Polisi Wajieleza Walivyotajirika
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Zoezi la kuwapiga msasa maafisa wa polisi wa ngazi ya Naibu Kamishna Wa Polisi limeingia siku ya pili hii leo huku maafisa watatu wakihojiwa na jopo linalowachunguza. Jopo hilo linalosimamiwa na mwenyekiti wa tume ya huduma kwa polisi Johnston Kavuludi leo limewahoji makamanda wa kituo cha mafunzo cha kiganjo Peter Kalonzo Kavila, mwenzake anayesimamia kituo cha Embakasi cha mafunzo ya polisi wa utawala Abdi Omar Shurie na mkurugenzi wa mageuzi katika idara ya polisi Jonathan Koskei.
Brave man. Walahi kama angepewa hio chance I know angefanya kazi mob Hadi wakenya wafurahi. Infact he taught me tactical course na imenisaidia sana. Na nahitajilia maisha marefu Kwa baba shuriye
Nimetokea tiktok hello huku
Kenya Milele
wazungu wanafanya nini hapo 🤔
MZUNGU ANAFANYA NINI SASA MBONANYIE HAMKO KWENYE VIKAO VYAO BASI UJINGA MWINGI TU NA NDIOMAANA UKOLONI HAUONDOKI
😂😂😂😂
Arogant 😃😃😃
rusian. Bricth. on rusianfolo