchambuzi bora

  • @user-po9fr6jd6t
    @user-po9fr6jd6t Месяц назад

    Jordan had all the rights to defend its territories. Kama nchi iko na mikakati yake kulinda nchi yake vp iran arushe makombora juu ya anga bila hodi