KULINOGA: Shuhudia Gospel 'HIP-HOP' ikiimbwa na watoto Shalom Dec 16 hakika mambo yalikuwa bambam
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Kila mwaka mwezi December kanisa la FPCT nchini Tanzania husheherekea sikuu ya watoto, katika kanisa letu la FPCT Tawi la Shalom Temple sikukuu hiyo imefanyika tarehe 16 2018 na moja kati ya matukio yaliyojiri ni pamoja na uimbaji, mbali na kuwa na uimbaji wa kwaya uliozoeleka pia kulikuwa na uimbaji wa muziki wa Injili katika mfumo wa kurap, karibu kushuhudia ilivyokuwa.
Eee,Mungu watie nguvu vijana hawa WAYENGENEZE HISTORIA MPYA KTK KIZAZI HIKI, kiroho na kimwili in the Mighty name of Jesus Christ !!!
Pastor Sixbent, speech zako zinaishi
amen amen barikiwa #Benedict Aman
Amina kubwa, kumbe kila mtu Mungu ana kusudi nae.
Glory be to God
Mmejitahidi watt
hahaaaa barikiwa sana #Salma John
Hoger watot wazuri
Ameen
barikiwa sana Miss #Malindi Kenya
Mnaleta staili za kuzimu kanisani halafu mnajisifu !? Hiphop asili yake in wapi?
Amina
barikiwa sana #Egon
Amen AMEEN
historiaaa
Hakika unapashwa kuacha historia njema
Ili kanisa lina pepo
We ndo unapepo