*Seriously mnanysnganya mtu kisu then just place it around him again, na kuna misitu hapo mngerusha ndani. Risking all ua lives😮 shukuru Mungu Sana...*
True hata day Ile ya kitoo kuwa kidnapped gun ya Yule jambazi WA kofia kubwa Director jay instead ya kuchukua gun atupe kwa msitu anasumbaa nayo so ukiona kuna hatari chukua silaha utupe before atafute mtakuwa mmeenda mbali.
Kitoo, wewe of all the people!!be using yua brains, kitoo!unajihatarisha, utakufa vibaya with ur kiherehere...kisu ulikuwa ushapokonya huyo mwuaji, na bado ukawa careless, ukaitupa kiholela, mpaka akaipata! ungeirusha mbali msituni!instead, unaenda ukiiangusha chini kama maembe, mpaka inaokotwa na adui.mbona wamtoa kwa gari na unajua ako na hio kisu?????angekudunga, au adunge huyo dem, kumbuka kule umetoka juzijuzi na kidnapping! anyway, thanks for saving the gal from a murderer
@@marymutavi -ni kama haufwatilii vipindi vyote vya TRUE K TV....-misitu ndiko kunachinjwa watu wakitolewa ma kidney. misituni ndiko child trafickers wanaficha watu.huko huko ndiko kito alitekwa nyara four weeks ago at gun point! amejirudisha kwa mazingara hayohayo tena, bila armed security!
Ngai Sina lakusema kumbe mtu atakuua akikuchekesha😢😢😢😢😢😢poor us ladies 😮😮God Warch us and guide us through evil people and things in Jesus name because of our kids 😢😢😢😢
Please 🙏 prayers for this country waompezi tumelala that's why mambo Kama haya Yana fanyika yes you can be single forever but what about your sister and your brothers
Kitoo ungengonga kichwa na jiwe angetupakisu kwenye kunisaindia mjisaindie huruma hakuna maana mangaindi sasahiv Kenya wamezindi kila pahar wanauliwa na hapo mungu kamsaindia msingekua angeinginzwa kwa mstu na kuuliwa
😢 KITOO brother you have saved this soul,huyu madam alikuwa amalizwe leo.
Wale tuko single mama tujuane 😢 hii ni kali
Kitoo you have saved a soul but Track huyo jamaa ashikwe
Because of the lady’s prayer she get saved kitoo n the rest you are life saver oooh be blessed
KITOOO MY SON PLS NILIONA ULIYOPITIA PLS SITAKI KUONA UKIJIPATA TENA KWA SHIDA PLS FROM TZ TUNAKUPENDA SANA BBY BOY
Single for life jesus christ alikuwa amepitia musitu amumalise ,girl God loves you just run
Another chance God give to us weeee😮😢😢😢
Kabisa
@@queenventomukhunya9052 pliz dear nipitie nitakupitia pia
I better stay single
100%
No,wakati mnachubiana mnapanga mambo yenyu
😢😢😢😢😢
Team angel Gabriel .kiss my comment
But aky mungu anawatumia nyi watu kusafe lifes aky mbarikiwe sna
Wooooi and the way she is beautiful ❤️
This lady anachukuwa kisu badala atupe anaishika nikama kitu ya kula she's not serious
fara sana😂
Kitoo pliz these things darling even though it earns a living but risky my dear
😮EEE hiyo KAZI wacha niku risk maisha
*Seriously mnanysnganya mtu kisu then just place it around him again, na kuna misitu hapo mngerusha ndani. Risking all ua lives😮 shukuru Mungu Sana...*
True hata day Ile ya kitoo kuwa kidnapped gun ya Yule jambazi WA kofia kubwa Director jay instead ya kuchukua gun atupe kwa msitu anasumbaa nayo so ukiona kuna hatari chukua silaha utupe before atafute mtakuwa mmeenda mbali.
Kitoo, wewe of all the people!!be using yua brains, kitoo!unajihatarisha, utakufa vibaya with ur kiherehere...kisu ulikuwa ushapokonya huyo mwuaji, na bado ukawa careless, ukaitupa kiholela, mpaka akaipata! ungeirusha mbali msituni!instead, unaenda ukiiangusha chini kama maembe, mpaka inaokotwa na adui.mbona wamtoa kwa gari na unajua ako na hio kisu?????angekudunga, au adunge huyo dem, kumbuka kule umetoka juzijuzi na kidnapping! anyway, thanks for saving the gal from a murderer
Hatakufa ataishi,kihehere gani!aki tujifunze kutiana moyo sio kuvuja,Mungu teaomba uwalinde 2ana loyalty test kwa kazi nzuri wanayoifanya.
@@marymutavi -ni kama haufwatilii vipindi vyote vya TRUE K TV....-misitu ndiko kunachinjwa watu wakitolewa ma kidney. misituni ndiko child trafickers wanaficha watu.huko huko ndiko kito alitekwa nyara four weeks ago at gun point! amejirudisha kwa mazingara hayohayo tena, bila armed security!
Ngai Sina lakusema kumbe mtu atakuua akikuchekesha😢😢😢😢😢😢poor us ladies 😮😮God Warch us and guide us through evil people and things in Jesus name because of our kids 😢😢😢😢
Ghai msichana wa wenyewe leo angeuliwa akii....This man wanted to harvest body parts. Weh, usalama wetu uko wapi??
Girl run for your lyf
May God bless all the parents to be able to feed their families, so that their marriage will be stable, fear of the Lord is a best key to success
😮 ooh kumbe wanawake hivi ndivo wanvo uliwa kirahisi hivi😢.mungu ww mbinguni tetea okowa wanawake😢
Nikiona hivyo naishiwa na nguvu wacha nikae single. Kitu may God bless you mmezaidia sana huyu angeuliwa tu hapo. Am 💔💔 for what I have seen
Kitoo bro😂dont be free kwa hawa watu wenye munasernitize😢ona vile unalalia uyo kumbe n gaidi😢
Huyu dame ni fala unaeza aje karibia mtu umesoma text's zake akiplan kukuuwa kama wewe sio ndwanzi
Kito may God guide you always…..
Uuuui alikuwa anapelekwa kichijio God ur soso good
I love this😂😂😂😂😂😂
Bint nenda ukatoe sadaka kanisani, uko na Mungu sana man kam s kina kitoo ungekuwa marehem leo n utupwe kW msitu
Single forever and ever Amen
Kitoo you are a God sent to this lady, May God protect you guys ♥️🙏
Pure content but eye opening ☝️
Always rushing to the drama part 💃💃💃💃💃
Kito kweli sisi ni waluhya...lakini mpaka useme "Your papies " bane kito bane pooh hera!
This girl was minutes away from her death.
Sasa huyu jamaa angetaka kuua huyu dem angemuua tu ju Kito and the so called security ni kuruka ruka tu apo😢sasa angedungwa
True
INATkiwa KITOO na watu wake muwe mnabeba kitu ya kujikinga ama mnaeza tumia for your safety pliz,
KITOO TEMBEA HATA NA RUNGU AMA NYAUNYO FOR PROTECTION. NA MKUE NA BODYGUARD MWINGINE MWENYE ANAKAA KANDO BILA KUJULIKANA ANY DANGER ANATOKELEZEA TU
I really choice to live single hiii siezani acha niedele kuosha choo kwa mwarabu 😮😮😮😢
Walai
Nyny nyote ni mafala mnashika kisu mnaeka chini pia mwanamke anaishika instead atupe qwa msitu
Mungu azidi kuwalinda nawenzako Kitoo mana izo kazizenu zina changamoto kubwa 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Huyu madam anashika kisu aje surely😲😲
Waaa God is good huyu alikua akufe leo
Singles we have a meeting in the back tent ❤❤
Kitoo nunua mkwacho iko na kisu kama stano.. unaitumia kama walking stick at the same time ikiwa weapon yako.
Nakwanini uyu mwanamke amemurushia kisu ???why??how??
Bora niwe single mama nipate anani😢
Napenda sauti ya kitoo his well trained from jay❤❤❤
waaaah😭😭Dunia kwisha
Kwanini amuwe na ako na watoto wake. Haki mungu Shuka ututetee😢.ungemwambia sikutaki tena nimepata mwengine na yaishe
Wawah kafara direct umeokoa maisha ya uyu dame walai mungu habariki loyaltest
Please 🙏 prayers for this country waompezi tumelala that's why mambo Kama haya Yana fanyika yes you can be single forever but what about your sister and your brothers
Jehova sasa hizi ni gani watu wamefika hapa acha nikae sigo😢😢
Let me stay single Jesus this is so scared to watch
Strong kito good jb
Mmmmh😢😢shukuru mungu msichana
Sasa hizi n gani surely mwanaume ako na kisu msichana hajui wa
Wahhhhh 😢😢😢😢😢😢😢Jesus christ. This is a police case... Wakasaidiane na shakahola and kware devils 😢😢😢😢😢
hio story ya kujipeleka kwa bush na hauna armed security.....acha nisiseme!
True
Si mkuwange na silaha ya protection
God , niwapi tuko save 😢😢😢
Jameni si mnashika huyo mtu mkiwa wawili mnanyanganya kisu
Kwani kuuwa mtu kuna faida gani tujue😢
😂 hatari...kweli hakuna love
Tafadhali tokeni hapo ATA mungu ambapo huyo mschana anaomba amemuokoa
Bring us about teacher and the witch
Mwaka wa kuoa inalekea kuisha 😢😢😢
Gonga mkono , kaa mtu Ako na siraha
Kitoo wewe na jay most of the time sauti yenu haisikiki, work on that otherwise mnaanza kutubore
That is why I hate nyweli ngumu for life better Cushites
Huyu mschana mjinga Sana ,Hana akili.anachukua kisu anampatia tena anarudi kusima .nimuungu Tu sababu kulikua nauwezo mngedugwa wote. Be careful kito
Hakumpa kama ulikuwa unaangalia Kwa makini alituma kisu Kwa kichaka then akachikua
Nishaipatana na mtu wa kubeba kisu 😅😅 I had to run for my life😂😂😂😂
Hii ni kipindi tu.
Mbona hamkuchukua car key's
Kuweni macho hapo wote mulikuwa kwa hatari
Piga mawe ya kichwa nini mnacheza na muuwaaji hapo
The original mubaluhya😂
Ungelitupa Kisu kwa kichaka nikuwe evidence
Ata SI eti akua anajua njia alikua anataka kumuua na kumtupa uko nivile aliona Kuna watu
Yani MTU mumoja anawa chida namuko watatu
Kitoo ungengonga kichwa na jiwe angetupakisu kwenye kunisaindia mjisaindie huruma hakuna maana mangaindi sasahiv Kenya wamezindi kila pahar wanauliwa na hapo mungu kamsaindia msingekua angeinginzwa kwa mstu na kuuliwa
Nyinyi amuna akili unapata mtu na kisu munafaulu kuishukuwa than munaiweka chini karibu tena kuwageni wa njanja
Ngaii alikuwa akamuue ooh my God
Sasa ikifikia hapa,let me stay singular 😅😅
thank God 😢😢😢😢😢
Waa kama maisha yapenzi nivizu wacha nioshe choo zawarabu wangu alikufa sitaki mwingine sai nkubaya waa
Hawa vijana wa hovyo kwa nini mmeshindwa kumnyang’anya kisu eti mnachukua kisu mnaweka chini
Betty to be single
Mungu anguuuuuuuuu
Yani pesa ndio inatawala dunia,hadi inafika mahali unaua mwenzako
Story ya mum Derick imefikia wapi
Hio ngombe ya mwanamke badala ifiche kisu inamrudishia tu auliwe ..kubafu ya mtu😊
Mjinga sana
Ama yeye ndio alitoa kafara mtoi wake mwenya alipass,pia alikuwa atoe bibi
Mna act Kama mafala, kwani wakati mlichukua kisu mara ya kwanza amkeficha😢
Uyo Mzee n mkara
Kitoo wewe pia unataka kunisinya si usome SMS sasa nini eti unajishuku
Aty anajifanya ni church girl,si ukifanya huyu dem ni wa church hata ni Mungu amepitia Kwa kina kitoo ili aokolewa
Ngai ati n nn surely nitakaa single mother jamani
Huyu jamaa hana Amani kabisaa anajua ana karibia kuumbuka
Kitoo mkiambiwa muache sanitisation ya msituni hamskii ,Ona sasa
But amesave life ya huyu Dem, ni risky but ni kazi yao
Aki mmerescue uyo dame alikua auliwe Leo 😢adi kumleta kwa msitu ilikua plan
Kitoo hizi zako ni script ama mnashika kisu badala mtupe alafu mwanamke akiwachwa akimbii
Na kisu ametoa wapi ???
Eiiish
Huyu dame pia yy ni ngombe badala atoloke anakaa tu
Huyu ni mwalimu wa shule Fulani analeta mtotm wangu mahali 😅😅😅