Hii hari siyo yakufurahisha sana maana hayo yote ni machukizo mbele ya mungu yatupasa kumuomba mungu atuepushe na kila ghasia ya namna hii mungu wasaidie wakenya na amani ikarejee Kenya ,mungu ibariki tanza nia nchi yangu ya amani ibariki africa
Kenya hakuna polisi ni mgambo tu FFU akimbie raiya Tena kabeba Mawe Utajuta kilichokutuma kuingia Barabarani mbona huku wanaandamana Kila siku Tena wanalindwa na polisi kwa Amani kabisa ukileta vurugu ndio utawaelewa
Idadi hyo ya askari kuwakimbia raia kama ingekuwa ni tz hao raia hata wangekuwa mara mbili zaidi ya hao usingemuona hata raia mmoja!! Cc watz kwenye kutafuta haki yetu ya msingi huwa tunageukaga MACHAWA na kujiita watoto wa mama KIZIMKAZI!!!
Hii sasa fedheha sana kwa jeshi ila wananchi wanazalilisha jeshi lao linaonekana la hovyo ngoja wapate shida wananchi watalikumbuka jeshi lao liwape msaada
Kenya Hongereni sana i wish if Tanzania could be like this.. Wangenyooka na hiyo serikali yao ya mchongo 😂😂
Ongereni sanaa wakenya
Jaman 😂😂Tanzania tusiombe tuta Kuja kufa
Hongera kwa vibaka..... Kweli Tz tuna vichwa maji wengi sana
@@JustinePatrinius KIbaka nani zaidi ya wanao iba hela za Wananchi
Kenya nawakubari sana mmefanya kazi zuri
Kazi ya police ina MTIHANI 😅 utafikiri hata wanapenda
😂😂😂😂😂 Kenyans never disappoint 🎉🎉🎉🎉 . Sendhi one love Kenya
Da!! Nimecheka kwa sauti ila inasikitisha
Wasafi wa Tanzania nyinyi endeleeni na usafi wenu. Sisi wakenya ukicheza chafu twakuchezea chafu pia.
Nimekubali wanangu😂😂
Wanangu tumekubali bila ubishi mmetisha
Aminia
Wakenya wanaumoja sana jaman nawaombeni MJE nakuku tz mtusaidie bhana maana huku tunaogopa maji ya police
Maji tu?
Katiba na uhuru wakujieleza ndo tunaringia..hao polisi pia wanajua huo mswada ukipitishwa bungeni hawana chao..😂😂
Uhuru gani kama sio ujinga
@@JustinePatriniushawa polisi wanaua waandamanaji, ndio maana pia hao wanakipata
safi sana ndugu zetu wa kenya.
Akili ndio huna
Matanzania kazi yao ndiooo nakupiga makofi kma matahira aliyesoma na asie soma hawana tofauti
Mungu ajaze hawa vijanga nguvu na awalinde. Hawa vijana wanatetea haki yetu wote.
Hii hari siyo yakufurahisha sana maana hayo yote ni machukizo mbele ya mungu yatupasa kumuomba mungu atuepushe na kila ghasia ya namna hii mungu wasaidie wakenya na amani ikarejee Kenya ,mungu ibariki tanza nia nchi yangu ya amani ibariki africa
TULIA wakemya WANAJUA what they are doing and it will come to Tz
@@rogathesarwatt😅😅😅😅😅
Ameen but Amani haiji kwa viongozi wapumbavu ila kwa nncha ya upanga
@@rogathesarwattshindwaaa
ndugu umeongea ponti sana
Tunajielewa hakuna kukaliwa chapati, power belongs to the people viva gen, z
Kenya hakuna polisi ni mgambo tu FFU akimbie raiya Tena kabeba Mawe Utajuta kilichokutuma kuingia Barabarani mbona huku wanaandamana Kila siku Tena wanalindwa na polisi kwa Amani kabisa ukileta vurugu ndio utawaelewa
@@MnubiMmhuku polisi hawalindi waandamanaji, wanawapiga au ata kuua, ndio maana wakipatwa wanacharazwa vilivyo
@@groovy5357 Hahahahaha poleni Sana
@@MnubiMm pole ni kwa wenye wanakaliwa
Nimefurh sna nipo Tanzania , Kaz nzr vijana wangu
Halafu unawepeleka Haiti acha kupenda Pesa Rutoo kama utakufa nazo😊
Bado tz ndo tunajifanya wanyenyekevu pasipo, hongereni sana wakenya
Acha ushoga kaanzishe wewe na makalio Yako unazani wanapenda hao
Subutu tuku uwe kama mbubwa
kenyan police,kenyan govt ni wezi ua ua wote,jinga sana
Big up sana kwa kupambania haki yenu
Haki gani?
@@JustinePatrinius nazani ni mtu mzima unaona kinachoendelea
Kenya nimeipenda mwenzenu
Kenya is a crazy Nation.
Polisi wa Tz hapo risasi za moto mngetembezewa😂😂
Zakayo alizima atii finally ame shuka
Watu washachoka kaka tuombe tusikie huko,
Tz tunaogopa police Kenya wanaumoja Wana kimbixa police
Hili tukio si ni la jana mbona wasafi hamutoi taarifa kwa muda sahihi?
MAPAMBANO YANAENDELEA AIROBI hadi saa hii
Hii tokeo ya kitambo sana nyinyi
Hii ni tukio la leo Nairobi Githurai
Watpata wapi izo taarifa
Ukambila wenye unakuhga kenya , bila viogozi tuneeza ichi vizuri, bana ,
Wakenya nawavulia kofia
Idadi hyo ya askari kuwakimbia raia kama ingekuwa ni tz hao raia hata wangekuwa mara mbili zaidi ya hao usingemuona hata raia mmoja!! Cc watz kwenye kutafuta haki yetu ya msingi huwa tunageukaga MACHAWA na kujiita watoto wa mama KIZIMKAZI!!!
Ni mda wetu wabongo kumili magari ya bure kabisa kenya hawana habari tena
Hii sasa fedheha sana kwa jeshi ila wananchi wanazalilisha jeshi lao linaonekana la hovyo ngoja wapate shida wananchi watalikumbuka jeshi lao liwape msaada
Enda kwa mamako ukale wali muoga wewe
Hao sio jeshi ni anti riot police jeshi kuu liko barracks at the borders of kenya n in somali
Wajua tofauti ya jeshi na askari? Ama una ongea tu
Mmm mtihani
Police wanasepa
Duuu!Hatari😮😮😮
Yaaani hapo wangekufa police wawili wa mfano ingekuwa safi sana .
Vipi mwanao angekuwa police utaomba Hivyo niambie mmwaga damu 😢
@@user-nb6yh2bn9y baba uwa tuuuu angejifanya ana homa asiendee uko kwani hakuna kazi nyingine zaidi ya upolice 😂😂😂😂
Msipige police wao wenyewe wna maumivu wnalipa kodi😂😂
Hahahahahaah hii ni maajabu😂😂😂😂
😂😂😂😂😂haki nimechekaa!! Polis wametoka mbio kama mbwa.kweli mkuna kakunwa leo.
😂
Siku wenye nchi kwa wingi wao na umoja wao wakichachamaa,hawatotosha polisi wala vifaru
tuwaache kwa nni ssa,wao mbona wanatupiga mabomu kabiss
Hii nimeipenda
2025 Ccm tutawafanya hivyo
Hatari
Tz inabidi tuingoe Hii TRA kwa stail hii coz wafanyakazi wake wanajiona babu kubwaa sanaaa
Safi SANA
Hao askari izo bunduki hazina risasi nakwambia tz apo saiv tungekua tunaokota maiti
Wewe huelewi wakenya, askari ni wachache,ukiua ndio unawapa vijana nguvu, hao askari wangeuwawa wote.
Wataokota maiti ngapi kabla risasi kuisha...wacheni uwoga
Kenya shikamoo
Kama nko na akili andamaneni pia nyinyi muone Moto Tanzania huezi ilinganisha na Kenya we are free people mtanzania jaribu kutukana rais uone
Tatizo sisi nimasnich sana
Hio ni ukoloni... Ur in a the 90s generation
bro hizo ni fikra za kijinga zinduka
Kenya wana wa chekea hao wana inchi tembezeni kipingo cha mbwa mwitu mtoto anapo kosa adabu niku muadabisha tu sio kumbe leza
Ogopa Kenya Gen z
Wakenya ni kama wanacheza na amani.
Amani haiji ila kwa ncha ya upanga, watu tumechoka aisee. Kunyanyaswa, punda amechoka
Bill ikipita hatapolisi itamuhusu musione hivi hata hao polisi pia Wana sapoti hayo maandamano nivile wako kazini na hawawezi kuandamana
Njege masanse wakwende😅😅
Walijaribu kufinya watu kende😅
😂😂😂Mbona police wanaogopa kufa🤔🤔🤔 wanatoroka mbio MUNGU saidiay
reject finance bill ke
Nchi inaenda vibaya sasa😢😢😢
Vitu vingine sio za kuamuriwa na serikali kutugandamiza tukiwa tumenyamaza
Unaweza kucheka kama ukitaka but kwangu hii sio Hali nzuri kabisa. It's totally bad situation.
Sisi tuumezoea virugu
Tz tumekaa tu kila kitu ndio ndio
Alafu wakipigwa risasi watasema wanaonewa
NLISKIA MPUUZ MMOJA ANAJIITA MSOMI ANASEMA ET KENYAN WANAJIELEWA KULIKO TANZANIA KO HUU UPUUZ NDO KUJIELEWA KWENYEWE AU😢😢😢😢
Hakuna kujielewa
@@azizimtegekuja tukunuoneshe tunajielew vip...
Njooo tukuonyeshe kudadeki wew
we ni ngombe
Ssi si wanyonge ka tz
km ni znz raia wengeuliwa,na police
Hata KENYA pia polisi wameua sana juzi ila bado tutaipigania haki 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wakenya wanatuzidi vingi hadi dhambi wanatuzidi 😂😂😂
😂😂😂Achana na sisi
Tumechoshwa
Hshahaha hsta mimi nimecheka sana
Kwanini wasingeua maana wamezoea kuaga
Kumbe nawao waoga wamevaa mavitu bado wanaogopa😂😂😂😂😂
Haposasa usiombe askari aku notice my brother siku akikushika utaomba pooh nakuambia
Tanzania mnalala 😅
Sio sawa..polisi hawana makosa
Tuulize sisi wakenya tunajua makosa yalipo😂
Kwani nani ameua raia 20+ juzi?
@@groovy5357 they were following orders
Ongera wakenyaa
Ila wakenya duu 😅😂😂😂😂nimecheka kinoma🇹🇿🇹🇿
Aibu Sana
Nimecheka kama mzuri jaman dar sio kwambio hizo Mungu awasaidie jamani kazi hizi heeeee
😂😂😂Leo nikumoto mazee in stivo simple boy's voice 😂
This is 254❤
😂hawa ndio wanapelekwa haiti ama kuna wengine
Good
Lini hii
Matukio ya jana haya. Mwenyezi Mungu atulinde.
🤣🤣😂policemen being arrested. Ironic
Wamepelekwa Haiti 🇭🇹 kwa barbecue 😅😅😅😅
People's power
Hiyo ni mungiki
Wewe kama mm yaani wametimua mbio baraaaaa
😂😂😂😂😂😂 hahahahaha wamesha 🔥🔥🔥
Very sad
Hustler yuko wapiiiiiiiiii😅😅😅😅
hapa nimkate umepanda bei sukri je
Kama bongo tu
Polisi hawana makosa. Lazima wakimbie tu kujiokoa.
Hunter's and the hunted😂
😢😢😢😢😢😢
Wanachekelea ujinga wakiamuriwa watumie silaha mwanachi yupi atabaki hapo
Wananchi wamekufa wengi jana lakini ilibidi ndugu yangu. Tumefika mwisho
😂😂😂😂😂😂😂hii nayo imenichekesha
Hii ninhatari sana kwakweli
Wajaluo awatakagi USENGE
Police wanakipata
😂😂😂😂😂😂 kenya bana
Soon
Burukenge nyinyi 😂😂
Wametimua Mbwio....
Media za bongo zina shobo
Nikiwa na bunduki?????