Yani nimempenda huyo kaka mwenye mke katumia busala sana kwakweli ingelikua wale wezangu na mie hapo mngekuta tu kachinja nayeye anaenda kuozea jela ila we kaka Pole na hongera yako pia kama mke utapata na uta enjoy sana
Huyu jamaa amruhusu tu huyu dada aende Kwa ustaarabibwakakae na huyo shortii unaweza Kuta shortii Hana hata kitandaaa na baada ya hapo shotii unaweza mkuta hamtaki tena😅😅😅
Hawa wanawake vilaza ndo huishia kudanga mwaznzo elf50 baada ya mwaka elf10 baada ya mwaka elf2000 kwisha habari. Mm ningewaharibu wote hapo ina subira na kujikubali ni muhim wanawake ni wengi. Safi sana mdogo wangu umetisha
@HusnaOmar-m9g ni kweli.na hakuna namna nikufocus katika mahusiano yako.......ilaaah kinacho uma na.kuumiza wa tu wapo wadada wanao tafuta waume wakuwatunza na hawaapati kbca
Jamani jamani wanawake wengine wanapata bahati ya wanaume wazuri jamani lkn hawajielewi. Eee Mungu wangu Mimi nata miaka miwili ningemvumilia mume wangu
Angaia akili za mwanamke , eti hajanipigia simu kama anarudi, ina maana mume akirudi nyumbani bila kupiga simu ndio unakimbia, unajifungia.....halafu nguo anasema haijui...🤣🤣🤣🤣...wanawake nuksi
Kwani mwanamke unashindwa kujizuia hiyo hisia yako na kujua kuwa mumeo Yuko mbali ivi unanzaje kumpa mwingine mwili wako??ningekuwa sijawahi kuishi mbali na mume wangu ningesema kweli ni kawaida lakini niliishi mbali nae miaka karibu mnne sikuwahi cheat wengine mnaopenda sana kujirahisi
Eti anasafiri muda mrefu na mm ninahisia unahakili timamu wewe mwanamke mwenzetu, mpuuuz sana mdangaji mom kwenye chumba cha mmeo. Haya hawala hakutaki umeona umalaya ulivyoeee, kuwen wavumilivu achen tamaa za mwili weken hofu ya Mungu mbele aseeee. Wanawake tuna chakujifunza happaa
Hivi ntakuja kuowa kweli Kwa namna hii jaman 😢😢 dah hivi viumbe apana bola msingeumbwa tuteseke na majukumu wenyewe kuliko kuteseka na mahusiano mbwa nyie
Mm siamini kama ni kweli unafumania mke wako tena wa ndoa na kijamaa kinavimba kabisa et kwani huna hata kisu apo ndani kwako umkate wenge kidogo angalau kidamu kionekane asee umetufelisha sanaa hom boy.
Yani nimempenda huyo kaka mwenye mke katumia busala sana kwakweli ingelikua wale wezangu na mie hapo mngekuta tu kachinja nayeye anaenda kuozea jela ila we kaka Pole na hongera yako pia kama mke utapata na uta enjoy sana
Kwanza mumewe hesam boy dah wanawake ss jmn😮
Jaman watu wanachezea bahat mungu npe namimi bahat yamume
Utapata Mungu ni mwema
😂😂😂
Utapata dear@@stanfordaradini5220
😊
Utaipata tu mateso
Wewe kaka ni mstaarabu sana. Hapo endelea na maisha mengine Mungu ata kuongoza.
Duuuuh😢😢...inaumiza sanaa men tunaudumiaa mpaka na ndg zao then afanyee hiviiiii.....napiga bisu woteee hiyo ni vita mhura
Sie wanawake mungu atusamehe tu tunapata bahati tunazichezea
Ila sasa wana wake atuwawezi nini mona
Umalaya tu
Mi namshukur mungu toka niwe na mume wangu sijawah kutka na mwanaum yyte na maisha swafiii tunainjoi na familia yetu
Upole ni dhambi Tena kubwa. Hata ngumi 1 hupigii😢😢. Dahh pole sana
daaaah!! Kiukwel dad huna bahati mwanaume mwenye moyo km huo ni kumi kwa mmoja omba san mungu upate rehema..
Mwanmke kaenda kucheat na mwanaume mbaya kuliko mume wake😂dharau hizi
Kwaiyo ruhusa kwa mke kuchiti na mwanamke handsome yani wanawake wote ndowalewale
Mtangazaji napenda jitihada zako keep it up good work
Dah hifumanizi nimeipenda sana pole sana kaka mh uwomtihani kwakweli
Mwanaum handsome ivyo unamchirt khaaaaa mwanamke huna at aibu wew kanikwnza uyu dada
Daah nyumbn kwa mume wako na kitanda hicho hcho daah nmelia sana 😢😭😭😭😭 bakafu moro kuna gest nyingi balaa kwhy hawakuziona 🙌
Sasa hivi hata moyo umetulia haha😂😂❤. lakini asikurupuke tena kuoa ainjoy kidogo life❤❤😂🎉
😂Ila jamn comment zinanipa raha humu
pole sana bro wanawake siyowatu wakuamini
Ghai😢😢😢 Aibu kubwa kwa wazazi wake jamani😢😢
Kingereza cha mme wa bite jamani😂😂😂😂😂😂😂😂🙌
😂😂😂😂😂😂 hatari
Kwani lazma aongee kingereza😂😂😊
😂😂😂
😂😂😂😂
Huyu jamaa amruhusu tu huyu dada aende Kwa ustaarabibwakakae na huyo shortii unaweza Kuta shortii Hana hata kitandaaa na baada ya hapo shotii unaweza mkuta hamtaki tena😅😅😅
😂😂😂😂aibu mwanamke kha
😂😂 wanawake tujifunze kuwa wasafi kutulia na mwanaume mmoja nako niusafi
Pole sana kaka hao ndo wanawake
Uyo aliefumaniwa kwan yuko na suruali ngapi coz moja iko chini nyengine amevaa😅
Daaah eee mungu kweli watu wanachezea bahat mm Siwez kufanya huu upuuz kaka njoo kwangu takuheshimu
Kwanz sura alomchitia taya imepinda dah wanawake mamake 😅😅😅😅
Hawa wanawake vilaza ndo huishia kudanga mwaznzo elf50 baada ya mwaka elf10 baada ya mwaka elf2000 kwisha habari. Mm ningewaharibu wote hapo ina subira na kujikubali ni muhim wanawake ni wengi. Safi sana mdogo wangu umetisha
Mwana mke ni kiumbe hatali sana nahapo alikuwa amekataa kabisa kubabake ila kama ingekuwa ni mm dadeki ninge ondoka na kichwa chake😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂dah tell me the truth,she is cheat on me😂😂😂🎉
Get out in my house 😀sijui ndio kuvurugwa?
@@neziajoseph9726 😂😂🤣🤣🤣
Zomhpa wee ndio mme wangu mpaka wakuue atujaonana ila tutakutana ata pepono nakupenda sana baby😢❤🎉🎉
😂😂😂😂😂jmn 🙏🙏
😂😂😂😂😂😂
@@theeaglefilmproduction4567 trust me I do Love y
Naomba no yko 😅😅😅 nimecheka san 🤣 🤣 @@Jacklinejohn7
@@theeaglefilmproduction4567 kweli
Kama hajapata bibi akuje Kenya niko hapa jmni😂naitaj mbaba na m jmni❤
Sema jamaa mfumaniaji umekuwa mstaraabu sana duh🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡
Nilikua naisubilia kwa am iih kitu😁😁😆
Hata mim
Mwanamke mchafu auna aibu matendo machafu kwery nakupenda kaka kwamaamuz
😂😂😂😂 eti hii nguo haijuiiii daaah ilaah wanawake hatariii so wakunwwa aminii kbcaaaah😮
😂😢😅
Sio wote tupo ivo jamn ni baadhi yetu ndo awatosheki na wanaume zao wanatudhalilisha Hadi sisi jamn duuh
Jamanii wangu mm siku nimkute ivi aah naondoka na kolomeo la mwanaume wangu 😅😅😅😅😅 nguo imekuja kimiujiza !! Zompah na mm njoo unifanyie😂😂😂😂
@HusnaOmar-m9g ni kweli.na hakuna namna nikufocus katika mahusiano yako.......ilaaah kinacho uma na.kuumiza wa tu wapo wadada wanao tafuta waume wakuwatunza na hawaapati kbca
@HamadHozza kabisa na uyo mdada wenyewe mbona sura mpya mdomo wa zamani😂😂😂
Nmependa alitoka nae choon mpaka kitandani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂j
We uliyefumania bwege sana,piga kisu wote mamae zenu
me nahisi msizalilishane kama mtu humtaki Muache tu kwa wema sio kuzalilishana kama ivo😢😢
Dah jamaaa kapanic adi kingereza kinapanda😅😅😅😅
Guest nyingi morogoro jomon.. we mdada wew mmmh!!!! Ilah so poa kitandani kwa mumeo na mchepuko
Mume HB mchepuko sasa domooooo wanawake sisi Dah lbd alikua hapelekiwi moto😂😂😂😂Dah lkn hapana
Heheheheeeee eti tamaatu ww mdada mjinga sana mumeo anakuudumia vzr na kama isia kwann usikazetu ukamsubiria mumeo mubaba kaba kolomeo la dada uyooo
Ehehe mungu naomba unipe maisha marefu sisi tunatafuta bahati kama hii atupati leo watu wanachezea bahati kaka njoo unioe mimi aisee roho inauma sana
Mbona kunawatu wanachezea bahat sisi tunazitafuta daah Mungu nipe namimi wa kwangu
Mama nitafte hutajutia❤
Balaaaa,,,anajutaaaaa
🎉🎉 Mpe tu talaka yake maan hana hata jibu wanamke
Jamaa Shujaa Kama Mkwawa Pole Sana Jamaa Yangu Ndio Dunia
Ahahahahahahha haijuiiiii😢😢😢😢😢😢
Sema jamaaa ni zaidi ya kiredio
Jamani iyo suluali mm siijui ata uyo mtu uliyo mkuta chooni mm simjui itakuwa amepotea chumba😂😂😂😂
Aibu jamni unaletaje mwanaume juu ya mwanaume?😢
Tena kwa Room ya mme wako daa huu umalaya too much
Duuuuuuhh mwanaume mwenyewe ssa Bora mme wng handsome
Nawewe dada uliolewa kw ajili ya handsam et. Kichaa kweli. Mme akili so uhandsam
@josekinyamagoa- 😅😅kweli kabisa
@baninabanina ee dada yangu
Yani hawa makuma kwer wanacheza nahakili zetu kunamtu amejificha dilishani napazia mda ote wanaongea wanajifanya hawamuoni mnatuigizia sio😅😅😅
Sisi wanawake bahna tunachezea bahati 😂😂
Mm sichezei @zompah,,,ukipata mwingne nipo
Jamani jamani wanawake wengine wanapata bahati ya wanaume wazuri jamani lkn hawajielewi. Eee Mungu wangu Mimi nata miaka miwili ningemvumilia mume wangu
Angaia akili za mwanamke , eti hajanipigia simu kama anarudi, ina maana mume akirudi nyumbani bila kupiga simu ndio unakimbia, unajifungia.....halafu nguo anasema haijui...🤣🤣🤣🤣...wanawake nuksi
Wewe bro upo vizuri nimejifunza kupitia wewe bro
Hhahaahaha ngoja nicheke kama mazuli vile duh
Wanawake tunataka Nini kwenye maisha yetu imagine unaleta mwanaume nyumban mwako😂😂😂😂
Nina surprise yako neno zito sana😂
😂😂😂😂dah huu ni uongo ni maigizo,
Zomp naomba nipe no zake huyo mkaka nimpe mahaba mpaka watalii waje waone tru love nimempenda bur
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂Nimecheka mno
😂😂 unamtaka huyo the moment everything 😅
Hawa wanaigiza umefumania na Kingereza Juu😂😂
Stress
Jamn tukiwa tunawacheet wamume zetuu tuwe tunaangaa wakuwacheet nao hivii unamcheet mumewako na mtu asie mzidii kitu chochot serious😢😢alafu ata kam huna nyege kupitiliza mumew hayuko ndio humkete mchepuk serious 😢😢guest zimeisha jamn khaaa girls tunatia aibuuuu😅😅😅😅😅😅
ANATAKA MTI NDIO ANAUMISS
Hii ilinitokea haha mimi nikisafiri tu mtu anajaa home anapikiwa nk.
Kwani mwanamke unashindwa kujizuia hiyo hisia yako na kujua kuwa mumeo Yuko mbali ivi unanzaje kumpa mwingine mwili wako??ningekuwa sijawahi kuishi mbali na mume wangu ningesema kweli ni kawaida lakini niliishi mbali nae miaka karibu mnne sikuwahi cheat wengine mnaopenda sana kujirahisi
Hakika
Ya kweli hayo?
Kwel kabix
Afu sijaona akitoa machozi😢 au nikawaida tu😂😂
Mbona kama James alikuwa annaambulia 😂
Mwanaume katumaniwa af anasema mbona siwaelewi😅😅😅
Mchepuko kanyata khaaaaa😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂
Jamaa nimekpenda sana unahakili sana
MBORO EEH MBORO 😂😂😂😂 bint gest hadi 10000 unachukua kimtu kifupiii alooo😅😅
Dahh mwanamke alifumga mlango aweke mambo sawa lakn ukiwa na paniki huwez fanya kitu kikaeleweka haya sasa
Mmmmh hivi haya ni maigizo ama ni ukweli😂
Tena mm ningemfukuza na makofi juu
Fumaniz n akingeli juu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mmmmh jaman nimehuzunik lakin jaman huyu mdada anavyokataa mpk nimelia jaman pol kaka angu
Eti anasafiri muda mrefu na mm ninahisia unahakili timamu wewe mwanamke mwenzetu, mpuuuz sana mdangaji mom kwenye chumba cha mmeo. Haya hawala hakutaki umeona umalaya ulivyoeee, kuwen wavumilivu achen tamaa za mwili weken hofu ya Mungu mbele aseeee.
Wanawake tuna chakujifunza happaa
Hii Channel niyamipango 😅😅😅
Ila wanawake sisii sijui nani katuloga dah kweli jmn mbna Kuna vya kujitawazia simtumiage yaan unafukuzwa na nguo zako tu na aibu juu 😔nimelia sana
Uvunguni sijuwi kama ajinyei mtu😂😂😂
Nlikua nasubiri kwa ham kaaah😢 mwanamke ana ujasiri sana
Hata mchepuko naye ana ujasiri
Hivi ntakuja kuowa kweli Kwa namna hii jaman 😢😢 dah hivi viumbe apana bola msingeumbwa tuteseke na majukumu wenyewe kuliko kuteseka na mahusiano mbwa nyie
Jamaa analeta kibesi yan ningepata kes na dem ningetimua
Oya mwanangu me mtu hatoki ndani naondoka na bega la mtu😢😢😢
Duuuuh wanawake jaman hivi tunann lkn ebu tunwogpe Mungu😭
Yeye anadai kuwa mumewe anasafiri Sana kwahy nayeye anahisia😂😂😂😂😂
M kuoa sizan mungu Anisamehe kwa zambi ya kuzin lakn kuoa Apana Roho inagoma
😂😂Ww oa bhn kuzini uache (utani)
Njoooo unioe mimi nimetulia 😂😂😂
Kama ingelikua mimi huyo jamaa alieingia kwangu asingetoka kisitaarabu hivyo weeeeeee!😢😢😢😢😢
Huyu dada n malaya wa kutupwa halafu jamaa mume wake n smart
Huyu mwanamke nimbaya sana aise
Jaman ww kaka ningekupata mm
Hata angelimpa wewe wanawake ndowalewale
Kijamaa chenyewe kfup
Yani icho kijanaume . Alicho msaritia mumewe 😂😂 wanawake hata sijui tunatakaga nini😂😂 .
Kweli nimeamini kwenye miti hapana wajezi
Kbs walah
@MinaSule-l6v umeona eeh
Kaka pole ila nimekupenda sana jamani.kwenye mtinamna ujenzi
Ila michipuko wanatupenda tukiw kwenye ndoa zetu2
😂😂😂
Umeona eee😂😂
Jaman kibwa chenyewe kilivyo vimba ssa yn ww kaka utapata maisha mengine
🤣🤣alijificha kwenye pazia duuh
Tell me rhe truth this trouser ni ya naniii😅😅😅
Ila sisi wanawake tumezid dah sas hata kama unafanya ujinga wako ndo ndan Kwako kaaa😂
Uwo ucingizi unaupata vip unall na mwnaume ndni kwako na Mume wko jmn Mtihani😂😂😂😂😂😂
yan uyo alofumaniwa sasa 🤣🤣🤣
Mi napapasa kwanza mifuko 😂😂
Mwanaume wake ni hansi boy tena saf kbsa lakn anayemcheat nae sasa kasakafyuka tu😂😂
Mm siamini kama ni kweli unafumania mke wako tena wa ndoa na kijamaa kinavimba kabisa et kwani huna hata kisu apo ndani kwako umkate wenge kidogo angalau kidamu kionekane asee umetufelisha sanaa hom boy.
Kazingua sana haiwezekan huyo mwanaume mwingine kutoa hata saut hakuna kitu kama hiko lazima badamu bamwagike banah 😂 sio kizembe hivo