MSEMAJI WA VITAL'O awapa onyo Yanga ATOA DHARAU/ AMKEJERI Haji Manara AHAIDI asipo WAFUNGA YANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Комментарии • 284

  • @ibrahimirakoze3312
    @ibrahimirakoze3312 28 дней назад +26

    Ndugu yangu Arsene BUCUTI, Me ni m Burundi na Vital'O naifaham, najua ni Tim ya kihistoria nchini Burundi ila hapo siungani na wew kbx, how and Away kama Vital'O haikupigwa goli zaidi 10 nipo paleeee

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa 28 дней назад +24

    Kamwe na Manara hebu ichukueni hiyo muipeleke AVIC town haraka sana❤

  • @songombingo108
    @songombingo108 28 дней назад +12

    Asante Bwana mdogo. Subiri tu.

  • @liliankada353
    @liliankada353 28 дней назад +24

    Utaifungaje yanga.hii💚💛💚💛🙏

    • @Malangalusaede
      @Malangalusaede 28 дней назад

      1_0

    • @BabyulaJaneth
      @BabyulaJaneth 28 дней назад +6

      Kayakanyaga uyo yatamkuta makubwa😅😅😅😅😅 yanga bingwa

    • @user-ic8oj1fy7q
      @user-ic8oj1fy7q 28 дней назад +3

      😂😂😂😂😂😂😂 umenichekesha​@@BabyulaJaneth

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 28 дней назад +11

    Kiongoz uko vizuri sana na nimekuelewa sana

  • @bienfaitbatende8836
    @bienfaitbatende8836 28 дней назад +18

    Nakuoneya uruma sana mzee,kawa ulize Mamelodi njo watakupa habari

  • @GadsonEnos
    @GadsonEnos 28 дней назад +25

    Huo Mdomo wako utaiponza timu yako We huogopi.

  • @user-tl9zq4ue5g
    @user-tl9zq4ue5g 28 дней назад +11

    Jamani huyu msemaji huyu huyu msemaji jamani yanga wanahasira sana saiz ni bora aiheshimu tu ata kama anauhakika atulie

  • @user-nz4bn3oz3l
    @user-nz4bn3oz3l 28 дней назад +2

    Ahmed ally wa burundi😅😅

  • @stevenmichael9264
    @stevenmichael9264 28 дней назад +7

    Duuh kweli waru di wana roho ngumu sana, et wao hawaogopi🤣🤣🤣🤣🤣

  • @AshuraShabani-wz8px
    @AshuraShabani-wz8px 28 дней назад +12

    Angalia usije kusahau njia ya kurud Burundi

  • @JeniphaRobert
    @JeniphaRobert 28 дней назад +10

    Ngoja ali kamwe aipelekee akawasikilizishe wachezaji

  • @WilisonDonad-fe1vq
    @WilisonDonad-fe1vq 28 дней назад +5

    ❤love is yangapunguzaaaa mdomoooo wakooo utakupoooonzaaaa levooo zenuu zikoooo kwingineko siyoooo kwayangaaaa

  • @magrethsanga4971
    @magrethsanga4971 28 дней назад +10

    Hiki Crip tunaituza usimalize maneno semaji wa vitalo

  • @robertchazya2351
    @robertchazya2351 28 дней назад +4

    Bro bro bro.. nimekuita mara 3, mdomo huo, utawatia hasira wananchi ohoo 😂😂

  • @MichaelLuhaga
    @MichaelLuhaga 28 дней назад +8

    Ila kaka umeuponza, kauli zako sio nzuri na sidhan kama unamapenzi na hiyo timu Yako

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 28 дней назад +7

    KAmuulize Hashimu Ibwe atakupasha habar ya Yanga😂😂

  • @Humble-m-2tk
    @Humble-m-2tk 28 дней назад +2

    Vital'o oyeeee🇧🇮🇧🇮🇧🇮👌👌👌

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 28 дней назад +5

    Sawa kiongozi tumekusikia. Wewe ni Mungu unapanga hayo.

  • @ellyelly9069
    @ellyelly9069 28 дней назад +4

    Mhmmmmm!!!! Hayaaaa bhana

  • @KaburameHamisi-fm7fo
    @KaburameHamisi-fm7fo 28 дней назад +3

    Naomba Viongozi wa yanga waweke kikosi ca 2ndio kiceze na Vitalo hatuta dai team yetu yanga

  • @LeylaSaria
    @LeylaSaria 28 дней назад +5

    😂😂😂😂😂mdomooo mdomooo😂

  • @KabungaKalla-fw4pp
    @KabungaKalla-fw4pp 28 дней назад +6

    Eeeer mtangazaji usitulishe maneno hatuja tangaza kuwa tunawafunga. Usitusemee wasubiri siku ifike. Atakukimbia huyo in

  • @elishagregory1595
    @elishagregory1595 28 дней назад +3

    Pole sana

  • @MdalesioWilliam
    @MdalesioWilliam 28 дней назад +8

    Usitukane mkunga angali uzazi upo

  • @KyllianWafula
    @KyllianWafula 28 дней назад +5

    Mpime akili ya huyu jamaa😂😂

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 28 дней назад +3

    Ndugu ndugu mdomo huo utaondoka umeloa hapa kichwa chini usiwe kama akina nani wale wanaokaa Mbagala mdomo mwingiiii mwisho wa siku fyeeeeeee😂😂😂😂🙌

  • @rosie8704
    @rosie8704 28 дней назад +7

    k vant inaongea 😂

  • @user-rr7du8om1z
    @user-rr7du8om1z 28 дней назад +4

    Pole sana kjana sema nitaomba mauno yenu

  • @user-id5oc7hm4n
    @user-id5oc7hm4n 28 дней назад +4

    Imani ndokila kitu ongera sana😂😂😂😂

  • @eliudipetrokwaslema3918
    @eliudipetrokwaslema3918 28 дней назад +3

    Uko sawa ndugu hakuna mtu anakubali kushindwa na mpira ni dakika 90

  • @user-uw8de9yu8o
    @user-uw8de9yu8o 28 дней назад +3

    Kalewa huyo ila tumemsikia

  • @RamaNyari-goo7
    @RamaNyari-goo7 28 дней назад +4

    😳😳😳😳😳😳😳 tobaaaaaa Heheheheheeeeee hiv huyu jamaa ni mzm kweli!!!!! Ananitisha, ni hii yanga nnayo injua au kun nyingine anayoizungumzia. 😂😂😂Kahh kwa ule mchezo na pamba. Yangu macho na masikio, ntasubir, ila nakukumbusha hao jamaa wameshindikana babuuuu.

  • @godfreysimoni4270
    @godfreysimoni4270 28 дней назад +6

    Karibu mtoto umeutaka na utaupata

    • @AbdulLada-mj8xz
      @AbdulLada-mj8xz 28 дней назад +1

      Sawa tutakuona jumamosi utavaa mzura usoni

  • @mussakijangwa196
    @mussakijangwa196 27 дней назад +1

    😂😂😂😂😂Tumwambie au tumuache kwanza😅😅😅😅😅😅

  • @aishafranco1055
    @aishafranco1055 28 дней назад +4

    Semaji anyodo kama Ahmed ally utauponza😅😅😅

  • @ezekieledison-d4w
    @ezekieledison-d4w 28 дней назад +6

    Umebipu watakupigia tu

  • @christinaalexander1213
    @christinaalexander1213 28 дней назад +3

    Huyu comedian

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 28 дней назад +5

    Huyu jamaa yuko sawa

  • @ellyjaabu7778
    @ellyjaabu7778 28 дней назад +3

    Tumwambie au tumuache kwanza😂😂😂😂

  • @michaelwilson679
    @michaelwilson679 28 дней назад +3

    Wewe huijui yanga😅😅

  • @BarakaAbel-wm4jj
    @BarakaAbel-wm4jj 28 дней назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂 we Haogopi kwelo

  • @khalfanmahela87
    @khalfanmahela87 28 дней назад +4

    Huyu jamaa bola angekaa kimya kwa manenohaya atakula wiki kila mchezo

  • @MustineIddy
    @MustineIddy 25 дней назад

    Huyu jamaaa huyu anauponza watapigwa magoli kirundo😂😂😂

  • @tevintevin6254
    @tevintevin6254 28 дней назад +1

    Mdomo huoo babu mdomoooooo huoo ankooo haya bwanaaaaa

  • @khalidhamka9567
    @khalidhamka9567 28 дней назад +2

    @alikamwe tafadhar baleke ,pacome,Aziz ki , Chama,job,diara, baca, na max

  • @LucasHaile-dy9kd
    @LucasHaile-dy9kd 28 дней назад +2

    Vitalo fc 0 vs 7 Yanga sc.

  • @mlumendoigonza6398
    @mlumendoigonza6398 27 дней назад

    Mmh! Haya, karibu sana ahsante kwa kauli yako

  • @Reyy2406
    @Reyy2406 28 дней назад +6

    Sawa tumekusikia. Tumekaa pale

  • @susujeremiah195
    @susujeremiah195 28 дней назад +4

    Sisi mashabiki hatuna uwezo, tutasema kwa WACHEZAJI wetu tutamwambia AZIZ, NKANE, PACOME, CHAMA na BOKA inatosha MAX na DUBE hatuwaambii maana litakuwa balaaaaaa

  • @LazaroKayange
    @LazaroKayange 28 дней назад +4

    Weka akiba ya maneno

  • @blackwarrior-animations593
    @blackwarrior-animations593 28 дней назад +3

    Bigi usiongee sana....we jua tu mumeyatimbanya 😂

  • @subiralema
    @subiralema 28 дней назад +3

    Ujuwe kuna bao la mama miliioni 5 mtapigwa 10😂😂😂😂😂

    • @greysonkisinda7390
      @greysonkisinda7390 28 дней назад

      Haaaa hv goli la mama lipo kwazia round hii?

    • @kazinzangonda230
      @kazinzangonda230 27 дней назад

      Hajui ngoja tu.😂😂😂😂 Na ameyakanynga

    • @roseurio4983
      @roseurio4983 26 дней назад

      Uwiiiii huyu msemaji anapandisha asira mpaka natamani namimi nikaingie uwanjani ni mbutue puuu

  • @luqmanhaji7537
    @luqmanhaji7537 28 дней назад +3

    😂😂😂😂😂

  • @mizasalum
    @mizasalum 28 дней назад +4

    Waulize wenzio waliongea nini na kimewakuta nini !

  • @ShahaNsomi
    @ShahaNsomi 28 дней назад +3

    Hii nayo kweri Kari haliokopi litajuta baada ya mechi

  • @djpatruick
    @djpatruick 28 дней назад +2

    Huyo kawaida yake ni Mchekeshaji 😅😅

  • @FatmaMasudi
    @FatmaMasudi 25 дней назад

    Kwazalau ya semaji lao goli5 bila lazma apigwe vitaloo wakalime vitalo vya nyanya kwao

  • @LucasHaile-dy9kd
    @LucasHaile-dy9kd 28 дней назад +2

    Sawa mkuu najua kipigo kiko palepale ila nimekukubali unavyojiamini ila nakupa tahadhari usiingie unaamini utashinda kweli usije ukapata shambulio la moyo yaani " heart atti" au "Congestive Cardiac Failure CCF". tafadhali yabebe maneno hayo utanishukuru baada ya match.

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib 28 дней назад +2

    Onyo la nn wenjoo tucheze mpila Wacha uoga .mdomo uosiomzuli ukicheza na yanga ndio utajua timu yakolpowapi

  • @rabsonased7106
    @rabsonased7106 28 дней назад +4

    Uzuri Kuna basi mrudi na basi

  • @user-lf3cc3xq1j
    @user-lf3cc3xq1j 28 дней назад +2

    Ngoja kiwalambe😂😂😂

  • @saidmailo8491
    @saidmailo8491 26 дней назад

    Vitalo o apigwe vibaya ili wajue yanga ni motoooo

  • @dastanfussy4898
    @dastanfussy4898 27 дней назад +1

    Tunaomba kila baada ya mech ahojiwe tena tumsikie

  • @SostenesKalima
    @SostenesKalima 28 дней назад +3

    Shauli yako,kitakacho kukuta ukimfunga yanga niite mbwa nimekaa pale

  • @harunayman
    @harunayman 26 дней назад

    Dakika 90 zitaongea. Tunapenda sana challenge

  • @RamadhaniMbaruku-j9b
    @RamadhaniMbaruku-j9b 28 дней назад +2

    Sawa mkuu ila maneno makali sana so yatakuponza kiongozi

  • @NgelejaMajaba-nl3qi
    @NgelejaMajaba-nl3qi 28 дней назад +5

    Mhm jamani mbona kama hayuko sawa huyu jamaa

  • @RashidShidhani
    @RashidShidhani 28 дней назад +1

    Kumbe kina Ahmed Ally wapo wengi Tu mpaka Burundi😂

  • @IddyNasoro
    @IddyNasoro 28 дней назад +1

    Yanga hii utaifungaje? Utaifungaje?

  • @ebraniacosmosy2072
    @ebraniacosmosy2072 28 дней назад

    Jamaa unajua kujipambanua vizuri sana... hongera sanaa

    • @MohamedChillo
      @MohamedChillo 27 дней назад

      Duuh Mimi si Yanga ila huyu msemaji ana kichaa anaifananisha Yanga na Pamba Jiji? Hatari kabisa

  • @abdulkawambwa2604
    @abdulkawambwa2604 27 дней назад +1

    Anazungumzia mwaka 90' jamani huyu mtu sijui ngoja tusubiri siku ifike 😅😅😅

  • @ramsonismail4467
    @ramsonismail4467 28 дней назад +2

    Hii imeishaaaaaaaaa

  • @vincentkatabalo286
    @vincentkatabalo286 28 дней назад +3

    Huyu ni mzima kweli?

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz 28 дней назад +2

    Mdomo utakuponza subir matokeo ndo ubwabwanye

  • @LukmanKhamis-d8r
    @LukmanKhamis-d8r 28 дней назад +2

    Usje kimbia ukimaliza miracle mdomo utakuponza

  • @user-ej5vc7zg7o
    @user-ej5vc7zg7o 28 дней назад +3

    Mlinzi mkuu wa ziwa nyasa kwa afrka mahariki na Kati utakuja niambia yanga hii weka mbali na watoto.

  • @EdsonKilamvu
    @EdsonKilamvu 27 дней назад

    Huyo msemaji hajui anachoongea nahisi kama kashachanganyikiwa hata kabla ya mechi 😂

  • @nicolastshilobo8304
    @nicolastshilobo8304 26 дней назад

    Kwanza uyu coach wa vitalo sio waku msikiliza..Kwanza Burundi enyewe wana njaa

  • @pastorlazarosamwelkilala5795
    @pastorlazarosamwelkilala5795 25 дней назад

    UTAFUNGWA ZAIDI YA 5 KESHO UTA FUNGWA MDOMO NA KUFUNDISHWA HESHIMA

  • @DaydreamHimself
    @DaydreamHimself 28 дней назад +2

    Wasimtafsirie Gamondi hii 😂

  • @kalingavictor7068
    @kalingavictor7068 28 дней назад +2

    Mwandishi mtume Ally kamwe hivi interview

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 28 дней назад +6

    Nakukubali sana ila punguza ukali wa maneno bro

  • @jumarocky9544
    @jumarocky9544 28 дней назад +1

    Jamaa anajiamini sana😂😂😂

  • @user-lb8vj2qy3r
    @user-lb8vj2qy3r 25 дней назад

    Ndugu yangu mimi Pia tunachangia inchi na team alakini kwa ushauli wangu ungejinyamanzia bingekuwa bola zaidi
    Kwa sababu batatupiga na huwo mdomo wako
    Young yeshimiye bape mauwa yao
    Usisemi kwamba bote bana miguu miwili
    Miguu miwili inauwezo tofauti jamani

  • @fidelismalllya4699
    @fidelismalllya4699 27 дней назад

    Daaa!!! Ee mungu eee....

  • @user-oe8gk7zz1u
    @user-oe8gk7zz1u 28 дней назад +2

    Huuu mdomo huu mwambie nn kimewakuta ndg zake 😂😂😂😂

  • @greysonkisinda7390
    @greysonkisinda7390 28 дней назад +3

    Huyu jamaaa kalala kaaamkia bar

  • @nicolastshilobo8304
    @nicolastshilobo8304 26 дней назад

    Uyu coach wa Burundi ana akili...uyu tuta mufunga goli zaidi 10

  • @JoshuaKapungu-sj5dk
    @JoshuaKapungu-sj5dk 28 дней назад +2

    Haya bhana, huo mdomo wako utaponza kichwa

  • @michaellemmy9818
    @michaellemmy9818 28 дней назад +2

    Umeshiba mahole na ugari wa royo wewe ngoja uje ukamilishe mchezo

  • @Nesiwakitaa
    @Nesiwakitaa 26 дней назад

    Kwani nn asiseme kwani yanga waogopwe wamekuwa mungu mwecheni aseme

  • @abubakarchinga2345
    @abubakarchinga2345 28 дней назад +2

    Uweke akiba ya maneno😂😂😂

  • @SaidMkwabi-ho8yy
    @SaidMkwabi-ho8yy 28 дней назад +2

    Naona wewe haujitaki nahiotimuyako mtapewa kila mchezaji golirake na kipa pamoja na kocha kilamtu atapewa goli lake uendekwenu kule buyenzi ukahadisie vzl

  • @ezekieledison-d4w
    @ezekieledison-d4w 28 дней назад +3

    Wamepigwa na pamba wataona siku hiyo Bado wanaupofu

  • @dicksonmwano9822
    @dicksonmwano9822 27 дней назад

    Sema hili semaji linafurahisha wadau😅

  • @georgiusgotifrid3074
    @georgiusgotifrid3074 27 дней назад +1

    Ushauponza🤣🤣🤣🤣

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj 27 дней назад +1

    This man talks political football ⚽ not football reality.

  • @danielmrimi1213
    @danielmrimi1213 28 дней назад +2

    Kwenye simba kufungwa saba hapo penyewe kaziaah

  • @geofreychipeta8983
    @geofreychipeta8983 28 дней назад +1

    Angalia maneno hayo uyatunze