KULINOGA: Shuhudia Gospel 'HIP-HOP' ikiimbwa na watoto Shalom Dec 16 hakika mambo yalikuwa bambam

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Kila mwaka mwezi December kanisa la FPCT nchini Tanzania husheherekea sikuu ya watoto, katika kanisa letu la FPCT Tawi la Shalom Temple sikukuu hiyo imefanyika tarehe 16 2018 na moja kati ya matukio yaliyojiri ni pamoja na uimbaji, mbali na kuwa na uimbaji wa kwaya uliozoeleka pia kulikuwa na uimbaji wa muziki wa Injili katika mfumo wa kurap, karibu kushuhudia ilivyokuwa.

Комментарии • 18