FUMANIZI CHUMBANI MOROGORO | Part 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 468

  • @TausiMokiwa
    @TausiMokiwa 27 дней назад +15

    Yani nimempenda huyo kaka mwenye mke katumia busala sana kwakweli ingelikua wale wezangu na mie hapo mngekuta tu kachinja nayeye anaenda kuozea jela ila we kaka Pole na hongera yako pia kama mke utapata na uta enjoy sana

    • @Fatoma-wd3gj
      @Fatoma-wd3gj 18 дней назад +1

      Kwanza mumewe hesam boy dah wanawake ss jmn😮

  • @FarajaSijali
    @FarajaSijali 27 дней назад +43

    Jaman watu wanachezea bahat mungu npe namimi bahat yamume

  • @tonnyjoseph2003
    @tonnyjoseph2003 17 дней назад +1

    Wewe kaka ni mstaarabu sana. Hapo endelea na maisha mengine Mungu ata kuongoza.

  • @BrightonPeter-dw8qp
    @BrightonPeter-dw8qp 26 дней назад +7

    Duuuuh😢😢...inaumiza sanaa men tunaudumiaa mpaka na ndg zao then afanyee hiviiiii.....napiga bisu woteee hiyo ni vita mhura

  • @MinaSule-l6v
    @MinaSule-l6v 27 дней назад +16

    Sie wanawake mungu atusamehe tu tunapata bahati tunazichezea

  • @NeemaSamwel-i8m
    @NeemaSamwel-i8m 8 дней назад

    Mi namshukur mungu toka niwe na mume wangu sijawah kutka na mwanaum yyte na maisha swafiii tunainjoi na familia yetu

  • @simonpaulokosiando4484
    @simonpaulokosiando4484 27 дней назад +7

    Upole ni dhambi Tena kubwa. Hata ngumi 1 hupigii😢😢. Dahh pole sana

  • @zaharaZd
    @zaharaZd День назад

    daaaah!! Kiukwel dad huna bahati mwanaume mwenye moyo km huo ni kumi kwa mmoja omba san mungu upate rehema..

  • @NeemaRichard-jy2pi
    @NeemaRichard-jy2pi 13 дней назад +2

    Mwanmke kaenda kucheat na mwanaume mbaya kuliko mume wake😂dharau hizi

  • @shariffsagaf2305
    @shariffsagaf2305 25 дней назад +1

    Mtangazaji napenda jitihada zako keep it up good work

  • @HalimaMchuma
    @HalimaMchuma 26 дней назад +2

    Dah hifumanizi nimeipenda sana pole sana kaka mh uwomtihani kwakweli

  • @vickystephano224
    @vickystephano224 11 дней назад

    Mwanaum handsome ivyo unamchirt khaaaaa mwanamke huna at aibu wew kanikwnza uyu dada

  • @MercyHamis
    @MercyHamis 27 дней назад +3

    Daah nyumbn kwa mume wako na kitanda hicho hcho daah nmelia sana 😢😭😭😭😭 bakafu moro kuna gest nyingi balaa kwhy hawakuziona 🙌

  • @johnkitwima6963
    @johnkitwima6963 27 дней назад +3

    Sasa hivi hata moyo umetulia haha😂😂❤. lakini asikurupuke tena kuoa ainjoy kidogo life❤❤😂🎉

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928 27 дней назад +2

    pole sana bro wanawake siyowatu wakuamini

  • @ERICAIRANEZEZEREJE
    @ERICAIRANEZEZEREJE 27 дней назад +5

    Ghai😢😢😢 Aibu kubwa kwa wazazi wake jamani😢😢

  • @MichaelGeraldMbanga
    @MichaelGeraldMbanga 25 дней назад +1

    Kingereza cha mme wa bite jamani😂😂😂😂😂😂😂😂🙌

    • @Idahduncan
      @Idahduncan 25 дней назад

      😂😂😂😂😂😂 hatari

  • @eysherjuma3779
    @eysherjuma3779 27 дней назад +6

    Kwani lazma aongee kingereza😂😂😊

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 23 дня назад +1

    Huyu jamaa amruhusu tu huyu dada aende Kwa ustaarabibwakakae na huyo shortii unaweza Kuta shortii Hana hata kitandaaa na baada ya hapo shotii unaweza mkuta hamtaki tena😅😅😅

  • @catherinenenula7450
    @catherinenenula7450 24 дня назад +1

    😂😂😂😂aibu mwanamke kha

  • @NeemaSamwel-i8m
    @NeemaSamwel-i8m 8 дней назад

    😂😂 wanawake tujifunze kuwa wasafi kutulia na mwanaume mmoja nako niusafi

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 26 дней назад +2

    Pole sana kaka hao ndo wanawake

  • @ABDHALLAHGOGWE
    @ABDHALLAHGOGWE 2 дня назад

    Uyo aliefumaniwa kwan yuko na suruali ngapi coz moja iko chini nyengine amevaa😅

  • @YustinaMartin
    @YustinaMartin 27 дней назад +1

    Daaah eee mungu kweli watu wanachezea bahat mm Siwez kufanya huu upuuz kaka njoo kwangu takuheshimu

  • @Abby_bway
    @Abby_bway 25 дней назад +4

    Kwanz sura alomchitia taya imepinda dah wanawake mamake 😅😅😅😅

  • @AloyceJoseph-k8m
    @AloyceJoseph-k8m 23 дня назад +2

    Hawa wanawake vilaza ndo huishia kudanga mwaznzo elf50 baada ya mwaka elf10 baada ya mwaka elf2000 kwisha habari. Mm ningewaharibu wote hapo ina subira na kujikubali ni muhim wanawake ni wengi. Safi sana mdogo wangu umetisha

  • @alphoncelaurent9454
    @alphoncelaurent9454 27 дней назад +2

    Mwana mke ni kiumbe hatali sana nahapo alikuwa amekataa kabisa kubabake ila kama ingekuwa ni mm dadeki ninge ondoka na kichwa chake😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @LovenessWaibe
    @LovenessWaibe 27 дней назад +5

    😂😂😂😂😂dah tell me the truth,she is cheat on me😂😂😂🎉

    • @neziajoseph9726
      @neziajoseph9726 26 дней назад +1

      Get out in my house 😀sijui ndio kuvurugwa?

    • @LovenessWaibe
      @LovenessWaibe 26 дней назад

      @@neziajoseph9726 😂😂🤣🤣🤣

  • @Jacklinejohn7
    @Jacklinejohn7 27 дней назад +3

    Zomhpa wee ndio mme wangu mpaka wakuue atujaonana ila tutakutana ata pepono nakupenda sana baby😢❤🎉🎉

  • @MebakarHassan
    @MebakarHassan 4 дня назад

    Kama hajapata bibi akuje Kenya niko hapa jmni😂naitaj mbaba na m jmni❤

  • @KeddyMnagamba
    @KeddyMnagamba 21 день назад

    Sema jamaa mfumaniaji umekuwa mstaraabu sana duh🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡

  • @WardaJuma-i1p
    @WardaJuma-i1p 27 дней назад +12

    Nilikua naisubilia kwa am iih kitu😁😁😆

  • @DianaInnocent-l9n
    @DianaInnocent-l9n День назад

    Mwanamke mchafu auna aibu matendo machafu kwery nakupenda kaka kwamaamuz

  • @HamadHozza
    @HamadHozza 27 дней назад +3

    😂😂😂😂 eti hii nguo haijuiiii daaah ilaah wanawake hatariii so wakunwwa aminii kbcaaaah😮

    • @HamadHozza
      @HamadHozza 27 дней назад

      😂😢😅

    • @HusnaOmar-m9g
      @HusnaOmar-m9g 27 дней назад +2

      Sio wote tupo ivo jamn ni baadhi yetu ndo awatosheki na wanaume zao wanatudhalilisha Hadi sisi jamn duuh

    • @HusnaOmar-m9g
      @HusnaOmar-m9g 27 дней назад

      Jamanii wangu mm siku nimkute ivi aah naondoka na kolomeo la mwanaume wangu 😅😅😅😅😅 nguo imekuja kimiujiza !! Zompah na mm njoo unifanyie😂😂😂😂

    • @HamadHozza
      @HamadHozza 27 дней назад

      @HusnaOmar-m9g ni kweli.na hakuna namna nikufocus katika mahusiano yako.......ilaaah kinacho uma na.kuumiza wa tu wapo wadada wanao tafuta waume wakuwatunza na hawaapati kbca

    • @HusnaOmar-m9g
      @HusnaOmar-m9g 27 дней назад

      @HamadHozza kabisa na uyo mdada wenyewe mbona sura mpya mdomo wa zamani😂😂😂

  • @MichaelGeraldMbanga
    @MichaelGeraldMbanga 25 дней назад

    Nmependa alitoka nae choon mpaka kitandani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂j

  • @buumoko375
    @buumoko375 26 дней назад +2

    We uliyefumania bwege sana,piga kisu wote mamae zenu

  • @hadharmakame
    @hadharmakame 15 дней назад +1

    me nahisi msizalilishane kama mtu humtaki Muache tu kwa wema sio kuzalilishana kama ivo😢😢

  • @sheymaomary453
    @sheymaomary453 10 дней назад

    Dah jamaaa kapanic adi kingereza kinapanda😅😅😅😅

  • @Enilyangolile
    @Enilyangolile 27 дней назад +2

    Guest nyingi morogoro jomon.. we mdada wew mmmh!!!! Ilah so poa kitandani kwa mumeo na mchepuko

  • @EvahSixson
    @EvahSixson 2 дня назад

    Mume HB mchepuko sasa domooooo wanawake sisi Dah lbd alikua hapelekiwi moto😂😂😂😂Dah lkn hapana

  • @HusnaOmar-m9g
    @HusnaOmar-m9g 27 дней назад +1

    Heheheheeeee eti tamaatu ww mdada mjinga sana mumeo anakuudumia vzr na kama isia kwann usikazetu ukamsubiria mumeo mubaba kaba kolomeo la dada uyooo

  • @angelsaid7869
    @angelsaid7869 24 дня назад

    Ehehe mungu naomba unipe maisha marefu sisi tunatafuta bahati kama hii atupati leo watu wanachezea bahati kaka njoo unioe mimi aisee roho inauma sana

  • @OmanBahla-ow8px
    @OmanBahla-ow8px 26 дней назад +2

    Mbona kunawatu wanachezea bahat sisi tunazitafuta daah Mungu nipe namimi wa kwangu

    • @TravisAbu
      @TravisAbu 24 дня назад

      Mama nitafte hutajutia❤

    • @Movie_01-y4z
      @Movie_01-y4z 23 дня назад

      Balaaaa,,,anajutaaaaa

  • @عمانعمان-ظ6ف
    @عمانعمان-ظ6ف 25 дней назад

    🎉🎉 Mpe tu talaka yake maan hana hata jibu wanamke

  • @daudifungo5521
    @daudifungo5521 19 дней назад

    Jamaa Shujaa Kama Mkwawa Pole Sana Jamaa Yangu Ndio Dunia

  • @Morry-nx7tp
    @Morry-nx7tp 13 дней назад

    Ahahahahahahha haijuiiiii😢😢😢😢😢😢

  • @MaxMillions-xu1og
    @MaxMillions-xu1og 14 дней назад

    Sema jamaaa ni zaidi ya kiredio

  • @RehemaOmary-jv4wt
    @RehemaOmary-jv4wt 27 дней назад +2

    Jamani iyo suluali mm siijui ata uyo mtu uliyo mkuta chooni mm simjui itakuwa amepotea chumba😂😂😂😂

    • @MeryJonh
      @MeryJonh 26 дней назад

      Aibu jamni unaletaje mwanaume juu ya mwanaume?😢

    • @MeryJonh
      @MeryJonh 26 дней назад

      Tena kwa Room ya mme wako daa huu umalaya too much

  • @FatumaShunda
    @FatumaShunda 27 дней назад

    Duuuuuuhh mwanaume mwenyewe ssa Bora mme wng handsome

    • @josekinyamagoa-sv4jh
      @josekinyamagoa-sv4jh 27 дней назад

      Nawewe dada uliolewa kw ajili ya handsam et. Kichaa kweli. Mme akili so uhandsam

    • @Idahduncan
      @Idahduncan 25 дней назад

      ​@josekinyamagoa- 😅😅kweli kabisa

    • @josekinyamagoa-sv4jh
      @josekinyamagoa-sv4jh 24 дня назад

      @baninabanina ee dada yangu

  • @KidukuSounds
    @KidukuSounds 21 день назад

    Yani hawa makuma kwer wanacheza nahakili zetu kunamtu amejificha dilishani napazia mda ote wanaongea wanajifanya hawamuoni mnatuigizia sio😅😅😅

  • @RebeccaLevina
    @RebeccaLevina 18 дней назад

    Sisi wanawake bahna tunachezea bahati 😂😂

    • @Morry-nx7tp
      @Morry-nx7tp 13 дней назад

      Mm sichezei @zompah,,,ukipata mwingne nipo

  • @MarryKimaro-m9k
    @MarryKimaro-m9k 15 дней назад

    Jamani jamani wanawake wengine wanapata bahati ya wanaume wazuri jamani lkn hawajielewi. Eee Mungu wangu Mimi nata miaka miwili ningemvumilia mume wangu

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 15 дней назад

    Angaia akili za mwanamke , eti hajanipigia simu kama anarudi, ina maana mume akirudi nyumbani bila kupiga simu ndio unakimbia, unajifungia.....halafu nguo anasema haijui...🤣🤣🤣🤣...wanawake nuksi

  • @SufufazilaSufo
    @SufufazilaSufo 24 дня назад

    Wewe bro upo vizuri nimejifunza kupitia wewe bro

  • @AnnaMgala-n6g
    @AnnaMgala-n6g 4 дня назад

    Hhahaahaha ngoja nicheke kama mazuli vile duh

  • @haluarahma3071
    @haluarahma3071 27 дней назад +2

    Wanawake tunataka Nini kwenye maisha yetu imagine unaleta mwanaume nyumban mwako😂😂😂😂

  • @OliverMwailinga
    @OliverMwailinga 20 дней назад

    Nina surprise yako neno zito sana😂

  • @salehmdemu5722
    @salehmdemu5722 24 дня назад +5

    😂😂😂😂dah huu ni uongo ni maigizo,

  • @HidayaHussen
    @HidayaHussen 27 дней назад

    Zomp naomba nipe no zake huyo mkaka nimpe mahaba mpaka watalii waje waone tru love nimempenda bur

  • @hassanhamisi9232
    @hassanhamisi9232 26 дней назад +1

    Hawa wanaigiza umefumania na Kingereza Juu😂😂

  • @BahatiYasin-v5h
    @BahatiYasin-v5h 26 дней назад +2

    Jamn tukiwa tunawacheet wamume zetuu tuwe tunaangaa wakuwacheet nao hivii unamcheet mumewako na mtu asie mzidii kitu chochot serious😢😢alafu ata kam huna nyege kupitiliza mumew hayuko ndio humkete mchepuk serious 😢😢guest zimeisha jamn khaaa girls tunatia aibuuuu😅😅😅😅😅😅

  • @KennethNgoleka-i5z
    @KennethNgoleka-i5z 9 дней назад

    Hii ilinitokea haha mimi nikisafiri tu mtu anajaa home anapikiwa nk.

  • @AnethSwila-tw9mv
    @AnethSwila-tw9mv 27 дней назад +10

    Kwani mwanamke unashindwa kujizuia hiyo hisia yako na kujua kuwa mumeo Yuko mbali ivi unanzaje kumpa mwingine mwili wako??ningekuwa sijawahi kuishi mbali na mume wangu ningesema kweli ni kawaida lakini niliishi mbali nae miaka karibu mnne sikuwahi cheat wengine mnaopenda sana kujirahisi

  • @Naah-o2c
    @Naah-o2c 27 дней назад +2

    Mwanaume katumaniwa af anasema mbona siwaelewi😅😅😅

  • @asmandunda3639
    @asmandunda3639 27 дней назад +3

    Mchepuko kanyata khaaaaa😅😅😅😅😅

  • @WilleLonard
    @WilleLonard 27 дней назад

    Jamaa nimekpenda sana unahakili sana

  • @angelmichael1703
    @angelmichael1703 27 дней назад +1

    MBORO EEH MBORO 😂😂😂😂 bint gest hadi 10000 unachukua kimtu kifupiii alooo😅😅

  • @SamirPeter-t4u
    @SamirPeter-t4u 25 дней назад

    Dahh mwanamke alifumga mlango aweke mambo sawa lakn ukiwa na paniki huwez fanya kitu kikaeleweka haya sasa

  • @alisterlexter1115
    @alisterlexter1115 26 дней назад

    Mmmmh hivi haya ni maigizo ama ni ukweli😂

  • @Khudhayma
    @Khudhayma 3 дня назад

    Tena mm ningemfukuza na makofi juu

  • @AishaDauban
    @AishaDauban 26 дней назад

    Fumaniz n akingeli juu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @TahiyaIbrahimu
    @TahiyaIbrahimu 12 дней назад

    Mmmmh jaman nimehuzunik lakin jaman huyu mdada anavyokataa mpk nimelia jaman pol kaka angu

  • @Gaudensiamuganga
    @Gaudensiamuganga 24 дня назад

    Eti anasafiri muda mrefu na mm ninahisia unahakili timamu wewe mwanamke mwenzetu, mpuuuz sana mdangaji mom kwenye chumba cha mmeo. Haya hawala hakutaki umeona umalaya ulivyoeee, kuwen wavumilivu achen tamaa za mwili weken hofu ya Mungu mbele aseeee.
    Wanawake tuna chakujifunza happaa

  • @hammyrashidi5820
    @hammyrashidi5820 24 дня назад

    Hii Channel niyamipango 😅😅😅

  • @RenaChami-co9uf
    @RenaChami-co9uf 25 дней назад

    Ila wanawake sisii sijui nani katuloga dah kweli jmn mbna Kuna vya kujitawazia simtumiage yaan unafukuzwa na nguo zako tu na aibu juu 😔nimelia sana

  • @OmanSinaw-f8j
    @OmanSinaw-f8j 24 дня назад

    Uvunguni sijuwi kama ajinyei mtu😂😂😂

  • @Naah-o2c
    @Naah-o2c 27 дней назад +2

    Nlikua nasubiri kwa ham kaaah😢 mwanamke ana ujasiri sana

    • @BahatiLodi
      @BahatiLodi 27 дней назад

      Hata mchepuko naye ana ujasiri

  • @BERNARDITAMAGWI
    @BERNARDITAMAGWI 20 дней назад

    Hivi ntakuja kuowa kweli Kwa namna hii jaman 😢😢 dah hivi viumbe apana bola msingeumbwa tuteseke na majukumu wenyewe kuliko kuteseka na mahusiano mbwa nyie

  • @RamadhaniOmari-qx7xw
    @RamadhaniOmari-qx7xw 26 дней назад +2

    Jamaa analeta kibesi yan ningepata kes na dem ningetimua

  • @OctavianOctavianHermani
    @OctavianOctavianHermani 25 дней назад

    Oya mwanangu me mtu hatoki ndani naondoka na bega la mtu😢😢😢

  • @Gaudensiamuganga
    @Gaudensiamuganga 24 дня назад +1

    Duuuuh wanawake jaman hivi tunann lkn ebu tunwogpe Mungu😭

    • @monicaSamson-mc9ph
      @monicaSamson-mc9ph 16 дней назад

      Yeye anadai kuwa mumewe anasafiri Sana kwahy nayeye anahisia😂😂😂😂😂

  • @iranangole7007
    @iranangole7007 27 дней назад +1

    M kuoa sizan mungu Anisamehe kwa zambi ya kuzin lakn kuoa Apana Roho inagoma

  • @abdultandala6576
    @abdultandala6576 24 дня назад

    Kama ingelikua mimi huyo jamaa alieingia kwangu asingetoka kisitaarabu hivyo weeeeeee!😢😢😢😢😢

  • @mkamaboy2016
    @mkamaboy2016 26 дней назад

    Huyu dada n malaya wa kutupwa halafu jamaa mume wake n smart

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
    @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct 24 дня назад

    Huyu mwanamke nimbaya sana aise

  • @TahiyaIbrahimu
    @TahiyaIbrahimu 12 дней назад

    Jaman ww kaka ningekupata mm

  • @raphaelrwakimwaga7995
    @raphaelrwakimwaga7995 27 дней назад +2

    Kijamaa chenyewe kfup

  • @kisalaTV
    @kisalaTV 25 дней назад

    Yani icho kijanaume . Alicho msaritia mumewe 😂😂 wanawake hata sijui tunatakaga nini😂😂 .

  • @RehemaHussein-n5u
    @RehemaHussein-n5u 27 дней назад +3

    Kweli nimeamini kwenye miti hapana wajezi

  • @AsmaAlly-m9i
    @AsmaAlly-m9i 27 дней назад +1

    Kaka pole ila nimekupenda sana jamani.kwenye mtinamna ujenzi

  • @LeylaSaria
    @LeylaSaria 27 дней назад +4

    Ila michipuko wanatupenda tukiw kwenye ndoa zetu2

  • @SalamaJuma-s8e
    @SalamaJuma-s8e 22 дня назад

    Jaman kibwa chenyewe kilivyo vimba ssa yn ww kaka utapata maisha mengine

  • @SajdaHussen
    @SajdaHussen 24 дня назад

    🤣🤣alijificha kwenye pazia duuh

  • @TumainIbrahim
    @TumainIbrahim 27 дней назад +1

    Tell me rhe truth this trouser ni ya naniii😅😅😅

  • @LeylaSaria
    @LeylaSaria 27 дней назад +1

    Ila sisi wanawake tumezid dah sas hata kama unafanya ujinga wako ndo ndan Kwako kaaa😂

  • @ZeyanaKhamismashaka
    @ZeyanaKhamismashaka 27 дней назад

    Uwo ucingizi unaupata vip unall na mwnaume ndni kwako na Mume wko jmn Mtihani😂😂😂😂😂😂

  • @NurhathAmiri
    @NurhathAmiri 26 дней назад

    yan uyo alofumaniwa sasa 🤣🤣🤣

  • @SheilaOmar2007
    @SheilaOmar2007 26 дней назад

    Mi napapasa kwanza mifuko 😂😂

  • @MectridaDaud
    @MectridaDaud 27 дней назад

    Mwanaume wake ni hansi boy tena saf kbsa lakn anayemcheat nae sasa kasakafyuka tu😂😂

  • @MhabeshiMaluja
    @MhabeshiMaluja 26 дней назад +1

    Mm siamini kama ni kweli unafumania mke wako tena wa ndoa na kijamaa kinavimba kabisa et kwani huna hata kisu apo ndani kwako umkate wenge kidogo angalau kidamu kionekane asee umetufelisha sanaa hom boy.

    • @hendrikszsolly8570
      @hendrikszsolly8570 26 дней назад

      Kazingua sana haiwezekan huyo mwanaume mwingine kutoa hata saut hakuna kitu kama hiko lazima badamu bamwagike banah 😂 sio kizembe hivo